lokole acha wivu kwani ukishauri kawaida bila kupaniki inakuwaje halafu kingine huyo ndaro anamjua tunda vizuri so mwache kama ni cha moto atakiona wenyewe swali dogo tu toka mumeanza kuwasema kamuacha sasa Muda mwingine vitu vya watu nikuwaachia wao stress za nini kwenye maisha ya watu poleni