Paster Naruhusu Nguvu ya Mungu juu yako Umekuwa mbaraka na kuuona ukuu wa Mungu ukitenda katika Nguvu ya ajabu juu yetu sisi watazamaji Tukitumia formular zako pasipo kujua.Napokea macho ya rohoni kuanzia sasa kwan Namuona yesu kristo kupitia mafundisho yako Amina
Barikiwa Pastor. Watu wengi tumekuwa wa mwilini sana na siyo wa rohoni. Wakati everything in this world is spiritual inabidi wa Kristo tubadilike na kuwa sensitive rohoni. 2 Wakorintho 4:18
Amen pastor ubarikiwa then Niko na swali pastor BT la mm binafsi hii fungu la Kumi naeza Tumia kununua vitu Kama chakula na nipeana Kwa wahitaji ama sahihi ni nimpe pastor wangu
Mwanzoni siikutegemea kama mchungaji. Huyu ni. Mu SDA maana namna yake ya kuhubir ni tofauti maana wachungaji wengi wa SDA. Wamebase sana kwenye mahubir ya siku. Za. Mwisho sana
@@habaritv6364 nakubaliana na neno. Lako na kwakweli hizi ni zama za mwisho lakin kwa YESU mambo ni mengi kuna kona nyingi za kufundisha hata katika familia huwez kula chakula cha aina moja kila siku .we kila siku ni kuhubir 666 tu .lakin kwa pastor huyu naona anakitu tofauti ni pastor wa tofauti na nimageuzi makubwa katika imani