Тёмный
No video :(

Laptop Ya Bei Rahisi Yenye Uwezo Mkubwa || Nzuri Kwa Wanafunzi wa Vyuo 

Vedasto Makota
Подписаться 8 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

Tunakuletea maelezo yote unayohitaji kujua kuhusu smartphones na laptops pia tunaonyesha namna ya kupata programs tofauti tofauti free!!
Subscribe ili upate notification pale video mpya itakapotoka.
Kwa Ushauri zaidi kuhusu simu pamoja na laptops unaweza kutupata kwenye account zetu za instagram pamoja na Facebook (vedasto makota)
Video nyingine za laptop na simu:
Hp Pavilion x360:
• Laptop Nzuri kwa Wanaf...
Xiaomi Redmi Note 8 & Note 8 pro:
• Fahamu Sifa Za Xiaomi ...
Laptop nzuri kwaajili ya wanachuo:
• Laptop Nzuri kwa Wanaf...
Samsung galaxy Tab A:
• Fahamu sifa za Samsung...
Email: vfmakota@gmail.com
Instagram: vedasto_makota
Facebook: Vedasto Makota
Video courtesy content of:
Gulbahar Technical: • ASUS VivoBook S15 Offi...
Thanks to:
pngtree:'pngtree.com/ pngtree.com

Опубликовано:

 

25 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 83   
@viviannjau6788
@viviannjau6788 3 года назад
Brother nimekuelewa kwani bei gani nimeipenda sana
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
800,000 mpaka 1M
@yoelmwasopo1475
@yoelmwasopo1475 3 года назад
Bloo ee mim na 300000 naweza kupata dizaini hio
@esthermsacky2327
@esthermsacky2327 3 года назад
Nimeupenda nzuri sana ni shingapi
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
800,000/=
@chillhouse8457
@chillhouse8457 4 года назад
Good one bro
@welloflove4981
@welloflove4981 7 месяцев назад
hp elitebook 840 g5 hiyo iko saw kwa editing video
@tulbirsingh6488
@tulbirsingh6488 4 года назад
Nice bro
@user-wv1qe9yl5c
@user-wv1qe9yl5c 3 месяца назад
Kna begi ya kuegea laptop
@user-wv1qe9yl5c
@user-wv1qe9yl5c 3 месяца назад
Mambo me catherine lekule plz nahitaji laptop no zako ni hipi
@VedastoMakota
@VedastoMakota 2 месяца назад
Habari boss, nicheki instagram nitumie message. Hapa siwezi kuweka namba ya simu
@bankuwungukabalthelemy
@bankuwungukabalthelemy Год назад
Nahitaji computer Kama hiyo Bei inauzwa Bei gani?
@selefei2999
@selefei2999 3 года назад
Brother laptop ya HDD vp kama nitabadili kwenda SSD naweza kufanya hivo?
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
Ni vizuri zaidi maana SSD ina perfomance nzuri zaidi ya HDD
@jumaothman5019
@jumaothman5019 3 года назад
good job kk
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
Nashukuru ndugu yangu. Usisahau kusubscribe kaka
@francismwakilema3134
@francismwakilema3134 3 года назад
Bei gani sasa?
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
1 M kaka
@diblomo4975
@diblomo4975 2 года назад
Kaka jinsi ya kuangalia imei kwenye pc
@ummysaid2670
@ummysaid2670 2 года назад
Ina itwaje sas na Bei n kiasi gan iyo laptop et
@PaschalKaheza-mk9wc
@PaschalKaheza-mk9wc 4 месяца назад
Inauzwa Bei gan hiyo
@juliuskivuyo2043
@juliuskivuyo2043 2 года назад
Inauza bei gan..mkuu...?
@rashidbakar6033
@rashidbakar6033 3 года назад
Asante bro ila m naitj kuelewa bei yake hiyo
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
800k kaka
@rashidbakar6033
@rashidbakar6033 3 года назад
@@VedastoMakota kwa Tsh je
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
800,000 Tsh
@swalhatkid330
@swalhatkid330 3 года назад
Bei gani iyo
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
1M dada yangu
@xmaramoja362
@xmaramoja362 3 года назад
Sasa 1m ndo bei rahisi?
@HurumaKaay
@HurumaKaay 3 месяца назад
TSH ngap hio
@fridahveneth751
@fridahveneth751 3 года назад
Good onee how much
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
800,000 Tzs
@jebftech5467
@jebftech5467 3 года назад
Price?
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
800K
@shekhaabdully2609
@shekhaabdully2609 3 года назад
mnapatikana wap??
@assaamanmwansasu1525
@assaamanmwansasu1525 2 года назад
Unapatikana maeneo gani mkuu
@josestudio4534
@josestudio4534 2 года назад
bei zinaendaje
@shekhaabdully2609
@shekhaabdully2609 3 года назад
bei gn bro
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
800k kaka
@AbdulSaid-ls5ik
@AbdulSaid-ls5ik 3 года назад
@@VedastoMakota iyo ndo bei gni 800k
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
@@AbdulSaid-ls5ik laki 8 kaka
@alfaksadifunke804
@alfaksadifunke804 9 месяцев назад
Shi ngPiii kwa sasa? 2023?
@roziisaka5646
@roziisaka5646 3 года назад
Ninawapataje
@user-hc9lg4vz7y
@user-hc9lg4vz7y 9 месяцев назад
Bei ya hio laptop ni ipi
@ireneavelin6947
@ireneavelin6947 3 года назад
Bei gan
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
800k
@user-cw6zh4de4g
@user-cw6zh4de4g 10 месяцев назад
Nahitaji hiyo raptop naipataje kaka
@alfaksadifunke804
@alfaksadifunke804 9 месяцев назад
Shingapiii
@husseinjuma5068
@husseinjuma5068 3 года назад
Bei gani
@zakariachami8533
@zakariachami8533 3 года назад
Mbona usemi nini gani kaka
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
Kitu gani kaka nikuelezee?
@zakariachami8533
@zakariachami8533 3 года назад
Bei kaka maelekezo nitapata vizury
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
800,000 - 1M kaka
@jumaothman5019
@jumaothman5019 3 года назад
naweza kuipata wap hii nataka i7 vivobook
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
Naweza kukuagizia china au India kaka
@jumaothman5019
@jumaothman5019 3 года назад
nipe contact yako
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
@@jumaothman5019 vfmakota@gmail.com
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
Nicheki hapo then ntakutumia namba
@leonardmtutuma1738
@leonardmtutuma1738 3 года назад
@@VedastoMakota no zako kaka
@redstarofficial8854
@redstarofficial8854 3 года назад
Ni bei gani hyo bro??
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
800k
@jumaothman5019
@jumaothman5019 3 года назад
mziki.usiweke mwingi waislam hawapend musik
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
Sawa kaka. Shukran kwa suggestion yako.
@slyben7915
@slyben7915 3 года назад
Kwan hii video inahusu waislam? Acha ushamba ww
@zuhurasaid1260
@zuhurasaid1260 2 года назад
@@VedastoMakota naomba namba yako naitaka hii
@zuhurasaid1260
@zuhurasaid1260 2 года назад
@@VedastoMakota naitaka hii nipe namba yako au nielekeze duka lilipo
@VedastoMakota
@VedastoMakota 2 года назад
@@zuhurasaid1260 0683286700
@user-wv1qe9yl5c
@user-wv1qe9yl5c 3 месяца назад
Mbna hujanijbu
@joskimmaro1556
@joskimmaro1556 2 года назад
Kwan hizo core, na hizo generation zinasaidia nn kweny ps
@VedastoMakota
@VedastoMakota 2 года назад
Ni processor za laptop ambazo zinasaidia perfomance ya laptop.
@siahmaucky4459
@siahmaucky4459 3 года назад
Inauzwa shiling ngapi hiyo laptop
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
Inategemea na storage na ram lakini hua zinaanzia 1M
@joskimmaro1556
@joskimmaro1556 3 года назад
Hiyo nitaipata wap mkuu
@VedastoMakota
@VedastoMakota 3 года назад
Ipo ndugu yangu inapatikana Nicheki kwenye 0683286700
@user-cw6zh4de4g
@user-cw6zh4de4g 10 месяцев назад
Nahitaji hiyo raptop naipataje kaka
Далее
Watch this BEFORE You Buy a Laptop!
16:12
Просмотров 3,8 млн
Cristiano ronaldo VS Tibo Inshape ! 😱😱
00:20
ПАВЕЛ ДУРОВ АРЕСТОВАН
1:45:21
Просмотров 109 тыс.
Simu zote za Samsung na bei zake(2022-2024)
19:56
Просмотров 4,1 тыс.
HP Stream 14 Review
6:53
Просмотров 153 тыс.
Jinsi ya kujua uwezo wa kompyuta yako
8:15
Просмотров 1,2 тыс.