Тёмный
No video :(

Kwani Mtume Mwamposa Nitishio? Walutheri Acheni 'Tuition' Mch Richard Hananja 

Chomoza Tv
Подписаться 216 тыс.
Просмотров 108 тыс.
50% 1

Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
RU-vid : www.youtube.com...
#ChomozaTv#2021

Опубликовано:

 

4 май 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 154   
@malyaterry9308
@malyaterry9308 3 года назад
Wanaenda kwa Mwamposa kwa sababu, kila mtumishi wa Mungu ana kitu cha tofauti na mwenzake; hivyo basi, kile alicho nacho Mwamposa ndicho kinachowafanya waende kwake. Hata mimi nimependa ucheshi wa huyu mch, mstaafu, naye ana kitu kizuri cha pekee sana. Mungu awabariki watumishi wake.
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 года назад
Sawa lkn kumbuka YESU ametofautisha wazi wakristo Kuna wauongo na wakweli manabii kuna wa uongo na wakweli mtawatambua kwa matunda yao
@marcallen1957
@marcallen1957 3 года назад
i guess it is quite randomly asking but do anyone know of a good place to watch new tv shows online ?
@davyadamsontz
@davyadamsontz 2 года назад
@@frankjohn8706 So una uthibitisho kuwa Mwamposa ni wa uongo?
@frankjohn8706
@frankjohn8706 2 года назад
@@davyadamsontz Neno la Kristo ndichi kioo Cha kumthibitisha mtu kama ni WA Mungu au la,maana Mungu hufanya KAZI pamoja NAO wampendao na kuwajulisha AGANO lake
@marthaswai1185
@marthaswai1185 2 года назад
Injili ni uweza wa Mungu.Injili ni rahisi sio ngumu.Mchungaji ni wa kizazi hichi,(speacil one)
@licomwanjali230
@licomwanjali230 3 года назад
Mchungaji mzuri sana huyu, anatenda kazi ya Mungu vizuri
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 3 года назад
Mwamposa Ni tishio ;ss warutheli hatushibi kondoo hatushibi tunaenda kwa Mwamposa kushiba neno linaminywa matangazo ,michango kwa wingi wengine wanapeta siasa Kanisani Bwana Yesu apewe sifa.Barikiwa chomoza
@deograciakashaigili5973
@deograciakashaigili5973 3 года назад
Acha uongo wewe. Semina.zinaongozana kanisani kwenu mbona hatukuoni? Miujiza ndio inakuvuruga. Mbinguni ni utakatifu wako tu!!!!
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 года назад
@@deograciakashaigili5973 miujiza ni sehemu ktk utendandaji na udhihirisho wa nguvu ya matendo ya ile Imani, maana Imani pasipo matendo imekufa nafsini mwake biblia inasema, Tena Yesu ameagiza wanaomwamini kwajina lake watatoa pepo,kupoza wagonjwa,kutakasa wakoma kufufua wafu sasa Kama unaingia kanisani na ugonjwa na unatoka nao je Kuna YESU hapo? Vipi sasa kuhusu ufalme umekuja hapo?
@deograciakashaigili5973
@deograciakashaigili5973 3 года назад
@@frankjohn8706 Imani haba inaponza. Mungu yupo mahali pote. Ni Imani yako tu popote utapokea uponyaji. Hata mkristo binafsi nyumbani anapokea muujiza akitulia kwa MUNGU.
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 года назад
@@deograciakashaigili5973 watu Kama tatizo ni kutulia mbn basi wasimiminike kwenda kuponywa huko kwenyekutulia? YESU asema penye mzoga ndipo wakusanyikapo tai sasa ni ubishi tu ukikataa ubatizo huwi wa Kristo maana BWANA hufanyakazi bamoja nao wampendao, pia imeandikwa mtu awaeyote asiekua na Roho wa Kristo huyo si wake
@hildamsechu626
@hildamsechu626 3 года назад
@@deograciakashaigili5973 yesu mwenyewe alikuwa anatenda miujiza soma maandiko wewe na watu walikuwa wanamkimbilia ili kuponywa. hata sasa ni yule yule jana na hata milele
@boazndyekobora9973
@boazndyekobora9973 2 года назад
Namkubali sana Mchungaji huyu! He is the best one
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
Mwaposa ananguvu ya Mungu... mnaumia Sana watumisih msio na upako mnamuonea wivu
@nancymorenje3880
@nancymorenje3880 3 года назад
Kila mtumishi wa Mungu ana Neema yake. Jinsi Watumishi wa Kilutheri walivyo na Neema yao na Mtume Mwamposa anayo Neema yake kubwa tu na inaonekana. Mungu ni wetu sote jamani
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 года назад
Mungu ni wetu sote ila tunachotofautiana ni ubatizo na mafundisho
@nancymorenje3880
@nancymorenje3880 3 года назад
@@frankjohn8706 mafundisho Lutheran yapo na Arise and Shine yapo. Kinachonisikitisha sisi wote ni wakristo lakini tunapenda kunyosheana mikono. Mungu yupo sehemu zote. Na hakuna kanisa ambalo halina mafundisho. Upande wapili watoto wa mama mdogo huwezi kuwakuta katika nyumba zao za ibada wakinyosheana mikono e.g. kanisa hili na lile, mchungaji huyu na yule, msiende huko njooni huku, yule mbaya hana neno, neno liko huku. Yeye anatumia maji..yote hayo ya nini, kila mtu Mungu kamwita kivyake na karama na mafunuo yake alopewa. Chamaana ni sera zako ni Wewe wakija kanisani kwako chapa injili, okoa roho za watu, watu wamjue Mungu hilo linatosha. Hukumu niya Bwana na si ya mwanadamu.
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 года назад
@@nancymorenje3880 Mungu yupo sehemu zote na anawalinda hata wachawi wakiwa kwenye nyungo hawanyimi oxygen lkn kwa habari ya Wana Yuko makini chakula Cha watoto watupii mbwa.. ndio maana alipnya wanafunzi kuhusu makristo na manabii wa uongo, Tena kasema nao watafanya ishara na miujiza kwa jina lake, sasa kwa matunda yao mtawatambua, ivi mtu hata ubatizo hajabatizwa na ukimwambia anakubishia kwa siasa na maneno Kama kweli, kujazwa Roho Mtakatifu hakuna kwake lkn anajitetea ati amejaa Roho wakati matendo yanashuhudia hamna Ila Kuna kuasi inajitetea sio kila mtu anene kwa lugha sio kila mtu awe na karama ya kuponya au miujiza... Sasa hao wauongo ndio hujikuza na kusema wao ndio sahihi na Hawa wanaoliishi Neno sio kitu japo waumini wa dini ya kikristo tumetoka kwenye dini tunakuja kwa YESU na tunaona magongo yanaachwa watu wanatembea wenyewe, watu kuwekwa huru kutoka vifungo vya magonjwa na majini alafu mtu kashiba ugali aseme wote ni watumishi nguvu ya ugali na nguvu ya Roho wa Mungu sio
@nancymorenje3880
@nancymorenje3880 3 года назад
@@frankjohn8706 asante kwa mawazo yako. Sasa kwa Taarifa mimi nimetoka Lutheran nimehamia Arise and Shine kunachakula cha kutosha na tunashiba pia karibu na wewe ubarikiwe
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 года назад
@@nancymorenje3880 ameen ubarikiwe tuko pamoja
@bonifacebeatrice8077
@bonifacebeatrice8077 3 года назад
Acheni maneno Maana Mungu awajua waliowakwake, ndiyo maana alisema acheni magugu na ngano vikue pamoja
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l Год назад
Maguguna Nagano vikue pamoja point
@user-fh9vv2pg2n
@user-fh9vv2pg2n 25 дней назад
hakika
@maswamills3161
@maswamills3161 2 года назад
Mti wenye matunda hupigwa mawe siku zote. MUNGU Asante kwa kumwinua mtume Mwamposa.
@woielmalya7164
@woielmalya7164 2 года назад
Mchungaji mwenye karama na kipaji cha kujua Biblia yote kwa kichwa. Utadhani ni utani lakini ukifungua Biblia unakuta yupo sahihi kabisa. Mie kipekee naona anakubalika sana kwa jamii.
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
wanakwenda tuition kwa vile wanachofundisha humo ruthelan hayawatoshi watu tunataka deep tumJUE MUNGU
@maswamills3161
@maswamills3161 Год назад
@@jesuspower2390 hakuna Tena muda wa blablaa ,Ni wakati wa kumjifunza Mungu kwa Nguvu zote ,kwa akili zote,na kwa Moyo wote.
@pambilalwilliam1442
@pambilalwilliam1442 2 года назад
Pambila~ Very excellent! I admire the Priest. Thanks to the Lord our God, Amen
@williammakali5518
@williammakali5518 2 года назад
Tunachofahamu kulikuwa na ujinga fulani kati ya chomoza na huduma ya mwamposa,,, Ushauri wangu ya Mungu mwachie Mungu mtajitafutia laana isiyowahusu.fuatilia clip zake mwanzo mwisho ni zile zile,nenda kwamwamposa ukajifunze.
@paskalmagiri4466
@paskalmagiri4466 3 года назад
Mwamposa juu Yesu ana vyombo
@braytonemkendasuperstar69
@braytonemkendasuperstar69 3 года назад
Kizur kitasemwa mwamposa juu
@EnjooHamiss-sg3nx
@EnjooHamiss-sg3nx 4 месяца назад
MUNGU akubarik mtumishi
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Год назад
Mchungaji Hananja yuko sawa kusema tuition kuwa ni nyongeza. Na amesema wasizuiwe waende Mtihani siku nyingine. Mtangazaji mpumbavu Sana.
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf 3 месяца назад
Kwani nn mwamposa nitishio mwamposa sio tishio bali nimtume wawatu ana maneno mengi pia kasimama kwenye sam yake anajua anacho fanya nicha mungu nasi cha mwanadam nasio mpelelesi kwa watumishi wezake mungu kampa marifa akima na busara
@FloraBagombe
@FloraBagombe 29 дней назад
Bado hamjasema mwamposa ndio habari ya mjin mafuta ya upako na maji ya upako yanatusaidia tunaamin tu hatuogopi
@FloraBagombe
@FloraBagombe 29 дней назад
unaingia na amani ya bwana unatoka na amani ya bwana shida vifungo mizim mila zimetukamata amani nitaipata wapi shida mpaka kwenye kope buldoza ndio kila kitu
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 2 года назад
Baada ya shule tution utafaulu vizuri
@ngwanafabian9668
@ngwanafabian9668 3 года назад
Miujiza pekee siyo kipimo cha kumcha Mungu. Ili tujue wewe ni mcha Mungu tutaanza na mienendo yako kauli zako na utakatifu wako na iwapo unaishi sawa sawa na Neno la kristo.
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 года назад
Kumchunguza mtu utakatifu sio kazi ya mtu tukiziungama dhambi yeye atuondolea udhalimu wote, Mungu hana upendeleo ukristo upo wa kweli na wa uongo ,miujiza ipo kwa wakweli na ipo kwa wauongo ,lkn je , wasiofanya miujiza wako wapi? Maana asema ukiwa uvuguvugu nitakutapika
@ngwanafabian9668
@ngwanafabian9668 3 года назад
@@frankjohn8706 kama humchunguzi mtu kuhusu utakatifu wake utaangukia kwenye madhabahu ya shetani bila kujua. Imagine mtumishi ameingia mkataba na Lucifer wewe unajipeleka kwake kisa tu Mungu ndiyo mwenye kuhukumu ujue utakuwa unashirikiana naye. Maandiko yanasema tuchunguze kila roho.
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 года назад
@@JUNGLETOURS injili NI uweza WA MUNGU uletao wakovu KWA kila aaminie NI kweli lazma iambatane na MATENDO hata waswahili husema maneno matupu hayavunji mvupa ,au majimoto hayaunguzi nyumba, so kama MTU atakua na maneno matamu kayapangilia kitaakam nakayavalia MAVAZI Maalum halafu hayatatui changamoto za watu , yakobo ASEMA Imani bila MATENDO imekufa ni kama mtu pasipo Roho amekufa, eel amefaliki
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
Mwaposa ananguvu ya Mungu... mnaumia Sana watumisih msio na upako mnamuonea wivu
@simongalahenga6858
@simongalahenga6858 3 года назад
Yuko vizuri na anaitendea kazi vyema kanisan wafanye watu kufurahi
@floriankilindo8130
@floriankilindo8130 2 года назад
Kwenda tuition kwa mwamposa maana yake ni kwenda kutafuta ziada Kama hujatosheka na mahubiri yake.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Hajakosea
@justinmnkeni7691
@justinmnkeni7691 17 дней назад
Maana kwao ni kkkt ndiko msingi wao ulipo tuition haiwakamilishi lazima wrudi walikosajiliwa ili watihaniwe.
@0ttiliwiliam317
@0ttiliwiliam317 3 года назад
Ameen bwana yafute machozi yangu Ameen mtumishi
@elinemallya6971
@elinemallya6971 2 года назад
Safi saana tusikose kipindi chake
@MathewMwamgunda
@MathewMwamgunda Месяц назад
Ubalikiwe,,san mtumish
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 3 года назад
Mungu hana mipaka.huu ni wakati wa neno la mungu limenwagwa.mwenye kiu atatafuta ili ashibe.msimfunge kinywa ngombe asiparue majani
@jacksonmkuye7739
@jacksonmkuye7739 Год назад
Hakuna Mungu asiye na mipaka usitudanganye ndugu. Kila Mungu ana utararibu wake juu ya namna watu wake wanapaswa kuishi ili wampendeze ama wajilinde nafsi zao na uharibifu, utaratibu huo ndio mipaka yenyewe.
@dyanamotz
@dyanamotz 2 года назад
Anajua sana aisee
@rsfdzxzx2274
@rsfdzxzx2274 Год назад
Amubariki sana
@isakawilliam7049
@isakawilliam7049 3 года назад
huyu mchungaji biblia kaishika kichwani, yaani mlango mzima anausoma bila kuangalia bibloa🙏🙏🙏
@marselinarweyemamu4034
@marselinarweyemamu4034 2 года назад
Yuo vzr
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Kabisaa
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
kukalili biblia sio kipimo cha kuwa na roho mtakatifu,,, hata waislam wamekariri biblia
@ayubusanga1915
@ayubusanga1915 3 года назад
Upo vizuri sana aisee!
@pastorhermantv5420
@pastorhermantv5420 3 года назад
So good
@Hananja.r
@Hananja.r 3 года назад
Wewe sijataja Mchungaji mtume mwamposa. Mimi nimesema Mwamposa. Na hakuna mtu anayemiliki jina la Mwamposa. Na huyo mtume Mwamposa hana tuisheni.
@josephepimack2351
@josephepimack2351 3 года назад
Ukikosea kuoa jua umepanda gari ya mkaa
@raymondsylvester9146
@raymondsylvester9146 2 года назад
Una ongea sana
@mbeyusemes7864
@mbeyusemes7864 Год назад
Hongera mtumishi
@emanuelmaraki9758
@emanuelmaraki9758 2 года назад
Duu nimemkubali sana
@hamzayusuf1894
@hamzayusuf1894 Год назад
Ulipata vipi utume utume haupatikani maka mungu akuchaguwe nawewe ulipewa kitabu gani
@diti4899
@diti4899 3 года назад
Hii kichwa inaonekana ilipinda ujanani
@otrich30
@otrich30 3 года назад
dooh Mungu akuponye
@marytarimo6667
@marytarimo6667 3 года назад
Yupo vizuri mchungaji🙏
@dyanamotz
@dyanamotz 2 года назад
Dah ! Uyu angekuwa mchungaji kwa kileo wangemuona jau ! Maana ni wamda na ana materials kama mpya yani
@nanagreco814
@nanagreco814 3 года назад
Nyie mnaojiita WATUMISHI someni neno la Mungu ''' acheni kuwafatilia watumishi wengine '''' Mungu mwenyewe anajua walio wake '''' bible inakurasa nyingi sana '' achen kuwaongelea wenzetu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Kibaya kipi alichokisema
@yasinijuma6646
@yasinijuma6646 2 года назад
Silewi anachongea.. Lete neno sio story
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 Год назад
Kama mpaka mwaka huu hamjamuelewa huyu Mchungaji mkapimwe mkojo
@godfreymbuya2659
@godfreymbuya2659 3 года назад
Hapo nimemkubali maana anaenda na wakati.Watu wanasinzia sana kanisani.Huyu kiboko.
@ngwanafabian9668
@ngwanafabian9668 3 года назад
Kulala usingizi kanisani ni ishara ya kutekwa na nguvu za giza sasa utamchekeshaje mateka? Soma zaburi 1:1 hatupaswi kufanya mzaha tunapokuwa kwenye ibada. Kwanini mtu asisinzie nyumbani kwake aje kulala kanisani?
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 2 года назад
Kamua kuwachekesha maana watasinzia😄
@ngwanafabian9668
@ngwanafabian9668 3 года назад
Watumishi hawana mbingu mwenye mbingu ni Yesu pekee. Hivyo vigezo vya kuingia mbinguni ni utakatifu na haki na si vinginevyo. Haya mengine ni taarabu tu hazimsaidii mwanadamu, kanisa linazamishwa na dhambi kwa mafundisho dhaifu ya ukombozi na mafanikio. Swali huyo Mwamposa mnayesema tishio je mnajua ni roho gani iliyonyuma ya huduma yake?
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 года назад
Yesu asema mtu asipozaliwa Mara yapili hawezi kuingia ufalme wa Mbinguni vigezo vya ubatizo vipo mark 16:16--- ukivitimiza utakuwa mwanafunzi wa YESU ila usipotimiza utakuwa ukienda tuition tu kumsikiliza Yesu na tuition haitoi cheti Wala haikupi mtihani wa Taifa, Yesu kasema kwa matendo yao mtawatambua ,
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 2 года назад
Usivae brazia jikubali ulivyo😄😄
@michaelmrema5233
@michaelmrema5233 3 года назад
Mtangazaji mkuda kwani waumini wakienda twisheni siwanaenda kupalilia walicholima shida ikowapi Watumishi wote wamungu niwatenda kazi katika shamba moja. Usipende kutupmbanisha.
@ellymaz2187
@ellymaz2187 3 года назад
Mbona amesema wanaoenda na waende ukuda wake uko wapi?
@fundiumemenakamera2027
@fundiumemenakamera2027 2 года назад
Arawa nimekuelewa
@Papaahansmo
@Papaahansmo 3 года назад
Safi pastor Hananja
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
Mwaposa ananguvu ya Mungu... mnaumia Sana watumisih msio na upako mnamuonea wivu
@kelvinchaula923
@kelvinchaula923 Год назад
Amen
@milakauli
@milakauli 2 месяца назад
Mchungaji anastaafu jamani hawa
@onetoanotherglory2024
@onetoanotherglory2024 3 года назад
Good job
@yasinijuma6646
@yasinijuma6646 2 года назад
Unafurah wakat una natatizo kibayo fanya maombi mzee mwamposa Ana Story yeye Kaz tu uponyaji tu bwana yesu asifiwe
@zamdachiguru2054
@zamdachiguru2054 3 года назад
Hahaha nmeongeza cku
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 года назад
Yaani nimejikuta nacheka kwa nguvu
@venelandakundi63
@venelandakundi63 3 года назад
Umenipa raha mtumishi
@tlbarakaministriesintl
@tlbarakaministriesintl 3 года назад
Kwani kuna shida... Mzee Mabaya Dastan anaongeaje? Dk Rose
@dorothtobias8053
@dorothtobias8053 Год назад
Lazima waende hamna namna Mwamposa anakarama ya pekee! MUNGU KAAMUA KUMTUMIA KWA KIWAMGO CHA FLY OVER.
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 2 года назад
Mbaya kumsema mtumishi wa Mungu
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
Mwaposa ananguvu ya Mungu... mnaumia Sana watumisih msio na upako mnamuonea wivu
@danielchaulema1670
@danielchaulema1670 11 месяцев назад
Mchungaji hapepesi
@furahasanga2534
@furahasanga2534 3 года назад
ANKO JIMI WEWE NI MNAFIKI TU UNAWAPENDA SANA WAGANGA WA KIENYEJI WANAOTUMIA JINA LA YESU KWA HAPA DAR WEWE NI WAKALA WAO ACHA HILA NA UNAFIKI.
@lionofjudahtv8796
@lionofjudahtv8796 3 года назад
Na wewe unatumia waganga gani?
@furahasanga2534
@furahasanga2534 3 года назад
@@lionofjudahtv8796 DAMU YA YESU NA JINA LA YESU NI KIBOKO YA MATATIZO SASA LA MILELEE.
@furahasanga2534
@furahasanga2534 3 года назад
WAGA WA WAJADI ANAO WANADI ANKO WATUMIA JINA LA YESU KUIBA IMANI ZA WATU KWA YESU MA KIWEKA LWENYE MAFUTA, KEKI, MAJI NK TOKA KUZIMU.
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 3 года назад
@@furahasanga2534 ancle Jimi mnafiki ?!je huko kwa wafanya mnapenda wote ?!ulijuaje hayo huyasemayo?!?!
@cecygeorge4443
@cecygeorge4443 3 года назад
Mmh
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 2 года назад
Mti wenye matunda ndo hupigwa mawe
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
Mwaposa ananguvu ya Mungu... mnaumia Sana watumisih msio na upako mnamuonea wivu
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 Год назад
Mchungaji mtetezi wa vijana 😂😂😂😂😂
@abdirahmanmahamudmuhumedka6713
@abdirahmanmahamudmuhumedka6713 9 дней назад
😂😂😂😂 hakuna Kama hananja
@rsfdzxzx2274
@rsfdzxzx2274 Год назад
🇧🇮🇧🇮💪💪
@judyngowi391
@judyngowi391 2 года назад
Duh! Mchungaji kiboko, kuishi na mateja sio kazi ndogo ujue
@jamespeter882
@jamespeter882 3 года назад
Ni mhimu kuwa na tuition
@siacollins8553
@siacollins8553 3 года назад
Mwamposa tishio,amesaidia wengi,wachungaji wanamwogopa,Munngu kamtuma kufungua watu
@ngwanafabian9668
@ngwanafabian9668 3 года назад
Hivi unajua maana ya kusaidia? Utamtambuaje mtumishi wa shetani? 1. Hakemei dhambi 2. Hafundishi kurudi kwa Yesu 3. Hafundishi kuwa kuna jehanamu 4.hafundishi ufalme wa mbinguni 5. Hafundishi hukumu ya mwisho. Wanapenda kufundisha 1. Kufanikiwa hapa duniani 2.kuondolewa mikosi na laana 3.wanafundisha kuhusu upendo wa Mungu. Haya ni kwa uchache tu zaidi soma Yeremia sura ya 23.
@paulrwechungura5342
@paulrwechungura5342 2 года назад
Keisha kupa Jina, hana jipya
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 2 года назад
Hawa ndio kondoo wanapigwa
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
Mwaposa ananguvu ya Mungu... mnaumia Sana watumisih msio na upako mnamuonea wivu
@anevelymkambi5389
@anevelymkambi5389 28 дней назад
Anawafungua!!!!! Yesu akasema, msifurahi kwakua pepo wanawatii Bali furahini kwa kuwa majina yenu yameandikwa mbinguni
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 2 года назад
Tusiwasemeshe semeshe watumish wa mungu, kumbuka kilichompata Miriam na haruni mungu alikasirika na wengine wengi tu WAM EPA TWA na balaa. Kimsingi kila mtu kaletwa na lake kwa na kwa majira fulani. Tunapoenda huko na huko tunatafuta lada na uponyaji mkamilifu kwa neema tu isiyotabirika ya mungu tu
@bonifacebeatrice8077
@bonifacebeatrice8077 3 года назад
Maana Yeye ni mpanzi mwema
@dicksonshenkalwa5470
@dicksonshenkalwa5470 2 года назад
Usishangae Waluteri wanakwenda tuition. Ni wale ambao hawalielewi neno. Na siyo wachungaji wote ni watumishi wa Mungu, wengine ni WA shetani. Ndiyo maana Mch. Hananja kasema waacheni wanayokwenda tuition waende, mtihani baadae. Tafakari.
@magdalenajohn6564
@magdalenajohn6564 3 года назад
Nilijua italeta shida
@festoloweza9868
@festoloweza9868 2 года назад
Mbona mwongo hakuna kibaya hapo
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 3 года назад
Unatishaa mno
@i.m.cgoodsamaritanchurchmtwapa
Elewa kustaafu sio kutokuweko,umesema "angekuweko angekuwa na ushawishi mkubwa" ,tambua Leo ana ushawishi.mkubwa zaide ya kale.
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
Mwaposa ananguvu ya Mungu... mnaumia Sana watumisih msio na upako mnamuonea wivu
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 2 года назад
Aheee tunaenda wewe usiende kama vp tuachie wenyewe na Mungu wetu
@muhandosilaam3158
@muhandosilaam3158 3 года назад
Kiukweli bibilia iniajilesa wasi kuwa nyakati za mwisho sikifika kutajitokesa wanabii wengi kwa jina langu ila mtumishi huyu yuko visuri
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
Mwaposa ananguvu ya Mungu... mnaumia Sana watumisih msio na upako mnamuonea wivu
@Nyukiliabingwa
@Nyukiliabingwa Год назад
Kuhani Musa ndo tishio
@kyaruzifred7562
@kyaruzifred7562 3 года назад
Mwamposa anatishia nini?????????? Usiongeze neno wala usipunguze neno
@neycuth6846
@neycuth6846 3 года назад
Hahaaaa!
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@asabachris7777
@asabachris7777 3 года назад
Zehebu alikupeleki mbinguni
@irenemsumba6776
@irenemsumba6776 3 года назад
Kila mtumishi ananeema yatofaut
@augustinochilongola2593
@augustinochilongola2593 2 года назад
Mtangazaj unamalza mb zetu, unaongea sana vdeo inakuwa ndefu
@nuratkalinga581
@nuratkalinga581 3 года назад
Huyu nahisi alishavuta bangi.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Ndiyo na aliacha
@sophiaqhamarqhamara6452
@sophiaqhamarqhamara6452 Год назад
Mwaposa ni fernasion Wa ukweli
@gabrielgeorge2831
@gabrielgeorge2831 3 года назад
Mwamposa ni mfanyabiashara .
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
nawowe kafanye biashara tuje
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
upigwekwa jina la YESU
@venelandakundi63
@venelandakundi63 3 года назад
Ukweli watu wanahangaika mno kutafuta miujiza mwishowe watapata wanachokitafuta
@gabrielgeorge2831
@gabrielgeorge2831 3 года назад
Mwamposa ni mganga
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
BASI NAWEWE MCHAWI ULIJUAJE
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 2 года назад
Kafanana na marehemu Mzee Majuto😄😄
Далее
Будзек и рецепт🐝
00:25
Просмотров 80 тыс.
wasabato sio wakristo
19:22
Просмотров 6 тыс.
MOSES KULOLA Sikuzinakuja zahatari E.A.G.T Muwemakini
23:51