Sasa nyinyi police mkiuwawa na majambazi Sisi raiya tufanye nini? Naomba serikari iongeze Police kwa wingi, ubaya police Wa Leo hula hongo Sasa hatuwezi tuka jua kama ni wenyewe kwa wenyewe Wamefanyiana unyama, hiyo sasa yakuvamiwa wakibadilishana Shift inaonekana ni wenyewe kwa wenyewe hata wao wanafaa wachungane Sio raiya peke yake poleni kwa msiba ni huzuni sana, Maoni yangu ni hicho kisa Ati walivamiwa waki badilishana shift kwani wanakuja kazi bila silaha yoyote Na kituoni hakuna police wengi kwa Nini. Nimebaki na maswali Mengi sana
no researcj no right to say sio mnawabebesha tuhuma ukawa mnauhakika gan kama ndo wamejihusisha na mauaji hayo hii n tz yetu wote na watz ndo cc.wenyewe kwann tunapandikizana chuki zisizo na maana hapo fanyen utafit police hao hao ndo wanajuana haiwezekan kirahc hvo kwa raia