Тёмный

Utajiri wa Pastor Tonny Kapola, gari lake zaidi ya Milioni 300, ataja Outfit yake kwenye  

Msanuaji
Подписаться 65 тыс.
Просмотров 27 тыс.
50% 1

#dripcheck #kapola

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 65   
@DeboraSamhenda
@DeboraSamhenda 6 месяцев назад
God is real now watu wanadhani wanaostahili kumiliki vitu vikubwa ni Watu wa wasiomwamini Mungu mambo yamebadilika aise, Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu wenye wivu waendelee kuwa nwa wivu wao na umefika wakati Wana wa Mungu lazima tuwe wa juu
@jeraldjensen6504
@jeraldjensen6504 6 месяцев назад
Thank you pastor, umetupa challenge nasisis tupambane, tusiishie kwenye vitu vya buku buku , because we are the sons of God
@justertilusubya9595
@justertilusubya9595 6 месяцев назад
Yani Tanzania ndio mana kuna watu wanakufa maskini alafu kuna mimtu inawivu sija pata kuona yani inawivu hadi na pastor yani mtu yeye kazoea kutumia vitu vya buku buku akiona mwingine anatumia vitu vya dhamani kubwa eti inaumia kwa sisi wafanya biashara tuna jua hakuna kitu chauongo alicho ongea pastor Tonny hapo vyote ni ukweli kabisa.shida watu wakiambiwa ukweli hawataki wanataka uwongo tuu eee basi
@veeJesus
@veeJesus 6 месяцев назад
Tell themmmm
@rosejohn3362
@rosejohn3362 6 месяцев назад
Ni wale ambao hawajui brand za vitu..tunao hua tuna jua hapo ni ukweli mtupu,watu washazoea vitu vya k,koo huwezi muaminisha vitu vzr
@jumaamohamed2815
@jumaamohamed2815 6 месяцев назад
Acha upuuzi huo wewe
@gerry_macopper3808
@gerry_macopper3808 6 месяцев назад
Niko naiwaza hyo jins ya million 3 ni ya ainagan hyo
@leopoldmashaka
@leopoldmashaka 5 месяцев назад
Mh itakua aichaniki wala haichafuki
@evelinelema4563
@evelinelema4563 4 месяца назад
He deserve more than that,tafuteni ufalme wa Mbinguni na mengine mtazidishiwa
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 6 месяцев назад
Inawezekana watu hawajui kuwa maisha ya mwanadamu yako kwenye matabaka nguo hiyohiyo unayoweza kuinunua kaliakoo kwa elfu hamsin ukienda mlimani city unaweza ukainunua 500,000
@jumaamohamed2815
@jumaamohamed2815 6 месяцев назад
Acha uongo wewe
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 6 месяцев назад
@@jumaamohamed2815 wivu utakuuwa wewe😂😂😂😂
@Saitabau99
@Saitabau99 6 месяцев назад
Kwa wale wanaocheck zaidi mavazi wanasahau kuna jambo la muhimu zaidi from 4:19 apo kuhusu kurithi mali za Mungu
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 5 месяцев назад
Kwanza nilikuwa sijui kama unaulimbukeni wa kiwango icho ndio maani dini zingine zinaamini wachungaji wa kristo ni wezi
@jenalasimbeye9591
@jenalasimbeye9591 5 месяцев назад
Ayo ni matatizo yao Acha na wao wakaibe kama rahisi😂😂😂
@sarahmwasyoge1830
@sarahmwasyoge1830 4 месяца назад
Ebr 13:7 (SUV) Wakumbukeni wale waliokuwa wakiwaongoza, waliowaambia neno la Mungu; tena, kwa kuuchunguza sana mwisho wa mwenendo wao, iigeni imani yao.
@damianlyimo1011
@damianlyimo1011 6 месяцев назад
Anavaa nguo brand lazima ziwe na gharama
@jacksonmichael799
@jacksonmichael799 6 месяцев назад
Si vibaya kutaja price lkn kwa nafasi yake kama mchungaji haimpasi kutengeneza ukakasi au maswali yasiyo na ulazima wowote.....Binafsi nashauri next time aseme No comment on price people will search Google themselves.
@Manyohu.tv1
@Manyohu.tv1 5 месяцев назад
umeongea vzr mno, tena sana, ukishakuwa mtumishi wa MUngu kuketi vibarazani pa wenye mizaha siyo poa, SEMA BADO NA KIJANA PIA UJANA MAJI YA MOTO.
@musamalaba6401
@musamalaba6401 5 месяцев назад
Wisdom
@MbumiTimoth
@MbumiTimoth 2 месяца назад
@lymsannouncement2321
@lymsannouncement2321 6 месяцев назад
Unajua watu hawajui Kuna jeans ya kariakoo bei ndogo na kubwa na Kuna jeans 👖 ya brand na Kila brand Ina bei yake it depends ni wap unaipata Jaman kama wewe hujawai kuona t-shirt 👕 au jeans za bei za garama kubwa basi ujatembea dunian 😂😂😂😂
@deesouth5887
@deesouth5887 6 месяцев назад
Aaaaaah Dunia ni uwongo tuuu.
@eunicekissanga2060
@eunicekissanga2060 6 месяцев назад
Umaskini wako ndio unakuponza kudhani watu ni waongo . Tafuta ela wewe tena na Mungu
@veeJesus
@veeJesus 6 месяцев назад
Tafta helaaa
@eunicekissanga2060
@eunicekissanga2060 6 месяцев назад
@@veeJesus ela zipo watu waache kumsema pastor
@leopoldmashaka
@leopoldmashaka 5 месяцев назад
Msiongelee na kuamini moja kwa 1 wew yasikie pita kule et kisa mchungaji bas unaweka imani yote kwake oya hamjui nyinyi et
@veeJesus
@veeJesus 5 месяцев назад
@@leopoldmashaka Tumemwona Mungu kupitia Yeye kwa nini tusimwanini
@arrfamush3285
@arrfamush3285 6 месяцев назад
Mungu yupo jamani
@meflorlionel7497
@meflorlionel7497 3 месяца назад
Uwongo hamna t shrt ya dola 500 kwenye hiyi dunia tumetembe kwenye maduka makubwa
@edo64463
@edo64463 3 месяца назад
😮
@alextarimo4972
@alextarimo4972 6 месяцев назад
Repoter fanya research mpaka grenader unaita mercedes
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 5 месяцев назад
Siuongee kiswahili unaboa past
@DidasPeter-uv3mi
@DidasPeter-uv3mi 5 месяцев назад
Walton wengi hatujui kiingeleza
@Kelvinchristopher072
@Kelvinchristopher072 5 месяцев назад
Mmh mwili ni hekalu la MUNGU sijui ni nguo......
@DidasPeter-uv3mi
@DidasPeter-uv3mi 5 месяцев назад
Mbona pasta anapenda kuongea kiingeleza sana hadi kero yani
@yonakamwela7163
@yonakamwela7163 4 месяца назад
😂
@patrickKitambo
@patrickKitambo 4 месяца назад
aliekwambia usisome ni nani?
@yalhafoundationafrica9961
@yalhafoundationafrica9961 6 месяцев назад
Hata mimi nilinunua hiyo bei
@aristidessaristarck3494
@aristidessaristarck3494 6 месяцев назад
Huyu pastor kanisa lake liko wap
@elishacharlesjr3611
@elishacharlesjr3611 6 месяцев назад
Morogoro sehemu panaitwa kasanga kokoto morogoro
@veeJesus
@veeJesus 6 месяцев назад
Lakn pia Dar makumbusho
@LambeDon_
@LambeDon_ 6 месяцев назад
😂😂😂 mpaka ma pastor ni waongo?
@PortNovember-wk2cw
@PortNovember-wk2cw 4 месяца назад
😂
@kari_ahmad06
@kari_ahmad06 6 месяцев назад
Ww nimuongo mbwa tena dah! Sema nmecheka sana
@user-dr6sd6bb2f
@user-dr6sd6bb2f 6 месяцев назад
Tafuta hela ww pastor sio muongo
@jumaamohamed2815
@jumaamohamed2815 6 месяцев назад
​@user-dr6sd6bb2f muongo huyo pastor fake
@hildamasonda6528
@hildamasonda6528 5 месяцев назад
​@@jumaamohamed2815fake ni wewe kijana tafuta helaaa
@neemamgowole5227
@neemamgowole5227 5 месяцев назад
Kuwa mwangalifu usije bidi kumtafuta uombe sory he is something else
@jumaamohamed2815
@jumaamohamed2815 5 месяцев назад
@@neemamgowole5227 Hamna kitu Hao madalali tu kama madalali wengine, Sema ukishawaamini sana unakuwa dizain kama yako unahisi Wana Power sana kumbe si tunawaonaga kama Comedian tu"
@user-mu8mh1xd2x
@user-mu8mh1xd2x 6 месяцев назад
Hiyo ni mishahara ya watu
@subiranathanaeli-yd1tw
@subiranathanaeli-yd1tw 5 месяцев назад
Chunga kauli usije ukahukumiwa kwa kinywa chako
@AlvanEdwine-ih4vy
@AlvanEdwine-ih4vy 6 месяцев назад
Kijana hujaokoka.
@barakamashimbe9457
@barakamashimbe9457 6 месяцев назад
Hvyo vyote ni uongo hlf hamna t shrt au surual ya milion 3 labda iwe suit
@kimongapro
@kimongapro 6 месяцев назад
Tafuta hela mzee
@tokomezavidondasugu4122
@tokomezavidondasugu4122 6 месяцев назад
😂
@damianlyimo1011
@damianlyimo1011 6 месяцев назад
Umeniwahi
@eunicekissanga2060
@eunicekissanga2060 6 месяцев назад
Zipo tishrt hadi za milion 6. Ela zipo kijana tafuta na jifunze zaidi kwa this man of God ufunguke ata ayo macho
@barakamashimbe9457
@barakamashimbe9457 6 месяцев назад
@@eunicekissanga2060 m n moja kat ya watu mwenye experience na hvy vtu nitajie kampuni ya hayo mavaz na material yake cz zote nazjua
@bustabruce480
@bustabruce480 6 месяцев назад
🤣🤣🤣
@bustabruce480
@bustabruce480 6 месяцев назад
🤣🤣🤣
Далее
LIVE: Tony Kapola Akifungua Shajara Yake na Babbie Kabae
1:03:40
A small kitten was dumped #cat #kitten #cutecat
00:41
Эконом такси в твоем городе 😂
00:59
leonaldo ndani ya drip check na msanuaj John Jackson
4:29
USHUHUDA WA  MAISHA PASTOR TONY KAPOLA SEHEMU 1
22:08
Просмотров 159 тыс.
A small kitten was dumped #cat #kitten #cutecat
00:41