Hiyo reminder au motice inaapply upande mmoja tu? Vopibaliyetakiwa kulipa tarehe fulani na hajalipa, hatakiwi kutoa taarifa kuwa sitaweza kulipa muda huo naomba nilipe muda mwingine? Kwanini mwenye haki ya kulipwa alazimike kutoa notice? Kama sheria iko hivyo, basi sheria inashida