Тёмный
No video :(

VIDEO YA MAKONDA ALIVYOCHARUANA na HUYU DADA ''HAUONGEI na MCHUMBA WAKO HAPA, UNAFANYA DHARAU?'' 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 99 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 88   
@AzaeliMbise
@AzaeliMbise 2 месяца назад
Makonda apo unaenda vizuri.nitakua na imani na wewe sasa asante mungu akulinde
@MustafaAlly-x7p
@MustafaAlly-x7p 6 часов назад
Hongera makonda kwazi nzuri usimamizi muzuri ufuatiriaji wakaz zaserekari mukowa wa arusha duwa kwako mungu akupe umr murefu
@MfaumeIbrahim
@MfaumeIbrahim 3 месяца назад
Mzee simamia KAZI za taifa mungu atakulipa watanzania wengi sio wazalendo
@user-st3tz7lk2k
@user-st3tz7lk2k 2 месяца назад
Makonda pokea mauwa yakoo kaka uko vizurii ....I wish Rais wetu 2030❤
@michaelmchilo7910
@michaelmchilo7910 Месяц назад
Wew na magufuli mpo sambamba hongera sana makonda🎉
@vascombembela3632
@vascombembela3632 2 месяца назад
Tunahitaji Makonda wengine angalau 10 tu naamini nchi hii itakuwa vizuri. Hongera sana mheshimiwa Makonda kwani kazi unayofanya ni kubwa sana. Ni vema na watendaji wengine waige mfano huu kwani nchi hii inaibiwa sana!
@SapyKobelo
@SapyKobelo 5 дней назад
Mungu akubariki sana kaka.
@user-xx4kb6qz6p
@user-xx4kb6qz6p 2 месяца назад
Mungu akulinde mheshimiwa uaminifu ni kitu kizuri na uongo unagharama yake
@molenicharles9107
@molenicharles9107 2 месяца назад
MH.RAIS HUYU MWAMBA ATUMIKIA KAZI YA UKUU WA MIKOA ASIZIDI MWAKA MMOJA KWA MKOA MMOJA...KILA MWAKA AWE ANAHAISHIWA MKOA MWINGINE ILI AINYOOSHE NCHI.💪💪
@AngelaniAbwe
@AngelaniAbwe 2 месяца назад
Mungu abariki Sana katika utumishi wake
@happyfrancis9809
@happyfrancis9809 2 месяца назад
Nakutabiria utakuja kuwa rais wajamuhuri ya muungano wa tanzania naamin ilo kipenzi cha wengiii nchi hiii itanyooka sanaaa mungu akutunze ili litimie❤
@brunidamadege3747
@brunidamadege3747 2 месяца назад
Bwana Yesu atende namsubiri Raisi ajaye kwenye wakati aliomsaza.
@craudiadominicus6995
@craudiadominicus6995 2 месяца назад
Hakika ni Mungu amekuchagua mkuu wa mkoa,YEREMIA:1;5, Nakuombea Mungu akutunze mpaka utimize kusudi lake.lSAYA:54;17, ubarikiwe sana baba.
@CyprianTraiphon
@CyprianTraiphon Месяц назад
😂😂😂😂.. Hii nchi upigaji ni mwingi
@hassann4209
@hassann4209 Месяц назад
Makonda anafanya vizuli sana. Tunakupenda 5/5 uku🇧🇮🇧🇮
@sunaybrajabu238
@sunaybrajabu238 Месяц назад
mama anatoa pesa kwaajili ya maendeleo Lakin wanaokula ni watumishi wapuuzi, 😢
@AbeidHassan-f8n
@AbeidHassan-f8n 18 дней назад
, , nawapenda wote,
@happyfrancis9809
@happyfrancis9809 2 месяца назад
Makonda ninoma sanaaa❤❤❤
@e11said23
@e11said23 2 месяца назад
Kazi yako nzuri makonda lakini majibu yako kwauyo mama umemdhalilisha sio vizuri
@sabrinaandrew4245
@sabrinaandrew4245 2 месяца назад
Mh mkuu wa mkoa mwenyezi mungu akupe umri.mrefu.wewe ni mtu wa mwenyezi mungu napia ni mtu wawatu.yaani upo vzr kwa haki na kiswahili kizuri.Aiwezekani hajitambui mara sita mara nane mara 18.wanafuja pesa.Hakii waongo.hapo kasema kulipa bill sasa anasema kuingiza umeme.ushuru😳sasa ni ushuru au mafuta😳
@CharityBaran
@CharityBaran 29 дней назад
Upo vizuri baba
@N.T.KDigitalCreation
@N.T.KDigitalCreation 10 дней назад
Udhalilishaji kwa wafanyakazi wa umma, hii ingefanyika kwenye mkutano wa ndani, hizi nikujitafutia sifa.
@CyprianTraiphon
@CyprianTraiphon Месяц назад
kumbe REA sio TANESCO
@vicentbunzal7342
@vicentbunzal7342 10 дней назад
Makonda mwenyewe ni mhalifu anafanya hayo kwa kuficha matukio yake,makonda na sabaya mungu awape azabu kali sana muu gue moto mpaka na mjivu yao yaungue
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 2 месяца назад
kama unaamini dada hana shida lakini Hiyo miwani ya kuogelea ndio inamfanya dada aonekane kuwa anakiburi , gonga like hapa 😂😂😂😂😂
@AbudulNasibu
@AbudulNasibu Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-zi4hx4jf3o
@user-zi4hx4jf3o 2 месяца назад
Makonda njoo nahuku wizi upo mwingi sana Aisee
@dottoemmanuel4947
@dottoemmanuel4947 Месяц назад
Mwizi huyo
@AsumaniMAtanga
@AsumaniMAtanga 3 месяца назад
Hello
@benjaminierick8274
@benjaminierick8274 2 месяца назад
Mungu akulinde
@AllberthaIgango
@AllberthaIgango 20 дней назад
Sisi hatuna kazi wakati wangetupa kazi hizo tungefanya kazi vizuri tu jamani
@MustafaAlly-x7p
@MustafaAlly-x7p 6 часов назад
Alikufa magufuri ila wakina magufuri wapo fanyakaz isiogope mtu ogopa mungu
@AllberthaIgango
@AllberthaIgango 20 дней назад
Mh wakupe karata ya manunuzi na jisi walivyotumiwa 24:44
@OmarO-w7g
@OmarO-w7g Месяц назад
Mweshimiwa mkuu wa mkoa kweli unafanya kazi ubarikiwe,tunaomba uingie pia kwenye ishu ya mikopo ya alimashauri hatuelewi kabisa.
@mrishoathumani-wx7gq
@mrishoathumani-wx7gq 17 дней назад
Mh.Rais tunaomba uwabane viongozi wa mikoa wote wafanye kama makonda.kwa sababu wengine hawafanyi hivyo ndiyo maana Makonda anaonekana mbaya
@tigejuma9865
@tigejuma9865 Месяц назад
Huyo dada anapenda kutumia neno almost...lakin almost ina mana kua unakisia...haupo sure na taarifa hio.....so lazma ataingia kwa shida...juu anajikaanga mwenyewe 🤣
@user-kn3vy1qy6j
@user-kn3vy1qy6j Месяц назад
Hawa wana wake wanini kwenye uongozi
@JoyceMochemba
@JoyceMochemba Месяц назад
Njoo mara hasa serengeti mamà turetee makonda tunababaishwa na wenyeviti wa vitongoji
@olivastephano2900
@olivastephano2900 3 месяца назад
Kamata wezi
@Renatus-fk5lr
@Renatus-fk5lr 2 месяца назад
Makonda ivi wewe mbona unaubongo wa hayati Mzee wetu magufuli ungekuwa unaungwa mkono taifa lisingelia na umasikini
@AsumaniMAtanga
@AsumaniMAtanga 3 месяца назад
🇺🇸🙋🇹🇿
@RashidMuhawi
@RashidMuhawi Месяц назад
Makonda nakuelewa sana
@SaymoneKhirang
@SaymoneKhirang 27 дней назад
Jmn makonda awe rais was Tanzania
@AllberthaIgango
@AllberthaIgango 20 дней назад
Watu wengine hata hawana alama za kusoma ni haibu
@selector728
@selector728 20 дней назад
Aibu sio haibu
@minanielikana
@minanielikana Месяц назад
Wana inchi wooote wa incchi nzima wangekuwa na wakuu wa mikowa kama Makonda inchi inakuwa paladiso. Abalikiwe mukuuwa mukowa Makonda laaah !!!
@RajabuLanda
@RajabuLanda 2 месяца назад
Wakowengi Dana watu Kama hawo Kira wiraya nnchi hiyi Mambo ya hovyo xana hayo sii happy tuu
@AllberthaIgango
@AllberthaIgango 20 дней назад
Sisi wenyewe atuelewi anayeulizwa ni nani, du mh
@JumaAwamu
@JumaAwamu 2 месяца назад
Anko oooooo chukuw kiti uwe raisiiiiii nimefulahiiii umakiini wakooooooo
@RozmaryAgutu-d5k
@RozmaryAgutu-d5k Месяц назад
Ongera bb
@mrishoathumani-wx7gq
@mrishoathumani-wx7gq 17 дней назад
Makonda ni bosi anayefuatilia kwa weledi kazi za serikali.Watu wezi ndiyo hawataki viongozi wa namna hiyo
@user-xb7ys5lf4x
@user-xb7ys5lf4x 2 месяца назад
BwanaYesu akufunike Makonda
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 месяца назад
Makonda hana Tatizo, Tatizo lipo kwa anao wagusa..kuna Ubadhirifu mwingi Makonda anaufukua kwa hiyo atatafutiwa kila aina ya Chuki ili kumfitini
@MashakaEdward-ne1ih
@MashakaEdward-ne1ih 19 дней назад
Piga sparn hao
@RajabuAmir-cl3ke
@RajabuAmir-cl3ke 2 месяца назад
yani tanesco ana bei kuliko rea
@user-oo2fx8nk5r
@user-oo2fx8nk5r 3 месяца назад
Sasa Na yeye Anajieleza Sijisikia bati sjisijia mbao hapo au hayo madarasa yamejengwaa bila bati na mbao
@babyboy6310
@babyboy6310 2 месяца назад
RC. Tuko pamoja fanya kazi. Nchi iko pabaya uongo umezidi. watu wamekuwa waongo
@CalmOmbreSky-iz2hj
@CalmOmbreSky-iz2hj 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@RozmaryAgutu-d5k
@RozmaryAgutu-d5k Месяц назад
2000
@ezralameck4150
@ezralameck4150 Месяц назад
Mbn kama anatafta sifa kwa nguvu
@MustafaAlly-x7p
@MustafaAlly-x7p 6 часов назад
Mutoto wakwetu mwanza kanda yaziwa wakwanza kupiganiya uhuru na tukaupata natuiongoza tanganyika tukaongoza tanzania mpaka sasa hatujawah kukwama tofauti nakufa viongoz tunao na tunaeza wewe ni nyerere watatu maguri wapiri twendekazi baba
@AloyceStnford
@AloyceStnford 2 месяца назад
hakuna kamaww kwenye hiinchi
@RajabuAmir-cl3ke
@RajabuAmir-cl3ke 2 месяца назад
mafundi hamuwalipi kwawati ndiomna wanaondka
@HancyHancy-wn5et
@HancyHancy-wn5et 2 месяца назад
Makonda sijui nisemeje tu
@AnnaKessy-yr6gs
@AnnaKessy-yr6gs 2 месяца назад
Tunataka watu kama hawa
@msongojumbe486
@msongojumbe486 2 месяца назад
Acha upuuzi militia kwanza
@user-td4le3xf7h
@user-td4le3xf7h 2 месяца назад
Makonda alikuwa sahihi
@AbdullyCharles
@AbdullyCharles 2 месяца назад
Kaka gombania na uraisi
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 2 месяца назад
SUPANA ZIENDELEHE PEMBE ZOTE ARUSHA 😂😂😂
@selector728
@selector728 20 дней назад
Spana sio supana
@mraeliphas9293
@mraeliphas9293 2 месяца назад
huyu Bashite ni mpumbavu, bado anawadhalilisha wanawake, eti ana mke mzuri, nonsense.
@user-zi4hx4jf3o
@user-zi4hx4jf3o 2 месяца назад
Pumbavuuuu nakuzalilisha kama anamwanamke mzuri wakwako mjinga kabsa mvuta bagi wewe kafie mbali uko huna Cha kusema msenge wew
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
Wizi mtupu😢
@vicentbunzal7342
@vicentbunzal7342 10 дней назад
Mazuri yapi anayoyafanya huyu taperi?
@uzungupoint
@uzungupoint 2 месяца назад
SOIL TEST 10M😂🙌
@loveness09-k
@loveness09-k 3 месяца назад
🙆🙆🙆🙆 21:23
@user-ys5iu3qu3u
@user-ys5iu3qu3u 3 месяца назад
😅😅😅😅😅
@user-xl3qx2lf3y
@user-xl3qx2lf3y Месяц назад
😂😂😂😂😂
@RajabuAmir-cl3ke
@RajabuAmir-cl3ke 2 месяца назад
rajabu
@user-xz7fm3sf7z
@user-xz7fm3sf7z 2 месяца назад
😂aaa
@ChescoJohn-gc8qt
@ChescoJohn-gc8qt 2 месяца назад
Tunaomba Mr.rais amluhusu ndungu makonda awezekuhudumia kira mkoa mwaka mmoja mmoja make ni mtetez wa wanyonge
@josephbosire4788
@josephbosire4788 2 месяца назад
Mondamano
@user-pk5tu4be6r
@user-pk5tu4be6r 2 месяца назад
Tunaomba ndugu Makonda ajje namkoa kigoma
@boniphacepaskal4024
@boniphacepaskal4024 3 месяца назад
Viongozi wengne mnawapa vyeo visivyo wafaa kabsa tusidharilishane majukwaani babu hatujasomeshana Kila mtu kasomeshwa kwao kwahiyo Kama unataka Kiki tunakutoa wanaingia wengne
@bashayabenjamin-ot7xi
@bashayabenjamin-ot7xi 3 месяца назад
Huna hoja
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 2 месяца назад
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 2 месяца назад
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
Далее
СЕРЕГА ПИРАТ - TEAM SPIRIT
02:37
Просмотров 227 тыс.