Тёмный

LAZIMA UCHEKE: MCH. HANANJA AMVUNJA MBAVU KELVIN SHAYO KATIKATI INTERVIEW AKI.. 

Tiki Tv
Подписаться 422 тыс.
Просмотров 31 тыс.
50% 1

LAZIMA UCHEKE: MCH. HANANJA AMVUNJA MBAVU KELVIN SHAYO KATIKATI INTERVIEW AKI..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#LAZIMAUCHEKE #MCHUNGAJIHANANJA #MCHRICHARDHANANJA #TIKITVKIAKILIZAIDI

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 100   
@hopejohnson7352
@hopejohnson7352 2 года назад
Jaman hyu mchungaji nampenda xna❤️❤️❤️
@EradeErias-un3cm
@EradeErias-un3cm Год назад
Napenda sna mahubiri yako maan nabarikiwa Mungu aendelee kukutia nguvu
@theresiamwandara7990
@theresiamwandara7990 2 года назад
Da!Tuwaheshimu watu wametoka mbali.Mchungaji Mwenyezi Mungu akubariki
@neemamassawe3675
@neemamassawe3675 2 года назад
Asante mchungaji Mungu akubariki saana
@abdallahrashid169
@abdallahrashid169 2 года назад
Mimi muislam ila huyu mchungaji namkubali na napenda sana mafundisho yake
@lobnalobna2393
@lobnalobna2393 2 года назад
Huyu mchungaji huwa namwelewa Sana mungu amu bariki Sana
@ukendemartin165
@ukendemartin165 Год назад
Mchungaji yupo vizur
@sabinakilian3176
@sabinakilian3176 2 года назад
Nilijua nimemaliza kukutizama kupitia interview zingine kumbe kuna mengi ulikwa hujayasema leo nmekufaidi kweli, asanteni Tiki Tv.
@felicianamutakyahwa1549
@felicianamutakyahwa1549 Год назад
Mungu akulinde mtumishi wako
@felicianamutakyahwa1549
@felicianamutakyahwa1549 Год назад
Mtumishi wake
@dianadaudi3380
@dianadaudi3380 2 года назад
Naombeni like zangu cjasahau
@kalistamtanzania7220
@kalistamtanzania7220 2 года назад
Haya na mimi nmekupa
@adolphendereyabandi5746
@adolphendereyabandi5746 2 года назад
Ujengewe sanamu mchungaji,asei umefundisha ukweli
@dianadaudi3380
@dianadaudi3380 2 года назад
😂😂😂😂nampendaga sana huyu mchungaji aisee🙌
@amangearge9594
@amangearge9594 2 года назад
Daaah🤣🤣🤣
@princessmgaya1826
@princessmgaya1826 2 года назад
Hunishindi mimi kwakweli sichoki kumuangalia
@abdallahrashid169
@abdallahrashid169 2 года назад
Na uislam wangu natamani kujua kanisa lake lipo wapi japo niende kwenye ibada zake.
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 года назад
😳
@feli6manangu182
@feli6manangu182 2 года назад
Heeeee🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 года назад
@@feli6manangu182 umeona eee. Eti aende kanisani. Kaaaa
@mwanakhatib5825
@mwanakhatib5825 2 года назад
Jamani
@edithastephano7734
@edithastephano7734 2 года назад
Safi sana Mzee wa ukweli
@sacg9783
@sacg9783 2 года назад
Mchungaji ww MUNGU akuweke miaka mingi kwakweli
@kalistamtanzania7220
@kalistamtanzania7220 2 года назад
Ni kweli jamani kodi inakwelnda haraka kuliko mwendokasi mwenyewe nmelipa miezi sita juzi tu jana mwenye nyumba kanitumia msg kunikumbusha kuwa tar. 23 mwezi huu natakiwa kulipa kodi sielewi miezi sita imeisihia wapi.
@emanuelmbaga6848
@emanuelmbaga6848 2 года назад
Hiyo story ya kuku wa mazingaombwe imenichekesha kweli.
@wilfredbalohho2283
@wilfredbalohho2283 2 года назад
Mungu tu!
@geraldtarimo3210
@geraldtarimo3210 2 года назад
Kweli hata makabulini kuna misalaba,upo sahihi mzee
@emanuelmbaga6848
@emanuelmbaga6848 2 года назад
Huyu mchungaji anaonekana amemeza bible kuliko hata askofu wake
@lobnalobna2393
@lobnalobna2393 2 года назад
Yaani umenifanya nicheke kwa lazima😂😂😂😂😂
@jacksonbonifacekileo9652
@jacksonbonifacekileo9652 Год назад
Nahitahitaji number ya mch R. Hananjq
@patyflaviank5199
@patyflaviank5199 6 месяцев назад
Tunaomba interview yake nyingine
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 2 года назад
Haya ndo mahubiri yenye uhalisia na sio Mambo ya Mwamposa
@happush2021
@happush2021 Год назад
Mchungaji barikiwa umenipa nguvu nakuenzi naomba nipate Hela niende bible school
@makinitv4891
@makinitv4891 2 года назад
Kwa interview hii wachungaji wasio wa haki watakuchukia sana ila usirudi nyuma
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 2 года назад
Wamchukie kivipi kila mtu na historia yake ya aliyoyapitia. ..
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 года назад
HAHAHAHA huwa nakukubali sana mzee shoyo kazinzuli
@mariahaloyce5190
@mariahaloyce5190 2 года назад
Thank you Kevin
@amangearge9594
@amangearge9594 2 года назад
Nilikua natamani sana tiki tv mumuhoji huyu baba,nimeenjoy sana kuliko interview zake zote pole kelvin shayo kwa kuvunjwa mbavu😂😂😂😂
@kalistamtanzania7220
@kalistamtanzania7220 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣 ila mchungaji yupo vizuri huyu
@davidwaziri8176
@davidwaziri8176 2 года назад
Hata mimi nmefurahi sanaaa kwakweli
@davidwaziri8176
@davidwaziri8176 2 года назад
Interview tamu sana hii Big up Tiki Tv and Kelvin
@emanuelmbaga6848
@emanuelmbaga6848 2 года назад
Kabisa
@malabakalibata7227
@malabakalibata7227 2 года назад
Umenifngua akili, San mchungaji.
@janeongala6684
@janeongala6684 2 года назад
Kwel jamani kodi ni noma uku india tunaripa kira mwezi yani inaenda haraka sana
@dariamushi9356
@dariamushi9356 2 года назад
Tiki Tv nawapata vizuri nikiwa Babati huku.
@ashabakke4733
@ashabakke4733 Год назад
Mchungaji km hutumii alcohol. Tuambie kilevi gani.unatumia mbona mimi naona km umekunywa sana. Tupe ukweli .
@pericykiko6198
@pericykiko6198 Год назад
Ma'am ni kipaji haaaaa
@marthakisanga5963
@marthakisanga5963 2 года назад
Utoo utumwa ujana maswali uzee ugonjwa raia wa nchi mbili duniani na mbinguni😂😂😂
@khadijayusuf7968
@khadijayusuf7968 2 года назад
Tiki tv kiakili zaidi tunawapenda
@princessmgaya1826
@princessmgaya1826 2 года назад
Tiki Tv hoyeeeee hata mimi nawapenda sana wapo vizuri
@amangearge9594
@amangearge9594 2 года назад
Hawapoi hawaboi
@amangearge9594
@amangearge9594 2 года назад
🔥🔥🔥🔥
@kalistamtanzania7220
@kalistamtanzania7220 2 года назад
Tiki Tv Familia moja
@davidwaziri8176
@davidwaziri8176 2 года назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@bahatikyusa8864
@bahatikyusa8864 2 года назад
Dar interview Tam hiii
@salhakhamis4629
@salhakhamis4629 2 года назад
Hahahahahahahaa et ukimwita lazima uimbe docta rouseee
@kambulatamwambablaisenews5128
@kambulatamwambablaisenews5128 2 года назад
Jamani
@habarikamili9408
@habarikamili9408 2 года назад
Mhh.. sawa ila hapo kwa tundaman kuingia na Jeneza na msalaba ametukosea sana wana Yanga.
@missmwayway4704
@missmwayway4704 2 года назад
Amewakosea nyie wanayanga tena, Sio wenye Imani ya upande wa pili? Kwani Yanga ni Dini au wenae umepuyanga
@dariamushi9356
@dariamushi9356 2 года назад
Mchungaji umejua kunichekeaha jamani
@cocorita8367
@cocorita8367 2 года назад
Hata maji unywi mchunguji duh
@marthakisanga5963
@marthakisanga5963 2 года назад
Hata nyau ana mke lakini kama ameoa😂😂😂
@marthakisanga5963
@marthakisanga5963 2 года назад
Nyau ana mke lakini hajui kama ameoa
@kelvinmwangomo8718
@kelvinmwangomo8718 2 года назад
Mchungaji umenikumbusha Chianga Tunduma.Na maneno yako yamenibariki.
@Hananja.r
@Hananja.r Год назад
Upo wapi sasa?
@esperancesudi2842
@esperancesudi2842 2 года назад
To be continued
@paulinaswalehe5298
@paulinaswalehe5298 2 года назад
Chacha mwisho saa sita bila kukaangaa chips
@princessmgaya1826
@princessmgaya1826 2 года назад
Maake kwanza ncheke😂😂😂😂
@dariamushi9356
@dariamushi9356 2 года назад
Warangi wazuri zaidi.
@janeshayo1667
@janeshayo1667 2 года назад
Mhhh wachaga bhana.😋
@nasiraidid5861
@nasiraidid5861 2 года назад
Nilikuwa mfupi kama tairi ya gari lol! 😂😂😂😂😂😂😂
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 2 года назад
😀😀😀😀
@missmwayway4704
@missmwayway4704 2 года назад
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅Aaaaaiiiiiiiii weweeeeeeeeee
@deborahrehema5819
@deborahrehema5819 2 года назад
😅😅🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣😅😅 huyu mchungaji
@catherinensemwa3907
@catherinensemwa3907 2 года назад
Leo hata wanaume wazuri😂😂😂
@dariamushi9356
@dariamushi9356 2 года назад
Warangi bhana
@catherinensemwa3907
@catherinensemwa3907 2 года назад
Huyu baba maneno sijui anayatoaga wapi hapo kwenye wachungaji kutaka hela zetu halafu wanatulaana ukweli kabisa Yani unaenda kanisani unakalipiwa na unaambiwa utoe ubarikiwe daah ukifungua kanisa me ntakua muumini wako mchungani nikufurahi tu🤣🤣
@mariamswedi1140
@mariamswedi1140 2 года назад
kwa hyo unataka maneno ya kufarijiwa alafu uende mbinguni barabara ya mbinguni n nyembamba sana
@sabinamushi1003
@sabinamushi1003 2 года назад
Mbavu zangu mimi jmn 🤣🤣🤣🤣
@janeshayo1667
@janeshayo1667 2 года назад
🥱🥱🥱 nmecheka hadi nmepaliwa 🤣🤣🤣🤣🤣
@thelionwomen4970
@thelionwomen4970 2 года назад
Uyo ni muchungaji ama comedian parsol
@rsfdzxzx2274
@rsfdzxzx2274 Год назад
😄😄😄😄🤣
@raykim6420
@raykim6420 2 года назад
Hahahaaa hananja oyeeee😂😂
@ceciliastephano3020
@ceciliastephano3020 Год назад
Hongera sana Mch Rich
@ceciliastephano3020
@ceciliastephano3020 Год назад
Unapatikana wapi Mch
@gestinabunganiekuya6300
@gestinabunganiekuya6300 2 года назад
Hakuna mchungaji wa Mungu wa kweli anayeongea mizaha na lugha za kihuni huyu ameshavamiwa na roho chafu
@sabinamushi1003
@sabinamushi1003 2 года назад
Kama ww mtakatifu tangulia mbinguni unafanyaje hapa duniani sipendi mijitu inayopenda kuhukumu wengine😏
@josephjohn2114
@josephjohn2114 2 года назад
Na manabii wanaojiita bulldozer, komando mashimo, nabii mkuu, mzee wa upako utasemaje? .unahitaji kuongeza maarifa.
@amanlenatus9067
@amanlenatus9067 2 года назад
Wewe maarifa yamepungua hujielew
@edwinmwiti8936
@edwinmwiti8936 Год назад
Nakuonea huruma
@sacg9783
@sacg9783 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@emanuelmbaga6848
@emanuelmbaga6848 2 года назад
Baabah?😂😂😂😂
@kalistamtanzania7220
@kalistamtanzania7220 2 года назад
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@feli6manangu182
@feli6manangu182 2 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@genesishalisi7161
@genesishalisi7161 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😅
@kambulatamwambablaisenews5128
@kambulatamwambablaisenews5128 2 года назад
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣niatari
@sabinamushi1003
@sabinamushi1003 2 года назад
😂😂😂😂😂😂
@davidwaziri8176
@davidwaziri8176 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@esperancesudi2842
@esperancesudi2842 2 года назад
To be continued
Далее
НЮША РОЖАЕТ?
00:17
Просмотров 1,1 млн
MCH. HANANJI | "DIAMOND, SHOLO MWAMBA NI WATOTO WETU"
37:38
PROF KABUDI ASHANGAZA WENGI KWA HOTUBA YAKE
37:31
Просмотров 184 тыс.
Adui wa Njiani | Bishop Dr. Josephat Gwajima | 13.10.2024
2:51:30