Hvi huu uandishi wa habari mumeukota maana mara sumu mara likizo mengi meng Sana kwann msitafute taarifa zenye uhakika mnazusha vitu vya uwongo Sana watanzania wameshawaona waongo San a achen hayo mnaunganisha picha za uwongo uwongo hazina maana kwasababu hazina ukwel. Sheria iko wap ifanye kazi yake
Afu ninyi mmesoma vyuo gani? Kwann uzungumze wewe badala ya mhusika, kamahamnakazi zakufanya anzenikujipanga kwa kutafuta kazi nyingine yenye maslahi zaidi.