Lulu Diva anasimulia uhusiano wake na Rich Mavoko ulivyokuwa na walakini, jinsi Lava Lava alivyosababisha aachane na mpenzi wake, kauli ya Babutale bungeni na mengine #ChillnaSky
Nmependa sana hii interview ya Lulu Napenda sana mtu anaekuwa mkwel Amekuwa mkwel sana kila kitu nadhan Pia naona jinsi Sky ulivyopata raha ya hii interview maana ulichokitaka umekipata Nadhan umeona hio hata wewe Nashangaaga sana wasanii wengi wanakubali interview alafu wanaulizwa maswali hawataki kujibu najiuliza wanakubali interviews za nini kama hawataki kujibu maswali au hawaelewi maana ya interview🤩🤩🤩
very true pia kwangu nahic huyu ni msanii wa kwanza kufanya interview nzuri na yenye ukweli na kujibu kila swali analoulizwa sio kama wengine ... mfano alikiba huwa ctakag hata kusikiliza interview zake na wengine wengi
Kuna utofauti pia wa wanaohoji maana Kuna mwingine utasikia kwanini huombi kolabo na mondi au una urafiki na harmonize na wcb unawezaje kumanage Hilo swala. Sasa lazima Kuna maswali lazima uyakaushie.
Mimi naitwa Jean Pierre kutoka nchi Rwanda, nimependa sana mambo ya huyu mutajili wa uzungumzo pia anaonekana ni mtu mwema kbs. Halafu ninapenda nchi ya Tanzania na watu wote wa nchi hiyi yaani ninapenda sana sana lugha ya Kiswahili sanifu. Kwa hivyo ndiko Mupenzi wa misiter light sana, mungu awapatie amani.
Biashara ni biashara mami.Usimix business and pleasure uwe mwanaume au mwanaume.Imagine una biashara ya kuuza maandazi alafu 'baby ' na litumbo na njaa zake anakuja na kikombe kikubwa cha chai anakula stock yote...utafurahi?