Kesi ya kuua bila kukusudia inayomkabili muigizaji, Elizabeth Michael (Lulu) imeendelea Mahakama Kuu ya Tanzania, ambapo leo muigizaji huyo alipata nafasi ya kujitetea katika Mahakama hiyo.
Jamani mwacheni kanumba apumzike kwa Amani daah huu wimbo unatuliza jamani kipenz chetu kanumba mnatukumbusha machungu tu jamani mwacheni Alale kwa Amani 😢
dah!!! jamani huu wimbo umesababisha moyo wangu kusononeka Rest In Peace broo kanumba . lulu mungu akusaidie maana ndo mipango yake kwahiyo atakuto tuu😰😰😰😰