Тёмный
No video :(

Kutana na Kijana aliyeuza chips na chapati mpaka kufungua Kampuni ya magari 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 106 тыс.
50% 1

Mara nyingi kwenye maisha ukiwauliza watu waliofanikiwa safari yao ilikuaje basi lazima watakueleza jinsi walivyo anzia chini mpaka kufikia mafanikio hayo, Ayo TV imekutana na Novati Tenga ambaye ni mchaga mwenye taaluma ya uhasibu ambaye ameelzea safari yake ya utafutaji ilipoanzia mpaka sasa kumiliki kampuni ya kuuza magari.

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 117   
@lucaswilliams5761
@lucaswilliams5761 6 лет назад
Huuu ndio usomi unaotakiwa sio kukaa mtaani ukisubili kuajiliwa bila kujiongeza 👏🏿👏🏿 #tenga
@namsamson3443
@namsamson3443 6 лет назад
Very smart man...I love people like this..very inspiring
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 лет назад
SAFI SANA. Content kama hizi zinahamasisha wengi kuona kuwa wanaweza fanikiwa kwa kufanya yale wanayoyapenda bila kujali wengi wanasema nini. Nimependa sana hii....
@semanasitv8303
@semanasitv8303 5 лет назад
salute kwako kaka
@eliasevarister312
@eliasevarister312 5 лет назад
Vizuri kaka. speaks kama hizi hutujenga wengi na kutufanya tuendelee na juhudi binafsi kila iitwapo leo.
@complexionredaction5882
@complexionredaction5882 6 лет назад
Hongera braza...mradhi mtu aipende kasi yake na kushirikisha MUNGU mafanikio huja...glory
@dorcastarimo7387
@dorcastarimo7387 4 месяца назад
Nimejifunza kitu kikubwa sana kupitia kwako Ndugu Mungu akubariki sana
@jackrinaman7521
@jackrinaman7521 6 лет назад
Daaa watu mmejaliwa kk tumia elim yako .ukiwa na hofu ya mungu ndan yako mana kumbuka kwamba shetan ana mbinu nying za kufelisha maisha ya watu napia .mtangulize mungu popote utakapo weka mguu
@baga4670
@baga4670 6 лет назад
jackrin aman well said
@jackrinaman7521
@jackrinaman7521 6 лет назад
@@baga4670 haa
@georgekishimbo8005
@georgekishimbo8005 5 лет назад
Kilakitu kinawezekana kikubwa ni uthubutu💪🏽💪🏽💪🏽
@korogwetanga810
@korogwetanga810 6 лет назад
Safi Sana brother mungu akuongoze
@bisadibisadi6862
@bisadibisadi6862 6 лет назад
Mm nikupe hongela kaka umeona mbali sanaa
@mwanaishambili241
@mwanaishambili241 6 лет назад
Mashaallah mungu akitaka kupa hakuletei barua vijana wajitume sna ndio mafanikio yaweko
@fatmahaji8334
@fatmahaji8334 6 лет назад
20000000000
@mayusahussein4721
@mayusahussein4721 6 лет назад
Masha allah mungu akuzidishie zaid
@faridasaid8724
@faridasaid8724 6 лет назад
mashallah kaka mungu azidi kukuongoza
@ellysilwani9287
@ellysilwani9287 4 года назад
Hongera sana,Novarty Tenga.
@anilove4802
@anilove4802 5 лет назад
hongera bro thanks God kwakutufunza
@liannsambu7264
@liannsambu7264 10 месяцев назад
Great brother
@elisawangare3296
@elisawangare3296 6 лет назад
From grass to grace
@maryammarym4437
@maryammarym4437 6 лет назад
Mashaa allah mungu akubariki zaidi
@stevensteven2319
@stevensteven2319 5 лет назад
Maryam Marym k
@wacmber2131
@wacmber2131 6 лет назад
Dislikes huku pia??????kweli binadamu tuna shida kweli nway congratulations bro
@elizabethjoseph2116
@elizabethjoseph2116 5 лет назад
Ndugu yangu watanzania tushalogwa we tuache kama tulivoo 😂😂😂 yan hata uelezee kitu kizur vipi dislike lazimaaa
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 5 лет назад
We bhana Ni bure kbsa,
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 3 года назад
Mungu akuzidishie nimependa kwa kweli
@fadhilmlandula3369
@fadhilmlandula3369 6 лет назад
Never give up on your dreams
@magrethmeena
@magrethmeena Год назад
Hongeraa sana bro umeniinsper
@thomaspendeza854
@thomaspendeza854 Год назад
Safi sana 🎉🎉🎉🎉
@sweetluc2660
@sweetluc2660 6 лет назад
Eee mtangazaji unanenepa maashaallah
@vidovidox2632
@vidovidox2632 6 лет назад
sweet luc 😂😂😂😂😂😂😂
@nadhlfasalmazena7444
@nadhlfasalmazena7444 6 лет назад
Kaka nakuoenda jamani njoo unioe ,Mimi Ni Mke Bora material
@monifato8121
@monifato8121 3 года назад
Mashaallah kk Allah akuongoz
@jongojongo9388
@jongojongo9388 6 лет назад
safii kk
@edinachami1754
@edinachami1754 6 лет назад
jamani mi nimwalimu wako nimekufundisha umbwe secondary nafurahi mwanafunz wangu kuwa ivo jamani hongera sana naomba ela
@baltazarymbele9338
@baltazarymbele9338 6 лет назад
duuuuh
@monilahcruz7293
@monilahcruz7293 6 лет назад
Edina Chami 🤣🤣🤣naomba ela
@tynermakeup159
@tynermakeup159 6 лет назад
Haaaa makubwa
@ashminaabdullah5626
@ashminaabdullah5626 6 лет назад
mmmh shida kweli
@roseshoo3878
@roseshoo3878 6 лет назад
😝😝😝😝kazi yako ilikuwa kufundisha na ulipat mshaara, xx unataka hela km mwalimu ten o mwananvhi
@marygaspar6429
@marygaspar6429 5 лет назад
Hongera sana Mangi
@jumakibe5032
@jumakibe5032 2 года назад
Mapito yako km yangu.... Umenipa moyo nakaza buti
@radhiakhamis9101
@radhiakhamis9101 4 года назад
Mashaallah kaka mungu.akusimamie kwakila jambo
@jackrinaman7521
@jackrinaman7521 6 лет назад
Penye zahabu lazima pawe na majalibu big up broo
@zitoniebrahem3174
@zitoniebrahem3174 4 года назад
very good
@jackrinaman7521
@jackrinaman7521 6 лет назад
Duuu hongera ila usiweke sana mambo yako pabrik .cz unaijua selikar.utasikia kz unayo fanya na mambo yako .nitofaut..utasikia umeibia selikali
@leilainnocent6532
@leilainnocent6532 6 лет назад
jackrin aman sio kweli
@jackrinaman7521
@jackrinaman7521 6 лет назад
Leila Innocent sio kweli nn
@fahmijape9981
@fahmijape9981 6 лет назад
jackrin aman kaibiaje serikali wakati hajawahi kuajiriwa na serikali
@jackrinaman7521
@jackrinaman7521 6 лет назад
fahmi jape unakumbuka yule mm walie sema kaihujumu ........ Kisa anamali kuzid uwezo wa mshahala wake
@fahmijape9981
@fahmijape9981 6 лет назад
jackrin aman nani?
@priscadaniel7
@priscadaniel7 3 года назад
Mungu akujarie
@mwanaidimwambiti2448
@mwanaidimwambiti2448 6 лет назад
MashaAllah
@brightnyari7292
@brightnyari7292 6 лет назад
Hongera
@gingermedia9720
@gingermedia9720 4 года назад
daaah, bravooo
@alishaznaheer6139
@alishaznaheer6139 6 лет назад
Asante kwa kutuelimisha
@hajikhatib8840
@hajikhatib8840 5 лет назад
Vido vidox!!!!! Plzz naomba nomber za huyo broo plzz nakuomba unisaidie
@henrybill3841
@henrybill3841 5 лет назад
Hizo fislike ni za wazungu hawaelewi kiswahili
@flornce123oganda8
@flornce123oganda8 6 лет назад
Naomba kujua hiyo passo n pesa ngapi ya TZ ?na kenya n pesa ngapi
@imagepower3641
@imagepower3641 5 лет назад
hongera
@msfatma946
@msfatma946 5 лет назад
Mashaallah
@salmasalim6055
@salmasalim6055 6 лет назад
Good job brother 👍
@idayagangs124
@idayagangs124 6 лет назад
Ongera kaka
@matzvlog4364
@matzvlog4364 6 лет назад
Nitakuja huko Tenga motors
@nishanguno4106
@nishanguno4106 6 лет назад
Dah yan wenye moyo kama wako hakuna kabisaa hasa ukitizama wadada wa kibongo dooh ndo kabisaaa
@annetmbwambo9369
@annetmbwambo9369 2 года назад
Safi nahitaji gari nisaidie
@manyamarobert6887
@manyamarobert6887 4 года назад
Naitaji no za huyo bro naitajinkujifunza ktk biashara kuna kitu nimekiona
@shakirshakir9100
@shakirshakir9100 6 лет назад
honger sn
@joycekiza2302
@joycekiza2302 3 года назад
Ongela
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 4 года назад
Hakika nimeamini kila kitu ni kusmua kazi zipo
@fatwimamakungu5456
@fatwimamakungu5456 6 лет назад
Wanao shinda ista kutukana watu wanalalama hari ngumu wenzao wanao jielewa ndio kama ao wanatusua
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 5 лет назад
We ndo UNAPENDA kazi yako ,mtu asiangilie elimu yako ,aangalia UNAPATA nini
@rashidyahya6904
@rashidyahya6904 6 лет назад
Keep it up bro
@egbertmakenedenis1523
@egbertmakenedenis1523 5 лет назад
Usenge muache ,uyo hana kampuni ya magari bali ni agent wa magari yaliyo tumika (used)
@oliverlyimo1972
@oliverlyimo1972 6 лет назад
Mtoage na namba za simu sasa
@emmanuelbonaventura4258
@emmanuelbonaventura4258 3 года назад
😀😀 za nini sasa?
@modestajamada1126
@modestajamada1126 5 лет назад
Vido vido
@salma_6j975
@salma_6j975 6 лет назад
Akili nyingi xna huyu jamaaa
@zenonjuu1534
@zenonjuu1534 6 лет назад
chafu Miro mchagaa pure
@raphaelgadau2783
@raphaelgadau2783 4 года назад
Mbona ww miradiayo uliuza nn
@getajo1153
@getajo1153 6 лет назад
Kichwa cha Habari hakiendani na maelezo yaliyomo ndani... Nilijua Alianzia Chips mpaka kwenye Magari... 😂😂😂😂 CLICKBAIT...
@noorndanie9893
@noorndanie9893 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣 nami pia nlidhani hivyo
@fibioko8916
@fibioko8916 6 лет назад
Sf sana
@neemaorest3730
@neemaorest3730 6 лет назад
hongera
@amirmotors9735
@amirmotors9735 6 лет назад
Nikajua umeanza kwa chpc kumb kaz mtaji ndo mtaj
@mayusahussein4721
@mayusahussein4721 6 лет назад
Nami nilifikilia hivyo
@amriharuna4236
@amriharuna4236 6 лет назад
Huyu alikuwa na mtaji tayari anatuzingua
@amriharuna4236
@amriharuna4236 6 лет назад
Huyu alikuwa na mtaji tayari anatuzingua
@paulmsilanga3917
@paulmsilanga3917 6 лет назад
+Amri Haruna Hapana alitumia udalali kukuza mtaji Wake safi sana.
@Neymi98
@Neymi98 6 лет назад
Kwa wale wote wanaohitaji kuja kufanya biashara au kusoma China. Nimeanzisha channel kuelekeza mambo ya kuzingatia ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Hw292GHnVMQ.html
@beatricemdoe7789
@beatricemdoe7789 6 лет назад
Natafuta kaz
@yoramtango5379
@yoramtango5379 6 лет назад
hongera kaka, umefanya vizuri sana
@joshuamkupi6893
@joshuamkupi6893 6 лет назад
Pitia link hii uone interview ya huyu kijana nyingine ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ZN-3poi0kZs.html
@kakafranc8913
@kakafranc8913 6 лет назад
Anazambi huyuuu mwongo alafu unaimba gospel
@matzvlog4364
@matzvlog4364 6 лет назад
@JOSEA WILLIAM Dislike it
@alhabibsudi7997
@alhabibsudi7997 6 лет назад
Hatuna haja ya kupitia huko ukipitia wewe mwenyewe inatoshaa karibu Tenga Motors 😂😂😂
@zainabomary6674
@zainabomary6674 6 лет назад
hongera
Далее
Timings hated him #standoff #timing #meme
00:14
Просмотров 489 тыс.
Timings hated him #standoff #timing #meme
00:14
Просмотров 489 тыс.