Nyuma ya camera ilikuaje MAGUFULI amkanyagie kigamboni ndoo swali eb jib na ndoo kusema,alipo rudishw na Bi mkubw SAMIA alitakiw ajihadhar unapodai ye n saw na magu ikiwa MAGUFULI MWENYEWE alimkanyagia kigamboni au hujaenda shule nn w Tanganyika Tatizo shule mtaelewa tu
Safi sana Makonda! Kwa miaka mingi nimekua najiuliza kwanini Wakristo hatuwekewi maeneo ya kusali! Hekima yako na hofu ya MUNGU imedhihirika! Ubarikiwe sana!
NI KWELI KABISA HASA WAKRISTO TUWEKEWE SEHEMU ZA KUZUNGUMZA NA MUNGU WETU. BILA KUJALI DHEHEBU LAKO INGIA OMBA KISHA SAFIRI SALAMA. Aksante kwa hilo Neno.
@@dicksonkilupa2258 wakristo msijidai ushindani usio na tija . Nyinyi hamsali mara 5 kwa siku . Huyo makonda ni mdini tu. Chumba cha kusalia cha nini kwenu nyinyi?
ni safi ila style alorudi nayo sijaifuraia. Anakosoa kila kitu. hawa watu ni maEngineer. He needs to just listen at them then add his contribution, suggestion then advise with humility. The guy leading this crew knows what hez doing, but criticing everything looks demeaning
My next PRESIDENT..Watanzania wamekukubali, malaika wamekukubali, MUNGU akuongoze, kuiongoza Tanzania. wewe ni mrithi wa JPM (malaika wamlinde aliko). Watanzania wanaoamini hili , niwaone hapa kwa like..
Jamani niseme ukweli mimi ninaishi Zanzibar lakn sjui kuna Spirit gani baina yangu na kaka makonda alivyotoweka niliumia sana na saivi karudi ety roho yangu imefurahi mno..yni ningekuwa na Ela ningepika adi pilau nikasherekea..makonda wewe ndo rais wetu ujae mungu akulinde na kila baya insha'Allah.
Wekaa namba nikurushiee hela ya mchele na nyama tuikamilishee hii furaha ya kumwonaa rais wetu mtarajiwaa, binafsi mimi siku zote nlikuwaa kama mgonjwaa ila nilisalii saana, yesu ametendaa,nalalaa kwa furahaa sana leo, viva Makonda ❤🎉!
Ahsante Mungu kwa kuwa wewe unaujuwa ukweli,wapiganie wenye nia njema na Taifa letu,asante kwa ajiri ya Makonda kuwa hai,mungu lilinde taifa letu na viongozi wema, inshallah iwe kheri aaamina
Oyooooo mwamba huyu hapa mwenyezi mungu tunakuomba utulindie zawadi hii uliyo tupatia watanzania ispoteee kama alivyopotea jpm mpaka tunatamani angekuwepo tungekukuwa tupo kwenye nchi yahadi🙏🙏
Leo Roho yangu Imetulia sasa Kumuona Mkuu...Mungu Akulinde Sana...Ushauli Wangu Mkuu.Uwe Unapotea hivi hivi kwa Muda flani ...Unatokea tena...Wasikusome kabisa.Watendaji Wenyewe watakuwa Awajui Utatokea lini..Watachapa kazi bila kusimamiwa.
Mitandao ya kijamii ni nzuri ukiitumia KwA manufaa zaid, na sio kuvumisha taarifa zisizo nauhalisia, nilichukia saana facebook baada ya kuzusha makamu philipo mpango ametutoka na picha zikaambatanishwa,, niliumia lakin nikamuona yupo,kuanzia hapo nikaapa siwezi kutumia facebook tena, sina cha kujifunza zaid. So makonda go go go we love ❤
Mungu ni mwema Sana,Mimi nilipokukosa Jembe letu nlikosa amani na na Kwa kuwa Makonda kaonekana basi Kwa mwananchi yeyote aliekaribu na mm namkaribisa siku ya jumapili anitafute tusherehekee uwepo wa Makonda,Make tumesikia mengi ya kutukatisa Tamaa lakini kweli Mungu kajibu maombi ya wa TZ,Chapa KAZI jembe
Mungu nimukibwa sana sisi kwetu congo drc tuna kila aina ya mali ila atuna viongozi . Tungali pata mtu sawa Makonda congo yetu ingalikuwa kama ulaya . Je suis fière avec mon chefu makonda
Mmh congo yenu waizi adi watu wa kawaida sio viongozi tu tamaa kwanza hakna uaminifu kabisa baadhi yenu mnaeza toa ata uhai wa mtu kisa pesa ushirikina nao sasa... uwiii ctaki ata kuckia jina congo🥺😰kazi mnayo wa congo tulieni tu hko kwenu
Ushauri wangu kwa watanzania, mwacheni makonda Kwanza ajipike kiukweli amunge mkono Samia badae sasa agombee urais uyu n magufuli part 2 God bless honerable makonda (fadhili from Kenya)
Namkubali san Sana makonda.ila sijawahi kumuona kavaa hivi . NATAKA nseme kitu Ila naogopa .Ila Kama NI yeye kweli Mungu ampe maisha marefu mno yenye Amani.
Furaha ya wengi ni kufahamu yu salama na ameonekana. Siri ya kutoonekana kwa muda anaifahamu yeye hilo tumwachie mwenyewe ila muonekano wake umebadirika si kama alivyokuwa kabla.
Mungu wa mbinguni ninakushukuru kwa kumlimda mtumishi wako Makonda umemkinga na hatari zote za roho na za mwili.Nimefurahi sana kumuona makonda akiwa hai🙏🙏
Ofyee roho zimetutuwa kwa kwadhati kabisa tumeshusha pumzi ,kujua upo Tena ,Mungu akupe nguvu na Afyanjema naakupe zaidi busara yakuwasaidia kila anaehitaji msaadawako ,Amiin❤❤
Makonda usirudie tenaa asee utatuuaa please tunapenda viongozi wanaojali nchi please tumechoshwa na siasa uchwaraaa wanaona Kama wanapendwa vile hawajui tuu love makonda
Nimefurai mno mno mno kumuona tena makonda..God is so good.Wewe nichuma umekuja kivinge outfit sasa waonyeshee mungu sio mwanadamu anatujua mpaka sirini.
Ndoto yangu imetimia na moyo wangu una Amani kubwa na furaha nyingi karibu sn Rais wetu Mkono wa Mungu ukae juu yako sikuzote mshike sana Mungu nae hatakuacha kamwe kila jicho la adui lisikuone Damu ya Yesu ikufunike wewe na family yako, tunakupenda sana ulipoishia anzia hapo spana ziendelee🥂🙏🥰🥰
Ndugu yangu,usitusahau wenzio,tuliumwa kwajili ya uyu mh Paul makonda rais ajae Leo amani Kwa sisi tunae muelewa,tunaempenda ,anasaidia wanyonge habadui rangi Wala kabila,mungu tunakushuku sana endelea kumlinda kiongozi wetu
Du kama makonda upo hai bass ashukuriwe sana binafis mimi nakufuatrua sana kwa kupita alipo pitia baba yetu hayat magufur sa wew mungu amekuweka uwe mtatuzi wa shida za watu naomba tena urud kgm huku bado kuna matatizo ya viwanja.
Ashukuriwe sana Mungu kwa kumrejesha mheshimiwa Makonda pia naamini kua hutakufa kabla hujalitimiza kusudi la Mungu juu ya Tanzania hutakufa bali utaishi ili uyasimulie matendo makubwa ya Mungu Hapa duniani
Hakika Mungu ni mwema sana nimefurahi kumwona tena kaka makonda akiendelea na harakati za uchumi wa nchi yetu,.Ee, Mungu Baba wa mbinguni Naomba umtetee na umlinde kiongozi wetu Paul makonda.
Mwenyenzi Mungu amlinde na amsimamie kwa kila jambo mana watanzania twamhitaji sana tungepata wazalendo 20 tu kama hawa hili taifa lingefikia hadhi nzuri sana