Тёмный

HAPA NDIPO ALIPOANZIA BAKHRESA KUSHONA VIATU KARIAKOO, HUYU HAPA ALIEANZA NAE 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 440 тыс.
50% 1

#millardayo#AyoTVEXCLUSIVE#Bakhresa
Ayo TV, millardayo.com imekutana na Mzee Ally Msusa ambaye amekuwepo tangu Mzee Bakhresa anaanza na biashara yake ya kwanza ya kushona viatu mtaa wa Agrey na Livinstone Dar es Salaam miaka ya 1970, ametuonesha eneo alipoanzia Bilionea huyo.

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 552   
@patricemacky1164
@patricemacky1164 5 лет назад
Nimekuja kuiangalia hii taarifa kwakua imetolewa na millard ayo ila ingekua tv nyingine wala nisingefikiria hata kubonyeza.kama unakubalia namimi gonga like.
@mercylemboto5129
@mercylemboto5129 5 лет назад
Hata mm ingekua tv nyingn nisingeangalia
@anatorydesdery4654
@anatorydesdery4654 5 лет назад
Mimi niliiona jana nikaipuuza , nikawa nafikiria,' hivi Millard Ayo naye ameanza kufanana na zile channel za kichoko ???"
@shamimuabubakari3508
@shamimuabubakari3508 5 лет назад
Sana
@simbawateranga7020
@simbawateranga7020 5 лет назад
😊😊😊😊😀
@mtaalamwamambo2099
@mtaalamwamambo2099 5 лет назад
Ata Mm Habr yyt Huwa siiamin labd kwa Millard tu! 🔥🔥🔥🔥
@seifmassoud2686
@seifmassoud2686 5 лет назад
81yrs and he is very strong Mashaallah Allah akupe nguvu zaidi Mzee
@keyakeya8911
@keyakeya8911 5 лет назад
Ni kumushukuru tuu mungu baba angu now katimiza miaka 78 na bado yupo strong kabisaa
@seifmassoud2686
@seifmassoud2686 5 лет назад
Swaumu Kea keel 2 much Keya, yeah
@yascoguidezanzibar
@yascoguidezanzibar 5 лет назад
Broo tupunguz na hii michez mipya Punyeto Na hata ngoni za mara kwa mara Then tujitahid san kuwaig wazee wet vykul walivyokuwa wanakula naamin tutafik ata 70 iv
@yascoguidezanzibar
@yascoguidezanzibar 5 лет назад
Pia dua muimu
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 5 лет назад
yasco mdoe ; wewe ni ng’ombe!
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 5 лет назад
Hiyi interview yte watu wamekosa kugundua kitu kikubwa mno kutoka kwa huyu Mzee, huyu Mzee inaonaonekana Mungu kampa kipaji cha kukinai, wallah ingelikuwa ni mswahili mwengine apo ungemsikia tu "tumekula msoto pamoja ila anashindwa kunisaidia mtaji" ila Mzee hana shobo hizo yaani mwenyewe karidhika na kuokota mabox akiuza pamoja na miwa kama ckupewa hili koromeo la kiume, ningelia kama mtoto leo kwa imani nilomuonea huyu Mzee, yaa Allah! Tukoseshe yte hapa duniani ila utupe msimamo wa ibada na roho zenye kinai
@hajjiqasim5977
@hajjiqasim5977 4 года назад
Mashaallah nimependa sana hilo
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 4 года назад
Watu wa zamani walikuwa na aibu sana ya kuombaomba hiyo iliwasaidia sana kutunza utu wawo. Lakini ingekuwa hawa vijana wa sasa loh utawakimbia
@kamanda007
@kamanda007 4 года назад
Kweli kabisa na inaonekana mungu kampa afya nzuri maana kwa miaka 81 anaonekana vizuri sana na kichwa inakumbuka vizuri sana, mungu aendelee kumweka vizuri tuu
@rizwanamo5hidaya75
@rizwanamo5hidaya75 4 года назад
@@kamanda007 amin
@fizomedia5112
@fizomedia5112 3 года назад
Ka jamaa umesema point kwelikweli yan
@sharifakhamis2461
@sharifakhamis2461 5 лет назад
Allah anasema anae pewa hekima bas kapewa kitu kikubwa na anae kinae bas atafaulu baba umekinae Allah akuzidishie huna wasi wasi moyo umepoa masha Allah
@omaryshafii1174
@omaryshafii1174 4 года назад
Bakhresa muangalie mzee mwenzio usisubiri afe najua utakuwa umemsaidia lkn mfanyie kitu cha kuweza kukukumbuka... Allah akizidishie Said Bakhresa
@ramamtetu2327
@ramamtetu2327 5 лет назад
Kama Umesikia Mzee Wa Mjini kasema Siwezi kuhesabu Mifuko nahesabu hela , Elfu saba, Nane gonga like hapa twende Sawa
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 3 года назад
Ahhahahahahhaha
@mc9diabeticclinic392
@mc9diabeticclinic392 5 лет назад
M nimejifunza kuwa na moyo wa kutoa kwa ajili ya MUNGU utafanikiwa sana
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 лет назад
Sanaa mustakimu
@fahadkhamisi3061
@fahadkhamisi3061 3 года назад
Kwel
@dinomdl5369
@dinomdl5369 3 года назад
Sana. Ila usiwe na ndugu wenye kijicho. Unawapa bado wanataka ufilisike wafaidike wao
@stevenmaketa8051
@stevenmaketa8051 2 года назад
Kweli brooo
@kisukikalimkunaji1263
@kisukikalimkunaji1263 5 лет назад
Miaka 15 anashona viatu lakin siku izi vijana tunataka maendeleo ya haraka kupita maelezo tunaajiriwa tuna mwaka Mara tunataka kujenga kwa feza za kumuibia muajiri wako mwisho hufanikishi na kibarua huna unabaki unatangatanga hii interview imenifunza jinsi ya kuwa mvumilivu kwenye maisha Allah anipe mwisho mwema inshaallah
@KhalfaniSaidi
@KhalfaniSaidi 5 месяцев назад
Acha kuongea mbanga wewe unafikili Kuna Tajiri anajali wewe unapitia nini ukiona anaibiwa na yeye ni zuruma ishi maisha yako kama ujawai kupita misoto ya waajiri wa nchi hii
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 4 года назад
Ni bora muwaulize watu wa Zanzibar (Unguja) kuhusu Bwana Bakhresa watakuwa wanajuwa zaidi kuhusu Bakhrasa . Ni mtu hodari wa kazi kutafuta maisha. Na mengi sana. Mungu amhifadhi na ambariki. kwa sote....
@mohamedfaris3000
@mohamedfaris3000 5 лет назад
Bakhresa wazee wake walimlea Mh Rais wa kwanza wa Zanzibar kabla ya kuwa Rais huko Mwera Zanzibar, baaada ya kuwa Rais kuna tukio lilitokea kwa mzee wake bakhresa ambae alikua hawezi kuona vizuri ambapo alipata ajali na kwa bahati mbaya na kupelekea kuupoteza uhai wake, aliposikia Mh Karume alisikitishwa sn na tukio hilo ndo ikambidi kuwapatia pesa ya kina Bakhresa yaani bkharesa mwenyewe na kakaake Mohamed Bakhresa ndio akanza kufanya biashara hiyo ya kushona viatu huko Zanzibar karibu na kwao Mbuyuni, baadae akahamia Dar es salam kuendeleza biashara yake, hiyo, Allah amzidishie na wengine ambao wanatamani kuwa km yeye, pia Allah amzidishie na huyu mzee wetu pa1 na afya njema Inshallah
@albahryonlinetv9319
@albahryonlinetv9319 5 лет назад
Mohamed Faris ww ni mkweli kabisa kwan unaijuwa2historia vzur ya zanzibar asante
@mohamedfaris3000
@mohamedfaris3000 5 лет назад
Ahmed albahry, babu yangu uyo
@albahryonlinetv9319
@albahryonlinetv9319 5 лет назад
Mohamed Faris ,p kaka ahsante
@frednixon2319
@frednixon2319 5 лет назад
Mohamed Faris ok
@ahmeidyoung2410
@ahmeidyoung2410 5 лет назад
Umeongea sahihi na iyo ndio historia ya kweli bana
@mustayoo
@mustayoo 5 лет назад
Allah anamruzuku anae mtaka bila kipimu.mungu amuongezee bakresa na sisi pia atupe
@SamsungA03core-tz7sz
@SamsungA03core-tz7sz Месяц назад
Amin
@godifreypaul9409
@godifreypaul9409 4 года назад
Viatu gia tu kama ilivyo gia namba moja ya gari.Gia namba 2 sukari gunia 200 bila VAT,yaani gia bila kukanyaga cluch.Gia namba 3 kuvua samaki,gia namba 4 hoteli.Na zamani gari nyingi zilikuwa na gia 4 ya 5 ni rivers Hivyo alirudi kwenye gia namba 2 ambayo ni gunia 200 baada ya Mzee Nyerere kustafu ikaja ruksa.Kwa hiyo alikuwa anacheza na gia tu,mpaka hapo alipo sasa. Pili hakuwa na roho mbaya,alisaidia watu kwa kadiri Mungu alivyomjalia.Hata mke wake ni mchango mkubwa sana.Maana alikuwa anamtia moyo.
@omarykada1034
@omarykada1034 2 года назад
Dah nimechka sana gia tu
@Patrick-fo1qb
@Patrick-fo1qb 4 года назад
Anae amini zamani hakukua na tuma na ya kutolea ndo maana barhesa alitoboa gonga like
@fintaniferx9535
@fintaniferx9535 5 лет назад
Mungu awalinde nyote uyu mzee na mzee bakelesa mungu awalinde tuombeane jamani amina
@shinoneydah4524
@shinoneydah4524 5 лет назад
kama waamini mungu akupi unachotaka na kukiomba anakupa anachotaka yeye gonga lyje apa
@imagepower3641
@imagepower3641 5 лет назад
kuwa tajiri mkubwa inawezekana kabisa/1.zitambue nguvu za asili za ulimwengu/2.fanya kazi kwa malengo makubwa ya kimkakati/nidhamu/muda/akiba.,,,,,,,,,,,,,,gonga like kama unaamini
@elishaalex1747
@elishaalex1747 5 лет назад
Hapo kwenye nguvu za asili bro hapo sijakuelewa
@imagepower3641
@imagepower3641 5 лет назад
@@elishaalex1747 ulimwengu wa roho.(spirit realm)
@imagepower3641
@imagepower3641 5 лет назад
Dunia hii tunamoishi inapokea nguvu na maamuzi yote kutoka katika ulimwengu wa roho,huwezi kufanikiwa kufika lever za juu kwa ujanja tu ,lazima ama umshirikishe mungu mwenyewe au viumbe waasi.
@bariuezekiel5841
@bariuezekiel5841 5 лет назад
@@imagepower3641 kweli hapo kaka
@sanifumedia9614
@sanifumedia9614 5 лет назад
Hata hii sunset TZ ni noumaa
@abdulihafidhali5379
@abdulihafidhali5379 5 лет назад
Katika maisha usikate tamaa ila bakheresa amepita mbali mpaka akafanikiwa anaeamini agonge Like chini
@abdulihafidhali5379
@abdulihafidhali5379 5 лет назад
@Ali Ali iyo habari ni ya ukweli
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 5 лет назад
Asante mzee kwa ushuhuda japo ni vyema yeye mwenyewe muhusika akajishuhudia,ingawa amekuwa Kama tajiri aliye mafichoni au uhamishoni tofauti na matajiri wakubwa hata zaidi yake duniani.ndo maana hata baadhi wanasita kuamini asili ya utajr wake. Binafs Jack ma ni miongon mwa matajr wachesh ninayependezwa naye.
@nurumuna7297
@nurumuna7297 5 лет назад
kaka watu hawawezi fanana wote hiyo ni tabia yake - nani vizuri tu mi naona watu wakakushuhudia kuliko kujishuhudia mwenyewe ..
@allymapinda8804
@allymapinda8804 5 лет назад
Nyie wengine wote mmekuja tu Dar. Mzee kazaliwa downtown na anazeekea downtown :)
@najmaalbajun4686
@najmaalbajun4686 3 года назад
❤️
@stevenmaketa8051
@stevenmaketa8051 2 года назад
Umeonaeee eeeee huyu ndo wa town sasaa
@geraldluiso6792
@geraldluiso6792 2 года назад
100%√ Ukinyosha mkono unabarikiwa zaidi. Ukikunja mkono riziki inabana.
@mwajabuhamis6234
@mwajabuhamis6234 3 года назад
Allah amlipe huyu baba aliyehojiwa inshaallah Hana roho ya ubinafsi kabisa
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 5 лет назад
Nimejifunza kitu hapa. Usikate tamaa na Utowe sadaka kwa Ajiri ya Mungu.Mungu Atakupa M badara wake.InshaAllah Allah Atufanyie wepesi sote .
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 лет назад
Kweli husen
@shuwanaliloka3816
@shuwanaliloka3816 2 года назад
Amin
@immamrema2288
@immamrema2288 5 лет назад
Kumbe bakresa simba ndo nimejua leo ❤️
@nahengadesempy8555
@nahengadesempy8555 4 года назад
Saiz Azam😂
@GHOST-gc8ju
@GHOST-gc8ju 5 лет назад
Mliyemuhoji mtu sahihi kabisa
@noortvborder7369
@noortvborder7369 2 года назад
Mungu ampe bakherasa maisha marefu mashaallah ana roho nzuri
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 года назад
Barhesa tafuta mtaalam mzuri wa kuabdika.historia yako sasa. Mungu alikujalia kuweza kufikia hapo ulipo na umeweza kufanya maajabu ktk biashara. Hakuna aliyeamini lawalawa tamtam ice cream nk vinaweza kumtoamo mtu. Mf ukwaju ulikuwa umedharaulika. Ni utundu wa kibiashara unafa kuigwa. Hongera sana.
@sharifabdul6085
@sharifabdul6085 5 лет назад
Ama kweli maisha ni safari ndefu mno,kwani hata wazamia lulu(wazibua vyoo)mwanzoni walokua na ndoto za kua matajiri wakubwa ila ndio kila mja mungu ameshamuekea riski yake,maana huyu mzee pamoja na ukaribu huo wake yy mua mpaka leo hajaubrandi,namuomba bakhresa amkuze rafki yake kibiashara😀😀😀😀 nae atajike
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 3 года назад
Jamani katika kazi hakuna ushirikina muacheni milad ayo azidi kuwa juu maana kazi zake sio za kubahatisha wala kuandika kitu ambacho huta kikuta katika vidio zake kitakacho andikwa basi ndicho kilichomo hongera sana sana kaka mungu akubariki chapa kazi ukituma tutaangalia wasio taka kujua ukweli wakafuata mitandao ya kuwadanganya wasikutishe hawakuwezi hata wafanyaje
@abdulazeeznaaswir4518
@abdulazeeznaaswir4518 5 лет назад
Mtangazaji hongera sana
@sayman158
@sayman158 5 лет назад
Hiyo ni.miaka ya 1970's...ila sasa hivi wewe shona viatu tuone kama utakuja kuwa bakhresa...kipind hicho matajiri walikuwa wachache na fursa zilikuwa nyingii...sasa hivii hapana kwa kweliii....🙌🙌
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 лет назад
Kwa vyovyote vile kulikuwa na dili zingine!!!
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 лет назад
Kabisaaa saidi
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 2 года назад
Wewe usiwe muoga wa maisha, mtegemee Allah wangapi wa jana na juzi wako vizuri, uaminifu, ukweli ndo mtaji, fikra sahihi huleta matendo na matokeo sahihi, ukifikiri kimakosa utaenda kimakosa na matokeo ni makosa, kitume kichwa tafakari hakuna lisilowezekana mtangulize Allah na u jiamini inawezekana
@sayman158
@sayman158 2 года назад
@@mohamedsheikh6618 Allah tunamtegemea a ndie anaekadiria maisha yetu.lakin mimi sio muoga na pia nimezungumzia uhalisia...kila mtu anajua uhakisia wake na uwezo wake wa kiuchumi...Mengneo ni tunaongea tu kiimani,,ila imani pia inataka mtu ujiambue na Uwe na akili za kufanya kazi kwa usahihi
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 2 года назад
@@sayman158 wewe kama umeelewa inatosha, chapa kazi, heshimu wakati, heshimu taratibu zako kufa.nikiwa au la hiyo ni siri ya Allah usibweteke wala usiangalie mtu kila mtu kivyake kama sura zetu, pambana, kuwa mwaminifu na mkweli you will be champion, nothing else
@vickykassumy1630
@vickykassumy1630 3 года назад
Mzee wa taun,hongera hupindishi maneno🙏🏼
@leonardgervas7515
@leonardgervas7515 2 года назад
Mungu aendelee kumuongezea iliaendelee kuwasaidia na wengine!!
@godblessmushi2219
@godblessmushi2219 5 лет назад
Mnasema haiwezekani maana mmeshakata tamaa ya maisha,,, kumbuka kila kitu kinawezekana hakuna mtu aliyekuja na kitu
@shahamtindo
@shahamtindo 5 лет назад
Kweli vyote tunavikuta duniani
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 лет назад
🙌
@godblessmushi2219
@godblessmushi2219 5 лет назад
@@maryammaram2612 👍
@yusufally6853
@yusufally6853 5 лет назад
Godbless Mushi ..yaaan kaka big like ur name Gobbles mashallah una IQ..and thinking capacity never die poor br.
@yusufally6853
@yusufally6853 5 лет назад
True be Godbless.
@kijubakidiza730
@kijubakidiza730 5 лет назад
Mzeee mungu akujalie ujaficha kitu sema hapo kwa manara umenikosha
@nadiafahad3926
@nadiafahad3926 Год назад
Masha Allah nimependa maongezi ya uyu baba angu ni mtu alie kinai wallah
@dshynermcongo1564
@dshynermcongo1564 5 лет назад
Ni vema kumpa mtu sifa kabla hajafa hongereniii
@harunimfaume6280
@harunimfaume6280 5 лет назад
daaaaah huyu jamaaa anahadisia vizue saaf sana milad ayoo mana chaneli zingine zinaweka picha ukiingia unakutana kingine good kwenu milaa ayoo
@afamatv4848
@afamatv4848 4 года назад
Infact nothing easy we must struggle. "No pain no gain"
@hanankhalifa8309
@hanankhalifa8309 5 лет назад
Ma shaa Allah unapotoa kwa ajil ya Allah bs jua Allah anakuongezea zaid na zaid.... Na hata ww chunguza ukitoa japo sh.50 bs unapata zaid y hyo hata nguo.
@artisthusnatalal3099
@artisthusnatalal3099 2 года назад
*Mzee hali yako siyo mbaya uko sawa shukuru mungu!* 😊
@bressfabians4537
@bressfabians4537 5 лет назад
Bongo watu wanatoka mbali usifikilie freemanson maza faka 😆😂😅😁
@albahryonlinetv9319
@albahryonlinetv9319 5 лет назад
bress fabians hashuolo kwan hakharesa mbongo huyo kuyalo huyu ni Mzanzibari pure na kuanzia kwao Zanzibari hyu hajui kit ila sahv anchukuwa bara anaweka kwao Zanzibari Hahahahahaha
@anelkaking9342
@anelkaking9342 5 лет назад
Sure.umenena.
@fatmamwinyi8102
@fatmamwinyi8102 5 лет назад
Ahmed Albahry hovyooo jahil ww
@mweucchunda4244
@mweucchunda4244 3 года назад
Huyu ndo backhresa wa Azam yule tajir wa Tim ya azam?
@machetebogota4218
@machetebogota4218 3 года назад
Ila watu wa zanzibar akili ziro kweli Kwan apo ye kasema je mtazid kuwa watumwa
@asyaibrahim1504
@asyaibrahim1504 5 лет назад
Napenda Sana taarifa zenu nizauhakika hamudanganyi
@salimmachila5736
@salimmachila5736 5 лет назад
Respect kwa huyu mzee
@yussufabdul-rahman5601
@yussufabdul-rahman5601 5 лет назад
Bakhresa Anawalipa kla mwsho wa mwezi wezke wote aliocheza nao kwa mbuyuni,malindi na mchangani Zanzibar. Na wnpta kuwasomshea watoto wao kptia icho icho wnchopewa pia ameweza kutoa ajira kwa watoto wengi wa kizanzibar, nakutngneza mckti. Mengi ktk mjii wa Zanzibar na kuwalpa maimamu,wadhini na wanaosafsha mckti na kla ktu knacho husiana na mckti hutoa yy,na kila ikifika ckuku ya idii hutoa pesa kwa watu.mungu ampe khatima njema na awe na moyo uwo uwo wa kutoa zaidi na zaidi
@pascalboniphace1895
@pascalboniphace1895 Год назад
Tudanganye Sasa mhhh ww kuweza
@abdulkhanyraashid7887
@abdulkhanyraashid7887 4 года назад
Dah! uyumzeee anakinaa yaroho kinaa yaroho nimojakatiyahatuwa ktk maisha mungu mbarikiuyu babu umpekilala kheri
@husseinbolt6922
@husseinbolt6922 3 года назад
Millard Ayo Noma sana Ayo tv konki sana kwa habar zenye ukweli.
@galachagalacha1808
@galachagalacha1808 2 года назад
Mungu awajaliee awaweke miaka miamoja asanteee
@muniraahmed624
@muniraahmed624 5 лет назад
Ili utoboe kwenye hili life nilazima kupamban🙆
@mootelahamongus633
@mootelahamongus633 5 лет назад
Munira nitumie Namba yako please
@kipagomedia6857
@kipagomedia6857 5 лет назад
Ndo hivyo
@edgardavis9668
@edgardavis9668 5 лет назад
Tena haswa imagine mtu anashona viatu Kwa Zaid ya miaka15🤔
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 5 лет назад
Umeonaeee 💪
@Mzalendo-
@Mzalendo- 5 лет назад
Muni girl
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 5 лет назад
Simbaaaaaa,Nguvu moja.
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 3 года назад
Mungu akubariki Mzee wangu unaongea vzr bila uoga wala kinyongo wala matamanio
@alexchungu9505
@alexchungu9505 5 лет назад
Huyu mzee picha linaanza kazaliwa town
@shahamtindo
@shahamtindo 5 лет назад
Mzee wa Mjini huyo
@joycenganyule3231
@joycenganyule3231 5 лет назад
kaachwa mbali saaana so kabaki na historia kweli akili ni nywele kila mtu ana zake
@aaaaaah290
@aaaaaah290 5 лет назад
Joyce Nganyule NI KWELI, LAKINI WOTE WENYE BUSARA HUONA NA KUBAKI KIMYA, HUENDA NA WEWE KUNA WATU WAMEKUPITA SANA NA ULISOMA NAO, NA KAMA NOW UPO KILELE OMBA YASIKUKUTE🤔
@yaedlifemedia3203
@yaedlifemedia3203 5 лет назад
uyu tumuie babu town😅😅😅 toka enz izo yeye na baharesa marafik aisee sifa njema anastahiki aliye tuumba.mzee bado strong kabisa aisee na umli miaka 81.
@elizabethmabula101
@elizabethmabula101 5 лет назад
Lol
@1994-l1m
@1994-l1m 4 года назад
MashaAllah.
@ampelibasimaki4114
@ampelibasimaki4114 4 года назад
Inatufundisha katika maisha ishi kwa wema na kila mtu, hujui kesho atakuwa nani!
@bonabonala42
@bonabonala42 4 года назад
Bakhresa mungu anakutumiaa ubarikiwe
@luhanchen7824
@luhanchen7824 5 лет назад
Allah insist people to be tollerant..Almost 15 years man stay as a show shiner 🙏🙏
@riphatmuhene9615
@riphatmuhene9615 5 лет назад
Sawa lkn bro Bakhresa Kihistoria alisaidiwa na Mzee karume rais wa Zanzibar na kipindi kile ilikua ukiwa na mali basi biashara unatusua. Walisaidiwa na ndo sababu ya kutisua.
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 года назад
Kwa siku alikuwa anashona viatu vingapi lo msidanganyike
@luhanchen7824
@luhanchen7824 4 года назад
@@blandinamwarabu5025 kamulize babak0,,,👎😔 🖕
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 года назад
Shoe shiner...malaka
@iddiking6963
@iddiking6963 5 лет назад
Km unaamini maisha ni mzunguko ht ww ipo siku utakuwa km huyo tajiri twende kazi🙏🙏🙏🙏🙏
@SaidSaid-nr2xe
@SaidSaid-nr2xe 23 дня назад
Inshallah 🙏🙏🙏
@rogersmasofa6549
@rogersmasofa6549 5 лет назад
gonga like kama umelisikia neno kula kulala
@mbaroukali9758
@mbaroukali9758 5 лет назад
Allah amzaidishie
@mrsinia3064
@mrsinia3064 2 года назад
Mngemhoji Bakhresa mwenyew
@kingpesapesha2597
@kingpesapesha2597 4 года назад
Nakutakia maisha marefu mzeee
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 3 года назад
Mashaallah mzee bado yupo fiti kabisa mashaallah
@khalfansharji9790
@khalfansharji9790 5 лет назад
Mzee Bakhresa ikikupendeza muwezeshe huyu mzee mwenzio naye hata asitajirike sana lakini angalau amalizie malizie na maisha ya furaha kumbuka mliko toka inawaza kuwa anaona haya kukuomba mpaka augue wewe fanya kher kwa mtani na rafiki yako.
@Worldunite
@Worldunite 2 года назад
Kweli kabisa
@drnickysarapion134
@drnickysarapion134 5 лет назад
Very inspirational
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 года назад
Inshaallah kher, Ila sishangai Sana Saidi ndugu zake wanavisima vya mafuta omani,ilo mlijuwe.
@nahime9907
@nahime9907 5 лет назад
Nashindwa kitu kimoja...huyu bakhresa millionea mungu akustiri...yaani huyu baba mulikotoka ni mbali mno..ila ulishindwa kumstiri jirani yako mpendwa... baba wawatu mpaka kafika umri 81 mungu akueke na akubariki uwe na moyo uliotosheka ....
@nyangaotv8555
@nyangaotv8555 2 года назад
Kumbe Mzee Bakhresa ni Mnyamaaa..... Kumbe Azam na Simba ni nduguuuuu
@luvangakalinga8698
@luvangakalinga8698 5 лет назад
Namfahamu huyu mzee toka miaka ya 90 anakuaga opposite na ofisi ya azam hapo alikuwa anauza miwa na tulikuwa tukitoka kununua mikate na ice cream mzee alikuwa anatupeleka kwa huyu mzee tunamsalimia na alikuwa akitusisitiza tusome sana kwa bidiii
@geraldjoel5727
@geraldjoel5727 5 лет назад
Kumbe bhakresa naye ni simba ndio najua Leo ase
@angelmhina5072
@angelmhina5072 5 лет назад
Kuna kipindi alitkaga simba iwe chini yake viongoz wa simba wakagoma ndio akaamua kuanzisha timu yake
@stephanonyogoto6421
@stephanonyogoto6421 5 лет назад
Kabla ya Azam alitaka kuinunua Simba wakamzingua na alishawahi kuwa kiongozi ndani ya Simba. Yule ni mnyama lialia
@saidibambo4339
@saidibambo4339 5 лет назад
Muachen bakhresa azidi kuwa juu kifedha maan kutoa msaada kwa kila cku kwa omba omba co mchezo
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 5 лет назад
Allah amjaalie kher mzee wetu bakhresa
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
Tutoe Sadaka ndugu ni Muhimu Sana.
@kibokibosho7476
@kibokibosho7476 4 года назад
Gonga like kam umeckia Shati jeupe
@stevoeligwe859
@stevoeligwe859 4 года назад
Kama wewe ume zaliwa k/koo gonga like tujuane.
@alemalmaz9466
@alemalmaz9466 5 лет назад
Tithing/Sadaqa uwe mwislamu au mkristo toa sadaqa uone tofauti the likes of bakhresa and bamburi cement they will never go bankrupt from that one thing.
@jumamohammed5378
@jumamohammed5378 2 года назад
mashaAllah
@tatutatu1570
@tatutatu1570 2 года назад
babu Allah akuweke zaidi
@priskasantony5392
@priskasantony5392 5 лет назад
Nd zangu ni kweli hii stori huku zanbari suma ni tajiri na kaanzia kuuza kahawa tu
@godblessmushi2219
@godblessmushi2219 5 лет назад
Prisca tatizo watu hawamwamini Mungu,
@alhabibalhabib2543
@alhabibalhabib2543 5 лет назад
Priskas Antony usilolijuwa
@Mr_Africanman
@Mr_Africanman 5 лет назад
Safi ,hard work pays
@sayeedbinazan
@sayeedbinazan 2 года назад
Hakuna,bakhresa alieshona viatu. Tafteni vizuri historia
@shamimkingazi8925
@shamimkingazi8925 5 лет назад
Nimekuja apa kujua bakhresa ni unga au ni mtu ☺☺☺☺☺☺☺
@leahedward8063
@leahedward8063 5 лет назад
kwikwikwi
@victormaimu3748
@victormaimu3748 5 лет назад
Ni unga wa mtu
@anatorydesdery4654
@anatorydesdery4654 5 лет назад
Hahahahahahahahahahah
@TALLUBOY
@TALLUBOY 5 лет назад
Leo mulimkuta kigogo kwel kwel Duh Mzee SAID LEO kaanikwa Adharan kwel kwel
@elizabethmabula101
@elizabethmabula101 5 лет назад
Kamuanika jamali. Ati yeye kula kulala tu. Hafanyi chochote lol
@abrahamkibona7038
@abrahamkibona7038 5 лет назад
Basi Bakhresa ampe mtaji huyo mzee
@yeasrmsafi7152
@yeasrmsafi7152 5 лет назад
Mzee huyo anamajengo k/koo
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 5 лет назад
kweli kabisa
@jamilajamila9682
@jamilajamila9682 5 лет назад
Mashallah nice story hii 💖👍
@shahamtindo
@shahamtindo 5 лет назад
Inatupa nguvu
@jajipeter4873
@jajipeter4873 5 лет назад
Wato wapo sooo negative...huyu mzee hanasababu ya kudanganya.
@shahamtindo
@shahamtindo 5 лет назад
Kweli
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 3 года назад
Milad ayo utaendelea kuwa juu na mungu akuzidishie upeo wa ko wa kazi yako nandio maana watu wanakufuatilia sana kaka hongera sana ila hao wajinga wengine unacho kisoma tofauti na unacho kiangalia ila ww hakuna kama ww
@khadijaa815
@khadijaa815 5 лет назад
Kweli alianza na kushona viatu mimi kaka angu alianza kuwa mfanyakazi wake kweli kaanza mbali
@mossesimessi3256
@mossesimessi3256 5 лет назад
Shona wew km utatoka thubutu tembea jomba dunia ii
@defxtro
@defxtro 4 года назад
Safi sana mzee
@joviangeofrey7212
@joviangeofrey7212 5 лет назад
barikiwa sana
@bouryschamata3093
@bouryschamata3093 5 лет назад
Huyo mzeee njaaa sana muongo sana Bakhresa hajashona viatu Dar es salaam
@aboudmsonde886
@aboudmsonde886 5 лет назад
Tuambie wewe ujuavyo wewe
@mangmodile38
@mangmodile38 4 года назад
Mungu alimupa kwakuwa nae alitoaa
@shahamtindo
@shahamtindo 5 лет назад
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha..
@JumaZahoro2000
@JumaZahoro2000 5 лет назад
Ila mchicha auwez kua mbuyu
@jumahnassor8471
@jumahnassor8471 5 лет назад
Mzee anaonekana roho safi sana huyu
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 5 лет назад
Kwa hiyo unaamini huo utajiri umetokana kwa kushona viatu aaaaaa wapi there is something behind that will never be told. Kwanza tu kwa kudokeza umeshasema aliwahi kukamatwa na sukari gunia 200 wakati wa kampeni za Sokoine za uhujumu uchumi. Utasema alinunuwa kwa pesa zake halali Sasa alipataje gunia 200 kinyume na utaratibu wa wakati huo!!!?? Kuna mambo mengi matajiri wanafanya kuwa hapo walipo hawatayaamsema kamwe
@MilioneaTv
@MilioneaTv 2 года назад
Hivyo viatu vilikuwa na unga wa dona unatembea tusidanganyane hapa. Vinginevyo kuna kigogo alitumia jina au kuna siri nje ya viatu
@mumybhay6561
@mumybhay6561 5 лет назад
kwa bakhresa na hictoria ya kushona viatu ni kweli kabisa.ila kwa mungu hakuna kubwa humnyanyua aliechini muda wwt to akitaka.
@suratfrank6282
@suratfrank6282 5 лет назад
Poa sana mi naamini ukijituma utatoka na mafanikio makubwa hata madili Mengine yatajileta yenyewe ,,,,
@christophermlaponi534
@christophermlaponi534 5 лет назад
Na huwezi amini, kwamba kuna watu wamezikariri hizo siku zao za kuomba msaada badala ya kutaka akili za kuzalisha hiko kidogo !
@josephatmazinde1628
@josephatmazinde1628 5 лет назад
Nimempenda huyu mzee kanichekesha kinoma. Kwanza anasema hizo ni pesa. Ukiwa na shida million mbili unapata siyo milioni kumi. Na huyo wa kula kulala kazi hataki.
@luomusicchannelfromtanzani5650
very charming
@aminamikidadi7754
@aminamikidadi7754 2 года назад
Huyo babu ...namfahamu kitambo ....anauza miwa mtaa wa living ston ...pembeni ya bakhresa... siku moja niliwahi piga nae story ...akaniambia mwanangu kikubwa ukijaliwa kupata ridhki.. kula kdogo weka ....baada ya kuweka tafuta ardhi nunuwa kisha jenga nyumba usipokuwa na sehemu yako unayo imiliki mwenyewe hata watoto wako uliowazaa mwenyewe watakuzarau sn. ...
@nataliakenny9499
@nataliakenny9499 2 года назад
Fact
Далее
РЫБКА С ПИВОМ
00:39
Просмотров 311 тыс.