Sidhani kama ni wagonjwa, ila vijana waliozama kwenye culture ya tofauti, ukitaka uishi nao lazima uwe level yao understand level yao then change their system , na huu ndio uongozi si maguvu
Mama Rais wetu hebu punguza kusikiliza washauri wabaya dhidi ya makonda mama huyu kijana ana mapungufu yake lkn kwa sasa nionavyo mimi ni kijana pekee ambaye atakusaidia sana bila kurubuniwa na wabaya wako mama usiwasikilize watu wanaomkataa makonda sio wazuri wanamchukia coz ana nyota ya kupendwa na watu hiyo mizee haitopenda anavyoshangiliwa na wananchi ni lzm wamtafutie majanga tu lkn tunamuombea sana makonda
Samia kapata kiongozi,Uyu kiongozi Makonda wangemwacha aendelee kuwa Mwenaezi wa chama cha mpinduzi naimani Uchaguzi wa Urais kwa mchakato wa ndani wa Chama cha m...wangepata wakati mgum sana....Big up MAKONDA
MAKONDO NII HAKIKA MAMA JITAFAKARI USIJE UKAMUACHA MAKONDA HUYU NIKIPENZI CHAN WANYOONGE NDO WENGI KULIKO MAFISADI WANAO MPIGA VITA OGOPA WANAVOSEMA CHAMA KINA WENYEWE NI WAO NA WATOTO WAO. ANAETETEA WANYONGE KWAO NIADUI OGOPA SANA WATU HAO
Makonda tunakuomba usije ukaondoka Arusha wewe ni wakwetu Hatutaki ujinga wa Lema tena Hivyo Mama yetu Samia tunamshukuru kutupa Hitaji la Mioyo yetu Arusha Makomda Mama Tunakonda ikiwezekana Makonda awe Raisi upande wa Chuga Makonda tunakupenda