Тёмный

LIVE: Mungu Hafanyi Kazi Peke Yake |Pastor Tony Kapola Anazungumza na Vijana Chamani XXL 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 47 тыс.
50% 1

#CloudsDigital ipo mubashara kutoka Stusio ya Clouds FM kwenye kipindi cha #xxl

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 84   
@kongs.9595
@kongs.9595 Год назад
Wafilipi 4:6-7 [6]Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu. Be careful for nothing; but in every thing by prayer and supplication with thanksgiving let your requests be made known unto God. [7]Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu. And the peace of God, which passeth all understanding, shall keep your hearts and minds through Christ Jesus.
@janetmbambazi6865
@janetmbambazi6865 Год назад
I love listening to pastor tony
@JohnLeonce-j1h
@JohnLeonce-j1h 8 месяцев назад
Mwanaume wa wanaume Yesu anainua
@rehemasimsamba1788
@rehemasimsamba1788 6 месяцев назад
Speech zake ni very powerful and and contains authority man of God.HOPE one day atakua the biggest preacher in the world.Hakika kupitia yeye Mungu amenivusha kwenye eneo ambalo nilikua nimelizoea.
@paulinedavid2524
@paulinedavid2524 Год назад
Asante pastor tony napokeaq mbegu yangu bora iliyopandwa ndani yani yanu iman chanzo chake kuskiaa
@gracesilas1971
@gracesilas1971 Год назад
Preach Preach Preach Man of God,your in the right place sir.
@kennethkelvin7225
@kennethkelvin7225 Год назад
well done mtumishi Tony, mafundisho mazuri. Sema utusomee neno kwa kutumia Biblia maana hizi App za simu muda wowote zinahitaji Update sijui wanapunguza neno au wanaongeza ...
@benomeya797
@benomeya797 Год назад
Thanks Tony, kila nikifuatilia mafundisho yako napata kitu kwenye maisha yangu na familia yangu
@yohanadaniel7030
@yohanadaniel7030 Год назад
Ahsante Pastor ninajifunza vingi kupitia wewe all in God bless you
@victodeussiriwa3919
@victodeussiriwa3919 Год назад
What an interview... asanteni sana
@veronicamahenge7256
@veronicamahenge7256 8 месяцев назад
Nakupenda pastor Tony kapola❤
@upendomahenge-i6h
@upendomahenge-i6h 8 месяцев назад
Barikiwa sana pastor tony kapola
@jonathanthomas7606
@jonathanthomas7606 Год назад
Bigap kwa pastor Ton kapola🙏🙏🙏❣️❣️❣️❣️❣️
@godlisenservice9555
@godlisenservice9555 Год назад
Hii ni Bonge la interview, nimependa @xxl mlivyokuwa creative. Ur the best media with bright presenters.
@efraziafoka1500
@efraziafoka1500 Год назад
Wooou
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 Год назад
Asante sana mtumishi watu umewajibu vizuri sana Mungu akubariki
@yagwishaheke2524
@yagwishaheke2524 Год назад
Hongr pastar Mungu ataotesha mbegu ambazo umepanda no matter what Hakika Mungu anakusikia
@TheRealTemidayo
@TheRealTemidayo Год назад
The Best Interview ever! He GOATED IT!!
@salummussa9871
@salummussa9871 Год назад
Mungu si tegemezi ujue pia
@piliibrahim4057
@piliibrahim4057 Год назад
God bless u pastor tony kapola nakuelewa sana
@saimonmizingo7485
@saimonmizingo7485 Год назад
Unanipa radha ya neno la Mungu paster ubalikiwe
@giftmbogela2435
@giftmbogela2435 Год назад
Adam bhn anaharibu interview aambiwe anaboa
@joycemagessa350
@joycemagessa350 Год назад
Nimebarikiwa na Mafundisho japo muda mchache Barikiwa mtu wa Mungu
@DeeDiyo5
@DeeDiyo5 Год назад
Thanks
@NeemaSilayo-g7f
@NeemaSilayo-g7f 9 месяцев назад
God bless you ...
@josinahmukoya3311
@josinahmukoya3311 Год назад
This was very powerful let man of God blessed
@merrykisu
@merrykisu Год назад
Eee MUNGU anisaidie namimi
@clemence3493
@clemence3493 Год назад
Be blessed pastor Tony
@sinaichristian8365
@sinaichristian8365 Год назад
Sisi ndo wale tunaosaidiwa na mungu
@esterkiyongo2316
@esterkiyongo2316 Год назад
Namkubali sana huyu Pr
@marymsafiri-m2c
@marymsafiri-m2c Год назад
Jamani kodi nyingi sana nchi hii, zinakatisha tamaa
@dianamchami2720
@dianamchami2720 10 месяцев назад
Adam plzzzz iga mfano wa milad akihoji watu kahhh
@priscillamwashigadi1271
@priscillamwashigadi1271 Год назад
Asanteni
@mariethaschoolofbeauty
@mariethaschoolofbeauty Год назад
Mungu akutunze sana baba mchungaji aisee unajua kufundisha neno la mungu
@husseinwemmar6217
@husseinwemmar6217 Год назад
Pastor ana sauti kama Barnaba fulani
@barakaandrea8271
@barakaandrea8271 Год назад
Amen mchungani Kapola
@Hshshhsi1222
@Hshshhsi1222 Год назад
Bangi anazovuta Adam ukijaribu unawezq kuvua nguo ukahc bd umevaa 🤣 ila huyu pastor ni next level 💥
@mulidjuma6095
@mulidjuma6095 Год назад
Good sana wanangu
@atanasicosmas6678
@atanasicosmas6678 Год назад
So sweet
@dankonkwibe2032
@dankonkwibe2032 Год назад
Please Adam, let the Pastor explain him self.
@bettybusumba1478
@bettybusumba1478 Год назад
Well done Tony
@barakabenoni857
@barakabenoni857 Год назад
Adam unauliza maswali mazuri Mungu akubariki
@benjaminilutakala9254
@benjaminilutakala9254 Год назад
Dah pastor katulisha madini ya maana sana
@kobelochande6669
@kobelochande6669 Год назад
XXL good 👍 pastor yuko goooooood
@nathanielshayo6306
@nathanielshayo6306 Год назад
Bonge la kipindi na hongera kwenu.....next time Tena japo hjamliza kiu yetu leo
@clemence3493
@clemence3493 Год назад
Daah. Adamu chizi kweli eti Kumoka
@oscanyakunga
@oscanyakunga Год назад
Ameen kiongozi
@yagwishaheke2524
@yagwishaheke2524 Год назад
Nmba ya pastar please
@enockadam8509
@enockadam8509 Год назад
Huyu pastor kapola ni balaa, kiukweli sijawahi ona
@maryaika9645
@maryaika9645 Год назад
Anadanganya Mungu ni Mungu A nafanya kazi pekeyake na Au na watu
@Paplick9
@Paplick9 Год назад
Master maind
@koburungomubahasha2207
@koburungomubahasha2207 Год назад
Adam bangi mbaya saana na anakaribia kuzimaa haisee
@clemence3493
@clemence3493 Год назад
Emeeen
@O11CEreview
@O11CEreview Год назад
Aaah adamu mchomvu anazingua anacompein kila mda hatulii kusikiliza hadi anamtoa mzungumzaji kwenye mpangilio wa point kwani hua hawezi kutulia tu au awe anatoka wengine waendelee haiwezekani mtu aanaelezea ye anakurupuka huko na kuongea tena visivyo endana nachanganya mambo dah watu tuko makini kuelewa lakini huyu adm anaharibu sjui majina ya adam yana shida gani naona akili zao ni za kushukiwa tu hawawezi kutulia
@venanciapeter8059
@venanciapeter8059 Год назад
Yaniii anakera
@dankonkwibe2032
@dankonkwibe2032 Год назад
Akuwe najikaza muache mtu amalize maneno kwenye kuongea
@nancynkya4462
@nancynkya4462 11 месяцев назад
Uyu kak ana maswali ya ajabu😅😅😅
@iamissaanthon724
@iamissaanthon724 Год назад
🙌🙌🙌🔥🔥
@InsideTanzania
@InsideTanzania Год назад
Amen
@Gtunewaves
@Gtunewaves Год назад
kuna time mchomvu anakera sana tena anaharibu si vyema kumkatisha mtu akiwa anaongea yan kila interview anafanya hii mbona wakina mamy na kennedy wanatulia mpaka mtu amalize then maswali yanafuata lakin adam kila sekundi kasharukia ebu hii kitu arekebishe maana inakua too much
@diannanziku1856
@diannanziku1856 Год назад
Kwakweli kher umeongea🎉🎉
@hildapenina9390
@hildapenina9390 Год назад
hat mm napenda Sana uyu mchungaji
@hanslikecha4786
@hanslikecha4786 Год назад
Nitakuwepo tena hichi kipindi
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 Год назад
Good 👍
@tugwemshana8825
@tugwemshana8825 Год назад
Kanisa lako lipo wapi mchngaji
@samsonezekiel5239
@samsonezekiel5239 Год назад
2023 ukwendeee zakee
@iamissaanthon724
@iamissaanthon724 Год назад
God enjoy to be in the middle of Men🙌🙌🙌🙌🙌
@jonathancosmas8131
@jonathancosmas8131 Год назад
Aje Tena tunahitaji madini siku nyingne
@joycemagessa350
@joycemagessa350 Год назад
Ahaaaa mmetukatisha
@ramamaulid675
@ramamaulid675 Год назад
You blessed mi
@goldprocessplant5893
@goldprocessplant5893 Год назад
Mwanadamu ameumbiwa roho chaguzi Kisha akaonyeshwa kutambua mema na mabaya na mwisho wake akaambiwa
@barakachaula7055
@barakachaula7055 Год назад
Huu nimsiba Eti Mungu hafanyi kazi peke yake haya tueleze anasaidiwa na wewe au tufundishe Mwalimu,,, nijuavo Mimi Mungu hanamshirika hapo VP acheni kuropoka ili mpate coment
@jacklinechaula
@jacklinechaula Год назад
Ww nawe hujaelewa ww ndo uache kulopoka hpo vyote anavyoongea vipo kweny biblia kwahy kasome biblia ndo uje kukoment
@MarcoAbel-rj5kv
@MarcoAbel-rj5kv Год назад
Good
@theuniversetv2870
@theuniversetv2870 9 месяцев назад
Hakuna nchi isio na uhalifu mtu wa mungu 😅😅
@safiahassan6121
@safiahassan6121 Год назад
Watangazaj wana makelele hawatoi mda kwa mchungaj
@valentinernestkavishe7297
@valentinernestkavishe7297 Год назад
Jumatano akija muulize kwanini Yesu amezaliwa tarehe ya mfanano na miungu wengi
@partnersah8802
@partnersah8802 Год назад
Tarehe ipi
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 4 месяца назад
Macho ya rohoni adamu vipi wewe mkristo gani jamani tunaimba kwenye kipaimari
@laurianpima2528
@laurianpima2528 5 месяцев назад
Una kitu,utafika mbali
@iamissaanthon724
@iamissaanthon724 Год назад
Betrayal is painful sin😔😔😔
@rubyring100
@rubyring100 Год назад
Walikula Bangi 😂😂😂
@habibaissa3641
@habibaissa3641 Год назад
Sank you
@faizahalmmm6896
@faizahalmmm6896 Год назад
❤❤❤
Далее
LIVE: XXL SOMO LINAENDELEA NA PASTOR TONY
1:45:01
Просмотров 2,8 тыс.
skibidi toilet multiverse 042 Trailer
01:57
Просмотров 2,8 млн
КОТЯТА НАУЧИЛИСЬ ГОВОРИТЬ#cat
00:13
Shajara ya Coy Mzungu | Afungua Kurasa za Maisha Yake
57:52
Pastor Tony Kapola
3:06
Просмотров 3,7 тыс.
USHUHUDA WA  MAISHA PASTOR TONY KAPOLA SEHEMU 1
22:08
Просмотров 159 тыс.