Тёмный

Mfahamu Sheikh Kipozeo, Maisha Yake Ya Utotoni, Familia Na Elimu Yake | SALAMA NA SHEIKH KIPOZEO PT1 

YahStoneTown
Подписаться 395 тыс.
Просмотров 111 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Sheikh Hilali Shaweji Makarani au Sheikh Kipozeo ni mtu wa watu, au niseme kama ambavyo tunasema kwetu Uswazi, Sheikh ni mwana wa wana, anaweza kuwapa wana darsa kwa lugha yao na wakawa huru na wao kusema maoni yao au uelewa wao kwa raha na bashasha nyingi na naamini hii imemfanya yeye awe ni mmoja ya Ma Sheikh wanao tambulika zaidi kwenye mitandao ya kijamii nje na ndani ya Tanzania. Lugha hiyo ya wana ambayo anaitumia inasaidia sana kufikisha ujumbe ambao ameukusudia kwa wakati huo na ikapata mpaka majadilioano, majadiliano hayo ndo huzaa majibu ya maswali mengi ambayo wengi hujiuliza.
Kwetu au kwangu ilikua ni kaji task ambako nilikua najua inabidi nikakamilishe, na jina lake kurejea kutajwa mara kwa mara na watazamaji wa kipindi hiki pia ilichochea dhamira hiyo kwa kiasi kikubwa. Nilikua sijawahi kukutana nae kwahiyo hii nami ilikua ni mara yangu ya kwanza kukutana nae uso kwa macho, shabiki yake? Oh yes, mkubwa tu. Nimekua nikimskiliza na kumuangalia kila nipatapo nafasi ya kukutana na mafunzo yake, kwahiyo hamu ya kutaka kuongea nae ilikua inaongezeka kila siku zinavyozidi kwenda. Wakati ambao Mwenyezi Mungu ameupanga ndo wakati sahihi kabisa. Na naamini huu ndo ulikua muda ambao tulikua tumepangiwa haya mazungumzo kutokea na haikua huko nyuma ambako pengine tulidhani tungemtafuta na kuweza kuongea nae.
Alikua mkarimu kwangu, humchukua muda pia kuongea kama yule wa kwenye video maana kama Mwalimu nadhani huwa anaangalia spidi ambayo uko nayo na kujua anaenda na wewe vipi ili iwe imekaa mahala pake. Na naam, tuliweza kwenda vizuri, alinifanya nami niwe huru na muwazi kwa yale ambayo tulikua tumepanga na wenzangu kumuuliza.
Akiwa Baba na mume mpedwa kwa familia yake, Sheikh Kipozeo amekua akipata mialiko sehemu mbali mbali ili aweze kuwapa watu ‘dawa’. Humu zaidi sisi tulitaka kujua jina lilipo anzia na jitihada zake za kufikisha neno la Mwenyezi Mungu kwa wanaohusika. Alituambia pia kuhusu asili yake na ‘urithi’ wa dini ulipotokea. Lini hasa alijua kwamba ambacho anakifanya sasa ndo ambacho alikua anatakiwa kufanya kwenye maisha yake yote?
Yangu matumaini dawa itaingia na uta enjoy kuangalia au kuskiliza episode hii yetu ya nne.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Развлечения

Опубликовано:

 

11 дек 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 253   
@jasmineedamu6089
@jasmineedamu6089 Год назад
Wanaosmile wakimwona kipozeo weka like
@TheFire_Gamer
@TheFire_Gamer Год назад
Salama wengevaa hijab
@allahisone6386
@allahisone6386 Год назад
@@TheFire_Gamer kbsaaaaaaa 💯%🤝😘
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 Год назад
😊😊🥰
@higahassib6614
@higahassib6614 Год назад
Kwa heshima ungefunika kichwa kwa kanuni na maadili ya kiislam (Mashallah sheikh kipozeo baraka Allahu fik)
@binhussain3445
@binhussain3445 Год назад
Hewaaa
@dullapira1.511
@dullapira1.511 Год назад
Ni ushauri tu mi nafikiri siku nyengine ukifanya mahojiano na mashekhe ungevaa ule mtandio wako mweusi ingependeza zaidi
@abudimuddy517
@abudimuddy517 Год назад
Salama kwenye hii interview ulikua unatakiwa ujitande kichwa ila nafkiri ulighafilika ama ulikusudia.
@anumario7footballlife936
@anumario7footballlife936 Год назад
Salaam aleyki dada salama.. Nahisi utakuwa umejisahau hizo ndo hisia zangu.. Wakati unajitambulisha mimi ni salama na hawa ni rafki zangu basi unge jitahidi kumkaribisha huyo rafki yako alovaa hijaab ingependeza sana kumhoji shekh ndani ya hilo vazi.. Naimani umesahau. god bles you
@user-ef8py8bt6r
@user-ef8py8bt6r 7 месяцев назад
Kwanini usingemlingania kabisa huyo,maana yupo tu kama dime na yeyote mwenye kujifanisha na mwanaume huo amelaaniwa.hapo hata shungi Hana! Mtihani sana
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Год назад
Sheikh Kipozeo. Hili jina aliyempa hakukosea, Kipoozeo, unamsikiliza ni mwalimu mzuri sana. Ni mtu anayefanya ukielewe kinywa chake! Mungunamjalie afya njema aweze ifaa jamii
@echolude
@echolude Год назад
Easily the best interview to date. I am not a Muslim but Sheikh Kipozeo was able to answer and frame all questions in accordance with his faith, in the context of the prophet teachings. He is a very attentive listener and answered his questions very thoughtfully and without haste or hyperbole. So many subtle insights in his answers; insights that we all can include in our daily interactions, especially when dealing with children's and our wives. I already listened to the spotify version of this but nonetheless it was important to revisit it and see the video version. On a different note: Salama has such breadth and is so far ahead of her colleagues, especially in her fidelity to Kiswahili and all its eloquence. Big ups!
@gxygxy9143
@gxygxy9143 Год назад
I'm flabbergasted by you post, big up 💪💪!
@sylviaoum2943
@sylviaoum2943 Год назад
👏👏👏👏
@jabilingandule6621
@jabilingandule6621 Год назад
@@gxygxy9143 😂😂😂😂
@maliknyangasa9216
@maliknyangasa9216 Год назад
Very well put. I am a Muslim. Reading this put a smile on my face. 👏🏾
@RioIpo
@RioIpo Год назад
She's Zanzibaris
@mohdahmed5389
@mohdahmed5389 Год назад
Dada muogope Allah ,funika kichwa chako na vaa mavazi ya heshima ,hii dunia ni mapito tu
@othmanhaji1832
@othmanhaji1832 Год назад
Umemshauri vyema sana. Allah amuongoze
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 Год назад
Unakaa na sheikh kichwa wazi inna ilaih wa inna ilaih raajiun mtt wa kiislam
@dullahyunusu3072
@dullahyunusu3072 Год назад
Shekhe yuko very humble Yani anaongea ndani ya utulivu mkubwa mno Allah azidi kumuongoza
@SwidatyOmary
@SwidatyOmary 10 месяцев назад
Amiin
@christopherjoseph9981
@christopherjoseph9981 Год назад
Sheikh yupo well composed!safi sana sheikh
@miangijunior4358
@miangijunior4358 Год назад
Masha ALLAH Jazakallahu khair sheikh wewe nimfano mwema wa kuigwa kwenye jamii Umejipamba na Qur-an na Sunnah huu ndio UISLAMU hakika hivi ndivyo hata Mtume Wetu Muhammad S.A.W Alivyokua akiishi Kwa upole na maneno Mazuli, na tabia mzuri Kwa Ujumla. Tunamuomba Mwenyezi MUNGU Akutunze Duniani na kesho Akhera Amiin
@Omarinina28
@Omarinina28 Год назад
Best interview for 2022. Sheikh is well composed and huchoki kumsikiliza. Big up kwa #SalamaNaTeam agizeni Fanta popote mlipo, tukikutana nitawalipa😎
@jamalimweyo5749
@jamalimweyo5749 Год назад
Kwann ujajitanda ww wakat na ww muislam innalilah wahina ilahhi rajiun
@samwelpeter7840
@samwelpeter7840 Год назад
Like kwangu nimekuwa wa Kwanza
@com5766
@com5766 Год назад
Nice interview from kenya here, just put like for me guys
@rehemaothman2475
@rehemaothman2475 Год назад
🥰🥰🥰🥰
@TheFire_Gamer
@TheFire_Gamer Год назад
Salama unazungumza na sheikh wengevaa mtandio na wengevaa na baibui Kwa ufupi wengejistiri wengependeza zaidi Kwa uislaam
@princegerard4704
@princegerard4704 Год назад
@@TheFire_Gamer kwamba shekhe Ni Mungu au ni nyumba ya ibada? 🤔
@ahmedzahor2975
@ahmedzahor2975 Год назад
@@princegerard4704 Kujihifadhi ni lazima ktk uislam
@ahmedzahor2975
@ahmedzahor2975 Год назад
@@princegerard4704 Kwetu sie Waislam ni lazima Amri tumeambiwa katika Quran
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 Год назад
Dada salama tunashukuru kwa maswali yetu mazuri ktk kumuhoji sheikh nae amejibu vzr alhamdulillah. sasa ww salama ulikua unajua kabisa kesho nitakua na Interview na sheikh unashindwa kuendana nae kuvaa hata hijaab na mtandio kweli?????? Siku nyingine usirudie salama kumbuka nawe umri umeenda mambo mengine siompaka uambiwe mama. Sema bigap kwa sheikh wetu kipenzi kipozeo naww pia Jazaakumullahu khaira 🙏
@hashimshaban4675
@hashimshaban4675 Год назад
Shekhe msikivu na anajibu vizuri sana with examples,yupo deep sana
@harounramadhan9771
@harounramadhan9771 Год назад
Chechei Namie naiweka langu neno Mana hiki mie ndo kipindi changu Sasa da salama Kipindi kikianza Hua tuna kuona picha moja ume vaa bui bui wazotu kama litapendeza ukihojiana na shegh sivibaya ukavai lile vazi la buibui na mtandi niwazo tu Salam alaykum
@ramadhanbaweni9735
@ramadhanbaweni9735 Год назад
MAA Shaa Allah 🙏 alhamdulilah Allah akupe furaha Salama na Shekhe Kipoozeo 🙏
@salimdibundile4872
@salimdibundile4872 Год назад
Ahsante sana salama kwa hii interview na hapo bado hata sijaiangalia nimeanza na kukoment kwa sababu najua hii ya leo itakua n kaali sana
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Год назад
DADA yangu,Waislamu wote ni wapenzi wakubwa kwa Mwenye ezi Mungu na Mtume wake,na Wala hakuna aliyekamilika ila Mola mwenyewe,yetu ni kufundishana,kuekekezana na Kusameheana. Wala sio kumcheka aliyepotea,inawezekana akawa yeye mbora klk tunavyofikiri..😍
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 Год назад
Kama WAISLAMU wote wangekua Kama wewe, Basi ningeslimu 🙋🙋‍♀️
@gulionigulioni3234
@gulionigulioni3234 Год назад
@@erastomwakalukwa3946 endelea kuwa kafiri hivyo hivyo, uislam hauendi eti kwa mtu flan kafanya nini. Uislam unaendeshwa na Qoran tukufu basi.
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 Год назад
Salama leo hapa umepatia sana kumleta sheikh asante mashaAllah nampenda sn huyu sheikh,i wish Sheikh nyundo ungekua hai pia naami ungewai keti hapa Allah akurehemu uko ulipo
@user-lm3lt7xx6l
@user-lm3lt7xx6l 3 месяца назад
Kwa nn kipozeo asikatae kwasab ya hiyo hali naujuwe alivyokasalama zambi kwasab mvyele hajafujika kipozeo anajuwa inamana anamuacha salama abebe sambi na kipozeo yupp karib na kwa ushehe sio heshina
@janethmwasuka6465
@janethmwasuka6465 Год назад
Nimeipenda hii interview mnooo.
@samxx411
@samxx411 Год назад
ila sheikh hayo maneno ya mtume (hadithi) ni maneno mazito sana kwenye kuyazingatia na yana maana nzito sana inshallah M/Mungu atuongoze kufanya mema
@matanokarabu5580
@matanokarabu5580 Год назад
MAASHA ALLAH shekh kipozeo ALLAH akubariki
@salumuseif3324
@salumuseif3324 Год назад
Ebana salama umenfurahisha sana kumleta mwamba
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Год назад
Interview yenye masisimko. Masha Allah
@hawa6052
@hawa6052 Год назад
Mashaa Allah shekh wetu
@godfreymagoso5334
@godfreymagoso5334 Год назад
Binafsi acha nikupongeze salama@salma bint jabr,,, you are matured enough now!!! Good looking na utulivu wa hali ya juu,,,,,,, umekomaa hakika!!!
@iduelabu4007
@iduelabu4007 Год назад
Kipenzi changu Allah akuhifadh sheikh wetu
@mmutajr
@mmutajr Год назад
Mashaallah Sheikh Kipozeo Nakukubali kwa Nasaha zako pia Hongera Sana Salama kwa Kipindi Chako
@mwemajuma1431
@mwemajuma1431 Год назад
Jamani tujistiri munawapa kazi mashekhe wetu
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 Год назад
Ingefaa salama leo ungevaa hijab
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 Год назад
Kabisa wala
@josephtula5525
@josephtula5525 Год назад
Kazi gani wanawapa????
@mnyamwezijuma1140
@mnyamwezijuma1140 Год назад
😮 allah akulipe kwa interview nzuri dada salama
@hk_ballers
@hk_ballers Год назад
Salama you do good.
@abdulmajaliwa6376
@abdulmajaliwa6376 Год назад
Allah akujalie kila lenye kheli🙏🙏🙏
@danielnella6309
@danielnella6309 Год назад
Leo salama umepatikana..Umekuwa msikilizaji...
@theowallcot6635
@theowallcot6635 Год назад
Top Notch....TOP TOP TOP TOP TOP Unique idea... Very Educative to all Faiths. What a surprise
@oyay2821
@oyay2821 Год назад
Nice interview
@geraldsanzala8119
@geraldsanzala8119 Год назад
Salama ukiacha ule u mainstream na force za enzi ni bonge la interviewer was wakati huu na uliopita kiasi. Anajua saana kuuliza kutokana na nature ya interviewee na legacy yake.
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 10 месяцев назад
Dada next time ukimualika sheikh kipozewo weka kakitamba kichwani kwa hishima ya sheikh na mwisilamu.thankx
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 Год назад
Sheikh Hilal shawej kipozeo 😁😁😁,Baraqallah
@bekarpaul
@bekarpaul Год назад
Huyu mzee yupo vizuri sana kiukweli
@edgardevis8152
@edgardevis8152 Год назад
Aunt salama na kurespect
@twahasaid1172
@twahasaid1172 8 месяцев назад
fFrom Nairobi kenya ushungi huo siyo mziki
@aboubakarkam6419
@aboubakarkam6419 Год назад
Literally my favorite one so far
@aboubakarkam6419
@aboubakarkam6419 Год назад
Hiyi ni nipendwa kwang kabisa kiufupi
@fatimasaid4906
@fatimasaid4906 Год назад
Mashallah 🥰
@salmasalim3525
@salmasalim3525 Год назад
Salama kweli ungevaa mtandio ndio ingekuwa vzr
@alsam4881
@alsam4881 Год назад
Yaani Salama anaongea na Sheikh ameshindwa kuvaa hata mtandio na kujistiri kweli? Maadili yameporomoka kweli 😏
@Ukhtyzuhura
@Ukhtyzuhura Год назад
Interview was amazing We learned something as Muslim...is ummu Ahmad From Northampton uk Just advice: music background Wasn't good idea to be As u invited sheikh of course We gonna hear about Allah Prophet e.t.c I think it depends Who u invite if as musician Would be no problem
@faridjr0
@faridjr0 Год назад
i agree with you 100%
@utaani1
@utaani1 Год назад
Kabisa music umeharibu interview
@mwajumafadhili3327
@mwajumafadhili3327 Год назад
Mashaallah shekh kipoozeo❤️
@nemestesha7784
@nemestesha7784 Год назад
heshima kwako sheikh..!!..
@jumakalinga2812
@jumakalinga2812 Год назад
Mashaallah
@rahimajuma4633
@rahimajuma4633 Год назад
Nakubali Sana kazi yake ya daawa lakin hata Salama kazi yako
@ernestkatyega5781
@ernestkatyega5781 Год назад
Mbona sio comments za wakristo
@ahmedkhator3968
@ahmedkhator3968 Год назад
Plz salama teletee Shk MAZINGE
@kilamiko8299
@kilamiko8299 Год назад
Salama the best of all time..
@matanokarabu5580
@matanokarabu5580 Год назад
Àsalam aleykum warahmatullah wabarakat MAASHA ALLAH dada salama umefanya vizuri kwa hii interview na umependeza ila ungependeza zaidi kama ungejistiri kwa mavazi pia pole kama nimekukwaza
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 3 месяца назад
Mngaliondoa ilo rege ingalikua vizuri
@abdallahmanula1627
@abdallahmanula1627 Год назад
Ebu mkumbushe mwaipopo anaonekana anajaziba Sana kama yeye anaenda peponi kesho
@hamyrhai9957
@hamyrhai9957 Год назад
Sheikh wangu 🥰
@twahasaid1172
@twahasaid1172 8 месяцев назад
Ww ni mtt wa ushungi hapo umetubeba noma sana umezingua sana
@edgardevis8152
@edgardevis8152 Год назад
Weka na part 2
@sousmyuno6429
@sousmyuno6429 Год назад
Man nshallah
@sophiesadick5510
@sophiesadick5510 Год назад
Salama nenda mikoa ya Bara mfano Mbeya, Njombe, Sumbawanga, Kighoma ndiyo utajua hao wanaotuhumiwa uchawi na imani zao. Wachuna ngozi, wanaoua wenye vipara, wanaoua walemavu wa ngozi nk. All in all dini zote zinakataza shirki.
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt Год назад
Ukiwa na Sheikh kama hivo ungejisti kichwa dadangu ungevaa HIJAB ww ni muislam
@mohamedmwaphalu6268
@mohamedmwaphalu6268 Год назад
background Music kwenye maneno mazuri ya Allah 😢😳
@mrlabay9871
@mrlabay9871 Год назад
👋
@jj-iv1wm
@jj-iv1wm 3 месяца назад
Inakuaj dada mhuni kumuohoji shkh na vaazi hilo vitu wakati mwingine heshima iwepo muache upuuzi
@twahasaid1172
@twahasaid1172 8 месяцев назад
😮😮salama unge vaa basi ushungi hapo umengor'oa yani umezingua
@halimakassimngare4873
@halimakassimngare4873 Год назад
salama dadangu ningekunasihi japo jichupie mtandio wa kichwa jistiri jamanii si mbaya..... mbona unajisahau ivyo.
@madrassatqadriyapalma
@madrassatqadriyapalma Год назад
O melhor entrevista de final do Ano
@zayanaalmarjibi4254
@zayanaalmarjibi4254 Год назад
Vipi kusifia MIZIGO ya wanawake ni dhambi au sawa tu Salama mbona hujamuuliza?
@jei_Ibrahim
@jei_Ibrahim Год назад
Ninge penda kuona salama na Mazinge
@saidfabiano9588
@saidfabiano9588 Год назад
Wakwanza leo nilikua naisubiri snaaa hii ya Sheikh kipozeo🤣
@saidhamza5318
@saidhamza5318 Год назад
Salama Leo naona ana maneno ya adabu na utulivu sn.
@utaani1
@utaani1 Год назад
Hamna mushkeli ukiwa muwazi na mwenzako kwenye mahusiano, mimi kama siwezi kuwa na access na simu emails ya mwenzangu basi bora niwe bechula maisha
@yunusramadhan2546
@yunusramadhan2546 Год назад
Inna lillah wainna ilahi rajiuun, dada jiheshimu nastara wajua lkn wajifanya hamnazo bint jaabr liesh?
@jumamwarome4733
@jumamwarome4733 Год назад
Sheikh langu kachemka Leo mume akitaka kuoa kumuelezea mke wake ni kwa ushauri tuu lakini sio ruhusa. Mke hatoi ruhusa
@jumawangai3873
@jumawangai3873 Год назад
😊
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Salama na chid bez
@kilindimomsati1489
@kilindimomsati1489 Год назад
fundi kabisa
@mjedamjeda4734
@mjedamjeda4734 Год назад
HY DADA HAWEZI KAA HV MBELE YA MFUTI WA TANZANIA PIA NI MOJA UKITAKA KUFAHAMU ILIYO NAYO HAINA ATHARI KWA JAMINII SALAMA ANAMCHUKULIA KIPOZEO NI MTU KAWAIDA NDO MAANA WALA HAKUWA NA HAJA YA KUJISTIRI
@hamzaforogo
@hamzaforogo Год назад
Mzee wa mizigo maashallah
@swaumdodoma7591
@swaumdodoma7591 Год назад
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
@phreemanb
@phreemanb Год назад
mzigoo dawaa,mambo ya kutanabai 🤣🤣
@prettypretty9745
@prettypretty9745 Год назад
@@phreemanb 🤣🤣🤣🤣
@donnietommie8444
@donnietommie8444 Год назад
#SalamaNaDrLeaky
@RioIpo
@RioIpo Год назад
Can't wait
@halidijuma1884
@halidijuma1884 Год назад
Bonge la Sheikh,,tunakupenda Sheikh
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Salama na juma lokole please
@rehemaothman2475
@rehemaothman2475 Год назад
😅🤣🤣🤣🤣🤣Atakua aongea hata haja ulizwa swali
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 Год назад
Mhhh itakuwa balaaa atajibu kabla ajaulizwa
@RioIpo
@RioIpo Год назад
Yule choko asije
@munirashughuli618
@munirashughuli618 Год назад
Bado Sheikh Mazinge daa Salama
@Desireyakubu
@Desireyakubu Год назад
Ni bora ma sheikh nawo wakiombwa interview watowe masharti yao kabla ya kwenda ikiwemo kuwaambiya wajistiri
@profwangwande5978
@profwangwande5978 Год назад
Salama hujatembea nimikoa minne tu ndio yenye waganga waisilim hiyo mingine wakilsto ndio waganga tena wachawi tena kwakutoa makafala usiseme tena maiafala ya binaadam wenzao haswa watu wadamu waislam watatoa kafala zakuku mbuzi kondoo nazi hebu chunguza vizuri
@mwanakonyaume3611
@mwanakonyaume3611 Год назад
Problem nikwambia lazima aingie kwenye hedhi nawanaume hawana uvumilivu kwa ili sasa hawezi chukua nafasi za wake wa nne
@abduomar8438
@abduomar8438 Год назад
Umeona ee
@mwanakonyaume3611
@mwanakonyaume3611 Год назад
@@abduomar8438 eeh
@abduomar8438
@abduomar8438 Год назад
@@mwanakonyaume3611 asant na hongera kw kulijuwa hilo
@mohdmbarouk8465
@mohdmbarouk8465 Год назад
Tunashauri na huyu Dasalama ajistir avae mavazi ya stara pia itapendeza zaidi
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 Год назад
Nyie wanaume hamna subra mafatani tu hamna illa kupenda kuoa na kucheat.
@samxx411
@samxx411 Год назад
Hizi ndio elimu za kiislam unasikia raha kuzisikiliza na kuzifuata
@moodyzanzibar4336
@moodyzanzibar4336 Год назад
SHEKH UMEULIZWA NILAZIMA AKUBALI MKEO AU SI LAZIMA JIBU SWALI USISEME NIVIZURI
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 Год назад
iyo hadithi ina mazingatio makubwa apo pia Salama umepigwa na kitu kizito na Shekh Kipozeo mana umekosea hujajifunika kichwa ata km vp ungempa heshma yake km mtu mzima na sio kutrend kwa kipindi mana interview ya Shekh Kipozeo inatrend automatically kwa vile watu wanampenda sana Allah ampe umri mrefu ameen
@sadickd_knuckle5456
@sadickd_knuckle5456 Год назад
Usisahau kuweka tip yako kwenye hiyo namba ya mpesa, hapo juu, ni muhimu kutoa sadaka yako
@ibel4lf
@ibel4lf Год назад
Kosa la adamu ni kutokutiii sio kuzini jamani hakuna ukristi unaoamini Adam alizini
@princegerard4704
@princegerard4704 Год назад
Kabisa Hawa alikuwa ni mke halali wa Adam sasa angezinije 😂😂 Walikosa Wote utii na Usikivu
@najmaalabri8835
@najmaalabri8835 Год назад
Mashallah Mashallah shekh wetu Allah akupe Afya na salama nakupenda sana nakufatilia sana
@abuibra
@abuibra Год назад
Kuzidisha mke wa pili sio lazima mkeo wa kwanza kukubali au kukataa uamuzi ni wa Mwanaume ikiwa ataweza kuwahudumia sawa.kufuatana na sheria ya kiislamu.
@hassanmussa3664
@hassanmussa3664 Год назад
Hapo da salama ungepigia japo kihijabu kdg ingependeza sn I think
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Год назад
Kuchwa kutwa ukisema ndoa ya mke mmoja ni ndoa ya kikristo leo unaiunga mkono?
@ofmae-thebrainstech3501
@ofmae-thebrainstech3501 Год назад
I use to watch all the adds, Thats my type of tip. 🤣🤣🤣
@RioIpo
@RioIpo Год назад
Same here
@yassirsalmin5333
@yassirsalmin5333 Год назад
Sheikh hapo kidogo umeyumba ushekhe wako uko wapi ukashindwa kumwambia ili murikodi ajistiri salama Avae mtandio huna msimamo bado upo ki maslahi tathmini uzuri maneno yangu
Далее
This or That 🛍️
00:52
Просмотров 6 млн
Shekh Kipozeo Kamfungukia WEMA SEPETU Bila Uoga
16:37
Просмотров 337 тыс.
Mkasi | S13E10 with Ruge Extended Version
40:28
Просмотров 531 тыс.
SIKU  YA KIAMA  SIRI  NYINGI  ZITAFICHUKA      SHEIKH  KIPOZEO
42:39
Заячий Стон - Рот пятничный
0:55
Каха бизнес-класс
0:48
Просмотров 1,9 млн