Yan mwanamke unapokuwa kwenye mahusiano unatakiwa kuwa muangalifu wa kuchanganua mambo kabla hujachukua maamuz lasivyo utakuwa na wanaume wengi hapa dunian
Mke alianza vizuri kwa kumlinda mume kwa kuwaomba wasimpige. Lakini anakosa busara kwa kutukana. Hilo la mke kumtukana mume ni ukosefu mkubwa sana wa heshima. Hata kama mumeo kakosea, sio poa kabisa mke kutukana mume.
Yaani Mimi huu ufala wa kutukanwa hivi na bado nachekelea utoke wapi?? Mwanamke wa hovyo kabisa huyu....Hana hekima kwa mume..na wewe mwanaume unakenua tu meno 79 nje😂...maninaaa.... mwanamke yeyote ambaye hawasalimiki watu wa ulimi wake, hawezi kulea familia yenye hekima na ustawi wa jamii💯