Hiki ni kipawa kilichotukuka na Kila mwanadamu anacho Cha kwake tunashindwa tu namma ya kuvitumia.Mungu andelee kukupa nguvu mtumishi ongera Sana pia Kwa kielimisha jamii.
Asante kwa kusifia waislam nikweli tunahofu ya mungu Zanzibar hakuna mambo ya ajabu kabisa ndo mana tunaamani sana na huwezi sikia mauaji kama sehemu zingine
Hajasifia Uislam amesisitiza imani. Kama Wazanzibar wangekuwa na Uislam ndani ya mioyo yao Sheria za Kiislam zingesimama automatic. Hakuna mauwaji lakini kwa kubakana hatari!
Luka 6:41-45 BHN Kwa nini wakiona kibanzi jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako? Au, wawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi jichoni mwako,’ na huku huioni boriti iliyomo katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Toa kwanza boriti iliyomko jichoni mwako, na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilicho jichoni mwa ndugu yako. “Mti mzuri hauzai matunda mabaya, wala mti mbaya hauzai matunda mazuri. Watu huutambua mti kutokana na matunda yake.
Anongea maisha halisi,sema Huwa anapresent kwa utani wa kuchekesha, uzuri utani wake unachekesha na kufundisha, na Hilo la superglue,mate kama juice ni uhalisia wa maisha wa sasa,sio masiala
Mafunzo makubwa kupitia joa ya Comedy na ukweli na Mafunzo ya Dini. Amri ya Dini zote hazitaki maasi. Zinafundisha kumjuwa Mmungu na kufuata miongozo ya mambo mema. Mmungu akubarik Kaka na mtangazaji pia
Hahaha nimekumbuka mbali Sana ,Mimi ni mama wa watoto wawili, hata nami nilianguka mikono mibaya Sana kwenye ndoa ! Ni mume lakini hakuwahi hata kutamani kufahamu familia yangu, nimeumwa Sana hospital doctor anamuuliza mume huyu mkeo anaitwa Neema Nani ? Hakuwa akijua Jina la baba yangu 🤣🤣 Dunia Ina Mambo
Nimeona comment za watu wanafurahia Sana maneno ni matamu hata hawachoki kusikiliza lkn je angesema inakupasa uokoke ,nani angependa kusikiliza kama hajaokoka, Tena sio wokovu wa bandia Bali ule wa kweli unaoanzia msingi wa Marko 16:15-17. Wa kubatizwa baada ya kuiamini injili sio kubatizwa ukiwa mtoto Wala kunyunyiziwa maji ya uso kabla hujahubiriwa Wala kuamini. na hali wanaokufanyia wanajua kabisa Neno halitakiwi kuongezewa Wala kupunguzwa
Mtoto anatakiwa kulelewa, na kubatizwa kwa maji mengi au kunyunyiziwa. Haina maana ni mtu bora. Maadili mema yanatokana na malezi Bora apatayo mtoto ikiongozwa na neema ya Mungu.
MTU ALIEJAA ROHO MTAKATIFU NDIYE ANAUFAHAMU WA KI MUNGU KUJUA ANAEWEZA KUHUBIRIWA NI KILA KIUMBE LKN ANAEAMINI NI YULE ALIEIPOKEA NEEMA NAE BAADA YA HAPO HUITWA MWANA WA MUNGU. TENA KIUMBE KIPYA. SO WOKOVU UNAKUJA KWA KUIKUBALI INJILI SIO KUIREKEBISHA UTAKAVYO HATA UBATIZE VITOTO VILIVYO NJE YA KUAMINI
Mashallah tabaraka Allah,mungu yupo na sababu kubwa kueka viumbe vyenye uwezo wa ki cycology kwajili ya helimu ilio baraka Za mungu mwenyewe mimi sina zawadi yakumpa huyu mjomba ila nimempa zawadi ya ukweli alio usomesha kwa wale vijana tulio anza safari ya ndany ya ndoa ivyo basi tujifunze kupitia maneno ya watu wazima wenye busara na helimu za ishima kama izi basi tusome mungu atueke sote kwenye ilimu yenye imenyoka kama iyo....🤲🤲