Mimi na mume wangu tulionanana asubuhi bank akaniomba number jioni akanitoa dinner akaniambia anataka anilipie mahari anioe nikamuuliza mbona haraka sana akanijibu kama nimekupenda na unanioenda tunasubiri nini..mimi sina tatizo nimekupenda na nitakupenda kweli week hiyo hiyo tulioana na mpk leo ni mwaka wa 12 tuna watoto watatu na hatujawahi kukosana naomba Mungu pia tusikosane.upendo hauna muda gani inategemea na uliyemchagua.
Kuhishi kimapenzi nimuda ambao kila mtu anajifunza tabia zamwezie. Ila jisi tulifuzwa shuleni watu wanahishi mwaka 1 moja na nusu. Pia kushirikisha MUNGU akubariki upate mume bora ao mkee bora kabla yakuhigia kwenye mahusiano ❤❤❤from DRC
Tafuteni Kiongozi wa Dini Mpate Elimu ya Talaka Sheria haisemi kutoa Talaka Tatu kwa Pamoja kuna Utaratibu wake Kwa Mfano katika hiloo mnalolizungumzia La Dulla Kisheria Inahesabika ni Talaka Mmoja
Kabla ya kumjua huyo utakaekuwa nae, ni bora ujijue vyema wewe, Unataka nini, Unataka kuishi vipi, na nini nguvu na madhaifu yako. Itasaidia wewe kujua unataka mtu wa namna gani.