Habari. Nimesoma certificate ya Information Technology, nahitaji kusoma Diploma ya Information Technology. Naomba msaada wako. Niwe na Documents gani? Ada bei rahisi ni kiasi gani? Hostel za bei rahisi sana ni bei gani?
Hello abari za asubui ndugu zangu. nawashukulu sana kwa ushilikiano na upendo na ushauli wenu,kwa uyo ndugu yetu ambaye yuko New Jersey je nitawezaje kutoa ushauli kwake mimi nipo Delaware Wilmington na mimi nimepitia hayo anayo pitia lakini sasaivi tuko sawa na mwanangu.
Tatizo wewe mzee wa EBM autoi PIN watu watafikaje huko, wewe kazi kuhoji vtu vya kijinga tuu, sasa hivi kuna dada yetu 1 tunamkubali saana anaitwa Devota lnflluença1 huyo anatupa madini yoote soon tutafika majuu, wewe kaa na hayo mallotel yako