Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Bila Shaka Mwenye akili anazungumza na wenye akili na wanamfahamu, hii ni zaidi ya thamani, kua na kiongozi mwenye kujua nn historia ya nchi yake na jambo gani linahitajika kuilinda nchi hiyo
DUH ,SASA NAAMINI NYERERE KUWAMALIZA WA ZANZIBARI NAKUWAJENGA WANA CCM ILI WAIPOTEZE ,MADIO MWINYI ANA JIPANGA KUKUMALIZIA YEYE NA WENZIE K7NA MASAOUNI NA VIJANA WA CCM ,MUNGU AKULINDENI WANA (ACT WA ZALENDO ).
WAMETOKA WAINGEREZA ZANZIBAR SASA WATANGANYIKA✝️ Kwa sababu ya Nyerere, Watanganyika wanakuja Zanzibar kutawala baada ya Waingereza kuondoka. Hussein Ali amewekwa Zanzibar kulinda Ukoloni wa Tanganyika dhidi ya Uislam wa Zanzibar.