Тёмный

KUMEKUCHA ! Hashimu Rungwe AIBUKA "KUNA MTU ANAITWA WAZIRI MWIGURU NCHEMBA " hayajaanza leo / BAJETI 

MwanaHALISI TV
Подписаться 301 тыс.
Просмотров 11 тыс.
50% 1

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+)255 692 318 213
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Опубликовано:

 

4 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 51   
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 15 дней назад
Kulikuwa na adabu walikuwa wanamjua Mungu sikuhizi hakuna Mungu ni waizi na umjomba
@sophiemsuya6507
@sophiemsuya6507 15 дней назад
Mzee kanichekesha kweli. Wenye hela ndefu ndio wanaotumia vitu vyote bure, wanyonge waendelee kuchangia wakubwa zao. Nyumba bure, magari bure, mafuta bure na matumizi ya juu sana. Mungu awaguse watukumbuke na sisi, wasije tokewa na yale ya Lazaro na tajiri jamani.😢😢😢😢
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 15 дней назад
Kila kitu ni maliyako wanakopa kwenye benki muda mrefu ndugu zao ndio wanafanyakazi sehem nzuri tanapa bandarini uwanja wa ndege
@prochesytesha8040
@prochesytesha8040 14 дней назад
Mkuu mzee wangu upo vzr
@jarnskorelly464
@jarnskorelly464 15 дней назад
Lakini kweli tulipata chakula bure
@peterjosephat6685
@peterjosephat6685 15 дней назад
Ile bure iliyokuwa wanapata wananchi wote sasa imeamia kwa wakubwa wa serikali wanyonge wananyonywa
@MgonjaFide
@MgonjaFide 13 дней назад
Mnyonge anyongwe na hakiyake iliwe
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 15 дней назад
Ni kweli hata madaftar wazazi walikua hawanunui yapo madaftar ya bendera ya tanzania daftari walikuta shuleni wewe waenda t
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 13 дней назад
Mzee huko vizuri
@user-vm4zq7kf4e
@user-vm4zq7kf4e 14 дней назад
Mzee inchi hii imeshindikana
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 15 дней назад
mwiguru hafai
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 13 дней назад
😂😂😂 haya Mzee wa Ubwawa
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 13 дней назад
Nyerere angejua bora angeiba kama mobutu congo
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 13 дней назад
Hawa ndio watu wa kuwahoji sasa sio yuvisisiem mimi nawalaumu wandishi wa habari tafuteni habari za kina sio za juu juu asant kwa chakula cha akili ,sisi nitahitaji elimu tu ya kujitambua mengine huja yenyeweeee
@samsonsamwel8782
@samsonsamwel8782 15 дней назад
Leta muendekezo
@allyhasani3750
@allyhasani3750 15 дней назад
Mzee mkweli
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz 13 дней назад
Kweli wao kila kitu bure, mpaka matibabu bure lakini maskini alipe
@jeisawaya7638
@jeisawaya7638 13 дней назад
Hii ng’ombe kumbe bado iko mzeee Muhuni hawa ndiyo walifaidi huduma ya taifa ila hawana shukurani ila naona kama mwehu fulani
@leokamil6284
@leokamil6284 14 дней назад
Kweli Viwanda vyote kwisha kilimo kilikuwepo sukari ,ngano Basutu ,nchi imekwisha mpaka mashamba ya mkonge nayo kwisha .
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 14 дней назад
Msomi kbs
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 15 дней назад
Mzee ubwabwe ccm hata ugali wanatowa machozi watakupa wali umezeeka piga siasa za ukombozi siyo za kichawa
@leokamil6284
@leokamil6284 14 дней назад
Kweli kabisa baada ya vita ndio likaanza balaa la hali ngumu
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 15 дней назад
Na ukweli umo
@user-zb5qz6fk1v
@user-zb5qz6fk1v 13 дней назад
Kiongozi wa fedha hafai kibaka na fisadi John alimtimua
@shd12m55
@shd12m55 14 дней назад
Ukigombea saivi namii ntakupigia kura ili nile ubwabwa😂
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 15 дней назад
Miaka ile baada ya uhuru wananchi walikuwa wachache Ni kweli shule za bweni tulipewa kila kitu bure hadi 1978 tulitangaziwa miezi 18 ya kufunga mkanda hali iliyoendelea.
@allyhasani3750
@allyhasani3750 15 дней назад
Tukiwa weng uzalishaji no mkubwa
@remigusluambana9880
@remigusluambana9880 15 дней назад
Watu wachache vipi,inatakiwa uchumi uwe directly proposional na population,punguza hayo mashangingi mashangingi na matumizi hapo pana hela
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 13 дней назад
Mzee sani
@ramadhanishabani807
@ramadhanishabani807 13 дней назад
Shida watanzania wengi mafal
@bernardjohn8788
@bernardjohn8788 15 дней назад
Uchaguzi umekaribia. Wameibuka
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 14 дней назад
Rugwe azeeki kbs yupo
@jeisawaya7638
@jeisawaya7638 13 дней назад
Waandishi hakuna tanzania hojini watu wenye akili timamu munahoji watu walio changanywa na maisha matokeo ndiyo hayo hakuna tulicho pata kweli una akili iliyo sawa unaenda kumhoji rungwe kweli muna iangusha tasnia ama mna nia ya kum dhalilisha Mzee wa watu aonekane hivyo
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 13 дней назад
Duu pole ila mm naamini umemuelewa Mzee ila hutak kuwa mkweli,pole kama ni kweli hujaelewa maana huna akil
@user-my5yp6xx5s
@user-my5yp6xx5s 15 дней назад
Uko vizuri mzee wapashe
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 15 дней назад
One of the difficulty in Africa leadership is about mostly out Africa politician prefer much this wait education show PhD bachelor diploma and so on but take even they sun to oversize question mark me as the abdala ahamedy is this education getting Africa seem education getting wait skin on my sense l said no l don't think so why seem education pasonol getting to Russian or chaina or western citizens are quaghty difference PhD in Africa fighting for pasonol life and extended family not pablic but wait skin leadership fighting with pablic economy this are different education between wait and we black education
@zengomikomangwa9264
@zengomikomangwa9264 15 дней назад
Mzee toa sera zako. Ilitujue unachopendekeza ilitujue kama ni realistic
@kichenjekichenje2072
@kichenjekichenje2072 15 дней назад
Mtangazaji mbona umekomalia sn ubwabwa 😂😂
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 13 дней назад
Ndo maisha
@VictaDaudi
@VictaDaudi 15 дней назад
Haaaa haaaa haaaaa😊😊😊😊😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂 duuuu hatari sanaaaaa
@KenedyThabiti
@KenedyThabiti 15 дней назад
Namkubari sana huyu mzee
@jeisawaya7638
@jeisawaya7638 13 дней назад
Mkafanya kila njia wewe na nani
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 14 дней назад
Nimependa anakofia nzur sn anajuwa kuvaaa
@bilid4128
@bilid4128 12 дней назад
😂😂😂😂
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 15 дней назад
Mzee mnafiki!
@peterjosephat6685
@peterjosephat6685 15 дней назад
Mnafiki niwew
@elioimer8423
@elioimer8423 15 дней назад
Watu wa ccm ukisema kweli mnafiki ….. anachosema mzee Rungwe kwa sababu tulikuwako wakati ule tuliyaona na ni kweli. Nina uhakika anachosesa mzee ni mnafiki kazaliwa juzi hayajui. Yote haya na uchumi wa nchi ya Tz kwa ujumla kudidimia , ilitokana na vita vya Kagera ni sio vinginevyo. Mpaka leo tumefunga mikanda.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 14 дней назад
Mzee wa Ubwabwa wewe kula ruzuku tu huna lolote
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed 15 дней назад
We mzee midevu inakutia wazimu kanyoe
@knight6757
@knight6757 15 дней назад
😂
@chapaboyclassic3907
@chapaboyclassic3907 15 дней назад
🤣🤣🤣
Далее