Тёмный
No video :(

MAAJABU: KILICHOTOKEA KWENYE NDEGE ILIYOMBEBA RAIS SAMIA AKIWASILI KATAVI, TAZAMA MPAKA MWISHO 

Uhondo TV
Подписаться 592 тыс.
Просмотров 114 тыс.
50% 1

#UhondoTV #Uhondo

Опубликовано:

 

11 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 136   
@VenerandaKundi-ph4hg
@VenerandaKundi-ph4hg 24 дня назад
Maajabu gani acheni wanga mungu mlinde mkuu wetu
@johnLaise
@johnLaise 19 дней назад
Chadema
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq Месяц назад
Huyo Mzee anamusujudia binadam mwenzake ama kweli huu utafutaji wa vyeo utatufikisha kubaya
@PaskaliPatiliki
@PaskaliPatiliki Месяц назад
Mungu akulinde mama yetu kipenzi
@rahmaomar9137
@rahmaomar9137 Месяц назад
Allah akuhifadhi
@christinejojo7234
@christinejojo7234 19 дней назад
Sijaona kitu muache uongo
@celestinermantenga2463
@celestinermantenga2463 Месяц назад
Mama yupo vizuri sana, 2025 atapita kwa kishindo kikubwa san. Mambo alofanya makubwa within a short time.
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 Месяц назад
#NONSENSE
@celestinermantenga2463
@celestinermantenga2463 Месяц назад
Tatizo, kuna mtu anadhani kuongoza taifa ni rahisi kama kuchimba viazi. Kama kuiongoza familia ya mke /Mme na watoto watu wanachemka. Leo mama yetu kafanya mengi na anaendlea kufanya anatokea mtu anajifanya haoni yaliyofanyika anaongelea eti mama anasafiri na ndege kubwa. Kwa hiyo alitaka atembee kwa miguu???
@RashidiDaudy-ez6zt
@RashidiDaudy-ez6zt Месяц назад
ovyooo
@saruni5673
@saruni5673 Месяц назад
😂😂😂yapi
@hassan-sarumbo
@hassan-sarumbo Месяц назад
no comment napita tu
@JonathanMGAIWA-ow4py
@JonathanMGAIWA-ow4py Месяц назад
Kuna nini cha ajabu
@ndabhiloleyesamwel9945
@ndabhiloleyesamwel9945 Месяц назад
Kwani Tanzania hatuna ndege ya Raisi?
@lilianmbeyu
@lilianmbeyu 26 дней назад
hayo maajabu ni gani mbona nimengoja kuona cjaona
@hamissalum8604
@hamissalum8604 Месяц назад
Nilichokiona mimi Rais hajawapa Mkono wenyeji wake waliompokea hiyo sio kawaida labda ndio jambo la kustaajabisha hapo!
@Abdallahsaid-e3k
@Abdallahsaid-e3k 24 дня назад
Maajabu gani
@WilsonLuchwele
@WilsonLuchwele Месяц назад
Mbona wananchi kiduchu kwenye mapokezeki ya rais au mwigulu nchemba amewahamishia Burundi??!
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 Месяц назад
😂
@stephenkalidush5446
@stephenkalidush5446 Месяц назад
huenda wako burundi, maana msomi asiyejitambua
@yakobokuzenza6837
@yakobokuzenza6837 Месяц назад
Mlishazoea kulipwa ili mkajaze uwanja.Hakuna hela za kuchezea hapa
@celestinermantenga2463
@celestinermantenga2463 Месяц назад
Watu ni wengi karema ndo haijatengwa vizuri.
@punnamalaba4445
@punnamalaba4445 Месяц назад
Maajabu gani yako hapo sasa , unatumalizis bando kwa upuuzi
@robertzamani5612
@robertzamani5612 Месяц назад
Rais kwann unitumie barabara ukaona wananchi ukasikiliza kero zao sasa Kwa ndge kweli ungefanya kama Jpm
@NuhuMohammed-nu6ni
@NuhuMohammed-nu6ni Месяц назад
Hawezi, anakula bata tu
@zuhramwavyoni8400
@zuhramwavyoni8400 Месяц назад
❤❤❤
@user-ot1ff7yq2l
@user-ot1ff7yq2l Месяц назад
Peleka usenge mbali kwani aliosema ndege iungue ndo imeungua unavosema awekwe ndani
@user-fb5tj5zy4z
@user-fb5tj5zy4z Месяц назад
Shockup za tairi za mbele kwisha kazi😮😮😅
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 Месяц назад
Hakuna hata watu na hao waliokuja wote hawaptaki hapo wanashangaa ndege tu
@songoroalamin3376
@songoroalamin3376 Месяц назад
Sfieni hata jambo moja jema hao waliopo sisimizi? Mchovu wa fikra MAMA chapa kazi wanakung'arisha tu na husda zao
@princepaschal9963
@princepaschal9963 Месяц назад
​@@songoroalamin3376wasifie lipi? Kuweka pembeni ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020. Ya kipenzi cha wengi Magufuli, na kuanza kujifanyia yakwao kama kisasi kwa wananchi.
@seifathumanseif3681
@seifathumanseif3681 23 дня назад
Asa kuna maajabu gani? acha ushamba
@mwanabucheyeki226
@mwanabucheyeki226 Месяц назад
Ndege imetelekezwa kufanyiwa Service!
@benjaminmiselya2622
@benjaminmiselya2622 Месяц назад
Hawana Hela🤣🤣
@alistairelias536
@alistairelias536 Месяц назад
Admin uwe unapanda ndege mara moja moja upunguze ushamba
@faridahalwaily85
@faridahalwaily85 Месяц назад
Duwa na kuombeanaaa mazuri ni manufaaa kwa wotee…tumshukuruh Allaah kwa kuwaleeeteenii rais mwema mwenye upendoo na hurumaa…..Aangaliyeeeni nchi na watu wenu Alivyoo watengenezeyaaaa Zidii kuiyoombeyeeni Amani na manufaa idumuh kuinukaa na kutengeneyaaaa…..
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Месяц назад
Shule uliyosoma itakuwa ya ....
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 Месяц назад
@@faridahalwaily85 wanajuwa wapi hao manaswara Dada yangu?
@fadhilimoshi5754
@fadhilimoshi5754 25 дней назад
Mtandao wenu umekosa habari wezi wakubwa kuku nyie.
@festokitule9727
@festokitule9727 Месяц назад
Ahh wap
@SanziNzige
@SanziNzige Месяц назад
Magufuli bhana
@user-um5xx5ct7q
@user-um5xx5ct7q Месяц назад
Hii ni tv ya kinafiki haifai hata kuangalia
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o Месяц назад
Kama unaona lahis fanya ya kwako tuone
@emmanuelsulle911
@emmanuelsulle911 Месяц назад
FISIEMU Watu wamewachoka Mno
@MohdAlsharjy
@MohdAlsharjy Месяц назад
Ndegee shokap ya mbelee imekufaa
@ZainabuBakari-yb4vj
@ZainabuBakari-yb4vj Месяц назад
Mbona wengi unataka watu gani,toa hoja
@deogratiaskatinda9232
@deogratiaskatinda9232 Месяц назад
Waandishi wengi wetu wa habari wa siku hizi ni wa hovyo tena hovyo sana
@VenerandaKundi-ph4hg
@VenerandaKundi-ph4hg 24 дня назад
Sasa unataka watu wajae uwanja wa ndege una siri gani na hao watu si kuna sehemu atakutana na wanainchi ataongea nao
@benjaminmiselya2622
@benjaminmiselya2622 Месяц назад
Mmmh balozi wa Shina😂🤣🧐🤣🥹
@user-ot1ff7yq2l
@user-ot1ff7yq2l Месяц назад
Ukiona mti anasema hivyo jua hana furaha wala imani na uongoz
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 Месяц назад
Viwanja vya ndege havina hadhi kabisa! Pesa zinatafunwa tu. Ila siku Rais anakuja utasikia sifa nyingi za pesa zimetolewa za miradi! Mama Mama Mama! Huku tukisikia mashule watoto wanakaa chini wanafunzi 1000! Unajiuliza Serikali ipo au wapo kwa majina???
@user-tz8yn9uf2k
@user-tz8yn9uf2k Месяц назад
Hii ndege ikitoka dar to mwanza inakula mafuta ya million 5, nenda irudi?
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 Месяц назад
Usiwe mjinga ww?sasa unataka Rais apande baiskeli? Kaa na chuki zako na zitakuua, bwege wee hii karne ya 21, nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu na uwezo wako wa kuchanganua mambo ktk karne hii ya maendeleo ya Sayansi na teknolojia.
@mohammedabdallahalazri3238
@mohammedabdallahalazri3238 Месяц назад
Hivi kila Raisi akitoka safari ya nje anapokewa kwq shangwe?
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 Месяц назад
Nilichoona chaajabu ni watu 77 wanampokea nanii laisi wa katiba
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 Месяц назад
😅
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 Месяц назад
Kwani huyo uliyekuwa unamwabudu si ni katiba hiyohiyo, acha chuki@ ujinga
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono Месяц назад
Mikopo na mitozo tu kuoga aaanha😂😂😂
@athumaniamiri880
@athumaniamiri880 Месяц назад
😢😢😢
@lakiabalozi5633
@lakiabalozi5633 Месяц назад
Jengeni viwanja vya ndege mikoa yote khaa huu uwanja au airstrip
@alistairelias536
@alistairelias536 Месяц назад
Kwa abiria gani??
@abdulpagali7476
@abdulpagali7476 Месяц назад
Tumekwishajenga Chato. Mikoa mingine tunajenga airstrips ili kuokoa hela. Kwa sasa vipaumbele vipo kwenye ujenzi wa SGR, mitambo ya kufua umeme katika bwawa la Mwl. Nyerere, uwanja wa ndege wa Msalato, na bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Chongoleani. Insh'Allah, panapo majaaliwa, tutajenga SGR ya Mtwara hadi Mbamba Bay na matawi yake kwenda Liganga na Mchuchuma, tutaboresha reli ya TAZARA, tutajenga bandari ya Mbegani Bay, tutatekeleza miradi ya uzalishaji wa LNG, bomba la gesi kwenda Mombasa na Uganda, mbolea itokanayo na gesi asilia, tutajenga viwanja vya mpira kwa ajili ya AFCON 2027, tutajenga daraja la Bagamoyo hadi Zanzibar, tutajenga kongani kubwa za viwanda za Disunyala na Kwala. Subiri ubwede, Mama hana udogo. Mwakani tumpe miaka mitano ya kuonesha uwezo wake ili tufaida matunda ya kazi zake njema za kukuza uchumi wetu. Naomba KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉.
@prosperjohn2047
@prosperjohn2047 Месяц назад
Nilifikiri Imeanguka ikawaka, kumbe ipo
@RamaJumanne-lc9ve
@RamaJumanne-lc9ve Месяц назад
Wananchi wapo nje ya uwanja awalusiwi kuingia wotee
@emmanuelsulle911
@emmanuelsulle911 Месяц назад
Mbona hakuna Jipya? Afu watu wachache Ivo
@hugholinemmasi1671
@hugholinemmasi1671 Месяц назад
Ama kweli Elimu UCHUMI BADO SAANA AFRIKA.
@ZainabuBakari-yb4vj
@ZainabuBakari-yb4vj Месяц назад
Nini
@kajaymopao1672
@kajaymopao1672 24 дня назад
majabu gani njinga kama una content wacha kudanganya watu
@AnnoyedBooks-kn5pm
@AnnoyedBooks-kn5pm Месяц назад
Gwanghana nulukubi
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim Месяц назад
Maajabu gani kenge wewe
@The1979bornagain
@The1979bornagain Месяц назад
Maajabu hapa ni kitu gani? Honestly, sijaona ajabu lolote mimi unless otherwise wewe mwandishi useme ni nini cha ajabu hapo
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Месяц назад
ila managing director wa shirika la ndege alifanya Rwanda airways ikaleta faida kubwa sana Rwanda kwa Kagame. ila Magufuli alivomuomba na kurudi Tanzania, Matindi ktk uoongozi wake shirika linakula hasara kila leo, na sio sababu ya uendeshaji wake lakini ni viongozi kumpelekea vimemo kila leo na watu wao kwenda bure safari zao..shida kweli. kijana wa watu anapata shida sana
@WilsonLuchwele
@WilsonLuchwele Месяц назад
What is strange there?
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Месяц назад
@@WilsonLuchwele you right i see nothing strange..the title is just misleading..i was just addijng my comment as far as the corporation is concerned
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb Месяц назад
Sirikali ya tz ??nunueni ndege ya urusia ya kubeba ma raisi nawatumishi wasirikali iwe mawaziri au wakubwa wa sirikali ni onyo yangu
@MsAggie5
@MsAggie5 25 дней назад
Ile ndege ya raisi aliyonunua mkapa imeenda wapi
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Месяц назад
Nilijua ndege imeungua kidogo nifuraiiiii
@AshaMwamba
@AshaMwamba Месяц назад
Haaaaa
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 Месяц назад
Utasubiri sana yupo na Allah huyo
@mesuitozil1527
@mesuitozil1527 Месяц назад
Bwege kweli, fanya Kaz, pambana kutafuta Pesa hakuna Rais wa kukuletea Pesa nyumbani
@petermogha7025
@petermogha7025 Месяц назад
Mchawi nn
@kuchimillionaire6683
@kuchimillionaire6683 Месяц назад
Ufurahie nini?
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 Месяц назад
😅
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 Месяц назад
Nini Sasa kimetokea? kumanyoko zako wewe.. Ina maana unaombea ndege iliyombeba rais ipatwe na hitilafu au? Mbwa wewe na hiyo TV yenu ya kinafiki.. shetani ibilisi laana wewe
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 Месяц назад
😂
@WilsonLuchwele
@WilsonLuchwele Месяц назад
Wee mwandishi habari uchwara!
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 Месяц назад
Maajabu yapi aasa ? Hii TV haina tofauti na TBC
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Месяц назад
Hiloooo limeingizwa choo cha kike, ni biasharaa
@hadijamfala390
@hadijamfala390 Месяц назад
Ndege kubwa hivi isingefaa kwenda huko katavi.
@benikillahjoseph3505
@benikillahjoseph3505 Месяц назад
Ndio ndege inayokuja katavi toka inunuliwe
@ahmedhamis
@ahmedhamis Месяц назад
Unataka iende wapi?au kativi sio Tanzania?
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h Месяц назад
Mnapendaga shida bila sababu, unashabikia vitu vya kishetani, unaombea ndege ingeungua ili iweje? Watu kama hao ni kuwasweka ndani ili liwe fundisho.
@user-xn1ly2yx7j
@user-xn1ly2yx7j Месяц назад
Ni kweli kabisa ndugu anaombea ndege ingeungua moto jamani mama yetu kakosa nini ,mpaka kusubutu kuomba ivyo.jamani hakuna binadamu mwenye 100% kila binadamu anamapungufu yake.mtamkumbuka mama siku moja tumeshayaona nchi za watu.
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 Месяц назад
😂sukuma ndani
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 Месяц назад
RAIS FEKI WAMCHONGO 😅😅wa katiba
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 Месяц назад
Kuwa ww, fala wee, kamrudishe basi huyo godfaza wako
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Месяц назад
Mambo mengine ni ujinga mtupu vielelezo vya ovyo mnabidi mfungiwe
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Месяц назад
Aaaaa,biashara...asinge andika kichwa cha habari chenye kiki,usingefungua...wewe ndo lishamba
@user-po9wi5lh1o
@user-po9wi5lh1o Месяц назад
Ukimuombea mwenzio mabaya yanaweza yakaaza kutokea kwako
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 Месяц назад
Sio kweli kama yeye anawatendea watu mabaya mungu hawez kukupa hicho ulichosema kuzaa Kuna uchungu wake lakin fikiria huyu Rais mwanamke na kazaa lakin suala la ushoga kalinyamazia haongei Wala Sheria haitungwi wanatunga Sheria za kunyanyaswa Raia tu
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 Месяц назад
Kwa hiyo wengi huyo hatumuombei mazury maaana hawez kuongoza lakin anajifanya anaweza
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 Месяц назад
NDEGE YOTE HII KWA RAIS TUU NA WATU WAKE KWA NINI ASITAFUTIWE NDEGE NDOGO TUKAPUNGUZA MATUMIZI
@rajabukipara3008
@rajabukipara3008 Месяц назад
Upungize Matumiz kwan Hiyo pesa Inakuus!?.😊
@rajabukipara3008
@rajabukipara3008 Месяц назад
Kwana Unafaham NENO RAIS?
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 Месяц назад
Acha umaskini wa kifikra, babaako kajenga uwanja wa ndege chato, ni ndege ipi zinatua sasa, kakamata meli ya uvuvi tumelipa mabilioni ya pesa sa hasara ni ipi hapo? You dont have to be bias.
@anaabsaid3544
@anaabsaid3544 Месяц назад
Maajabu yako wapi hapo? Kuna youtuber wengine washamba kweli unazania nitafungu tene nani zako sorry
@Michael74540
@Michael74540 Месяц назад
I am blocking you
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha Месяц назад
Pumbavu. Mbona hakuna ajabu lolote zaidi ya mingoma. Miswahili kwa kupenda ngoma na kuabudiwa. Wenzenu walishaachana na upuuzi huu nyie mmeushikilia. Shame on this channel. Sitaifungua tena. Ni wavivu wa kufikiri.
@stevendaudi39
@stevendaudi39 Месяц назад
Mbona madguard ya mbele imekatika😂😂
Далее
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Просмотров 1,1 млн
HUU NDIO UKWELI KUHUSU KUREJEA KWA MAKONDA.
3:16
Просмотров 107 тыс.
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Просмотров 1,1 млн