@@omanoman2044 hyo n siri iliyofichika n Mungu mwenyewe anajua pale utakaposhinda n kuingia katika ufalme wa mbinguni kupitia Yesu kirsto basi utapata majibu ya swali lako
Mhhhh naona watu mnatiririsha maneno kweli inaonekana mme jikamilisha hongera kwenu watoto mlio barikiwa msio kua wa zinah ila kila aliye zaliwa na mwanamke amekuja duniani kwa kusudi la Mungu na kila aliye chini ya jua amekuja kwa njia ya mwanamke na ataondoka kwa njia ya kaburi Mungu awabariki
Bro hujafahamu sio wakristo wote wana amini yesu nimungu wao wana amini yesu ni mtoto wa mungu kwa sababu hakupatikana na baba wanaamini mungu yupo na sio yesu wana amini yesu ni mtoto wa mungu
Huyu atakua kma mme wngu zaman alikua akitumia viwemve vya kawaida ila alipojigundua saiv anatumia mashine bas hawafanyi na akimaliza ana tumia facial inasaidia pia after shave pia haimpend