Hajasema baya!lkn Sio w/ume wote wa kiislam wanaweza kuuangalia mke!wapo waume wengine hata hawajui kama mke ni jukumu lake mume! Ila wao ndo wanataka mke ajue kuwa mume ndo Kila kitu kwa mume!waume ukiona mke anataka kuanza kujiangalia mwenyewe au anaomba kuachika basi ujue wewe mume hufanyi majukumu yako ipasavyo!hakuna mke hapendi kuangaliwa na kutunzwa! Ila ndani mambo hayako sawa
Hiv Kwa Nini wanawake wengi wakishapata mafanikio kidogo tuu ya kidunia hua wanaanza kujiona wanaweza kuishi bila wanaume? Sasa kipi Bora kama wewe ni Muislam huwe na Mume ustirike au ukijiskia unaitaji sex uonge Mume Hela zko Mkafanye nae Zinah?
MashaAllah MashaAllah Leyla. Mwenyezi Mungu akulinde na Shari za kila aina, akujaalie moyo na ujasiri wa kujisitiri. Nimekuelewa sana. Umejaribu ktk ndoa, haikuwezekana. Endelea na maisha. Nakupenda Bure tu.
Tusidanganyane, na yeyotete asiwadanganye, heshima yya mwanamke ni NDOA bila ya NDOA hujakamilika. Tambuweni kuwa mila binadamu amepewa MIDOMO MIWILI wa chini na wajuu yote hiyo kwa madhumuni ale ashibe, sass kama hujaolewa na hutaki kuolewa huu mdomo wa chini una upatiajei chakula? Vinginevyo ni UZINIFU.. Mimi sisemi kwa unazi hili ni andiko. Niliko masheikh wanazuoni hawajafikia . Inapendeza sana kila binti awe tajiri awe masikini NDOA ndio wajibu kwake. Itokee sababu tu ya kutopata mchumba, na hii inatokana kwa binti kutojistiri. STARA ndio kitu cha kwanza kikubwa mwanamke amepewa na Mola wake, ndio maana Bikra Mariam alimpendeza Mola wake baada ya kuvunja UNGO alidumu katika kujistiri. BIKRA ni DHAMANA KUBWA wengi hawajuwi. Mwalimu nipo Darusalaam kwa ushauli ++255715417511 na +255784417511.Ila mimi si mganga.
Kweli kabisa Leila ndoa ni Qadar ama majaliwa hakika. Ya salaam maneno yameni touch kazini at this moment !!!! Greetings from Adelaide South Australia 🦘🦘🌏
Ndoa ni lazima kwa mwanamke kwa mwanaume Wanawake wengi hawadumu ktk ndoa kwa sabanu hizi 1- Huingia katka ndoa bila kujua elimu ya ndoa 2- Kujifanya anajua kuliko mwanaume 3- kujiona anaweza kutafta pesa( wanawake wote wanaojifanya wamastaa hawana wanaume) 4- wanasoma elimu ya mdoa krk mitandao nan kasema nın bıla kujua kuwa kıla ötu ana aıma ta mume wake 5- kufananısha maısha yake ma menzake kwa mumewe 6- kupaza saut anapoongea na mumewe 7- kujisahau akiwa katka ndoa na kuish tu atakavyo 7- kuisg kimazoea 8- kutokumjua aina ya mune alinaye 9-
Mashallah Allah akulinde na shari za wanadamu wengi wanapatamani ulipo ata mm n mme pia ila natamani hiyo kazi cha msingi changa maadili tu na mche Allah.
Stara ya mke ni mume. Usijidanganye wala kupoteza wenzako. Pesa wala kazi si muhimu kuliko mume ,na ana daraja kubwa .mke radhi yke kwa mumewe. Maisha huenda na vi wili wili etc mke na mume,usipote .la muhimu maisha ni subra.
Wako wanawake tele kwenye ndoa na wameweza kutengeneza maisha ndani ya ndoa na maisha yanakwenda vizuri tu. Muandishi unataka kuwapa vichwa vikubwa hao kinadada wasiotaka ndoa tangu mapema na ujuaji mwingi. Ungewafuata na hao waliomuoa ukawahoji. Msema pweke hakosei.
Mfumo wa maisha ulivo ni kama alivouweja Allah sasa kushindana na mfumo huo bas utapotea tu. Maana inajulikana sana tu kuwa mtu akisema hataki ndoa bas Allah anajua kwa nin hasa
Assalamu alaikum kina mama na waislamu wote lazima muelewe kua ndoa za KIISLAMU HAZINA UHUSIANO NA MALI AU BIASHARA ZA WANANDOA NA HESHIMA NDANI YA NDOA HAHARIBIKA KUTOKANA KUKOSA UCHAMUNGU someni dini inasema nini msiigie katika kulaumu ndoa na sheria za dini MTAKUFURU TAHADHARINI
Ndugu zanguni, haina haja ya kumtukana, kumsema vibaya nk. Hebu kuweni na moyo walau wa kumuombea dua njema kwa Mola Mtakosa nini? Waume wenyewe sasaivi ni wa sayansi na teke linalokujia !!! Mtihani mitupu.
Huyu ndio wale wanawake wanaotaka kuchukua majukumu ya kiume ambayo sio ya kwake na kujifanya yeye ndio mwenye amri kwenye nyumba zaidi ya mumewe, . Mwanamke wa aina hii hafai kuwa mke, Atabakia kuolewa na kuachika mpaka kufa kwake. Jila lake la kipagani kwa Sasa anaitwa lala Joseph
Sio kila mwili unataka kufanya tendo hilo!amekwambia yeye mgonjwa! Mpaka hapo usha elewa,hawezani bora afanye yake maisha kama hivyo yamwendea vyema!mume ni shuuli nyingine nzito kazi juu ya kazi, ameona bora awekeze ktk anacho kuweza Alhamdullah anaweza Allah ambarik
Wewe kama unataka umalaya tafuta malaya mwenzio lakin mume kua na wivu na mke wake ndio mapenzi hayo na mtume asema haingii peponi mtu asie na wivu wewe wataka uwachiwe kama limbuzi ama lingombe na hata upate mume wa aina unayotaka bado t utamtoa kasoro kwa unavyoonekana huna shukran
Kuoa au kuolewa ni maamuzi ya mtu mwenyewe , ninachoshangaa kwanini jambo hili kuwekwa ktk mitandao hali ni jambo la mtu binafsi ? Majibu yamekuja ni kwamba lengo ni jamii kuiharibu Ili waichukie ndoa na waachane na mafunzo ya dini mungu akuongozee dada yetu uzur wako huo mwisho ni dongo kaburini
Nani kasema ndoa ni Ibada? Unasema ukipata mume muislamu mwenye dini huezi kufanya unayofanya ndiposa ukaonelea ni heri uwe "singo" uwe huru kufanya utakavyo. Swali langu. Lipi unalofanya hata kuwa mume akiwa muislamu mwenye dini hatokuacha ufanye? Nasiha yangu. Angalia mume mwenye dini mbali na uislamu au bora zaidi asie na dini.
Usiutukanishe uislam mama haujui dini leo unatomboka na kukashifu ndoa za uislam kwa sababu huo uhuru unaosema uko ukafirini sie waislam tunamipaka na sheria za haki ya kila mtu katika ndoa na ujue riziki anatoa Allah
Lkn msiitumie dini kuwaumiza wanawake! Siku hizi mume ndo afanya mke aweze kuwazuia maisha kama haya nyie waume mna wapresha mpaka waona bora awe na maisha yake! Kama aweza kujizuia na machafu Alhamdullah,lkn sie waume ndo tunawatumia vibaya wanawake kwa kisingizio cha dini, dini isiwe vitisho kumgandamiza mke! Tuwe nao kwa kuwapa nafasi atusaidie wakiweza Sio lazima!mpe uhuru wa mipaka asitoke inje ya mipaka yako na dini!lkn mume huna kitu cha kumlisha kumvisha mke nabadowamlazimisha aishi maisha yasiyo na furaha kisa wewe huna uwezo
U napo I taka Dunia Mungu atakupa uhangaike nayo. Nsoa ni hesbima yako na m bele ya Mola wako na mbele ya Malaika. Na hukupa heshima mbele ya jamii na familia yako. Futa usemi huo. Iwapo kweli unamtii Mwenyezi Mungu.
Wanawake tumcheni Allah ,waulizeni wenzenu wakike walo jifahamu malengo Makubwa ni kuridhiwa na Allah na the simplest way kupata nikupitia ndoa ,yalobakia ni mapambo tu haya saidii chochote kesho feminism is killing you silently .No one will understand this except pious one
MTIHAN WALLAHI 😢😢😢😢 TUMUOGOPE ALLAH TUSOME DINI YETU PUMZI ZISITUHADAE ... "ETI SHERIA ZA DINI ZIPO TOO MUCH " HUYO BIBI HADIJA ALIFANYA BIASHARA LKN KIONGOZI WAKE ALIKUA MUMEWE MTUME WETU... WW KM HUWEZI NDOA USISHAJIHISHE ZINAA
Wewe cyo muislamu usituektiye eti kwa dini ya kislamu mume anatakiwa na wivu hivo ni ngumu nenda uko achana na uislamu kachaguwe kanisa uko ili uwe huru tena usijite muislamu
hutaki kuolewa lakini Zina bila shaka haikupigi chenga mche Allah umri wa binadamu ni mdogo sana akizidi sana ni sabini waliopita hapo Allah amewajalia Sasa wewe na mimi tuihesabu hapo tulipo Bado kama ishirini hivi takriban au dakika yoyote kwahivyo na kunasihi kubali hata Mimi hapa nikuoe Sina pesa na Wala sitaki zako kwa ajili ya Allah TU
Yeye hajaachika ili akadange!ana pesa na maisha Alhamdullah, Amejaribu ndoa mara 2,ameona hana bahati ktk Ndoa!angekuwa ataka wanaume angelioleka tena mara 3,nahata 4!lkn yeye hayuko tena huko unako waza wewe,yani hapendi kuolewa tena! amejiangalia afya yake hawezi tena!kushuulikiwa mume, Mtu wajijua yeye kwanini kumuhuku kwa kitu ambacho pengine hatafanya hayo machafu unayo muwazia, Allah amnusuru i'nsha'allah
@@aairraahseif5648 sasa ndoa ni dini so mtu mwanamke kusstilika hutaki ndoa unataka nini zaidi si kudanga atakaje bilaa matamanio sabu si malaika huyo laazima atamani si anakula na kushiba
@@aairraahseif5648 saasa maatamanio yake atatolewa na nani ikiwa mtume kasema ndoa ni jambo la kheri na ninusu ya dini anapesa anakula na kushiba hatotamani tendo la ndoa huyo
Stara ya mke nimume! Kweli'lkn hao waume wapo?mume yeye pia angojea chako mke ili aishi, hivi leo wako hao waume unao waongelea wewe!mume ni stress kwenda mbele waweza kufa sababu ni mume! Sio waume wote waweza kutunza mke! Wachache sana tena walo jaaliwa
@@jumaseifjuma4185 unaweza usikipate hicho unachotaka kukisikia kwa mwenye ndoa! Ukweli Sio ndoa zote zinafanya na kufanikiwa! Ni watu kuvumiliana tu'ndoa nyingi ni mtihani! Furaha ya ndoa ni chache sana, huwa nipale mwanzo tu'hata mwenye ndoa akiulizwa ataficha vitu vingi kuviongea akilinda ndoa yake na kuogopa fedheha aibu,lkn ukiamua kustahimili utafaulu Aakhera lkn siyo duniani kwa pande zote mbili mke na mume, na vipo vitu vichache waweza vumilia, pia vipo vitu vizito vingi huezi stahimili kuvumilia
Ukishazoea ujahaba bad kila kitu cha ndoa utakiona kibaya ogopa sana mwanamke aliezoea mboo za wanaume wengi hutodum nae kabisa maana ukahaba kesha uzoea