Hi Margareth thank you for your video I was in Dar from1999 till 2006 and back on 2012. I luv Dar so much as well as the people😍😍😍😍😍 I'll be back next year to visit my son
Nice! Sasa kazi ni ku focus na landscaping kwani ni muhimu kupendezesha jiji/city. Gardens za kijani na uoto wa asili uliohifadiwa vizuri utapendezesha jiji zaid.
Tzd bado tuko nyuma sana hususan barabara za kisasa kwenye majiji yetu. Wenzetu wa Nairobi Kenya fly overs na footbridge kwao zimejaa za kutosha na bado wanajenga nyingine nyingi.
Wewe mkenya acha propaganda za Kjinga mimi ninaishi Nairobi na hakuna maajabu yeyote na ninakaa upper hill karibu na Town Lodge Hotel au ubalozi wa Israel... wana barabara mbovu na changamoto za foleni kama nchi nyingine inayoendelea
Kama unafahami historia ya jiji la Dar usingelaumu. Dar imeanza kujengwa 2000's wakati Nairobi imejengwa tangu 70's. Kwa spidi ya jiji la Dar kwa miaka 10 iliyopita ni jambo kubwa sana.
GOODLUCK MACHUNGU Kwa taarifa yako hivyo ni vijipande vichache sana alivyovioonesha, kwa Dar es Salaam hapo ni sawa na hakuonesha chochote. Kuna sehemu nyingi sana hakuonesha, kuna barabara za mwendo kasi za mabasi ya kisasa kabisa yanayokufanya ufike kwa haraka katikati ya jiji, vilevile kuna jengo lenye mvuto wa kipekee la ikulu ya Magogoni ambalo ndilo lilozaa jina la Dar es Salaam, fukwe za bahari na visiwa vidogo vidogo vya kitalii vinavyopatikana kando kando ya pwani ya Dar es Salaam pamoja na hoteli zake za kisasa kabisa, pia kuna majengo makali yanayozidi kujengwa Dar es Salaam pita ukanda wa daraja jipya la Salenda linalojengwa ndani ya bahari ya Hindi, angaza kwa kutokea sehemu za Ubalozi usawa wa maeneo ya Kinondoni Moroko na Viktoria, Kijtonyama Makumbusho, mpaka Mwenge sikwambii hizo barabara zinazojengwa mitaani na katika ukanda huo achilia mbali zile za njia nane kutokea Ubungo kuelekea usawa wa Mbezi hapo bado hajaonesha barabara za juu za treni za umeme. Hizo flyovers na footbridge zako Dar es Salaam sio ngeni kuna Mfugale pale Tazara na nyengine za kumwaga zinajengwa, kuna ma malls ya kufa mtu kaangalie pale Mlimani city, City Mall, Aura Mall, Kacheki zile terminals za kisasa za uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Terminal 3 na ile stendi kuu ya mabasi ya mikoani pale Mbezi (Magufuli Bus Terminal) stendi ambayo haipo sehemu yoyote ktk ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati, hiyo nimekupa kwa uchache tu kuna sehemu nyengine nyingi ambazo sio rahisi kuziorodhesha na kuzielezea zote!! Dar es Salaam sasa hivi ni Fire!!
@@Mpakauseme hamna kitu hawa jirani zetu kila kitu wao wanabeza, hawataki kuukubali ukweli Dar sasa ni ya moto na inajengwa kwa kasi kuliko majiji yote ya Afrika Mashariki, wakati sisi tuna mwendo kasi na treni za umeme zinakuja wao wameletewa za mfuta, hiyo inawauma sana.
Hizo ni landmark za zamani sana, katika zote ulizotaja ni hilo kanisa la st Joseph tu ndio linajulikana jiji na tanzania kwa ujumla, ila zilizooneshwa katika hii video ndio maarufu zaidi siku hizi hata mtu ambaye hajafika dar ukimuonesha picha anazifahamu
Wewe dada eti barabara yenye mvuto zaidi Afrika mashariki🤣🤣🤣 barabara za Kenya ziko ligi ya juu my friend..Thika super highway is a marvel, Nairobi expressway inakamilishwa mwaka huu.
Yani wakenya mmeshaharibiwa na wazungu, wamewajengea roho za chuki na ubinafsi dhidi ya ndugu zenu na kuwafanya mujione wajanja zaidi kuliko nchi nyingine za Africa Mashariki. Nawapenda sana waganda, wao ndio ndugu zetu wa kweli kwani katika kila hatua tunayopiga hutuunga mkono na kutupongeza, ila nyie kila siku kazi ni kuponda na kudharau vya kwetu sijui mkoje😠😠😠😠