LEO LULU AVISHWA PETE NA MAJIZO CHEKI MACHOZI YALIVYOMTOKA Kupitia Cheni TV msanii wa filamu ELIZABETH MICHEAL LULU Amepewa suprise ya kuvishwa pete na mpenzi wake MAJIZO live.. cheki hii Exclusive
Hongera sana Lulu kwa kuvalishwa pete na mtarajiwa wako Mumeo Majizo.Aliona wengi wasichana ila kakuchagua wewe uwe mke wake mwema. Mungu awabariki ktk maisha yenu.
i want to thank Mr.Makonda who is very supportative and Majizzo!!i really respect u so much,u have a strong heart,love and really amazing,if it was other men,would have not waited for LULU!!and u MJIZZO u did wait for her,God will bless u!!!whatever luck!!will come on your hands surprisingly!amen!!HAVE A HAPPY ENGAGEMENT
honger sana luluuuu mungu awabariki maisha yenu yoteeee na pia big up san dokter cheni we ni mtuuu wa pekee sana kwa luluu huwa humuachi nyuma kabisa mungu akubariki sana
Those who dislike these video never get proposed you've gut dirty hearts that can't be washed with soap I'm happy for lulu much love from Kenya Nairobi
from what you went through .to get a man who will always stand with you it's not easy .thank God for the happiness of lulu .thanks so much majizo for being there for lulu .congratulation to you .I can't wait for your official marriage
Hongera sana lulu..mwenyenzi mungu awajalie maisha marefu na ndoa yenyu idumu cku zote muwe na furaha awajalie na watoto wa aina yote ndani ya nyumba muishi kushuhudia baraka za mungu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
I can see true love. Hongera sana na nina tumaini Elizabeth utatulia mdogo wangu achana na yaliyo pita wale watoto hao kwa mapenzi yako yote na uitunze familia yako all the best 🙏
maajabu kbs lulu ni msani wakwanza kavishwa peter bila kuzini na kila mtu love you Lulu 😁😁😁wema alikuwa akishinda anatangaza ndowa ila Lulu amekaa kimya sasa anafanyikiwa kbs anavishwa pete angali mudogo siyokama wengine wasani 😘
i'am happy for u LULU Michaels,together with our prayers the ones that need u managed to pray until u got out of evil hands of falls accusation,be always strong,and serve GOD every day.
I'm very happy to your employer, and congratulations 🎆 Elizabeth and Majizo, Mungu awatangulie katika safari yenu mpya na kushinda majaribu zaidi ya ayo mliyopitia. Nawapenda sana
Nimekusaidia kufurahi lulu hongera sana sanaaa ukawe mama bora na Mungu atazid kufungua milango ya baraka USIMSAHAU MUNGU ALOKUPITISHA KTK MAMBO MAGUMU ULOPITIA
hh crip nimeiangalia toka saa tano mbak saiv saa sabaa daaah Majizo ni mwanaume kat ya wanaume chini ya jua ,, oooh lord give me a men likee Majay 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Jamani muongee tu kiswahili, mnatia aibu. Mnatuchosha na kutupa kizunguzungu 😰😵. Kuongea kiingereza haina maana wewe ni bora zaidi. Ni lugha tu kama kiswahili au lugha nyingine yoyote. Badilisheni fikira. Pendeni vya nyumbani jamani.
Mungu humbariki MTU tuu kwa kuutazama moyo wake hongera Lulu Mungu kakuheshimu sana zaidi ya yote kakupa watoto wazuri...sana...God bless you so very much...
Mmhhh,unadai kuwa lulu kavishwa pete bila kuzn unachekesha,, huyo mtoto kaanza hizo mishe tangu akiwa na miaka chini ya kumi na nane,,unamkumbuka kanumba ,ally kiba na wengne wengi?,
shangaa na ww, kuna mijitu kwa kusifia hata ujinga haijambo, MTU anaweza pakaa kinyesi usoni, lakini kwa kujipendekeza, akasema kapakaa foundation grade one, Haaaa, ukilaza mwingine, duuuh,!!