Тёмный

MAENEO YANAYOLITAMBULISHA JIJI LA DAR ES SALAAM 

Tanzania Safari
Подписаться 8 тыс.
Просмотров 88 тыс.
50% 1

Zifahamu alama kuu zinazolitambulisha jiji la Dar es Salaam. Jiji hili ni kitovu cha biashara nchini Tanzania

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 74   
@andymedina3358
@andymedina3358 2 года назад
Hi Margareth thank you for your video I was in Dar from1999 till 2006 and back on 2012. I luv Dar so much as well as the people😍😍😍😍😍 I'll be back next year to visit my son
@historicallyfeatured4556
@historicallyfeatured4556 3 года назад
Too much love from 🇺🇬🇺🇬🇺🇬 ur neighbour
@sashoright8213
@sashoright8213 2 года назад
We love Kenya too😍😍
@SiyanAbdallah
@SiyanAbdallah Год назад
😂😂
@HassanAli-kq4sp
@HassanAli-kq4sp 3 года назад
Asante sana Mag, nimefurahi kuliona jiji langu la Dar ilivyobadilika.
@abrahamsnoopdog5929
@abrahamsnoopdog5929 3 года назад
Mtangazaji upo vizuri Sana 👍🇹🇿🇿🇦
@ameedamilja7992
@ameedamilja7992 3 года назад
Nice! Sasa kazi ni ku focus na landscaping kwani ni muhimu kupendezesha jiji/city. Gardens za kijani na uoto wa asili uliohifadiwa vizuri utapendezesha jiji zaid.
@hashim7270
@hashim7270 4 месяца назад
mimi..ni..mdau..wa..safari.chaneli...napenda.sana..kuunganishwa.na..chaneli..hi.mojakwamoja..kwenye.chaneli.hii.kuipata.mubashara..television..ya.safari.chaneli...naipendasana....kuifuatilia...hashim......marafya....tudumishe..amani.yetu.watanzania
@t1910j
@t1910j 3 года назад
Nice video. Absolutely well presented and prepared. Thank you
@sumatanjunior231
@sumatanjunior231 3 года назад
This city needs a class on how to do landscaping.
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 2 года назад
Tunapoongerea maendeleo ya nchi yetu ya Tanzania haimaanishi tunashindana na majirani zetu bili tushirikiane nao katika kuleta maendeleo.
@ELLYJ24
@ELLYJ24 Год назад
Umeongea kitu cha maana kwl
@vivensmanirarora5813
@vivensmanirarora5813 Год назад
Dar pazuli sana
@Sangaadam
@Sangaadam 2 года назад
Mgeweka subtitle ya kiingereza kwa faida ya watu wote ambao wangependa kuifahamu kiundani DAR (especially Watalii, Diaspora, foreigners)
@goodluckmachangu5941
@goodluckmachangu5941 3 года назад
Tzd bado tuko nyuma sana hususan barabara za kisasa kwenye majiji yetu. Wenzetu wa Nairobi Kenya fly overs na footbridge kwao zimejaa za kutosha na bado wanajenga nyingine nyingi.
@TheMandela21
@TheMandela21 3 года назад
Wewe mkenya acha propaganda za Kjinga mimi ninaishi Nairobi na hakuna maajabu yeyote na ninakaa upper hill karibu na Town Lodge Hotel au ubalozi wa Israel... wana barabara mbovu na changamoto za foleni kama nchi nyingine inayoendelea
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 года назад
Nafikiri wataendela kujenga taratibu taratibu
@allymngwaya1369
@allymngwaya1369 3 года назад
Kama unafahami historia ya jiji la Dar usingelaumu. Dar imeanza kujengwa 2000's wakati Nairobi imejengwa tangu 70's. Kwa spidi ya jiji la Dar kwa miaka 10 iliyopita ni jambo kubwa sana.
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 3 года назад
GOODLUCK MACHUNGU Kwa taarifa yako hivyo ni vijipande vichache sana alivyovioonesha, kwa Dar es Salaam hapo ni sawa na hakuonesha chochote. Kuna sehemu nyingi sana hakuonesha, kuna barabara za mwendo kasi za mabasi ya kisasa kabisa yanayokufanya ufike kwa haraka katikati ya jiji, vilevile kuna jengo lenye mvuto wa kipekee la ikulu ya Magogoni ambalo ndilo lilozaa jina la Dar es Salaam, fukwe za bahari na visiwa vidogo vidogo vya kitalii vinavyopatikana kando kando ya pwani ya Dar es Salaam pamoja na hoteli zake za kisasa kabisa, pia kuna majengo makali yanayozidi kujengwa Dar es Salaam pita ukanda wa daraja jipya la Salenda linalojengwa ndani ya bahari ya Hindi, angaza kwa kutokea sehemu za Ubalozi usawa wa maeneo ya Kinondoni Moroko na Viktoria, Kijtonyama Makumbusho, mpaka Mwenge sikwambii hizo barabara zinazojengwa mitaani na katika ukanda huo achilia mbali zile za njia nane kutokea Ubungo kuelekea usawa wa Mbezi hapo bado hajaonesha barabara za juu za treni za umeme. Hizo flyovers na footbridge zako Dar es Salaam sio ngeni kuna Mfugale pale Tazara na nyengine za kumwaga zinajengwa, kuna ma malls ya kufa mtu kaangalie pale Mlimani city, City Mall, Aura Mall, Kacheki zile terminals za kisasa za uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Terminal 3 na ile stendi kuu ya mabasi ya mikoani pale Mbezi (Magufuli Bus Terminal) stendi ambayo haipo sehemu yoyote ktk ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati, hiyo nimekupa kwa uchache tu kuna sehemu nyengine nyingi ambazo sio rahisi kuziorodhesha na kuzielezea zote!! Dar es Salaam sasa hivi ni Fire!!
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 3 года назад
​@@Mpakauseme hamna kitu hawa jirani zetu kila kitu wao wanabeza, hawataki kuukubali ukweli Dar sasa ni ya moto na inajengwa kwa kasi kuliko majiji yote ya Afrika Mashariki, wakati sisi tuna mwendo kasi na treni za umeme zinakuja wao wameletewa za mfuta, hiyo inawauma sana.
@KhalidKhan-ud9cz
@KhalidKhan-ud9cz Год назад
Wow umependeza Sana kweli 💖💕💖
@sumakitogo2593
@sumakitogo2593 3 года назад
Mmesahau hata soko la kariakoo
@Project1986p
@Project1986p 3 года назад
My city🇹🇿😍
@josephstephen2047
@josephstephen2047 3 года назад
Nice content, i subscribed ur channel
@KhalidKhan-ud9cz
@KhalidKhan-ud9cz Год назад
Tanzania mzuri Sana 💝💖
@stellanyamuhogota1832
@stellanyamuhogota1832 2 года назад
♥️my beautiful land💪🔥
@muddymkamba352
@muddymkamba352 3 года назад
Nice sana
@petromusatwe201
@petromusatwe201 3 года назад
Nice
@edenusmrosso9225
@edenusmrosso9225 3 года назад
Sijafurahi, essential land mark za dar hujaziweka, mfano uoumbi wa Nkuruma udsm, St. Joseph cathedral, Azania, Karimjee kwa uchache
@filamupictures9349
@filamupictures9349 3 года назад
Hizo ni landmark za zamani sana, katika zote ulizotaja ni hilo kanisa la st Joseph tu ndio linajulikana jiji na tanzania kwa ujumla, ila zilizooneshwa katika hii video ndio maarufu zaidi siku hizi hata mtu ambaye hajafika dar ukimuonesha picha anazifahamu
@abelmbaga5407
@abelmbaga5407 3 года назад
A piece of entertainment while learning.
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 3 года назад
Great
@sashoright8213
@sashoright8213 2 года назад
Daraja la sarender bridge, kariakoo na vingi vingne
@JumanneSudi
@JumanneSudi 21 день назад
Sgr vp?
@benjaminmushi9994
@benjaminmushi9994 2 года назад
Dada una vifuu vya ukwel dar es salaai
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 Год назад
Mlimani city vipi na Tanzanite bridge
@theodoltheophil7858
@theodoltheophil7858 2 года назад
Tanzania
@aliciafields-worldtravelle8248
@aliciafields-worldtravelle8248 3 года назад
Wewe dada eti barabara yenye mvuto zaidi Afrika mashariki🤣🤣🤣 barabara za Kenya ziko ligi ya juu my friend..Thika super highway is a marvel, Nairobi expressway inakamilishwa mwaka huu.
@natureworld295
@natureworld295 3 года назад
There is a 2km bridge at outering road . then we have an interchange at changamwe mombasa
@yusrababuu
@yusrababuu 3 года назад
Kila inapozungumziwa TZ lzm majirani mmpayukwe hebu kuweni km Waganda wako cool
@reubenchalle1577
@reubenchalle1577 3 года назад
Yani wakenya mmeshaharibiwa na wazungu, wamewajengea roho za chuki na ubinafsi dhidi ya ndugu zenu na kuwafanya mujione wajanja zaidi kuliko nchi nyingine za Africa Mashariki. Nawapenda sana waganda, wao ndio ndugu zetu wa kweli kwani katika kila hatua tunayopiga hutuunga mkono na kutupongeza, ila nyie kila siku kazi ni kuponda na kudharau vya kwetu sijui mkoje😠😠😠😠
@rygeemabdul7044
@rygeemabdul7044 3 года назад
Barabara zenye mvuto Zaid Africa mashariki is an exaggeration thou ziko poa. Tembea Africa mashariki uone barabara
@gracejulius3966
@gracejulius3966 2 года назад
Wazee wa Sukuma wiki kila kitu Cha Tz wao ni kupinga tu. Shida ni kwamba wanajiona bora kuliko Wengine Afrika Mashariki na Kati wakati sio.
@josephstephen2047
@josephstephen2047 3 года назад
Margareth nimekupenda bure
@juniorlimbanga517
@juniorlimbanga517 3 года назад
Taa zilikuwa zamani hapo darajani, now hakuna tena taa
@theodoltheophil7858
@theodoltheophil7858 2 года назад
Duh kumbe hakuna tena taa, sasa hao wanaotoza hela kwanini hawafanyi ukarabati?
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 года назад
Acha uongo kuma we
@natureworld295
@natureworld295 3 года назад
Barabara ndio hamna . muache siasa mjenge nchi
@yusrababuu
@yusrababuu 3 года назад
Tanzania tunaijenga wenyewe bila mkoloni wala mkopo wachina 😀😀🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@natureworld295
@natureworld295 3 года назад
@@yusrababuu standard chattered bank ni ya nchi gani ?
@yusrababuu
@yusrababuu 3 года назад
@@natureworld295 Wakenya mnapenda kufatilia mambo ya TZ ,hebu nenda kale githeri huko achana na Bongo land yetu🙄
Далее
Women’s Celebrations + Men’s 😮‍💨
00:20
Просмотров 4,5 млн
Mcdonalds cups and ball trick 🤯🥤 #shorts
00:25
Просмотров 227 тыс.
The RICHEST Arab Kings On Earth
30:24
Просмотров 668 тыс.
Why Does No One Visit This City!? This is Mwanza (#42)
19:54