Тёмный

KUTOKA NYUMBANI KWA MARIOO JAIVA AFUNGUKA, PAULA KABADILI DINI, MTOTO WAO KAFUATA YA BABA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 40 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

11 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 81   
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
Mungu ni mmoja hajazaliw walla hajazaa walla hafananishwi na chochote
@joycepatofondo
@joycepatofondo Месяц назад
Inategemea Kuna Mungu mmoja n miungu tofauti
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
@@joycepatofondo mie.najuw mungu ni mmoja tuy hao miungu unao wajuw mie namjuw mungu ni mmoja tuy hafananishwi na chochote
@joycepatofondo
@joycepatofondo Месяц назад
@@omanoman2044 Mungu wa kweli n Mungu wa Israeli alieumba umba mbingu n nchi hao wengine walikuja baadae sana n chanzo chake kilitokea babeli
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
@@joycepatofondo mungu wa kweli alitoka wap ? Eeh haya
@joycepatofondo
@joycepatofondo Месяц назад
@@omanoman2044 hyo n siri iliyofichika n Mungu mwenyewe anajua pale utakaposhinda n kuingia katika ufalme wa mbinguni kupitia Yesu kirsto basi utapata majibu ya swali lako
@drsilo
@drsilo Месяц назад
Zinaa banaa inatambulika kama ni dhambi ya kawaida tubuniiiiii waja wa Allah
@glorynyarandu-ln8rc
@glorynyarandu-ln8rc Месяц назад
Mhhhh naona watu mnatiririsha maneno kweli inaonekana mme jikamilisha hongera kwenu watoto mlio barikiwa msio kua wa zinah ila kila aliye zaliwa na mwanamke amekuja duniani kwa kusudi la Mungu na kila aliye chini ya jua amekuja kwa njia ya mwanamke na ataondoka kwa njia ya kaburi Mungu awabariki
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Месяц назад
@George chitemo nani kakudanganya km Kuna Mungu wawili. Binadamu tuliyeumbwa kwa udongo Mungu wetu ni ☝️
@joycepatofondo
@joycepatofondo Месяц назад
Hapana
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 Месяц назад
Karibuni sana kwenye Dini ya Hakki
@sofiajumaa4538
@sofiajumaa4538 Месяц назад
Kaka anaongea mstaarabu sana akili mingi 🙌🏼🌹
@mohammedkassimngokolo3285
@mohammedkassimngokolo3285 Месяц назад
Jamaa kafanana xana na Kayumba aisee
@khamoshmikidadi618
@khamoshmikidadi618 Месяц назад
Bora uamini mungu yupo ukenda usimkute kuliko kuamin mng hayupo ukenda ukamkuta🙌
@user-db1fb7ob8b
@user-db1fb7ob8b Месяц назад
Hakika
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b Месяц назад
Kwenye iyo harubain, ndio vizuri wangefunga ndoa ingedamshi?
@joycepatofondo
@joycepatofondo Месяц назад
Waislam na wa Kristo wanabudu Mungu tofauti msidanganyane na paula n mkatholic n bwana n muislam mungu wao n mmoja
@user-ok4jk7tk3d
@user-ok4jk7tk3d Месяц назад
Kwan token hapo mm najua Paula ni muislam kwa kuwa Farida n muislamu na majani pia ni muislam
@natanaaly7486
@natanaaly7486 Месяц назад
Kajala mkatoliki pia majani anaitwa Paulo kwahyo ni mkristo pia
@fatumaayubu6470
@fatumaayubu6470 Месяц назад
❤❤❤
@user-kg2lm3nz1z
@user-kg2lm3nz1z Месяц назад
Mungu ni mmoja,
@user-sf1tz6mo7m
@user-sf1tz6mo7m Месяц назад
Aweee
@gerry_macopper3808
@gerry_macopper3808 Месяц назад
Akili kubwa sana, jamaa anaongea kikubwa sana,
@aminaamina5240
@aminaamina5240 23 дня назад
Mungu we2 mi mmoja
@Expertz01
@Expertz01 Месяц назад
Pesa ndo kila kitu
@Mojabo-qi7sv
@Mojabo-qi7sv Месяц назад
Safi Jay 🎉🎉🎉🎉
@hatibumohamedi3471
@hatibumohamedi3471 Месяц назад
Mungu mmoja awezi kua na utaratibu mingi katika dunia hivyo fatilia vizuri ujue haki iko wapi uifate usije jiraumu wakati lawama aito kusaidia
@majidisaidi4667
@majidisaidi4667 Месяц назад
mnashadadia uzinifu kafiru kabisaa😏😏😏😏😏😏😤😤🙄🙄
@user-ik5pw9ju8h
@user-ik5pw9ju8h Месяц назад
Anabadili dini kisa mwanaume,hawana ndoa hao zaidi ya kiki
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
Lazima ataenda kwenye din hiyo hatutaki ujinga
@rashowshine7849
@rashowshine7849 Месяц назад
Mungu wa waislamu hawezi kuwa yesu hata siku moja kwahiyo nyie mna mungu wenu na sisi tuna mungu wetu period
@mishihassan9035
@mishihassan9035 Месяц назад
Pole ndugu yangu ila yesu si Mungu ni mtume
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 Месяц назад
Tofauti ya mitume n mungu upo dunia gan😂
@EDDY4D
@EDDY4D Месяц назад
Bro hujafahamu sio wakristo wote wana amini yesu nimungu wao wana amini yesu ni mtoto wa mungu kwa sababu hakupatikana na baba wanaamini mungu yupo na sio yesu wana amini yesu ni mtoto wa mungu
@user-gi1ez6fc1y
@user-gi1ez6fc1y Месяц назад
​@@mishihassan9035Wanajikutaga wajuaji Hawa miungu watu😂😂😂
@KassimSaid-vp4zz
@KassimSaid-vp4zz Месяц назад
Hahahaha kmbe wachristo mngu wenu ni yesu ooooh jaman
@user-ky7mz7qh1o
@user-ky7mz7qh1o Месяц назад
Uyoo nae ni msanii au chawaaa
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Месяц назад
Chawaaa huyu
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
Mtt wakiisilam unazalishwa watt waxinaa naupo tuy hapo haujui kufa kupo duuh
@checkcheck5191
@checkcheck5191 Месяц назад
Watto wazinaa ndo watto gani???
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
@@checkcheck5191 ww mwenyew wazinaa utajulia wap
@nuruamry
@nuruamry Месяц назад
Kitanda hakizai haramu elewa hilo jitahidi ku pevuka kiakili usome na maandiko vzr
@abdillahiharuna0029
@abdillahiharuna0029 Месяц назад
Andiko gani linalo sema ivo​@@nuruamry
@user-db1fb7ob8b
@user-db1fb7ob8b Месяц назад
Ukiachana na zinaa hiyoo uloibebea bango unauhakika umekalika?
@Zenny89
@Zenny89 Месяц назад
Duh!!! Vidovidoxx hatumii after shave au?? Mbona manundu mwengi
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 Месяц назад
Huyu atakua kma mme wngu zaman alikua akitumia viwemve vya kawaida ila alipojigundua saiv anatumia mashine bas hawafanyi na akimaliza ana tumia facial inasaidia pia after shave pia haimpend
@majidisaidi4667
@majidisaidi4667 Месяц назад
ubwa nyie
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 Месяц назад
Akumae zenu mevaa kanzu za allah kwaajili yakwenda kutunza mitoto ya laana amabayo nimitoto ya zinaa du hii dunia sijui wap tunaelekea kwakweli da
@annajoseph9955
@annajoseph9955 Месяц назад
Kumanyoko mbwa wew ukute wew mwenyew mtoto wa nje ya ndoa kujifanya mungu mtu
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 Месяц назад
Mtt kahusikaje hapo? Wenye makosa ni hao wazazi usimtie mtt kwenye dhambi za mtu mwingine
@jackiefredrick586
@jackiefredrick586 Месяц назад
Kumbe Allah anavaaga kanzu na hukutuambia
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 Месяц назад
Aaah we jamaaa ni shetani kabisa si dhani hata kama dini unaijua ww
@MonaJuma-cp3jg
@MonaJuma-cp3jg Месяц назад
Hakuna mtoto walana hataowa waliozaliwa ndani yandoa ndio wanakuua mashoga wanje yandoa hutokea shekhe
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw Месяц назад
Hakuna Mungu mmoja Mungu wa kristo ni mwingne na mungu wa Kislam mwingne
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
Kwan waisilam mungu wao ni nani na wakirsto mungu wao ni nani duuh
@user-iy7xy1np7c
@user-iy7xy1np7c Месяц назад
Duh we mzeeee pole sana
@SubiraMohammed-ks6qg
@SubiraMohammed-ks6qg Месяц назад
Mmmmh iyo ndo kwanza nakusikia wewe kama kuna mungu wawili
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o Месяц назад
Hawa wakina George mungu. Wao ni yesu kwani hamjui
@OmanOman-vb4uj
@OmanOman-vb4uj Месяц назад
😂😂😂😂 subhanallah mmh
@majidisaidi4667
@majidisaidi4667 Месяц назад
ubwa nyie
Далее
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
Wait for it 😇
00:45
Просмотров 9 млн
CHURCHILL SHOW S1E2 2024
22:20
Просмотров 208 тыс.