Fedha ni namba 1. Waache wengine walipwe 1M. Halafu Feisal alipwe 16M kwa mwezi. Baada ya miaka 5 wote watoke kwenye mpira. Uone nani ataishi vzr. Hakuna atakayekumbuka makombe, bali aliye na pesa ataishi vizuri.
Mlisema Simba ina wazee ndiomaana inafanya vibaya. Leo wamesajili vijana, mnaanza maneno. Tusidanganyane mpira ni umri, ndiomaana, hakuna timu inasajili mtu wa miaka 45
Sasa Dube, amepata nini mpaka sasa??maana ndiyo kwanza msimu unaanza. Hakuna chochote Dube ambacho atakipat, Feisal hana. Makombe yoote ya Ndani, Feisal yupo nayo
Angalia level ya Vital'o ktk Viwango vya CAF. Angalia na Yanga. Yanga iko juu sana. Thamani ya Timu yote ni 700,000,000. Timu yako ni 4,000,000,000. Sasa mnawafunga Vital'o ambao walicheza watu 8 halafu mnajisifu.
Sasa kama ww utachagua nini? Mafanikio ya mpira hapa kwetu ni pesa hakuna jengine, sasa mukisha chukuwa kombe wachezaji je wao wanapata pesa kwa inavyo paswa sio niipe sifa tu timu kisha pesa hamnaa
Mitandao haidanganyi. Sio Simba walioanza kumwita Chama mzee. Yanga walimsema Chama kwamba amechoka na hata wakamlinganisha na Pacome. Kukawa na ubishani, Simba wakisema Chama ni bora na mashabiki wa Yanga walisema Pacome ni bora. Alipohamia Yanga, mashabiki wa Simba wakasema Yanga wamechukua mzee, maana, ndio walikuwa wakisema hivyo. Hivyo, kusema kwamba Simba walimdharau Chama, sio kweli
Yule chama Atatuadhiri sana.Maana wale vijana walio pale yanga niwakali sana Lkn chama Atawaunganisha waonekane Wakali zaidi.Mchezaji Ana kipaji kikubwa unamuachia Aende kizembe tu
Ni mchezaji bora sana Lakini Amekosa akili na tabia. Hivyo ni gundu kwa Azam sababu ya tabia yake kudharau na kukejeli WALIOMLEA NA KUMTENGENEZA. kuna wenye timu yao hawawezi kuvumilia kukatiwa viuno na mtoto mdogo