Тёмный
No video :(

ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA 

Eliud Samwel
Подписаться 104 тыс.
Просмотров 67 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 89   
@Novath_dugange.LivingGod
@Novath_dugange.LivingGod Месяц назад
Mchekeshaji ambae unachekesha kila lika ya watu kwasababu uchekeshaji wako siyo wa kutukana appreciate bro
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Месяц назад
Kweli kabisa kuna yule mrefu mwembamba, jamani mh!! Cjui kalelewa wapi!!!
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 14 дней назад
Eliudi anapenda sana manguo ya rangi ya kiini cha yai la kuku wa kienyeji😂😂
@agogomgagagigigogo
@agogomgagagigigogo Месяц назад
😂😂😂yaan kiukweli Eliud ndo comedian bora nchini japo watu wana mahaba na Leonardo hatukatai ni mambo ya nyota kuzidiana but huyu jamaa ni zaidi ,yaan kipindi kimeisha kwa yeye na mama tu bila kuja na alichokitunga huko na watu wamecheka kuanzia mwanzo mpaka mwisho😂😂😂
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 8 дней назад
Hakika , Eliud anatisha sana
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Месяц назад
Wenye mama zao jamaniiii, Mungu azidi kuwatunzia, cku izi nimeona sana vijana wakijivunia mama zao.❤
@godfrey40255
@godfrey40255 Месяц назад
bro unajua commedy hakika tena ya kistaalab salute kubwa
@vitalesjoelkabonda1393
@vitalesjoelkabonda1393 Месяц назад
A very talented stand up comedian, hata hatumiii nguvu lakini watu wanavunja mbavu
@semanajmv
@semanajmv Месяц назад
Nani kama Mama. Umenikumbusha mama yangu, I owe her something
@partypatriez4871
@partypatriez4871 Месяц назад
Eliudi best comedy 😂😂
@BabrayKharfani
@BabrayKharfani Месяц назад
Umetisha sana kwanza kuikataa.nyimbo.ya.babalao yani nobody is perfect saruti sana bro hii.from.cap town Ina.mawakubalisana
@AshaMwamba
@AshaMwamba Месяц назад
Mungu Akita kukupa akuandiiki baruwaaaa
@GevasiZabroni
@GevasiZabroni День назад
Bro mungu akulinde na akuongezee kibal kwa watu
@user-fm9gc5wt2c
@user-fm9gc5wt2c Месяц назад
Mungu akubarik sana kaka kwa Kaz nzur jaman❤❤❤❤
@MteuleMabuku
@MteuleMabuku Месяц назад
Kiongozi SAM ELIUDI, Nakutafuta
@user-iq7xj3gz5j
@user-iq7xj3gz5j Месяц назад
Like huwa mnafanyiaga nn haya nipeni na mimi
@user-wi2td1lv6e
@user-wi2td1lv6e Месяц назад
Uroho tu kuoga aaaaah 😁😁
@Bwiresimuliz
@Bwiresimuliz 20 дней назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-an8tMWrZjvc.htmlsi=DsiBMortoyex1fi_
@MoreenMichaelmichael
@MoreenMichaelmichael Месяц назад
😂😂😂😂et mnacheka mama wa mwenzenu
@RynoFiree
@RynoFiree Месяц назад
Sauti inakua chini haisikiki vizur Kaka Eliud
@NdekejaKamuli-sh5pe
@NdekejaKamuli-sh5pe 27 дней назад
Amen. Eliud wew the best and humble
@medeljoram5325
@medeljoram5325 Месяц назад
😂😂😂 💥💥💥💥 Unajua Saanaaaaaa! A blessed child 🎉
@Shadia544
@Shadia544 Месяц назад
😂😂😂😂😂Eliud jamaniii 😂😂😂walifu wakubwa 😂😂😂😂
@nathanmmasi3890
@nathanmmasi3890 Месяц назад
Uyu eliud Mungu anamuana mpumbavu kweli yani 😂😂😂😂😂
@erickdeogratias7718
@erickdeogratias7718 Месяц назад
Nani kama mama jamani l ❤ Mama anguu❤❤❤❤❤
@Onesmoboyz
@Onesmoboyz Месяц назад
🎉🎉hii nzur sana 🎉❤
@DoraZacharia
@DoraZacharia 28 дней назад
Daah mpaka nmelia sana kaka uko vzr jmn
@martinemayunga2357
@martinemayunga2357 10 дней назад
Unajua sana mwamba
@omarymnuru8746
@omarymnuru8746 Месяц назад
Sauti iko chini sana
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Месяц назад
😂Anajiheshimu, anawaheshimu wasikilizaji wake wakubwa kwa wadogo, hatumii maneno machafu..kama yule, Mungu azidi kumuinua.
@Iampanther_
@Iampanther_ Месяц назад
Kuangalia show za eliud😂🎉it’s worth it
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Месяц назад
Watanzani ka! Yaani hii ya kijanja hovi comments ni chache hivi haaa. GONGA LIKE NA GOTI LA MAMA hapa
@GevasiZabroni
@GevasiZabroni День назад
Bro me mchekeshaji ningeomba company yako
@bukurufreddy28
@bukurufreddy28 Месяц назад
Mze wa story za mama hahahahaa yani wwe tutakusikiya sanaaaa Kama kilasa angaliki hayi Mungu ampe Maisha marefu Mama yako ni big Bland Anajuwa linda Bland @Yere mmi nishabiki yenu wwe na mama😂😂😂😂😂
@nicodemshello163
@nicodemshello163 Месяц назад
Umeonyesha Upendo mkubwa Kwa mama HONGERA KIJANA
@Elshadaiconsolateur
@Elshadaiconsolateur Месяц назад
Bwana mkubwa Eliud tuko pamoja huku DrCongo
@getrudezawadi184
@getrudezawadi184 Месяц назад
mnafanana sana
@NuruNgolle
@NuruNgolle Месяц назад
Mungu usimusche kakaangu ndio nguzo yako.kumbuka nilikuandikia toka mko kugombaniana no
@mineflower_01
@mineflower_01 Месяц назад
Mnacheka mama wawenzenu😂😂
@israeluronu9958
@israeluronu9958 Месяц назад
Mnafanana hadi kucheka jmn😂😂😂 raha sana
@janethmarealle3594
@janethmarealle3594 21 день назад
Hadi raha
@jacqlinemaganiko5108
@jacqlinemaganiko5108 Месяц назад
wow!🥰
@fatmamrihani6828
@fatmamrihani6828 Месяц назад
Mimi ilo busuu lakoo tuuuu😂😂
@more_hundreds_TV
@more_hundreds_TV Месяц назад
Nipateee likeee namm
@festusbokoro1615
@festusbokoro1615 Месяц назад
Kama hutaki kutoa Hela Siri ni Moja tu uchukue video ama ucheke Sana
@theogeorge3773
@theogeorge3773 27 дней назад
K.K.K -Kyimo Kijiji Kitulivu
@elikindomondo3569
@elikindomondo3569 Месяц назад
kaka eliudi una tuuwa mwaka huu dah
@JacksonRungwe
@JacksonRungwe Месяц назад
Like zangu jamani leo nimekuwa wa kwanza
@RooneyYohana
@RooneyYohana Месяц назад
Yaan eliud hahahhaha tunakupenda
@craty_01
@craty_01 Месяц назад
Daaah Rest In Peace mama
@richardsesa7494
@richardsesa7494 Месяц назад
Eliud kilasiku tunamwona mama je baba yukowap
@JasinthaAlex
@JasinthaAlex Месяц назад
🔥🔥🔥
@EdwinMedson
@EdwinMedson Месяц назад
If you have mother do samething for her
@franccoz94
@franccoz94 Месяц назад
Eliud😂
@jaxjaxon8838
@jaxjaxon8838 Месяц назад
Eti analia😢
@user-pf3zc6kv5q
@user-pf3zc6kv5q Месяц назад
eliuid mbavu zangu😂😂😂
@TetekoOg
@TetekoOg Месяц назад
Eliudi we bro unajua natak ck Moja niwe kama ww
@gideongerald2846
@gideongerald2846 Месяц назад
👍👍👍
@justinmganiwa2790
@justinmganiwa2790 Месяц назад
Naona kaona dawa ya mkopo
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Месяц назад
mi sijasikia nisiwe mnafiki
@UwimanaRabia-q3v
@UwimanaRabia-q3v Месяц назад
😂😂😂
@edsonisrael8996
@edsonisrael8996 Месяц назад
Nunueni camera yenye HD mnaboaa
@benshark3212
@benshark3212 Месяц назад
Hata wakodishe tu
@mineflower_01
@mineflower_01 Месяц назад
Nunua simu nzuri bby😂😂
@masangalitz
@masangalitz Месяц назад
WEWE MUUNI HAPO NDIO UNACHEKESHA HIVYOOO 😁😁😁😁😁😁
@Ellybeny
@Ellybeny Месяц назад
😅😅😅😅 ❤❤❤❤
@irenekarume1470
@irenekarume1470 Месяц назад
😂😂😂😂😂
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d Месяц назад
😅😅😅😅
@noahmadali7150
@noahmadali7150 Месяц назад
Sauti mbovu video quality mbovu shida nn cjui
@Kher__
@Kher__ Месяц назад
Kwani nyie mnatumia simu gani?
@Kher__
@Kher__ Месяц назад
Labda simu zenu
@noahmadali7150
@noahmadali7150 Месяц назад
Kher uko ulimwengu gan ndg
@mineflower_01
@mineflower_01 Месяц назад
Simu Yako bby😂😂😂
@adamsanga-g8x
@adamsanga-g8x 26 дней назад
Aa,
@kahenatz3594
@kahenatz3594 Месяц назад
Sadaka buku unatunza comedian 100,000
@geofreyexaut5862
@geofreyexaut5862 Месяц назад
Uwezi kutuchagulia moyo wa mtu
@geofreyexaut5862
@geofreyexaut5862 Месяц назад
Wako wanaopeleka 100000 kanisani home watoto awana chakula
@JohnMadusa
@JohnMadusa Месяц назад
Hahahhahahahah ukwel mtupu
@more_hundreds_TV
@more_hundreds_TV Месяц назад
Ww unatoa tsh ngap
@anuaryyusuph9705
@anuaryyusuph9705 Месяц назад
hiyo sadaka haina kikomo hata mia inafaa pia komed chochote ulicho nacho sasa hivi manbii mmekua fek we mpaka airin woya ety ni pasta hizo sadaka atatoa nani na watu wanajua ni mpigaji au anaigiza ili apate pesa
@FazohMedia
@FazohMedia Месяц назад
Sauti ipo chini sana
@kesphaanyitike7751
@kesphaanyitike7751 Месяц назад
😂😂😂
@luluray2115
@luluray2115 Месяц назад
😂😂😂
Далее
TAZAMA SHOW YA ELIUD MBEYA, (PART 2)
13:55
Просмотров 114 тыс.
ALICHOKIFANYA MC ELIUD MBEYA
29:55
Просмотров 180 тыс.
Insane Coffee trick EXPOSED 😱☕️ #shorts
00:20
ELIUD ALIVYOCHUANA KWENYE BATTLE EDITION
7:53
Просмотров 440 тыс.
JAMAA ANACHEKESHA SANAA
7:24
Просмотров 95 тыс.
MAISHA BAADA YA KUFELI SHULE - mc Eliud
17:18
Просмотров 550 тыс.