God is real now watu wanadhani wanaostahili kumiliki vitu vikubwa ni Watu wa wasiomwamini Mungu mambo yamebadilika aise, Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu wenye wivu waendelee kuwa nwa wivu wao na umefika wakati Wana wa Mungu lazima tuwe wa juu
Yani Tanzania ndio mana kuna watu wanakufa maskini alafu kuna mimtu inawivu sija pata kuona yani inawivu hadi na pastor yani mtu yeye kazoea kutumia vitu vya buku buku akiona mwingine anatumia vitu vya dhamani kubwa eti inaumia kwa sisi wafanya biashara tuna jua hakuna kitu chauongo alicho ongea pastor Tonny hapo vyote ni ukweli kabisa.shida watu wakiambiwa ukweli hawataki wanataka uwongo tuu eee basi
Inawezekana watu hawajui kuwa maisha ya mwanadamu yako kwenye matabaka nguo hiyohiyo unayoweza kuinunua kaliakoo kwa elfu hamsin ukienda mlimani city unaweza ukainunua 500,000
Ebr 13:7 (SUV) Wakumbukeni wale waliokuwa wakiwaongoza, waliowaambia neno la Mungu; tena, kwa kuuchunguza sana mwisho wa mwenendo wao, iigeni imani yao.
Si vibaya kutaja price lkn kwa nafasi yake kama mchungaji haimpasi kutengeneza ukakasi au maswali yasiyo na ulazima wowote.....Binafsi nashauri next time aseme No comment on price people will search Google themselves.
Unajua watu hawajui Kuna jeans ya kariakoo bei ndogo na kubwa na Kuna jeans 👖 ya brand na Kila brand Ina bei yake it depends ni wap unaipata Jaman kama wewe hujawai kuona t-shirt 👕 au jeans za bei za garama kubwa basi ujatembea dunian 😂😂😂😂
@@neemamgowole5227 Hamna kitu Hao madalali tu kama madalali wengine, Sema ukishawaamini sana unakuwa dizain kama yako unahisi Wana Power sana kumbe si tunawaonaga kama Comedian tu"