Mungu ataendelea kuiinua hii club katika viwango vya juu sana! Ipo siri kubwa sana katika kutoa kwa wahitaji. Yanga wameona hili tangu mwanzo na huu ni mwaka nne wanashuhudia mambo makubwa sana kwenye club yetu. Mungu na aendelee kuibariki club yetu iwe juu juu zaidi.
Ndizo baraka hizo, wengine wamekalia wachezaji wao wanalogwa na yanga, wenzenu kabla ya michezo yao, wanatoa sadaka kwa walemavu, watoto yatima nk, nyie hamtaki kufanya hivyo, mwogopeni Mungu.
Makolo timu nzima yamejaa machawi ya kutupwa. Mchawi siku zote akikuloga akashindwa atakuita wewe ndo mchawi, sasa makolo yameloga yamegonga mwamba ndo maana kila siku yanatoa milio tu.