Тёмный

Maalim Seif amlaani Haji Omar kuteswa watu Pemba 

Weyani Tv
Подписаться 82 тыс.
Просмотров 94 тыс.
50% 1

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amemtaja Waziri wa Vikosi vya SMZ, Haji Omar Kheri, kuwa muhusika mkuu wa utesaji watu kisiwani Pemba.

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 334   
@abdulihafidhali5379
@abdulihafidhali5379 4 года назад
Maalim seif ww ni mzalendo wa wazanzibar sisi tuko pamoja na ww, Allah awajalie kauthabit hao waliotangulia na hao majeruhi awaponeshe na wagonjwa wapoe insha Allah.tupoleni sana wanzanzibar.
@yussufhussein1954
@yussufhussein1954 4 года назад
Mshenz haji omar kher tena hana imani yy mbele masilahi tu
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 4 года назад
Ndo watanganyika wakaaz wakija zanzibar kufanya hayo 2
@rayasaid4099
@rayasaid4099 4 года назад
Laantullah in shaa Allah M. Mungu amjaalie siku yake ya kufa ale Mavi yake huku roho inatokaaa. AAAAAMIN YaaaRabiyyy 🤲🏻
@RioIpo
@RioIpo 4 года назад
@@rayasaid4099 Allah atupe Khatma njema
@hashimuabdallah4211
@hashimuabdallah4211 4 года назад
Ila anaehubiri kuapishwa Hadi uchaguzi mwingine unafika huyo hatesi watu? Watu wanatoka bara barani, yy yupo uingereza huyo hates watu? Watu hawazikani, hawasalimiani, n.k.kwa ajili ya siasa mwisho wa cku akawa mmoja wao katka serekali ya umoja wa kitaifa na wale wale wanaoambiwa wanatesa watu, wanaua watu, je huyo hates watu?
@rayasaid4099
@rayasaid4099 4 года назад
@@hashimuabdallah4211 utakufa nalo hilo jiti la roho! Kasumba zako za kijinga unataka kufananisha na ukatili wa dhuluma wa Zahir umechelewa babaaa! Kama tulikua tumelala sasa tumeamka na kama unakerwa na seif pole usishindane na nyota eeee!? ⭐
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 4 года назад
Allah atawalipa mmoja mmoja kila anaefanya maovu kwa wenzao dah .
@suleimansuleiman2436
@suleimansuleiman2436 4 года назад
HAJI OMAR SHARI
@ashajuma438
@ashajuma438 4 года назад
Hajj Omar khery Allah akuhifadhi na midomo ya watu isikudhuru.
@kassidpandu866
@kassidpandu866 4 года назад
Kwa hili la kupigana Mimi siwezi sapoti si kwa wafuasi wa ccm au wale wa act, mapigano so mazuri, Shari ni mbaya naomba Imani itawale tusigombanishwe na watawala, au wanatafutia utawala, sawa jamaniii!
@abuuhashr8351
@abuuhashr8351 4 года назад
Allah awazalilishe madhalim na abatilishe vtendo vyao aamiyn
@sahlomar6397
@sahlomar6397 4 года назад
Amiin
@sniper93999
@sniper93999 4 года назад
Kiukwel mm naongea ivi Dr shein yupo vizur na anafany kaz ila viongoz wake wa chini ndio wanamuharibia 👌👌👌👌atakay pishaaa aje na police
@isaachayes9783
@isaachayes9783 4 года назад
Sera sera sera babu, mbona waongea personalities badala ya Kamwaga sera?
@hudhaimasaleh5756
@hudhaimasaleh5756 4 года назад
Ww vp mwalim ndo kiogoziii anayeee faaa hapa zanzibar
@smileboy6199
@smileboy6199 2 года назад
Mnao mlaani mh haji na nyie hivohivo washenzi pia mungu awalaani nyoote
@mimiapa8436
@mimiapa8436 4 года назад
Ya Allah tunakuomba uwahukumu hapa hapa duniani hawa watu usiwasubirie aghera
@ghadnehamed9138
@ghadnehamed9138 4 года назад
Aamin yaa Rabb
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 4 года назад
Allah tunakuomba huyu Haji Omar Heri mpe mwisho mbaya na wa mateso
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 года назад
Hivi vyama visitutowe kwenye Uislam, kwa matendo yetu, hii sio dua ya Kiislam
@hajiha6507
@hajiha6507 4 года назад
Mohamed Turan Kumamako. Amekufanya nn Haji omar. Kafirwe na Sefu huko
@issahassan8361
@issahassan8361 4 года назад
لا إله إلا الله
@issaibrahim7325
@issaibrahim7325 4 года назад
@@hajiha6507 acha ukuma wewe kwahiyo wewe unafirwa na hao ccm wenzio fala wewe
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 4 года назад
@@hajiha6507 kachangie kwenu tanganyika uko unawashwa
@aliarkam9548
@aliarkam9548 4 года назад
Subhannallah mwenyez Mungu awajalie kaul thabit amsamehe makosa yao , wagonywa asatie nguvu kupona Kwa majaruh Inshaa allah
@khamiskhamis6286
@khamiskhamis6286 3 года назад
Nimeangalia hadi machozi yananitoka kumkumbuka maalim alikuwa hapendi dhulma na ubaguzi na uonevu kwa watu allah amrehemu
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 4 года назад
Allah amlaani yeyote asoitakia mema nchi yangu ZANZIBAR
@ashajuma438
@ashajuma438 4 года назад
Aamiin yaraby
@mariamfaki1166
@mariamfaki1166 4 года назад
Mshenzi sana tena sana mungu atamuonesha kwani kwa mungu sio mbali asijidanganye Allah tulipie maovu haya
@charlesmwilima5548
@charlesmwilima5548 4 года назад
Toa Sera kila kukicha ni kuonewa tu
@ghadnehamed9138
@ghadnehamed9138 4 года назад
Sera zitakuja Lazima paanze na matukio ww Vp au Jamaa yako Haji Omar hutaki alaaniwe
@aliarkam9548
@aliarkam9548 4 года назад
Mwenyez Mungu atamuonesha hapa dunia
@saidabdala4980
@saidabdala4980 4 года назад
Mijitu mingine bado wana.mizimu ya NYERERE. Maiblis wanaoitiya ufukara ZANZIBAR.
@simonmagaigwa6634
@simonmagaigwa6634 4 года назад
Acha chuki kauli hizi si za kiungwana. Fanya kazi kwa bidii utaushinda umaskini.
@issaibrahim7325
@issaibrahim7325 4 года назад
@@simonmagaigwa6634 tatizo sio kuushinda umaskin bali ni maendeleo ya nchi
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 года назад
@@issaibrahim7325 Fanya kazi
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 4 года назад
Bado wamamiss mama yao wataifa nyerere alowauwa wazanzibar na baba eti karume
@issaibrahim7325
@issaibrahim7325 4 года назад
@@jumakapilima5674 me maendeleo yangu nashkuru Allah ila vipi maendeleo ya Zanzibar
@saidmungulu7053
@saidmungulu7053 4 года назад
Ww miaka yote ni RAIS zanzibar . Sema wanatuibiaga tu hao chama tawala KULA YANGU KWAKO MAALIMU SEIF
@mtumwamohd2571
@mtumwamohd2571 4 года назад
Allah amlaaaaniiiiii mara elfuuuu amuadhibuu katk motoo
@amanmohd9435
@amanmohd9435 4 года назад
Mwanakharam Hutu Hajj Omar Kheir
@abdallafeda8836
@abdallafeda8836 4 года назад
Ww unajijua km ya halali?
@fatmahamad9314
@fatmahamad9314 4 года назад
@@abdallafeda8836.Elewa kwamba haramu sio ile isio kuwa na baba haramu ni vitendo sasa Hajji Omar Kheri ni mwanaharamu popote tutasema km na ww ni mmoja wapo utupishe
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 4 года назад
​@@abdallafeda8836 Anaetetea dhulma ni part ya dhulma. Wewe Abdalah Feda ni part ya dhulma, na inaonesha dhahir na wewe umekuja duniani kwa dhulma.
@musajems1294
@musajems1294 4 года назад
@@mohamedturanardan8871 ivi nyinyi mnadhulumiwa Nini hasa nijuwe
@ruwaidakheir7044
@ruwaidakheir7044 4 года назад
mwana haramu mwenyewe
@saadasm6756
@saadasm6756 4 года назад
Poleni watu wa Kangagani Allah yupo pamoja na wenye kusubir. Allah atawalipia kwa hilo alilowafanyia haji o. Kher
@mudhainaomar2734
@mudhainaomar2734 4 года назад
Kweli
@sniper93999
@sniper93999 4 года назад
Halaf maalim ww ndio umesema wenye mapanga, weny majembe , wenye mawe, wenye visu mara hii kieleweke ss why ni sera ya ccm wakati umewaamrisha ww
@zubeirali6323
@zubeirali6323 4 года назад
Hajielew huyu
@muddyhamad2159
@muddyhamad2159 4 года назад
Ww harangwe umesikia wap akajielewa
@zubeirali6323
@zubeirali6323 4 года назад
Ww ndo ulosem mwenyw mapnga,nondo,mundi waingie njian na video zip saiv unasem sera ya ccm madev mbn unaboronga baba.
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 4 года назад
😄😄😄😄
@ally1702
@ally1702 4 года назад
Alisema wakiwadhukumu kwenye kura je kura tayari kwani
@iddijumaali7192
@iddijumaali7192 4 года назад
Hongera maalim
@tifumunguatamlipaaliendewa4927
@tifumunguatamlipaaliendewa4927 4 года назад
Nikweli karibu siku tatu za za nyuy haji omar Ali enda pemba
@isaachayes9783
@isaachayes9783 4 года назад
Huyu SHIKAMOO atastaafu lini awaachie vijana?
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 4 года назад
Ata sijui.
@abdulkhamis6692
@abdulkhamis6692 4 года назад
Isaac unafirwa wewe
@isaachayes9783
@isaachayes9783 4 года назад
Abdul Khamis unasemaje we shoga wa kipemba!!
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 4 года назад
@@abdulkhamis6692 achen matusi jamani".... haifai...
@MAPETEE
@MAPETEE 4 года назад
Kweli kabisa malim seif
@suleimanbakar3429
@suleimanbakar3429 4 года назад
Allah amlaani mbwa huyu haji Omar heri
@ruwaidakheir7044
@ruwaidakheir7044 4 года назад
wasenge nyinyi atakulanini mafala
@ramsonramadhan4156
@ramsonramadhan4156 4 года назад
wa pili..
@shersaid7988
@shersaid7988 4 года назад
Allah amlaani
@nassorhamad1700
@nassorhamad1700 4 года назад
Dah
@fatmamansour2369
@fatmamansour2369 4 года назад
Iko siku itafika nae mungu atamuhukumu kwa anayoyatenda mshenzi kweli lkn kila mmoja atakuja kulipwa kwa anayoyatenda kwa watu
@ruwailaomar6501
@ruwailaomar6501 4 года назад
Haji omar shari akipikwa supu namla
@frediricknandonde1690
@frediricknandonde1690 4 года назад
😳😳
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 7 месяцев назад
Kila anaye Dhulumu Allah unaijua Bakora Yako ya kumpiga munaonea Watu munawadhalilisha na kuwauwa ikisha usema Allah akuache Kila anayefanya anayeshiriki Kwa Lolote Allah mpe Mateso hapa Duniani mpaka kesho akhera Madhalimu Wakubwa Hawa
@mwinyimjaka4782
@mwinyimjaka4782 4 года назад
MUNGU atawalani wote ambawo hawaitakii mema Pemba jeshi ambalo limepelekwa Pemba litakufa huko huko halirudi tutalipika supu mungu akipenda
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 4 года назад
Mtihani mhhhh
@mulhatyyakub7144
@mulhatyyakub7144 4 года назад
Tatinzo tumewalea Sana mpka wakatuzowea Sana kwnn tusiseme Sasa bac
@RashidAli-vb3zi
@RashidAli-vb3zi 4 года назад
Ata mm nahc hilo ndio jambo la kufnya kwa hapa tulipofka, vikoc pmba wamepelekwa weng sn
@simaimarijanmarjan3097
@simaimarijanmarjan3097 4 года назад
Kuna moto tu uko msiwe mnatusiana na sio kama yameisha bado kwa mungu
@bablee4484
@bablee4484 4 года назад
Vipi
@azizabdallah585
@azizabdallah585 4 года назад
Oooh Mama Zanzibar....Oooh Mama Tanzania.
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 4 года назад
Ohh mama tanganyika hakuna Tanzania uko tanganyika .zanzibar kwanza
@hatimmohamed4299
@hatimmohamed4299 4 года назад
Kweli mtupu maalim seif
@tweety9362
@tweety9362 4 года назад
Ombi langu 🙏🏽 wekeni mkutano wote kamili😁
@sideseif8577
@sideseif8577 4 года назад
Huo sio ungwana na sio wanachama wa ACT musifanye uwovu kila cku mkitaka kufunzwa adabu mukasema munaonewa kitendo cha unyama huyo mzee ameishiwa kila xku nyiyi tutu kwa matokeo ya kinyama
@hajiha6507
@hajiha6507 4 года назад
Hiyo ndio dawa yenu. Mukimpiga mtu Panga tunakutieni bakora mtaa mzima. Endeleeni tena, kama mumezoea kuachiwa sio utawala huu
@binsultan6981
@binsultan6981 4 года назад
Abdallah bin ubaida
@zubeirjuma1856
@zubeirjuma1856 4 года назад
Utawala wa ALLAH tuu acha akili za kikafir shehe kw itikadi za kifal ingekuwa baba ako jee au mam ako
@zubeirsalum128
@zubeirsalum128 4 года назад
Hawa CCM wanaifanya pemba ndio kichakaa chakujifundishia kupiga watu mikwaju na risasi kwasababu ya unyonge wao lakini Allah yupo anayashuhudia haya
@silimahaji7220
@silimahaji7220 4 года назад
Wew maalim achatabia ya kusengeny watu nad sera, ewe mola wetu making mh haji omar kher zid ya maadui wot
@RashidAli-vb3zi
@RashidAli-vb3zi 4 года назад
Woga ni adui wa haki, km watu wanaingia majumban mwa watu kwnn wackamatwe na wao ili wakajulikana
@faridaali6850
@faridaali6850 4 года назад
Iko cku yake na yy atateseka acringie puunzi ALLAH ndie hakim
@talhaabuy1035
@talhaabuy1035 4 года назад
Lanatu Allah mola atawahukumu ccm apa apa dunian
@mnyamismwakilambe2533
@mnyamismwakilambe2533 3 года назад
Uyooo haj Ana roh mby xn xn to muach aend
@nassoursaleh3144
@nassoursaleh3144 4 года назад
tena ishallah Mungu awatie adabu kabla y huu uchaguz naskia eti siro kaenda pemba hebu wazee wetu mfukizieni huyu mtu apate adabu jpo mwaka tu kitandani
@yusrabakar4755
@yusrabakar4755 4 года назад
Hahahahahah bora miaka
@alimakame9215
@alimakame9215 4 года назад
Zanzibar uazishwe utawala was ufalme ili chuki na mapogano yapunguke
@suleimankhamis1564
@suleimankhamis1564 4 года назад
Acha usenge huo kuiponda CCM
@iddisalum4988
@iddisalum4988 4 года назад
Oya komamayo
@khamisjuma5046
@khamisjuma5046 4 года назад
Peace home zanzibar people message from USA marekani ⚖🇺🇸
@umakramzahor4836
@umakramzahor4836 4 года назад
Mshenz mama yk mbwa ww
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 4 года назад
Toa sera wee babu
@ramadhanineneza7317
@ramadhanineneza7317 4 года назад
Ww mzee kweli ni mshezi tu huna maneno mazuri kama mgombea wa urais unatoa lugha ya matusi
@fathilaothman7870
@fathilaothman7870 4 года назад
Allah atamlipa hapahapa duniani katimea huyo.namabosi wake.
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 4 года назад
Ramadhan; huyo si mapenzi,washenzi wanajulikana kwa vitendo hayo,viwe vya siri siri au dhahiri. Madhalimu wanaodhulumu haki za watu ndio washenzi number one
@zuwenasalum1563
@zuwenasalum1563 4 года назад
@@ahmedalbalooshi8518 Mshez ni wewe na familia yako yote njau wewe
@zahorrashid5459
@zahorrashid5459 4 года назад
Hapo uliposema mtu mmoja kafanya kosa wanateshwa.wengi. hl nitatizo kubwaa.
@hajimasondo8881
@hajimasondo8881 4 года назад
Yy mnaaza vurugu kwenye nchi hii yaamani kisha mnajitia wanasiasa wazur ww sefu kuwa na akili lakn uzeee unakusumbua kalee wajukuu zako kwaza mh haj yupo sawa
@aliissahongerababanazenjit6824
@aliissahongerababanazenjit6824 4 года назад
Mmm
@bichichiahmda1153
@bichichiahmda1153 4 года назад
Ovyoooo katubu kwanza we babu acheni kupumbaza watu mkisha pata kura mnajaza mtumbo yenu wananchi wateseka simsapoti at a mmoja sowewe wala mwinyi
@othmanal-nabhany9243
@othmanal-nabhany9243 4 года назад
Serikali ya ccm inanunua magari ya washawasha ,mabomu na bunduki kwa ajili ya wazanzibar hasa wenye asili ya Pemba, mafunzo ya majeshi yao majaribio kwa wazanzibar hasa wapemba kila mwaka wa kampeni na uchaguzi ,jeshi la polisi wamepelekwa wengi sana na vikosi vyengine tunashangaa munauwa watu munatarajia kuwaongoza nani halaf mnajifanya munaimani na wananchi, unafik mtupu huo
@jumamwadhini6263
@jumamwadhini6263 4 года назад
Hahahaaaa mzee wwe kiboko eti nimshezii hahahaaaa yaanii hta ukimuona maalimu anatoka cheche ujuetu Kuna mtu ka haharibu hali ya hewa znz kwaza chapa kazi mzee
@TheOthmoney
@TheOthmoney 4 года назад
LIMETOKA KWA MJAMBAJI LIMEENDA KWA MTEMA MATE
@frediricknandonde1690
@frediricknandonde1690 4 года назад
😁😁
@adiladil345
@adiladil345 4 года назад
Hakuna tofauti bali mtoto wa nyoka ni nyoka tu
@mussaelisha5535
@mussaelisha5535 4 года назад
Mungu hatamtoa kama Goliath
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 4 года назад
Tarehe 29 lipa kisasi
@abasamwame6583
@abasamwame6583 4 года назад
Mimi sijui ni sheria IPI inayotumika kuwaadhibu watu wengi kwa kosa LA MTU mmoja? Sijui ni kigezo kipi kilichotumika kuweza kujua ghafla kwamba Huyo aliemshambulia mwenzake ni act wazalendo mpaka wakasombwa watu wengi kwa wakati mmoja? Je hakuna utaratibu wa kumfuatilia muhalifu mpaka ukamjua na kumchukulia hata kuliko kuwabebacwatu ambao hawana hatia? Hili jambo lilihitaji uweledi Limebebwa kisiasa na linetatuliwa kisiasa .ndugu zangu wenye dhamana mjue kwamba cheo ni dhamana alokupeni mungu tendeni haki na kuweni waadilifu msifanye kazi kwa misukumo ya kisiasa unapomuhukumu MTU kwa kosa asilohusika nalo hiyo ni dhulma na ogopeni dhulma kwani haidumu na ikidumu itaangamiza .dhamana uliyopewa kuna siku mungu atakuuliza uliitumiaje ? Watamikieni wana siasa ila machozi ya watu wasio na hatia mtayalipia hapa hapa duniani kwani malipo ni duniani ahera ni hesabu tu Viongozi wangapi waliokuwa majabari hapa dunia mwisho walidhalikika isikuhadae cheo na bunduki ulioshika kila kitu ni muda tu muda ukifika na wewe yatakukuta kwa naomba ile ile uliyimtendea mwenzako
@saidb20ty52
@saidb20ty52 4 года назад
mbona sion sera anaongelea watu tuu
@mustywamuago5217
@mustywamuago5217 4 года назад
Kweli
@munguamuekemahalianapostah3338
@munguamuekemahalianapostah3338 4 года назад
Duh lile jamaa linaroho ya kijibwa has a au anajua haifiki siku watu wakamkamua Mavi akazikwa na Sanda Haji omary kheri Jina zuri matendo ya kijibwa
@hajimasondo8881
@hajimasondo8881 4 года назад
Kwan kafanya kubwa gani
@azizaabubakar5595
@azizaabubakar5595 4 года назад
Wazanzibar mnadanganywa sana huyo mzee kwanza anakaa nyumba ya serikali anapewa mahitaji yakila siku nyie anwadanganya tu alafu huyo mzee seif. Hicho chama nichabara na sio cha wazanzibar alafu mnaambiwa eti hamuataki wabara wakati chama cha ACT ni cha bara tena kigoma wapinawapi nawazanzibari pia muwenamacho namasikio mnafanywa wajinga na seif na zitto tena Hata rangi ya bendera ni ya zambarau au paple hiyo rangi ni ya msiba maana msiba ukitokea hasa sisi wakristo tunatunia kuwapambia marehem wetu sasa nanyinyi mnafanywa waaafuu tena watarajiwa na hao seif na zitto wakati ninyi niwazima mbaandaliwa maandalizi mabaya hao watu sio wazuri kwenu wazanzibar mjitafakari sana ndugu zangu mbapunbazwa kweli2 alafu mnavalishwa hiyo rangi inatisha ebu mkiogipe ACT Tanzania hoyeeeeee Amani oyeeeee
@masoudapology9230
@masoudapology9230 4 года назад
Mbwa ww
@zanzibarsmzenji
@zanzibarsmzenji 4 года назад
Ccm chama cha wapi????
@sharifjuma1220
@sharifjuma1220 4 года назад
Panda juu wende ukazibe?
@makamemufadhil627
@makamemufadhil627 4 года назад
Iko siku watu watachoshwa na woga
@abdilfertterhhealer5329
@abdilfertterhhealer5329 4 года назад
Ww ulie wapa amri wananchi washike,mapang na majembe kenge ww
@selwanmohmmed8792
@selwanmohmmed8792 4 года назад
Njia ni moja tu tutafka sote watajibu viongoz na mamlaka yao dunia isiwahadae
@TeamKRX
@TeamKRX 4 года назад
Sasa Huyu ataenda kukaa wapi Kesha akhera Huyu Omari ameshazoea kuwapiga watu vibaya wala hachukuliwi Hatua kwa sababu ni ccm daah iko siku Yako
@hajiha6507
@hajiha6507 4 года назад
Kafirwe uko
@ummuzainab2332
@ummuzainab2332 4 года назад
Ulpo tupo maalm
@sideseif8577
@sideseif8577 4 года назад
Seif sharifu acha umama kama huna kazi jiunge na club ya simba wapo wazee wenzako kama unyango na kagere
@NaseebLugusha
@NaseebLugusha 4 года назад
Side Seif kweli akili yako ndo imeishia hapo? au kwenu hamna wakubwa? au ndo ulivyolelewa hivyo?
@abuubakarjuma3230
@abuubakarjuma3230 4 года назад
Wanatutesa kweli hao hatuna amani kweli wapemba du! tumekosa nn kwa mungu ss
@musajems1294
@musajems1294 4 года назад
Hamjakosa kitu mungu anamjuwa Nani mtenda kosa na Nani mtendewa kosa
@ibugharib389
@ibugharib389 4 года назад
Huyu nadhani baba yake alikosea huyu ni haji omar shari mshenzi tu mshenzi tu
@ramlajaffar3169
@ramlajaffar3169 4 года назад
Huna sera tulia babu ww Huwezi ww tangu 1995 mpk leo huna lako jambo harangwe😂😂😂
@ramlajaffar3169
@ramlajaffar3169 4 года назад
@@bencarson6863 mm au huyo harangwe
@oyay2821
@oyay2821 4 года назад
Na yeye avamiwe apigwe kama anavyo wapiga
@mgeniiddi5308
@mgeniiddi5308 4 года назад
Aaaaa huna lolote waachie vijana babu ushagonga huachii tuu
@estamwenda9706
@estamwenda9706 4 года назад
Njooo umchukulie mdogo wako fomu aje agombeee
@abdilfertterhhealer5329
@abdilfertterhhealer5329 4 года назад
Mwalim tulia huna siasa ww ume kaa kma Islamic state
@yussufhaji6705
@yussufhaji6705 4 года назад
Babu huna sera kalee wajukuu
@MAPETEE
@MAPETEE 4 года назад
Mshenz mkubwa uyo
@omarmussa9000
@omarmussa9000 4 года назад
Maalim kuwa mkweli unajuwa kila kitu hata ww Mungu anakuona ss tupo kangagani unawashawishi ww wakifanya unadanganya watu wallah Mungu atakuonesha
@zubeirsalum128
@zubeirsalum128 4 года назад
Anawashawishi vipi
@omarmussa9000
@omarmussa9000 4 года назад
@@zubeirsalum128 njoo kangagani utajuwa tumechoka
@zubeirsalum128
@zubeirsalum128 4 года назад
@@omarmussa9000 ww SEMA tu ujumbe utafika na tunauona
@abuunuswaibahahmadi8288
@abuunuswaibahahmadi8288 4 года назад
Haji omar heri hana Imani dini
@hajiha6507
@hajiha6507 4 года назад
Ww unayo
@mgeniiddi5308
@mgeniiddi5308 4 года назад
Mm sijaisikia sera yako uyo mwinyi na haji omar kheri ndo watakao kaa madarakani hatuwaabgusi kamwe na utakaa pembeni ww
@salimmohamedalr-iamy7162
@salimmohamedalr-iamy7162 4 года назад
Kama hawajampa mwalimu seif mwaka huu basi juweni wananchi hatujapewa haki zetu na tumedhulumiwa
@mdungially2342
@mdungially2342 4 года назад
Na mtasubr sana kusubir haki
@hamidomar7474
@hamidomar7474 4 года назад
Msengemmoja kumamamake ndiyoana akawa mwanaharam
@nasrynnassor1492
@nasrynnassor1492 4 года назад
Utamuona Babu Kama in mjua
@nassoursaleh3144
@nassoursaleh3144 4 года назад
hawa siro na huyu haji Wazee wetu hebu wafungieni kaz wakae kla mwaka tu kitandani
@mudy4604
@mudy4604 4 года назад
Wakwaza
@asiakhamisi469
@asiakhamisi469 4 года назад
Pigeni halbadiri jamani
@naimaali9888
@naimaali9888 4 года назад
Asnte
@bintyussuph4979
@bintyussuph4979 4 года назад
Halbadiri ndio iliosambaratisha CUF
@amosmoses7800
@amosmoses7800 4 года назад
MTU ALIEKUFA KWA LISASI MUNGU AKAMFUFUA. .. UJUE HUYO NDIE MTU WA MUNGU ALIECHAGULIWA HUKO MBINGUNI. BWANA YESU ASIFIWE ! HALELUJAH
@oopsm3574
@oopsm3574 4 года назад
Umepata wapi hiyo , au bangi nyingi?
@godisgreat1845
@godisgreat1845 4 года назад
Nani alikufa kwa risasi Mungu skmfufua huyo au kwenye movies
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 4 года назад
Bwana yesu lazima na yy afiwe ajue uchungu wa mazishi usituletee mahubir nenda kanisan uko
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 4 года назад
@@oopsm3574 😂😂😂
@nassoursaleh3144
@nassoursaleh3144 4 года назад
Mungu awalani nynyi
@hamzaomar9731
@hamzaomar9731 4 года назад
Seif km unasema mwaka huu itapatikana nchi kivyovyote vile , onyesha sasa kukerwa na hilo. Maana ukishindwa hli tafsiri yake hata ukishinda uchaguzi , utatulia tu TUMEKUZOEA TAYAR
@samo5315
@samo5315 4 года назад
Malipo yake atayapata duniani na akheira adhabu kali inamngoja.
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 4 года назад
Haji Omar kua makini maana ujue unafamilia yako huku pemba..unawajua wapemba vzr au unawasikia tuu?
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 4 года назад
Tunamuachia Allah 2
@nawwafomar4518
@nawwafomar4518 4 года назад
huyu mvuvi kutoka tumbatu laana ya mungu imshukie yeye na ukoo wake
@alibero6937
@alibero6937 4 года назад
Ubak salama ww mnunuz wa samak wa tumbatu
@bakarmuhidin5223
@bakarmuhidin5223 4 года назад
Na wewe pia
@allysleiman2480
@allysleiman2480 4 года назад
SEIF MSHENZI NIWEWE MAANA NDIE ULIOWAAMBIA WENYE MAPANGA WAPIGE WATU AU SIE WEWE
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 4 года назад
Aly Suleiman mshenzi ni wewe na baba ako na mama ako
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 4 года назад
Mshenzi ni baba yako
@zuwenasalum1563
@zuwenasalum1563 4 года назад
Ally Suleiman mshenz wa kwaza ni baba ya sawa mshenz wa pili ni mama yako mshenz wa tatu ni mkeo na mshez wa nne ni dada yako mbwa mkubwa wewe
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 4 года назад
Aliwatuma ulimuona nyoooo hasid wa choon weee mtanganyika mkaaz
@bintyussuph4979
@bintyussuph4979 4 года назад
Ukweli unauma hawajibu wanatukana kama wasoradhi, ila sishangai hayo ni majibu ya laana wanazozitamkia watu wasio na hatiaZimewarudia wenyewe.
Далее
Women’s Free Kicks + Men’s 😳🚀
00:20
Просмотров 7 млн
Редакция. News: 137-я неделя
42:24
Просмотров 621 тыс.
这位大哥以后恐怕都不敢再插队了吧…
00:16
Women’s Goalkeepers + Men’s 🤯🧤
00:20
Просмотров 1,4 млн
MAALIM SEIF AJIVUA UMAKAMO WA RAIS ZANZIBAR
10:09
Просмотров 78 тыс.
Jussa: Masheikh wa Uamsho tutawapokea kwa sherehe
15:23
UTAWALA WA DK SALMIN AMOUR-MAKALA MAALUMU
22:46
Просмотров 52 тыс.
LIVE: MAALIM SEIF ATANGAZA KUHAMIA ACT WAZALENDO
22:53
Maalim Seif 'aianika' mipango ya Magufuli kwa Z'bar
29:50
Women’s Free Kicks + Men’s 😳🚀
00:20
Просмотров 7 млн