Mh uko vizuri sanaaa!! Nilifuatilia nikiwa nje ya nchi walivyokufanyia uhuni pale bungeni. Waziri wa kilimo ni Muhujumu uchumi.Tanzania tunaitaji upinzani hakuna kuangalia nyani machoni
Mungu anatutaka tujisaidi naye atatusaidia. Kukubali kuonewa ni dhambi. Huyo anayeonea akiachiwa huru bila ya kuchukuliwa hatuwa ataendelea kuonea wengi. Mpina kuchukuwa hatuwa anawasaidia wasiokuwa na sauti, hata kama hatasikilizwa.
Ni kweli tupu hy spika ni hamna kitu alichemka tuu kumfukuza. Kwa akina mdee aliwakingia kwa kusema chama chao hakikuwasikiliza sasa mbona yeye hakumpa nafasi mpina kujitetea
Mbunge Mpina uko vizuri katika taarifa yako lakini wewe ni tumbili kama waliokupa kura tu! Mwizi ni bakubaku lao hahojiwi hadharani, kafichwa hajulikani ila kuponyoka sakata hili pana kazi. Yani wananchi ajira kwisha na wakulima fursa kwisha miwa watafune wenyewe...
Mo alitoka wapi kubeba sukari na kuisambaza wakati hakupewa tender?! Panahitajika tume ya uchunguzi,Hìi tender ikichunguzwa vizuri itaonyesha ni ya Mo sio ya hao walioandikwa...ni kupotezea tu. Ikipuuzwa,chombo binafsi kichunguze kwa undani jibu la kweli litapatikana tu...aibu ibaki kwao...
Alipo ingia bashe pembejeo feki zimeongezeka kwa kasi pili pamoja na kusamehe kodi na kuwapa mitaji wahuni ila bado bei ya sukari ni kubwa sasa kunafaida gani ya yeye kuagiza sukari? kama yeye anataka kulisaidia taifa na kumsaidia mkulima kwanini asitoe mbinu ya kuzalisha sukari? Mungu akubariki Mh Mpina tunajua uzalendowako kwa Taifa letu.
Kila mwezi wa Ramadhani ukifika sukari Inahadimika na Bei kupanda. Sasa utafiti gani hapo unahitajika. Sasa huyu anatetea nini au kashikishwa rushwa !!!
Mheshimiwa Mpina mbunge maneno yako yanajirudia mara kwa mara hii inaonyesha wewe ndiye anayesema Uongo tafadhali jirekebishe usije ukaaibika huyo ni ushauri wangu bado tunakuhitaji katika ujenzi wa Nchi yetu tuipendayo.
Ana msongo mkubwa wa mawazo, safari hii sijui hata kama atakuwa mbunge kwenye jimbo lake kwa sababu huko jimboni kwake hawampendi na anaona sawa tuu kutokea uhaba wa sukari kwa sababu kijijini kwake wala hawatumii sukari