Holy Spirit Amen 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, kila siku napata kujiona ninapo kosea na ninacho takiwa kukufanya, kupitia wewe, kama Mungu alivyo kuumba! God Bless you, Amen 🙏🏼
Kaka yangu kiukweli nakosa chakusema ,ila baraka za Bwana ziwe nawe siku zote ,umekua baraka kila iitwapo leo,hili somo limeniimarisha ,sito lalamika kwa watu ila nazidi kuwa imara
Nimecomment RU-vid kwa mara ya kwanza kaka Joel. Kila mara naposkiliza hizi episodes zako hua nakua na Notebook and Pen pembeni kwa ajili ya noting down hizi gems. Mungu aendelee kukutunza😊.
Dahl Kaka umenigusa kwa asilimia kubwa sana. Ila kupitia hili somo nimejifunza sana na nitaitatua hii changamoto kupitia maarifa niliyoyapata ili kuweka mikakati na misingi ambayo itaniwezesha kumaliza mambo. MUNGU akubariki Kaka.