Тёмный

DC MAGOTI ASHTUKIZA MSIKITI UNAOLAZA WATOTO 90+ “NAWAPA SAA 24 FUNGENI KITUO, WATOTO WARUDI KWAO” 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 136 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

9 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,2 тыс.   
@maidimples8236
@maidimples8236 19 дней назад
Haya sasa ni sawa kwauamuzi uliochukuwa, watanzania haya tuungane sasa tulijenge hilo bweni ndani ya muda mchache biith’nillah🤲🏽 togather we can 💪🏾
@adamapollo9859
@adamapollo9859 18 дней назад
Ishaallah
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 18 дней назад
Yes
@emmanuelsalila1557
@emmanuelsalila1557 18 дней назад
​@@adamapollo9859o
@KimAsia-ec5yp
@KimAsia-ec5yp 17 дней назад
Tutachangia kuliko wakawe teja
@AbdulimalikiDulle-bp5zp
@AbdulimalikiDulle-bp5zp 17 дней назад
Ni kweli
@barakakibale6089
@barakakibale6089 19 дней назад
huyu Shekhe yuko vyema sana ni msikivu ,Hapo kubwa ni wadau mbalimbali na viongozi wa dini waendeshe harambee mazingira ya boreshwe
@kawiche4911
@kawiche4911 14 дней назад
SAMIA ANAFANYA NINI? WAUZE HAYO MAGARI YA BEI MBAYA WATUNZA WATOTO WA NCHI YETU, NI KAZI YA SERIKALI, USTAWI WA JAMII UKO WAPI RAISI?
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu 6 дней назад
Allah please we need your help iyakanahbudo waiyakanahstainu😢😢
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 19 дней назад
Mimi ni mkristo nimependa jinsi shekhe alivyo mjibu dc kwa hekima inatakiwa tuishi hivi Watanzania.
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 17 дней назад
Kweri ndugu yangu
@alkitaamiyMihswan-p3j
@alkitaamiyMihswan-p3j 14 дней назад
ndugu yangu mungu aniongoze mimi na wewe hivi ndivo tunavoishi sisi masalafi kwa viongozi wetu.
@Lifebeaconuplift
@Lifebeaconuplift 13 дней назад
@@lulanjamd3886 kwanini kutanguliza kuwa ww mkristo?
@alyumaraos
@alyumaraos 12 дней назад
Huyo dc ni mshenz kama ingekuwa ni kanisani asengetoa uwamuz kama huo ila ukereketwa na ukafiri umemshikaa t
@hamisimtamike9583
@hamisimtamike9583 5 дней назад
Yah shehe yup vzr
@SalumMkumba-wj2wl
@SalumMkumba-wj2wl 19 дней назад
Hongera sana DC unabusara sana Allah akulinde nasi tuinuke tupige arambee bweni lijengwe biidhin Allah kazi iendelee wanafunzi wasome inshaallah
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 19 дней назад
Mungu atawasaidia matajiri wa kiislam lazima wachangie ili wapate nusra Ya Allah ...Kila jambo na sababu yake ....Sheikh mungu atakulipa
@JJ-fb9jp
@JJ-fb9jp 18 дней назад
Kwanini matajiri na siyo wewe?
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 18 дней назад
@@JJ-fb9jp In Shaa Allah ndugu upo sahihi
@SGIT-jd6fg
@SGIT-jd6fg 18 дней назад
Kumtolea Mungu ni nia ya mtu na si tajiri buku yako ina msaada sana katika hilo
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 18 дней назад
@@SGIT-jd6fg upo sahihi sheikh wangu
@user-ck6ur1vk1f
@user-ck6ur1vk1f 19 дней назад
Ma_ashallah! Shekhe Mungu akuongoze kwa kusema ukweli Allah akutie nguvu
@KHAMIS_SHILINGI
@KHAMIS_SHILINGI 18 дней назад
Allaahumma aamiin yaa rabbi 🤲🤲🤲😢
@innocentlukeka6802
@innocentlukeka6802 18 дней назад
Aliesikia magodoro ya maisha kwa kutafuta watoto anipe likes zangu3
@arbababdul3099
@arbababdul3099 10 дней назад
Hahaaa kunaviumbe haviko serious#this is Tanzania
@user-kr7ux2dw5l
@user-kr7ux2dw5l 19 дней назад
Shekhe Allah akulipe kheri kwa kutimiza heshima na twaa kwa kiongozi wako. Ila unaona wazi kabisa viongozi wa serikali hawajijui kuwa wao ni watumwa wa wananchi. Hapo waislamu washajitahidi sana kilichobakia viongozi kumalizia tu. Na si kuwa abisha waislamu kiasi hiko. Unauzalilisha uislamu hapo. Wa ache watoto wa some dini yao. Ww waekee mazingira mazuri tu kama kweli nataka kusaidia.
@arbababdul3099
@arbababdul3099 10 дней назад
Bado kazungumzia bajeti ya 60million inafanya nini kama si kujenga mambo kama hayo... mimi nakubaliana na wewe
@EzzyEddy-nv6ti
@EzzyEddy-nv6ti 2 дня назад
Comment yako Haina maana na Haina mashiko nenda katoe msaada
@twalibtz1936
@twalibtz1936 19 дней назад
Maoni yangu binafsi Dini ina dhalilika hapa, waislamu Tujitoe katika dini yetu tuchangie kuendeleza madrassa zetu hii ni AIBU Sheikh anadhalilika hapa nia ni Njema Uwezeshaji hamna
@perfecttentech6208
@perfecttentech6208 19 дней назад
mkuu sidhsni kama hapa ni Madrasa. wazazi wawajibike kila mahli kuna madrasa na watotot wanaenda shele na madrasa. kwa nini hawa hawaendi shule?
@dennismwakilembe5800
@dennismwakilembe5800 19 дней назад
Mimi sio Muislamu ila nimeipenda comment yako upo tofaut na wengine wafia Dini hawataki kuambiwa ukweli Mtu anawaza kumsomea dua Dc anaacha kuwaza jinsi ya kutatua hiyo changamoto
@ziggertv3185
@ziggertv3185 19 дней назад
Na ishu nikutatua changamoto na sio kulalamika
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 19 дней назад
Inabidi elimu izingatiwe sio elimu dini tu
@sheilalolila2233
@sheilalolila2233 19 дней назад
Michango jamani tuanzishe haraka kujenga bweni la msikiti
@seneu.2128
@seneu.2128 18 дней назад
Waislamu ndugu zetu mkienda msikitini toeni sadaka ili maendeleo kama haya yafanywe kwa viwango vizuri maana lengo kama nikufundishwa dini ni jambo jema ila dini haipaswi kufundishwa kama adhabu, Ile kasumba yakusema hatutoi sadaka kufaidisha viongozi wa dini muache kabisa. Sadaka ni muhimu kwa maendeleo na ukuaji wa dini yenu ikitumika vizuri kwenye mambo kama haya.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 дней назад
Seneu mwisho wa waumini wa dini hiyo kutoa mchango qa sadaka ni ahs mia 5 hao watajamiana tu jinsia moja Mhe Magoti hamna kitu hapo wakubwa watawaonea wakubwa kwa kuwalazimisha
@issarashid7707
@issarashid7707 19 дней назад
Hongera sana DC kwa kazi nzuri hekima busara na Upendo Mungu akusimamie katika kazi zako
@ZuhuraKivaju
@ZuhuraKivaju 16 дней назад
Allah amekujaaalia hikma sana sheikh, akulipe kwa nia yako na azidi kukuhifadhi.
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 19 дней назад
Huyu DC ana hekima sanaa jaman nimempenda bure Mungu akubariki
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 19 дней назад
@@bensonmgaya5693 hiyo sio hekima inatakiwa mtu ahesabiiwe miaka ya shetani …
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 19 дней назад
@@lawrencegwerino1656 apana amekili makosa sio kila kosa ni kuhukumu tu bila kufikilia kumbuka hata wewe unakosea Mimi ni mkristo na hekima aliyo tumia na kumpa pesa ya vocha amefanya vizuri sana Cha msingi Mungu aendelee kumpa hekima huyo kiongozi anaona mbali sana
@binobino9078
@binobino9078 19 дней назад
Serikali inatakiwa iwasaidie kuweka mazingira mazuri ya watoto kuendelea na masomo yao, lengo la sheikh lilikua ni zuri tu ila changamoto za kiuchumi ndio shida. Ni vyema DC atie nguvu kukisaidia kituo hicho.
@khamishumba6511
@khamishumba6511 19 дней назад
​@@lawrencegwerino1656acha ujinga
@aminakipande5645
@aminakipande5645 16 дней назад
@@lawrencegwerino1656😂😂 😂
@abdallahidrisa710
@abdallahidrisa710 19 дней назад
Mkuu wa Wilaya yuko sahihi.Tena huyu jamaa anabusara sana.Tusilaumu tuchangie kuboresha mazingira. Allah Jaalia kituo kisajiliwe
@emmadora7848
@emmadora7848 19 дней назад
Salute kwako kaka ,wenzio wataanza sema waisilamu tunaonewa
@shinipapaya846
@shinipapaya846 19 дней назад
​@@emmadora7848nani anakuonea amka usingizini ndugu yangu hizo dini sio zenu tumeletewa na wakoloni amkeni usingizini ndugu zangu 😭😭
@Official83640
@Official83640 19 дней назад
MM NIMESEMA LKN NAONEKANA NA MM KAFILI WAKATI UKWELI NDY HUO SEHEMU SIO SALAMA WATU WAANGALIE WASIMLAUMU MKUU WA WILAYA TU NI BORA WAOMBE MICHANGO KITUO KISAJILIWE BWENI LIJENGWE MAFUNZO YAENDELEE
@HassanJaphari-rx7jy
@HassanJaphari-rx7jy 19 дней назад
Ameen
@zully756
@zully756 19 дней назад
​@@emmadora7848kuna mtu alisema ugaidi unaanzia hapo.
@Henricovicent
@Henricovicent 19 дней назад
Hongera sana Mhe. DC Petro Magoti kwa hekima na busara uliyo itumia. Mungu akubariki sana!
@innocentboykid2442
@innocentboykid2442 18 дней назад
Hekima ni msingi wa wajita
@user-ov6bq8dc6t
@user-ov6bq8dc6t 17 дней назад
Elimu ya akhera haipatikan kiurahisi allah atawasimamia na hiki kituo kitaendelea inshaallah
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 19 дней назад
Shekhe umejibu kwa busara sana mwenyezi mungu Akusaidie uweze kukamilisha hilo itaji la moyo wako nakuombea
@kichanganionlinetv8023
@kichanganionlinetv8023 19 дней назад
Sisi wengine tumesoma maeneo kama hayohayo leo hii tuna maadili yetu na tuna maisha mazur Alhamdulillah nikiona hivi binasfi najua na maisha tu magumu nawaombea dua ndugu zetu hawa iko siku huyu Ustadh ataneemeka tena mda si mrefu in shaa Allah
@bokasinvestment9219
@bokasinvestment9219 19 дней назад
Maashaallah kaka watu markazi tumevumilia cz kilichotupeleka tunakifahamu tusilqzimishane mirengo shule kuna nnn kama huna maadili mzigo tuuu mtaan sindo hao wasomi wanaokaa uchi na kusema ndo utandawaziiii wenye dini hawafanyi upumbavu kama huo
@Pelegrinoemanuel
@Pelegrinoemanuel 19 дней назад
Huyu atakuwa alifundisha ugaidi
@kichanganionlinetv8023
@kichanganionlinetv8023 19 дней назад
@@Pelegrinoemanuel wakristo mnachuki sana na uislam hilo tunalijua na quran ishatuambia kuwa chuki mlizonazo kwenye mioyo yenu ni kubwa kuliko hizi mnazozidhihirisha so tunawajua vzr kwahiyo comment kama hii yako ningeshangaa isiwepo
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 18 дней назад
@@Pelegrinoemanuel Acha ushenzi wewe
@geraldkayanda6075
@geraldkayanda6075 17 дней назад
Toa ujinga wenu,mlizaa watoto kuwapeleka kulelewa? Kama uwezo wa kulea hamna mnazaa wa nini? Badala watoto mkawapeleke shule wasome elimu inayoeleweka mpo busy na kiarabu.
@DicksonEdson
@DicksonEdson 19 дней назад
Huyu shehe nimempenda sana nimstarabu
@jasmintanga2474
@jasmintanga2474 19 дней назад
Saana Allah amfanyie wepesi ktk usambazaji wake wa dini aende kisheria
@EliasPaul-qs2ib
@EliasPaul-qs2ib 2 дня назад
Hata kama siyo mstaarabu hapo lazima ajifunze kuwa mstaarabu Kwa Maana akijifanya mkali jela inamhusu
@user-kr7ux2dw5l
@user-kr7ux2dw5l 19 дней назад
Masha Allah watoto wanasoma dini yao hapo waachane tu mnachotakiwa mujenge mabweni tu. Na sikuzalilisha.
@m-tatu1050
@m-tatu1050 17 дней назад
Mimi ni Muslim ila Kwa hili usalama wa watoto haujazingatiwa. DC upo sahihi na umetumia busara kubwa shekhe pia umetumia busara kukubali makosa kukiri makosa. Mungu ni mwema yametokea haya kabla madhara hayajawapata watoto.
@ahmedyunus7211
@ahmedyunus7211 19 дней назад
Kabla ya kuisoma Dunia ni vyema kuisoma akhera yetu wenye Dunia tuwaachie Dunia yao
@AhmadaHassan-gy5uj
@AhmadaHassan-gy5uj 18 дней назад
Swadaqta wa jina
@groundtrader173
@groundtrader173 18 дней назад
Serikali wanataka madrassa zifungwe. Hawana lolote hawa. Wanataka elimu ya kizungu tu.
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 18 дней назад
​@@groundtrader173usingesoma ya kizungu, ungetuandikia nni hapa????.. ndio inayokusaidia kupambanua mambo
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 14 дней назад
​@@manish-fp1fbMambo gani ww choko nini
@sabtinaramadhani5413
@sabtinaramadhani5413 17 дней назад
DC kisarawe mwenyezi mungu akulinde na kila baya ,akupe kheri na baraka zake
@rehemavickie6521
@rehemavickie6521 19 дней назад
Mungu akubariki sheikh, aisee una Mungu uko mnyenyekevu
@user-gi1vf3gh1e
@user-gi1vf3gh1e 19 дней назад
Achen akili mbovu iyo hali sio nzuri tuache dini pambeni watoto wanakaaje hapo ubishi sio mzuri tubadilike
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 19 дней назад
Chuki na uislamu tuuh mungu anawaona mbona watu wanauza uchi na mashoga hawakamatwi wanachekelewa tuuh na viongozi awachukui hatuwa
@emmadora7848
@emmadora7848 19 дней назад
​@@user-yj5on8cz3enani aichukie dini ambayo watu wake wako kama mawe? Miaka yote hawataki kubadilika ,ninyi ni wabishi sana na ndio maana wengi hamsomi ila kulalama mnapenda sana
@ramadhanimwinyi-7445
@ramadhanimwinyi-7445 19 дней назад
Didi haiwezi kuachwa pembeni ila utaratibu uchukuliwe dini yeyote haisemi watoto wateswe
@leonnyntandu4324
@leonnyntandu4324 19 дней назад
​@@user-yj5on8cz3e haya mambo ya kuendekeza udini ndio yaliyosababisha majanga kibiti,mkuranga,Amboni na mtwara mtu anaendesha mafundisho bila hata uongozi wa dini mkoa hufahamu tena unalaza watu msikitini alafu unatetea tu ujinga et dini kuna mtu asiyejua maana ya kumuomba Mungu na kujifunza mafundisho mema kwann mnataka sana kulazimisha dini ya kiislam ionekane na taswira mbaya kwa kukosa elimu ya dunia ninyi ndio mnaofanya uislam uonekane vibaya mbele za watu kwakujiona kama malaika na wengine ni mashetani ingali ndani humo humo kuna mashetani zaidi hata ya hawa mnaowaona wadhambi badilikeni mnakera sana vile hamjui tu mnatufanya tunaowaamini na kutamani kujifunza mafundisho mazuri ya kiislam tuchukie
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 19 дней назад
​@@user-yj5on8cz3ehawakamatwi vp... Mbona sinza wameshika madangulo yote
@kitejamayunga7645
@kitejamayunga7645 19 дней назад
Sheikh ni mstaarabu sana. Amesema ukweli wake na Allah atamsimamia kupitia ukweli wake. Mafundisho ya Dini ni muhimu sana, tena sana, lakini shida mazingira siyo rafiki. Simple tu kuelewa.
@JoyceMourice
@JoyceMourice 19 дней назад
Amesema ukweli wap anafanya watoto wasisome mtoto wa darasa la nne amemkumbatia asomi na alisema anawatoto wakubwa kumbe na wadogo wapo
@florencejohn6427
@florencejohn6427 19 дней назад
Angekuwa mstaraab angefanya huu upuuzi? Ovyoo
@user-rw2mm1jk6o
@user-rw2mm1jk6o 19 дней назад
​@@florencejohn6427chizi ww achakutukana watu unaongea kwajazba ya dini tu fyuuu
@kasimubangu1875
@kasimubangu1875 19 дней назад
​Upuuzi gani ndugu@@florencejohn6427
@zahranabdi8124
@zahranabdi8124 19 дней назад
Kuna machokoraa wamejazana mtaani iyo serikali imefany jukumu gan lakuwasomesha?​@@JoyceMourice
@user-du5wk9ns9m
@user-du5wk9ns9m 19 дней назад
Bakwata simamia hili,sio kusimamia sikukuu na mirad ya msktin
@abdullazaqjuma7592
@abdullazaqjuma7592 6 дней назад
Wao wako bize na maulid tu
@adinanibuma6096
@adinanibuma6096 19 дней назад
Kama serikali mnatoa kwa ajili ya mashule basi mtoe na kwa ajili ya madrasa kwani kuna wengine sio kwamba wanapenda kuwa wabunge raisi na cheo zingine za kiserikali kuna wengine wanataka kuwa masheikh serikali iangalie hili msiwalazimishe watoto na ndoto zao
@ukhtyrehemaabdy2830
@ukhtyrehemaabdy2830 18 дней назад
Ukiwa na busara raha sanaaa DC anabusara Sheikh anabusara hapo Lugha ni Moja Mashaallah
@fawaaidibnjuma8716
@fawaaidibnjuma8716 19 дней назад
Kwenye kulingania dini kuna mitihani mingi. Allah akupeni subra nusra ya allah ipo pamoja na matatizo
@HusseinAbdul-is9xq
@HusseinAbdul-is9xq 19 дней назад
Sahihi Allah s.w.t awape subra
@groundtrader173
@groundtrader173 18 дней назад
Serikali inataka kufunga Madrassa. Maneno yake yanaonesha niya yake kamili
@KHAMIS_SHILINGI
@KHAMIS_SHILINGI 18 дней назад
Allaahumma aamiin yaa rabbi 😢😢😢
@trophywilson7211
@trophywilson7211 13 дней назад
ndo kulala huko kuitafuta mbingu?
@khalifaaliomar7989
@khalifaaliomar7989 14 дней назад
Asante chief
@athumanyassin7796
@athumanyassin7796 15 дней назад
Hizo pesa zinazotolewa ni kiasi gani kinatengwa kwa ajili ya taasisi za kidini kabla hatujawalaumu na kuwadhalilisha viongozi wa kidini?
@hamadiayossy
@hamadiayossy 19 дней назад
Mh DC Mwenyezi Mungu akubariki sana,Mungu akupe maisha marefu in sha Allah,
@winfridamakonyola9887
@winfridamakonyola9887 19 дней назад
Mimi machozi yamenitoka eti kwa ajili ya huyo ostaz alivyo mnyenyekevu hadi nimelia😢 jamani achangiwe bweni lijengwe
@mohamedkwiga6870
@mohamedkwiga6870 18 дней назад
Nmejiskia huruma kweli asee
@jafarinauma6798
@jafarinauma6798 16 дней назад
Ndio ujue umuhimu wa kusoma dini huyo sheikh kasoma dini
@marywigira3904
@marywigira3904 13 дней назад
Yaani anaunyenyekevu mnoo Mungu amuinulie wafadhili wa project hii
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 11 дней назад
Kwakweli jambo la msingi nikuchanga tu wajengewe bweni zuri waendelee na mafundisho hayo yanafaida sana ila tatizo ni mazingira
@deusgulamiwa7489
@deusgulamiwa7489 18 дней назад
Kazi ya kufundisha dini na maadili mema. Ni kazi nzuri ya Mungu, iboreshwe.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 13 дней назад
Lakin hao si wanatakiwa waende sekondari ndo huko Wapate na Elimu ya Dini??Ili kesho wasianze.kusema Pastor ana gari lakin shekhe Hata baiskeli hana hahaha
@deusgulamiwa7489
@deusgulamiwa7489 13 дней назад
@@trophywilson7211 Kweli, umri ule sio wa elimu ya dini pekee. Ukiangalia upande mmoja yaani ustawi "kiroho" unasema ni sawa jambo jema kufundishwa dini. Ukiangalia kwa upana wake yaani ustawi wao kwa ujumla unapata jibu wanahitaji elimu ya dunia na ya dini.
@hermanaaron6945
@hermanaaron6945 19 дней назад
Kazi nzuri sana DC
@HassanWasiwasi-lq1kh
@HassanWasiwasi-lq1kh 19 дней назад
Acha kuidanganya jamii!!! Msikiti ni zaidi ya kufanya ibada, tafadhali tumia lugha nzuri.😢
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 18 дней назад
Nyumba ya ibada wanapika jaman hiyo ni kambi ya jeshi au ugaidi.. nyumba ya ibada ni ibada tu
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv 19 дней назад
Haya mambo ya kuaza kufundisha watoto namna ya kuja kuwa magaidi yameaza tena jaman 😢
@MuhamedAjigar-dw9ve
@MuhamedAjigar-dw9ve 19 дней назад
Nyooo umesikia wanafundisha ugaidi pale kuwa muelewa
@JumaJuma-i2g
@JumaJuma-i2g 19 дней назад
@@JK-uq1tv kwani ww umefatilia kua wanafundishwa kuja kua magaidi ?
@devisshirima6780
@devisshirima6780 19 дней назад
Acheni fikra za kimagharib zilizojaa chuki, uislam sio ugaidi bwana, hiyo ni sawa na Sunday school kwa sisi wakristo !! Tusiwekeane mipaka kwa kuwapandikiza wengine ubaya !! Dini ni upendo, kwa taarifa tuu magaidi wakwanza ni hao wanaotuharibia watoto kwa ushoga na usagaji na tena wanalazimisha dunia iangamie, sembuse hawa wanaoipigania dini yao !! Acha chiki bwana
@JumaJuma-i2g
@JumaJuma-i2g 19 дней назад
@@devisshirima6780 sahihi kabisa ndugu
@shadhirimaalim9739
@shadhirimaalim9739 19 дней назад
Hizo ni chuki zako wee unaubaguzi kwanza akuna gaidi
@husseinyusuph7297
@husseinyusuph7297 19 дней назад
Mkuu magoti Mungu akubariki sana kwa hekima kubwa uliyo onesha InshaAllah Kazi njema
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 18 дней назад
DC na sheikh Mungu awabariki sana.
@BLUBEENICE
@BLUBEENICE 15 дней назад
Safi sana MH.ila wazazi wa hao watoto nao vichwa vyao sio sawa.
@alinaalina5044
@alinaalina5044 15 дней назад
Kutafuta elim sio mpaka update pazuri sio
@RaphaelHhari
@RaphaelHhari 19 дней назад
Dc amefanya kazi nzuri
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 14 дней назад
Hongera sana mungu akufanyie wepesi kwa kila jambo shehe pamoja na DC maisha magumu Sana wakirudishwa tunazalisha panyarodi mungu tutetee
@joasitz9559
@joasitz9559 19 дней назад
Hongera DC, nimependa approach yako. Hope Shehe ataboresha
@user-dr2lk7im7r
@user-dr2lk7im7r 19 дней назад
Je hao watoto wanafundishwa dini tu. watoto hao waulizwe wanachofundishwa.
@AbdulimalikiDulle-bp5zp
@AbdulimalikiDulle-bp5zp 19 дней назад
ni dini tu wala usihofu
@seifmiraji43
@seifmiraji43 19 дней назад
Swali la kipumbavu
@user-ji5go2jf6h
@user-ji5go2jf6h 19 дней назад
😂😂😂
@stellamhando1750
@stellamhando1750 19 дней назад
😂😂
@kichanganionlinetv8023
@kichanganionlinetv8023 19 дней назад
We ni msenge mbona wakristo mnachuki na uislam ivi bwege wew
@ramadhanikitenge3182
@ramadhanikitenge3182 19 дней назад
Huyo shkh mm namjua anajitahd sana na ana group la mchango wa hayo mabweni ila ndo hvyo watu wanatoa kdog kdogo sana
@jasmintanga2474
@jasmintanga2474 19 дней назад
Allah atamuongoja
@jasmintanga2474
@jasmintanga2474 19 дней назад
Atamuongoza inshaa Allah
@mshambaused3840
@mshambaused3840 18 дней назад
Tuma link yake ya group
@ramadhanikitenge3182
@ramadhanikitenge3182 18 дней назад
Mtu anaweza akaweka namba yake nkamtumia akuunge kwny group
@MrA24G
@MrA24G 17 дней назад
Angepata network uarabuni wampe fedha za kujenga mabweni.Uarabuni pesa zipo ni apate link Bakwata wangempa link.Ama angeenda ubalozi wa Oman Saudia nk wangemsaidia.Waislam jikusanyeni msaidieni sheikh muonganisheni na waarabu nje ya nchi wam finance.Km dini nyingine wanavyotafuta funds nje na kujenga maskuli nk.
@ntibashimadicksonmathiasna2915
@ntibashimadicksonmathiasna2915 17 дней назад
Dc ❤et magodoro Yanaisha kwa ajili ya kutafuta watoto❤
@hidayahshabani3379
@hidayahshabani3379 19 дней назад
Allah amfanyie wepes sheikh tuchangie waweke bweni, mkuu wa wilaya yuko vixur ana huruma sana, sheikh nae mkweli, mkuu w wilaya ana huruma sana,
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 19 дней назад
Maisha hayo ni bora kuliko maisha ya watoto kuzurura mitaani... Kuwa wahuni,wezi,madawa ya kulevya nk...
@HusseinAbdul-is9xq
@HusseinAbdul-is9xq 19 дней назад
Sahihi
@luluray2115
@luluray2115 19 дней назад
Uko sahii ila kumbuka watoto Bado wanaitaji shule hicho kituo kinaitaji kijulikane kwa serikal na kwa wakubwa wa dini ili watoto wapewe malez Bora kinacho fanyika hapa ni sahii kabsa
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 19 дней назад
Umeambiwa ni wa mtaani hao?
@libandaonline5358
@libandaonline5358 18 дней назад
Hakuna dc hapa ni ukristo tu unataka kuturudisha nyuma katika dini laana tu llah
@libandaonline5358
@libandaonline5358 18 дней назад
Wallah nakuomba mungu sambaratisha cheo chake huyu kafiri adharirike mpaka kaima🤲🤲
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 19 дней назад
Hivi Serikari wanakuwaga wapi mpka kitu kama hiki kinatokea ? Alipataje leseni ? Mambo ya aibu sana haya.
@WaziriAbdallah-vr4xg
@WaziriAbdallah-vr4xg 19 дней назад
Hakuna jambo la aibu hapo hayo maisha ndo maisha asilimia 90 watu wanaishi huko mikoani hivyo usifanye kama Kijiji kwako hakuna
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 19 дней назад
Leseni? Leseni gani? Alafu hayo ni maisha tunayoishi kila siku... Nina jirani yangu anawatoto sita wanalala kwenye chumba kimoja na wazazi wao kwenye chumba kimoja... Maisha hayo ni afadhari kuliko maisha ya watoto kuzurura mitaani kuwa wauni na vibaka
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 19 дней назад
@@OchoaHomeDecor_ ndio maana Serikari inatakiwa na watalamu wake wanatakiwa kutoka Elimu na makazi bora Ni 2024 sio 1940 lazima wawatoe wanainchi kwenye umasikini kama huo sio wanafikilia matumbo Yao tu .
@leokamil6284
@leokamil6284 19 дней назад
Ajabu sana hii
@happymvula
@happymvula 19 дней назад
Me nauliza hao watoto wanaenda saa ngapi shule? Maana navyojua wanaenda madrasa wakitoka shule...siyo kuhamia ,labda kama wapo hapo kwa muda .
@user-fj5qu1qy4u
@user-fj5qu1qy4u 17 дней назад
KAZI nzuri magoti DC
@nasrasalumu7005
@nasrasalumu7005 14 дней назад
Shekhe uko sahihi sikuizi watoto wadogo watukutu huku mtaani bora kuwe navituo kama hivi hata huku mtaani wangekuwa watoto wenye heshima chamsingi tumuwezeshe shekhe atufundishie watoto wetu huku mitaani hakufai asante mkuu kwa busara zako pia shekhe allah akulipe kwa hekima uliyonayo tukiwezeshe kituo waislamu inshallah
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 19 дней назад
Ukweli tusifiche WAISLAM Kwa hili wanakosea sana hii tabia misikiti MINGI hiyo tabia ipo sana kuwakusanya watoto sehem km hiyo unatabia ya ongezeko la Ushoga watoto wengi wamearibiwa sehem km hizo za mikusanyiko
@barackmoses7003
@barackmoses7003 19 дней назад
𝐊𝐖𝐄𝐋𝐈 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀
@husnathabiti4114
@husnathabiti4114 19 дней назад
Mbona mfalme zumaridi mbona Analaza usiseme waislam ili nikosa kama makosa mengine
@shabanponera2895
@shabanponera2895 19 дней назад
Sunday school hawaharibiwi?
@user-ci9mr5pt9v
@user-ci9mr5pt9v 19 дней назад
Kwani mwenyezi mungu kwenye vitabu vyake anasemaje na mtume naye na watu wema waliishije kipindi chao? Na kuhusu ushoga mungu kakataza lakini pia vilevile kuchanganyika na Wanawake imekatazwa tusiongee tu kwa ushabiki turudi kwa mungu tufate taurati, zaburi, injili na quraan.
@IbrahimuLikolinji-ly2tp
@IbrahimuLikolinji-ly2tp 17 дней назад
Acha ujinga
@hamishatibu699
@hamishatibu699 19 дней назад
Wajengewe mabweni watoto wasome Mbona Tanga wanamabweni watoto wanasoma vizuli tu
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x 19 дней назад
Tatizo vituvyakheri havina michango m
@mohamedkwiga6870
@mohamedkwiga6870 18 дней назад
Nmewapenda wote shekhe na DC Magoti...Hapo mkuu wa wilaya tusaidie angalau Bweni Moja Inshallah
@abdallahkungulilo7939
@abdallahkungulilo7939 18 дней назад
Kiongozi ni ni kutafakari na kufanya maamuzi kwa Hekima na Busara, siyo Hisia na Mihemko, I salute you DC Magoti kwa namna ulivyoshughulikia kadhia hiyo, Mungu akubari!
@ednalugano2906
@ednalugano2906 19 дней назад
Serikali iache kulea vitu hivi kwa kisingizio cha uhuru wa Imani. Hivi vituo vinavyokusanya watoto kiholela vinakiuka haki ya watoto ya elimu,nk. Magonjwa yakitokea nani anawahudumia? Na wazazi wenye watoto hawa wachukuliwe hatua za kisheria.
@allymtito8117
@allymtito8117 19 дней назад
We jaahili kweli,
@NURUABDALLAH-kq4ui
@NURUABDALLAH-kq4ui 19 дней назад
We mpuuzi Kweli!!!!
@user-zu8ui2py1z
@user-zu8ui2py1z 16 дней назад
Ww mjinga nmoja
@user-zr1dv2tb5k
@user-zr1dv2tb5k 9 дней назад
Mjinga wa mwisho
@TV-se1lf
@TV-se1lf 19 дней назад
Jamani shughuli za uendeshaji shughuli za dini ni changamoto sana, ukizingatia hakuna mfadhili wa kukamilisha kila kitu kwa wakati. serikali ituvumilie waisilamu. Ikiwezekana serikali iangalie namna ya kuwezesha taasisi za dini.
@adinanibuma6096
@adinanibuma6096 19 дней назад
Ni kweli kabisa
@HusseinAbdul-is9xq
@HusseinAbdul-is9xq 19 дней назад
Sahihi kwasababu nawatu wa dini lengo 1 VP watu wataishi Kwa Imani na khofu hvyo wanafanya kazi kubwa saana kusaidia jeshi la police 🚨 kureta usalam.
@canibalgazaboy8325
@canibalgazaboy8325 19 дней назад
Taasisi za dini zitengeneze mazingira mazuri zenyewe ko kabla ya kuibebesha lawama serikali kwanza jikagueni wenyewe kwanza muone kama mnaweza kutoa huduma hiyo
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 18 дней назад
@@canibalgazaboy8325 Mwisho wa siku huduma lzm ziendelee watoto mashaallah wanazaliwa wengi kama yukisubira mazingiza mazuri watapotea wate hao vijiweni kwa bangi, unga n.k
@cecilialivingstone9202
@cecilialivingstone9202 17 дней назад
😂😂😂😂
@Shamshuunoon
@Shamshuunoon 18 дней назад
Niliona watu wakimjibu vibaya huyu mkuu wa wilaya jee nani Yupo tayari mtoto wake aishi mazingira hayo? Hapo hata hiyo elimu mtoto atafahamu kweli?
@AbuuAnuwar-ip7dr
@AbuuAnuwar-ip7dr 16 дней назад
Asante sana muheshimiwa, umetumia njia mzuri sana nahekma yahali yajuu licha yakuwa ulikuwa nauwezo nahaki yakumhukumu Shekhe wetu huyo maana kosa lake likowazi
@nathanielshauri5135
@nathanielshauri5135 19 дней назад
Hongera sana DC kazi nzuri sana ndio viongozi tunao waitaji watazania big up
@libandaonline5358
@libandaonline5358 18 дней назад
Sasa kazi ya nini hapo au ndio ukafiri unakusumbua
@msemasungura5651
@msemasungura5651 19 дней назад
Hiyo pia nielimu kama mtoto ameshindwa kwenda shule kuliko kuzurura hata dini asome .nilazima itambulike kua pia hii nielimu.
@adinanibuma6096
@adinanibuma6096 19 дней назад
Ni sahihi akhy kuna watu hapa nahisi si waislam wengine pia ni nawasiasa tu wanongelea vitu vya kijinga sana
@luluray2115
@luluray2115 19 дней назад
Kwann ashindwe kwenda shule tunajua dini ni muhimu sawa lakin kumbuka elimu ni Bure kwann ashindwe kwenda shule??
@RiyanyMwakipunda
@RiyanyMwakipunda 18 дней назад
Nakupongeza Dc Magoti mpakanimetokwa na chozi kwa hekima zako good bro
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 18 дней назад
Sheikh Mungu amekupa hekima kubwa sana,wewe ni zaida ya sheikh wa mkoa,Mungu akuzidishie Ndugu yangu.
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 19 дней назад
Hii aijakaa sawa
@user-js1sv8kk3t
@user-js1sv8kk3t 19 дней назад
Taarifa za kiintelligensia zimebeba mambo mengi kuhusu hicho kituo..
@Makikokasongo
@Makikokasongo 19 дней назад
Tusaidie tujue
@gwajimagwajima
@gwajimagwajima 17 дней назад
Intelijisia ya mavi
@ibnkhaldoun9694
@ibnkhaldoun9694 17 дней назад
@HUNA LOLOTE ULIJUALO ZAIDI YA CHUKI NA WAISLAM .
@user-so5vi2vk2j
@user-so5vi2vk2j 19 дней назад
Ubarikiwe shehe na dc kwa hekima
@SophyDan-c4s
@SophyDan-c4s 19 дней назад
Dc Mungu akubrki,una hekima sana
@israeluronu9958
@israeluronu9958 19 дней назад
Nyie mnaolalamika eti anazuia kazi ya Mungu mnakosea!!! Haowatt kilamtu ametoka kwao na tabia zake. Hivi vitendo vya ukarili nivingi sikwawaislamu wala wakristo. Kwaiyo wacheni kiongozi afanye kazi yake. Watt wakiumia ninyie mtalaumu jmn
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 19 дней назад
Ni aibu kwa inchi.kuona haya mambo yanafanyika na serikali ipo…
@TwahaAliMtumbi
@TwahaAliMtumbi 19 дней назад
Wapuuuzi Sana hii serikali
@leokamil6284
@leokamil6284 19 дней назад
Aibu kubwa sana huu ni utumwa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 дней назад
Magoti umechapa kazi vizuri sanaaaa hao nikujamiana tu jinaiq moja Mungu walibse hao watoto
@PrinceMgeni
@PrinceMgeni 5 дней назад
Ujielew inaonekana ulizaliw unatukan
@tatujuma4795
@tatujuma4795 19 дней назад
Big up sana mkuu una mauwa yako toka kwangu, umefanya kazi nzuri sana, kwanza ni watoto wa kiume tupu huu unaweza kuwa mwanzo wa ulawiti na kulawitiwa kwa watoto hao
@user-vl5tz6xt2m
@user-vl5tz6xt2m 19 дней назад
Ushoga ndio unaanzia humour,ni ujinga sana huo.
@omarymatumika4600
@omarymatumika4600 18 дней назад
​@@user-vl5tz6xt2m hahahahaha wewe kweli akili huna
@ednalugano2906
@ednalugano2906 19 дней назад
Waziri Gwajima, ukaguzi ifanyike nchi nzima. Makanisa na misikiti yote ikaguliwe. Na sheria iwe Kali kwa wazazi na walezi. Iko siku waovu wataweka vituo km hivi kuendesha Mafunzo ya ugaidi, ushoga,nk alaumiwe nani?
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 19 дней назад
Nimependa ulichoandika.
@ABUU426
@ABUU426 19 дней назад
Yule asiyefahamu nini maana ya dini atamuunga mkono sana DC,na Yule anaefahamu nini maana ya dini atamlaumu sana DC.
@rashidyyusuph4386
@rashidyyusuph4386 19 дней назад
Ukwel DC kakurupuka alafu watu wanaishi maisha ya shida kuliko hayo alafu wala mtu aongei chochote kwa kuwa jambo la dini na la waislam ndio hivyo tena Kumbuka sis tumesoma elimu ya dunia hiyo hiyo kwa kukaa chni na vyoo vya kulenga Lakin miaka sana yote tumeishi hivyo leo jambo la dini watu washabikia DC mwenyewe maneno machafu
@perfecttentech6208
@perfecttentech6208 19 дней назад
kiongozi hakuna kulaumu mtu. hapo ni kusecure usalama wa hao watoto. shekhe ajenge hostel afanye hiyo kazi
@ABUU426
@ABUU426 18 дней назад
@@perfecttentech6208 Kama hujui hapo kuna baadhi ni watoto wa mitaani wameletwa hapo kusaidiwa jee warudi mitaani wakazurure na kulala barabarani na masokoni? Au huko ndio salama zaidi.
@egbertlambert
@egbertlambert 13 дней назад
Duh kweli
@yusufumbwene5669
@yusufumbwene5669 13 дней назад
Mtume wetu Muhammad ( s.a.w ) ukiangalia maisha yake yote alikuwa akilala mchangani kula alikuwa anakula tende na sio kwamba alikuwa masikini , starehe za kidunia zitawapotosha vijana , huyu dc atafute vijana ambao hawana ajira mtaani awasaidie acheni kusakama uislam
@SalumKanju-ik1bk
@SalumKanju-ik1bk 12 дней назад
AYO TV RUDINI KWA SHEIKH MKAMSAIDIE KUPAZA SAUTI KWAJILI YA ARAMBEE WEKENI ACCOUNT NUMBER ONLINE ILI WATAKAOGUSWA TUCHANGIE HILO
@user-du5wk9ns9m
@user-du5wk9ns9m 19 дней назад
Mama Samia anaona hili na Iman atafanya kitu kama alivyofanya mengi mazur yanayo gusa maisha ya watu😢
@user-do1ug7de3g
@user-do1ug7de3g 19 дней назад
Hivi mama samia kuna jema amefanya au unampaisha tu mie sijaona pia namshuhudia Mungu
@user-du5wk9ns9m
@user-du5wk9ns9m 18 дней назад
@@user-do1ug7de3g mama kawapeleka bongo movie korea hawez shindwa hili jambo la khery
@user-hz6zl1jr8v
@user-hz6zl1jr8v 19 дней назад
Waangaliqe na afya zao je ni wazima? Je hawajaingiliwa kimwili.?
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 19 дней назад
Yaan wewe una mawazo ya ovyoo
@fashion7442
@fashion7442 19 дней назад
Wataingiliwaje wote hao naww uwe na akili
@IbrahimMaestro
@IbrahimMaestro 19 дней назад
Tahila ww
@yusuphmnyamani2199
@yusuphmnyamani2199 18 дней назад
Kwahiyo ulivy ingiliw wew ukiw mdog unadhani na haw watoto itakuw hivyo
@saidMahinde
@saidMahinde 13 дней назад
kweli tabiaza za m2 zikiwa chafu na mawazoyake yanakua machafu alio zoea kulawitiwa pia mawazoyake kua kilam2 analawitiwa kama yeye
@sabojanvierjaja2007
@sabojanvierjaja2007 16 дней назад
Sheikh hongera sana umeweza kujitambua na kujieleza vizuri sana Mumgu akubariki sana Japo mi ni mu christo nimekuelewa sana na nimekupenda sana bure Na Bwana DC asante kwa kumuelewa Sheikh
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 19 дней назад
Dc yuko sawa na ustadhi pia naamini kwa asilimia 100 nia yake ni nzuri mno . Waislamu na wadau mbalimbali hili ni dhima tujitokezeni kwa kile ulichojaaliwa kulibeba hili tusingoje kufuatwa au kuombwa. Tutengeneze Akhera yetu Leo.
@HamisiKashushu
@HamisiKashushu 19 дней назад
Uko vizuri sana mkuu nenda na kwa mwamposa wanala nje na wagonjwa
@arushijuma6056
@arushijuma6056 19 дней назад
😂😂😂😂 kwakweli
@naifathassan2607
@naifathassan2607 18 дней назад
Wale ni watu wazima hawa ni watoto wanaweza hata kufanyana vibaya tatizo mnaanza kuleta udini
@therealkingo
@therealkingo 18 дней назад
🎉😂😂
@user-mc2zl1gj6u
@user-mc2zl1gj6u 18 дней назад
Usha sema hao ni wagonjwa acha wahangikie tiba na uponyaji pia ni watu wazima hawajitaji kwenda Shure ludishrni hao watt kwa wazazi wao wakaende shure na kulijenga taifa msikiti ni sehemu ya kusali na kuludi nyumbani siyo kuishi humo kazi au Shure wanafanya saa ngap? Ulizeni hao watt wanacho fundishwa kusije kukawa kunazalishwa akina hamza
@AlexKing-yg2cc
@AlexKing-yg2cc 17 дней назад
​@@user-mc2zl1gj6uKwa uandishi huu hata wewe unatakiwa kwenda shule. Shure ndiyo nn?
@hadijatwahadossa
@hadijatwahadossa 19 дней назад
Hii sio uislam,,,,,hawa watoto wanatakiwa wawe shule,.......kama mzazi huna elimu ya kutosha,,,usitake mtoto nae awe kama wewe,,mzazi
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 19 дней назад
Hiyo wanayo pewa ni elimu pia...kikubwa ni usalama wa hao watoto
@adamhashim3352
@adamhashim3352 19 дней назад
Kwahyo hapo walipo sio shule. Km unahuruma kweli ungewachukua wanaoranda katiakoo uwapeleke shule
@rashidyyusuph4386
@rashidyyusuph4386 19 дней назад
Kwani shule ndio nin mbona kama ubongo wako umelala
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 19 дней назад
@@rashidyyusuph4386 ww toka umesoma umeajiliwa au umepewa kazi ilmu ya dini ndo yenye kumfaa mtu kesho akhera ww unajina la kiislamu lakini hujtambui uislamu ni nini
@andrewmagwila1602
@andrewmagwila1602 19 дней назад
Umesema kweli ngugu
@DuuSaid
@DuuSaid 14 дней назад
Msikiti sio Kama kanisa asichanganye haki na batili..shehe wekeni namba zenu za tigo pesa mupate michango kuinua madrasa
@user-bs7cw1oi6z
@user-bs7cw1oi6z 14 дней назад
Duu said mbona unadhalau wakristo , watoto wanaoshi vibaya wewe unaleta uchochezi acha unafiki Mungu sio wa kwako tu, viongozi wameshauri vizuri wewe unadhalau wakristo sio sawa ukome kabisa
@HamisiKashushu
@HamisiKashushu 19 дней назад
Kwa hili nakupongeza sana kazi nzuri
@petroyohana1126
@petroyohana1126 19 дней назад
Wazazi wenyewe ni maboya Sanaa, mungu atusaidie sana. Sijui nani katuloga
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 19 дней назад
Hata mm nashangaa akili Gani hizi za wazazi. Ndiomana watoto wanafanywa vibaya
@mohamedkamota1903
@mohamedkamota1903 18 дней назад
Hauna AKILI wewe
@AkidaMashaka
@AkidaMashaka 18 дней назад
achakukurupuka mjomba hakuna mzazi asie mtakia mwanaeheri wamezania heri wakawapeleka wanao ilamzingira ndio changamoto
@user-ei5di4oi7g
@user-ei5di4oi7g 5 дней назад
Ninawaombea miundo mbinu iboreshwe. Shekhe Allah akulinde
@queenmilan2024
@queenmilan2024 19 дней назад
Hongera DC
@manfredherman2898
@manfredherman2898 19 дней назад
Iv waislam kaz kutanua midomo wanawaona😢 iv kwel mnashindwa kuchangia din yenu watoto wenu wakasoma vizur 😢😢
@emmadora7848
@emmadora7848 19 дней назад
Hao kulalama ni balaaa ila kuchangia maendeleo ya taasisi zao ni 0 huo ndio ukweli japo watakataa
@bitecastory2137
@bitecastory2137 19 дней назад
Toka lini uisilamu akawa na Elimu ya kutosha ila Sasa kutukana kafili ndo wamejaliwa
@SaidiAmiri-qv5ed
@SaidiAmiri-qv5ed 19 дней назад
​@@bitecastory2137unakosea sana,raisi wako dini gani? Hana elimu yule,nani aliyepigania uhuru taifa hili,chama cha TAA baadae kikazaluwa TANU ndani yake walikuwa akina nani? Acha ufala,elimu waislamu tunayo yakutosha.
@shagufasalim4310
@shagufasalim4310 19 дней назад
@@bitecastory2137 allah akusamehe
@IsraelMjita
@IsraelMjita 19 дней назад
Angalieni hapo kama hakuna viashiria vya mafunzo ya kigaidi
@AshuraMaulid
@AshuraMaulid 19 дней назад
Nilitaka kusema hili nimewaza kama wewe yaani wachunguzwe
@dickmagige9315
@dickmagige9315 19 дней назад
Msiwe na mawazo mgando nyie
@shabanimfikirwa7618
@shabanimfikirwa7618 19 дней назад
Hivi kwa nn waislam wakipewa mafunzo ya kidini mnagusisha na ugaid wakati wenzetu wakristo huwa wanakaa makambi ya kupewa kipaimara but hakuna inshu Kama hizo,then hao wanaoambiwa ni magaidi huwa watu wanaowadhamn ni wazungu,naomba tuwe wataft wa mambo kabla ya kuyazungumza.
@madengejr
@madengejr 19 дней назад
Watoto wakibanwa wataeleza wanalishwa sumu ya itikadi
@SuleymanIbrahim-zi3ot
@SuleymanIbrahim-zi3ot 19 дней назад
Acha ujinga wew Kila kitu ugaid ulaniwe milelw
@SultanMilizar
@SultanMilizar 17 дней назад
Mh DC Magoti M Mungu akujaalie umli mrefu endelea utafika mbali umetumia hekima sana ila nikuombe umsaidie shekhe ili kupata ufadhiri wa kujengewa bweni za hao watoto Msadie Alifa kupata msaada wewe ni mtu wa watu pia ustadhi tupo tayari kukuchangia nipo tayari takuja kisarawe kukutembelea
@jasmintanga2474
@jasmintanga2474 19 дней назад
Wote wanania nzuri kwa watoto DC amefanya kazi yake nzuri na shekh pia alikua na lengo zuri ispokua amekosea kufuata sheria tu lkn Allah awalipe kwa nia zao njema DC na shekh
@victordanistan7470
@victordanistan7470 19 дней назад
Hiyo Kamati ya Afisa Ustawi wa Jamii, Mtendaji, na Afisa Tarafa, na Sheikh mwenyewe, imenifanya kuamini kweli watoto watarudishwa nyumbani kwao. Maana nimeshtuka baada ya kusikia ikifika saa 7 hutakuta mtoto hapo. Hata Nguruwe halali katika mazingira ya Namna hiyo "DC wewe Allah anakutazama" Watu wanamaliza magodoro kutafuta watoto.😂
@DouglasChuwa-ec7mv
@DouglasChuwa-ec7mv 19 дней назад
DC wapo wengi in biashara funga natena huyoo she hakuonyeshee wengine
@leokamil6284
@leokamil6284 19 дней назад
Kwa kweli ni hatari sana
@user-rf1gg4ix4y
@user-rf1gg4ix4y 12 дней назад
DC Allah akulinde na akuzidishie hekima na busara.
@user-xz9zg2yk6m
@user-xz9zg2yk6m 12 дней назад
Jamani umetoa maoni mazuri sana mungu akulinde kwa kufuatilia hayo mazingira ya hao watoto🙏🙏🙏
@salmyhussein6255
@salmyhussein6255 19 дней назад
Raisi jiaangalie haya mambo ya kuvamia madrasa.na kuzuia watoto wasisome dini, mungu anakuona
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 19 дней назад
Kwan hiyo ni shule😅😅😅😅 wwnafundisha nini bila kibali
@joycehaule9717
@joycehaule9717 19 дней назад
Wewe mwehu kabisaaaaaa yan DC kaongea kwa ustaarabu kabisa na ana mwelekeza wajenge mabwen kisha wawachukue watoto tena kwa utaratibu mzur sasa hapo kakataza wapi wasisome din wewe nenda shule kasome
@joycehaule9717
@joycehaule9717 19 дней назад
Unadhani Samia mwehu kama wewe ...
@salmyhussein6255
@salmyhussein6255 19 дней назад
@@audaxbizimana8084 sikulaumu sababu ni mkristo
@salmyhussein6255
@salmyhussein6255 19 дней назад
@@joycehaule9717 sikulaumu sababu ni mkristo
@user-rf9vn7lz1n
@user-rf9vn7lz1n 19 дней назад
Eti chuo cha din hiv mzaz kabis na usingiz wanapat kuna wazaz wanamoy sana daah
@mgoboibrahim
@mgoboibrahim 19 дней назад
Usiseme ivo kwani maisha yetu tumetofautiana sana tena sana kuna baadhi wameona hapo ni bora sana kulingana na hali yao ya kiuchumi! Mshukuru Mwenyezi Mungu kama wewe amekupa hali nzuri na familia yako
@AshuraMaulid
@AshuraMaulid 19 дней назад
Kabiiisaa yaani kama mimi mwanangu aende madrasa jioni arudi nyumbani hata kama analala chini lakini yuko nyumbani dunia ya sasa ushoga mwingi wanaenda kuwarundika wanaume watupu sehemu moja
@J_Jeromy
@J_Jeromy 19 дней назад
​@@AshuraMaulidexactly
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline 17 дней назад
Hwenda ikawa ndio chanzo cha kupata msaada mkakamilisha kituo chenu. InshaaAllah allaj awape wepesi.
@KONDOBANNAHMUSIC
@KONDOBANNAHMUSIC 10 дней назад
Mh.magoti ila big up sana aseee angkuwa kiongozi mwingine hapo angetaka masifa ila wew muheshimiwa HUNA masifa ALLAH akubariki
@thomasdunstan8263
@thomasdunstan8263 19 дней назад
Wachunguzwe wanacho wafundisha hao watoto. Wengine wanatumia mgongo wa dini kupenyeza maovu
@allymtito8117
@allymtito8117 19 дней назад
Kwenye dini ulidhani wanafundishwa nn!!!
@jumamohamed4808
@jumamohamed4808 19 дней назад
Dhana mbaya dhambi
@JamesJastin-bg1rx
@JamesJastin-bg1rx 19 дней назад
Acha chuki za udini
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 19 дней назад
Ovyooo kama una cha kuongea nyamaza
@simasima8084
@simasima8084 19 дней назад
Huna akili acha chuki fis ww
Далее
Ouch.. 🤕
00:30
Просмотров 3,5 млн
Hiroshima - the unknown images
52:01
Просмотров 7 млн
Ouch.. 🤕
00:30
Просмотров 3,5 млн