Mungu Nasema asante kwa kunilinda katika hiki kipindi cha mitihani yangu mungu nasema asante mungu mwenyezi pia kupitia hii mazabau matokeo yangu yakawe mazuri katika jina la yesu amina 🙏🙏🙏🙏
Mungu naomba unifundishe kukaa kmy maana.dharau za.patrick zimenichochosha naomba nikae kmy yeye aje na kusema nimusamehe na naomba nisimuwaze kabisaaa nifanye mambo yangu na moyo wangu uwe na amsn