Тёмный
No video :(

MAHABA YA WANANCHI KWA MLEMAVU WA MACHO MBEYA/WANUNUA MIKEKA YAKE YOTE 

Yanga TV
Подписаться 646 тыс.
Просмотров 11 тыс.
50% 1

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Опубликовано:

 

5 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 69   
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Месяц назад
Ahsante Yanga SC Ahsante wananchi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
@chrissantkaunda9958
@chrissantkaunda9958 Месяц назад
inapasua moyo asee😭😭😭,yote kwa yote 💚💛💚💛 U my team,my happiness YANGA Forever
@VaiEliass
@VaiEliass Месяц назад
Mungu Urie juuu msaidie.ndugu yangu
@alfredkatuma426
@alfredkatuma426 Месяц назад
Mungu ataendelea kuiinua hii club katika viwango vya juu sana! Ipo siri kubwa sana katika kutoa kwa wahitaji. Yanga wameona hili tangu mwanzo na huu ni mwaka nne wanashuhudia mambo makubwa sana kwenye club yetu. Mungu na aendelee kuibariki club yetu iwe juu juu zaidi.
@jr_mkumbojr
@jr_mkumbojr Месяц назад
The Club Above All 🎉🎉🎉🎉
@alikhamis8520
@alikhamis8520 Месяц назад
Mashaalah, Allah akupeni kila la kheri .
@jellymagawa2888
@jellymagawa2888 Месяц назад
Hii ndo siri yanga, kwenye utoaji kuna siri kubwa sana 💛💛💛
@charlesmwaipasi2884
@charlesmwaipasi2884 Месяц назад
Hongereni sana ndugu zangu wananchi
@upendoluva2066
@upendoluva2066 Месяц назад
Alikamwe mungu akutunze akupe makubwa zaidi ya haya .upendo mkuu❤
@user-lr6kf6bf9l
@user-lr6kf6bf9l Месяц назад
That's why Yanga is a big team and its blessed to have trophies,God bless Yanga Africans and Wananch....
@malietamaliet
@malietamaliet Месяц назад
😢😢😢asanteni wote mliotoa mwenyezi Mungu awabariki
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 Месяц назад
Maana ya uongozi bora ndiyo haya yanayonekana mawaliza watu kwa furaha sio kimpira tu.kweli hii timu ni wananchi hongereni sana.
@jacklinembuya2749
@jacklinembuya2749 Месяц назад
Kwakweli mungu ibariki hii team! Zikumbuke sadaka za wana wako
@user-of9be9dj2k
@user-of9be9dj2k Месяц назад
Allah ajalie wote waliechangia na inshallah awazidishie mlipotowa.
@tegemeakyangenyenka6111
@tegemeakyangenyenka6111 Месяц назад
Wengine dar tunaitaka sana mikeka ya asili jamani
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 Месяц назад
Hiiiii ndio maaaana halisi ya club ya wananchi!! Hongera Kamwe!!
@errydeo8865
@errydeo8865 Месяц назад
This has made me cry! Mungu awabariki wanayanga! Makombe hayaji HIVI HIVI! Thank u Jesus,💚from UK
@LUGALILAISACK
@LUGALILAISACK Месяц назад
Be blessed San kwa wote waliojitoa, maish marefu mama mung akulinde, ally kamwe uishi miaka ming🤲
@allykiduli2156
@allykiduli2156 Месяц назад
HII NIMEIPENDA UDUMU UDUGU WA WANANCHIIIIIIIIIII
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 Месяц назад
Kwa mliotoa mwenyenzi mungu awazidishie
@mohamedsaide3405
@mohamedsaide3405 Месяц назад
Allah wafyie mepesi kwa yote mnayo hitaji❤
@user-lr6kf6bf9l
@user-lr6kf6bf9l Месяц назад
God bless you Wanainch
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Месяц назад
Mashallah mashallah mashallah 😢😢nimeipenda iyo
@VaiEliass
@VaiEliass Месяц назад
Mungu akuponye wa kukaja
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Месяц назад
Mungu awazidishiye nyote mliotowq mola atawaongezeya
@user-lz8dx8df5b
@user-lz8dx8df5b Месяц назад
❤Mungu hakupe kheri na weye
@rukiakyaka1827
@rukiakyaka1827 Месяц назад
Mashaallah namuomba M/Mungu awajaalie Viongozi wetu Neema kwenye maisha yenu Inshaallah
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 Месяц назад
Hiiii clabu inaunganisha watu aiseeeee!!! Ndio maaaaaana ya club ya wananchi!
@user-ce2xg9wt4s
@user-ce2xg9wt4s Месяц назад
Mungu ni mwema
@Bquality
@Bquality Месяц назад
Dah nmejikuta nmelia nmejisikia faraja sana
@hosea7919
@hosea7919 Месяц назад
Daah nimeguswa sana Na huyu dada hongera zake nyingi kwakutokukata tamaa ya maisha lasivyo angekua ombaomba mtaani MUNGU azikdi kukubariki
@ThomasJeremia-c9p
@ThomasJeremia-c9p Месяц назад
Mungu awe nany nyote mlionunua mikeka kumsapot mama kipofu
@aminakhamis2276
@aminakhamis2276 Месяц назад
Laitani km ningekuwa karibu ningeinunuwa namie
@boscombuba6824
@boscombuba6824 Месяц назад
Upendo mkubwa Sana Huu
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Месяц назад
Mungu akutiye nguvu dada inunuliwe tu Mike kama jamani tena yote tafadhali kamwe
@chazp6436
@chazp6436 Месяц назад
Big club ..Big events
@errydeo8865
@errydeo8865 Месяц назад
Hiyo imeenda,Kwa ALLY hakuna jambo dogo!! Mungu alibariki Yanga na mama huyu.one💚💛
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Месяц назад
Dah, Salome Mwakyusa amenitoa machozi. Yanga imfikirie, awe balozi wa Yanga.
@kaseja
@kaseja Месяц назад
MashaAllah.
@lamama.
@lamama. Месяц назад
daaaaaa mimi sina neno! ila sijawahi juta kuwa yanga
@AlfredRutaguza
@AlfredRutaguza Месяц назад
Hiyo ndio maana ya timu ya wananchi
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 Месяц назад
Aly kamwe mm nataka mkeke anisukie na upata nje
@allankashoro2077
@allankashoro2077 Месяц назад
Aisee furaha imezidi mpaka machozi yanatoka tu Mungu awabariki wote mliomshika mkono Salome Mwa....
@dengahmediatz1230
@dengahmediatz1230 Месяц назад
Hii ndo sababu ya kuipenda yanga
@furahamoja6582
@furahamoja6582 Месяц назад
😂😂😂😂 yaaan madunduka yamekalia kulogwa tu akili hamna niumaskini huo wa akili
@WestChoma01
@WestChoma01 Месяц назад
Nmetokwa machozi😭😭
@AbelMwakilembembwate
@AbelMwakilembembwate Месяц назад
Thank you. Wananchi kwa uwezesshaji huo
@upendoluva2066
@upendoluva2066 Месяц назад
Mliotoa wote mkaongenzewe mlipo toa na kutuwakilisha wana yanga wote.
@rukiakyaka1827
@rukiakyaka1827 Месяц назад
Allah Akbar
@mosesmulashani5124
@mosesmulashani5124 Месяц назад
Nice
@kalikenechota8606
@kalikenechota8606 Месяц назад
🙏🙏
@jumasango9793
@jumasango9793 Месяц назад
Amina Yanga yangu
@baltasartemu2153
@baltasartemu2153 Месяц назад
Nimejilia bure hapa.
@nurdinmgohashowyakibabekwe6382
@nurdinmgohashowyakibabekwe6382 Месяц назад
Mimi nataka miwili napataje namba zake wanayanga wezangu iyo mikeka
@Hgd-jk6lh
@Hgd-jk6lh Месяц назад
MASHAA ALLAH HADI MACHOZI YAMENITOKA 😢😢😢
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 Месяц назад
Pole na mimi pia
@user-fl4jy5zj3v
@user-fl4jy5zj3v Месяц назад
Kwa kweli nimejikuta machozi yananitoka wakati huyo mama mlemavu wa macho anashukuru hizi sadaka ni baraka kubwa mbele ya mwenyezi mungu
@jescaodingo9564
@jescaodingo9564 Месяц назад
Yaani yanga Mungu awabariki sana 😭😭😭😭😭
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Месяц назад
Na bado hawaamini kwa mungu wanaamini uchawi
@gracemtonga3263
@gracemtonga3263 Месяц назад
Na mchawi wetu ameccoment hapa
@ramadhanikuchuna5410
@ramadhanikuchuna5410 Месяц назад
Ndiyo maana Yanga inafanikiwa
@abcdoman8739
@abcdoman8739 Месяц назад
Naomba namba ya uho mama naitaji mikeka
@AbassiBaro-jc3il
@AbassiBaro-jc3il Месяц назад
Mashaallah ❤️😘
@MATHIASMARKO
@MATHIASMARKO Месяц назад
Mmetoa kwa moyo wa upendo Wala hamtapungukiwa Bali mtaongezewa mbarikiwe mpaka mshangae
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h Месяц назад
Ndizo baraka hizo, wengine wamekalia wachezaji wao wanalogwa na yanga, wenzenu kabla ya michezo yao, wanatoa sadaka kwa walemavu, watoto yatima nk, nyie hamtaki kufanya hivyo, mwogopeni Mungu.
@Abuu-gs1yi
@Abuu-gs1yi Месяц назад
Kwa kweli yaani wamekalia ushirikina
@alfredkatuma426
@alfredkatuma426 Месяц назад
Makolo timu nzima yamejaa machawi ya kutupwa. Mchawi siku zote akikuloga akashindwa atakuita wewe ndo mchawi, sasa makolo yameloga yamegonga mwamba ndo maana kila siku yanatoa milio tu.
@Mamunabeel-hh9kb
@Mamunabeel-hh9kb 29 дней назад
𝚍𝚊𝚊𝚑 𝚊𝚕𝚏𝚞 𝚞𝚝𝚊𝚜𝚒𝚔𝚒𝚊 𝚘𝚘𝚑 𝚢𝚊𝚗𝚐𝚊 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚕𝚘𝚐𝚊 𝚓𝚊𝚖𝚗 𝚍𝚞𝚊 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚑𝚣 𝚔𝚠𝚎𝚕 𝚞𝚝𝚊𝚔𝚘𝚜𝚊 kubarikiwa
@chrissantkaunda9958
@chrissantkaunda9958 Месяц назад
inapasua moyo asee😭😭😭,yote kwa yote 💚💛💚💛 U my team,my happiness YANGA Forever
Далее
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Schoolboy - Часть 2
00:12
Просмотров 7 млн
TAZAMA CHAMA AKIWA MAZOEZINI LEO AVIC
8:13
Просмотров 10 тыс.