Mungu akupe maisha marefu mkuu kwani viongiz km ninyi kutokea ktk kalne ya ss ni wachache na msio hitajika kwa kua wawazi kimaamuz ubarikiwe sana kiongoz.
Kama wakuu wa mikoa wote wangefanya kazi namna hii, wananchi wangeipenda Serikali yao sana, nchi ingekuwa na baraka kutoka kwa Mungu na ustawi ungekuwa mkubwa sana. Lakini inahitaji mkuu wa mkoa kuwa safi, mwenye makandokando ya wizi, ufisadi, kushiriki kudhurumu wananchi hawezi. Pengine ukimya wa wakuu wa mikoa wengine una mshindo mkuu.
Ukisikia mtu anasema Makonda anadhalilisha watumishi wa umma huyo ni mtu wa kuogopwa sana kwenye nchi hii, uozo wa kiutawala uliopo wacha tu Makonda afanye anayofanya