Тёмный
No video :(

VURUGU WADUDU WAFUNGA BARABARA ARUSHA, WAZUIWA KUFIKA NYUMBANI KWA MWENZAO ALIYEFARIKI. 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 148 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 349   
@gililwise
@gililwise 3 месяца назад
Serikali msipothibiti hawa wadudu tutaangamiza taifa LA kesho
@hamisombali8545
@hamisombali8545 3 месяца назад
kabisa brother yani ujinga huu faida yake nini sasa
@noahmadali7150
@noahmadali7150 3 месяца назад
Kizazi kimeisha huko
@user-ly9us4db3m
@user-ly9us4db3m 3 месяца назад
Kweli kabisa mm pia siwapendi kabisa hawa wadudu mwisho watakuwA majambazi hao yaani hili tatizo lizibitiwe mapema kabisa jamani
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 3 месяца назад
Vichaa tu upuuzi mtupu Mira mingi na bangi
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 3 месяца назад
Ww Linda watoto wako serikali hailei watoto tabia ya mtoto kuwa nzuri au mbaya ni malezi ya wazazi na siyo magengee mm nimeishi Arusha zaidi ya miaka 10 nanina marafiki vibaka waizi wauza madawa nakila uchafu hata hao wadudu Nina marafiki zangu lakini mbn sipo kwenye hayo magengee situmiee chochote lea watoto wako
@ChinaBoy-jh8bm
@ChinaBoy-jh8bm 3 месяца назад
Poleni sana wadude wa arusha kwakumpoteza mojawenu natuma ujumbe kutoka Somalia
@user-gy5en6cy8o
@user-gy5en6cy8o 3 месяца назад
Huu ni ujinga wa hali ya juu ikomeshwe mara moja
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 3 месяца назад
Ningumu Kwa chuga
@personpeter2221
@personpeter2221 3 месяца назад
​@@fatihiyadossa375Serikal haijawahi shindwa ktu ww panya road wako wap hapa bongo hebu wakamatwe kama watu 10 wale vchwa vbovu uone kama haitakuwa
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 3 месяца назад
Kwanini ni ngumu Kwa chuga Wana Nini hao si vichaa tu wapelekwe lutindi , wenzao panyarudi wapo wapi unaona walivyo uliwa km kuku,hao pia wawamaliza ​@@fatihiyadossa375
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 3 месяца назад
Makonda umeoelekwa kwenya kuongozwa vijana vichaa hao
@mwitaagness455
@mwitaagness455 3 месяца назад
Serekali inaendekeza ujinga, hawahawa ndio tatu mzuka nawaeleza, km makonda aliweza kuzuia panya road, please komesha hii kitu jamani😢😢😢
@kingwandeinvestment8002
@kingwandeinvestment8002 3 месяца назад
içhi kizazi kitakuja kuigharim serekali niko paleee
@mwalimuissa5964
@mwalimuissa5964 3 месяца назад
Sio tu kuigharimu ila kuwapa changamoto
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 3 месяца назад
😂😂😢😢😢☹️☹️☹️
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n 3 месяца назад
Vijana wapumbavu
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад
sioni kama itagharimu chochote. kuna mambo makubwa serikali yabidi kujali sio hawa vijana..
@bestinamafipa608
@bestinamafipa608 3 месяца назад
Umesema kweli mtumishi
@Khmy54
@Khmy54 3 месяца назад
Chepe zipo tutamfukia kwa chepe tutamfukia mwana kwa chepe, ww fukia kwa mkono tukukamate hatukuachi😂😂😂wapuuz sana hawa wanaiona nchi yao au
@chikujuma18
@chikujuma18 3 месяца назад
Bodaboda ni shida kwa kweli hata kama ushirikiano sio sitaili hizo wote ni bange tuu
@JosephM.meiliari
@JosephM.meiliari 3 месяца назад
Hao sio bodaboda ni kikosi cha wahuni tu
@selector728
@selector728 3 месяца назад
Staili sio sitaili
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 3 месяца назад
Poleni Sana nyote MWENYEZI MUNGU awape nguvu awapikanie awashindie awaweseshe vyema katika Jina la YESU KRISTO
@anethmtei2912
@anethmtei2912 3 месяца назад
Serikali isiruhusu vitu kama hivi. Ni ujinga uliopitiliza serikali ikomeshe huu ujinga
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n 3 месяца назад
Umesema sawa kabisa
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 3 месяца назад
Hawa watu wa Arusha hawana hakiri kabsha
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n 3 месяца назад
@@user-mi7cd8ch1b ndiyo alafu wanaona ni ujanja ni ushamba na upumbavu kabisa vijana wa hovyo kabisa
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 3 месяца назад
​@@user-mi7cd8ch1bwashamba wanajifanya maganster
@damasmarungu2520
@damasmarungu2520 3 месяца назад
Embu fateni mambo yenu bhna umeona mtu wa arusha analalmik kwani
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js 3 месяца назад
Aseee noma sanaaa
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад
MIMI BONGO NAMINI HAWA WATOTO WA ARUSHA UWAONE IVI TU MAKATILI WAKIONGEA KAMA WAJINGA LAKINI WACHA TU DANGEROUS PEOPLE ARUSHA BOYS 😂😂😂😂
@thebios2553
@thebios2553 3 месяца назад
Washamba wanapewa airtime aisee Yani ni upuuzi na Bado wakiendelea na akili izo watauzulia sana mazishi hamna hata mwenye helmet uendeshaji wa hovyo
@akidajulius1581
@akidajulius1581 3 месяца назад
😊a
@user-kw7ew1fu2w
@user-kw7ew1fu2w 3 месяца назад
Laa makubwa Pole Sana RC. Kazi Unayo.
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji 3 месяца назад
Upumbavu mtupu hawana hata iman ya mungu khaaa
@leahmollel6589
@leahmollel6589 3 месяца назад
Yaani wanajeshi wangeruhusiwa kuondoa hilo kundi linalojiita wadudu! Ni wiki moja wanakuwa watu na siyo wadudu! Mungu warehemu watoto wetu😭😭
@Kabwela776
@Kabwela776 3 месяца назад
Pole sana Makonda Samia na waziri wa mambo ya ndani Masauni na police na mtakoma mtakavyopata aibu kama Taifa kwa kuipeleka Afcon Arusha ni bora mngepeleka Mwanza au Dodoma
@AnuaryShedafa
@AnuaryShedafa 3 месяца назад
😂 dah kwakwer
@ashurakodd1589
@ashurakodd1589 3 месяца назад
Itapelekwa tu kwa taarfa Yako nyoo
@jamesmassawe4888
@jamesmassawe4888 3 месяца назад
Hii ni Arusha na hii ndo asili ya arusha sasa wewe unaehoji afcon mbona huulizii makao makuu ya afrika mashariki ni wapi?
@henryabby2681
@henryabby2681 3 месяца назад
Kama mwanga vile
@josephatjoseph1755
@josephatjoseph1755 3 месяца назад
Lait mwenzao angeamka akawaambia kinachompata huko wange acha huo ujinga
@mboneamalaki5674
@mboneamalaki5674 3 месяца назад
Mungu ponya kizazi hichi
@user-ny7oq2oy8r
@user-ny7oq2oy8r 3 месяца назад
Makonda kazi anayo😂
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 месяца назад
Wadudu maana yake nini? Kwanini tusiwe na kizazi kitakatifu chenye upendo, furaha na amani? Aina hii ya maisha hata tukikubali ni sawa na kukubali kuishi na bomu ndani ya nyumba. Biblia inasema hakuna amani kwa wabaya asema Mungu wangu.
@williamuphilipo2120
@williamuphilipo2120 3 месяца назад
"Wadudu ni wanamziki wanachofanya ni sawa kabisa". Alisikika Mbunge mmoja akimpa taarifa Mbunge mwenzake aliyekuwa akichangia hoja Bungeni. Tafakari.
@easternyerembe7271
@easternyerembe7271 3 месяца назад
Dah
@USAIDforRichardMooresAgency
@USAIDforRichardMooresAgency 3 месяца назад
WADUDU are all British Workers ✌️🇺🇸🗽
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 3 месяца назад
Hafu mnaanza kusema ni wasaini na huku tayari ni mazezeta
@verombwambo3703
@verombwambo3703 3 месяца назад
Hapo ndio na Mimi nachoka jmn hakuna Cha usanii hapo ni uzombi tu
@manp9091
@manp9091 3 месяца назад
Iyo ni shangwe ya kumpoteza mwenzao na sio uzuni
@user-qk4lx4hg7g
@user-qk4lx4hg7g 3 месяца назад
Mmh serikali kuwrni makini haya malezi ya hawa vijana yatakuja kuwashinda baadae
@NuruJuma-zv3yz
@NuruJuma-zv3yz 3 месяца назад
Wamarekani hivikaribuni watamtafuta kiongozi wao ili waanzishe bokoharamu tz wooooooooooooi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@PatrickMwamba289
@PatrickMwamba289 3 месяца назад
Tanzania kuna mambo mengi mabaya anaendelea...Harmonize anatumia uchawi kwenye Sanaa kuharibu kazi za Diamond Platnumz youtube ..Basata ⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️
@veronicathomas9422
@veronicathomas9422 3 месяца назад
Ipo sababu ya kutokuwatazama kwa macho ya furaha hili ni kaa la moto tunalipalia mwisho litasababisha moto mkubwa. Neema ya Mungu inahitajika kwa vizazi vyetu
@SungesuAngelina-id4tj
@SungesuAngelina-id4tj 3 месяца назад
Vijana wote wa Arusha wahamishiwe Somalia huko ndo wanaendana Nako huku Tz sio hadhi yao kwakweli,watanzani Gani Wana Fujo hivi? Aaaah😢
@jameschali6023
@jameschali6023 3 месяца назад
😂😂😂walisha kwambia arusha ni nchi kama nchi😂😂
@SungesuAngelina-id4tj
@SungesuAngelina-id4tj 3 месяца назад
@@jameschali6023 😂😂😂
@Hamy1109
@Hamy1109 3 месяца назад
Hawa washamba wanatakiwa wadhibitiwe wote tuondokane na kizazi cha ovyo kama hicho. Mamlaka zipo wapi!?
@knight6757
@knight6757 Месяц назад
😴
@auntmakochela4202
@auntmakochela4202 3 месяца назад
Hivi Arusha wana Dini kweli 😢😢😢😢 SubhannaAllah
@user-ui5xc6sb5m
@user-ui5xc6sb5m 3 месяца назад
Tunae chule tunaletewa burungu 😂😂😂😂 welcome chunga jiji lenye huuni mwingi naluga tata
@FloranceLuqman-cg7qm
@FloranceLuqman-cg7qm 2 месяца назад
Hawa wapuuzi sijawahi kuwapenda
@Views-mf8ir
@Views-mf8ir 3 месяца назад
Watu wa Dar wanaona watu wote wa Arusha tuko ivi, tunavaaga ivyo na life style ni hiyo.!! 😂😂😂
@Aidhjuma
@Aidhjuma 3 месяца назад
Nataka kuja arusha ila naogopa hao wadudu kwakweli
@Views-mf8ir
@Views-mf8ir 3 месяца назад
@@Aidhjuma karibu sana Boss ..!! Can i give you my Contact number uje nikutembeze Ungalimi, Ololooo na Matejoo alaf tumalizie kwakula Nyama kwa Mromboo alaf tukaogelee zetu Duluti ..😊
@Views-mf8ir
@Views-mf8ir 3 месяца назад
@@Aidhjuma nikupe number uje ututembelee Boss
@athumaniamani9905
@athumaniamani9905 2 месяца назад
Wadudu ni wengi ila Kuna wadudu wengin ni kumbikumbi wale wenye mafuta mengi
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 3 месяца назад
Wallah hii nchi haina hatma nzuri kama watu wetu ndio hawa. Tujiulize tumekosea wapi na tujirekebishe haraka.
@reginas1832
@reginas1832 3 месяца назад
Si unaona tunauza rasilimali zetu wa wageni. Hawa vijana hapo wapo Drs, engineer na walimu . Serikali ina kikundu kidogo kinachokula keki ya Taifa
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 3 месяца назад
Hapo hapo kuna mijambaxi inapora ikiwa kwa pikipiki.
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z 3 месяца назад
Kweli kijana wa kichaga kutoka utafutaji na kuwa na heshima sasa ni vichaa. Aliyewafikisha hapo kafanikiwa Lema alitabiri bodaboda si kazi.
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 3 месяца назад
Huu ni umasikin wa akili roho na mwili baada ya miaka kumi huu ni mzigo kwa taifa😏😏😏
@ausonjustinian4673
@ausonjustinian4673 3 месяца назад
Vijidudu vimewapanda kichwani. Serikal Serikali Serikali .... Mh aya...
@emanuelherman7029
@emanuelherman7029 3 месяца назад
😢😢😢😢 wapumbavu hawa watakufa vibaya wote nawahakikishia wasipobadilika wataisha wote bangi mihadarati itawamaliza wanajiita Wadudu wakatubu kanisani upumbavu wao
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 месяца назад
MAKONDA KAZI ANAYO ILA ATAFAULU TU PAMOJA NA CHANGAMOTO ZOTE
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 3 месяца назад
AKITAKA KUWAWEKA KWENYE HOTPOT SEKUNDE TU
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 3 месяца назад
​@@MCNgakungaJuniorsyo chuga alyo yakta atayaacha ivyo ivyo
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 месяца назад
Hatari
@easternyerembe7271
@easternyerembe7271 3 месяца назад
Arusha nchi ya wahuni
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 3 месяца назад
Mnawaendekeza sana hawa ohooo
@JosephMdam
@JosephMdam 3 месяца назад
Natokea arusha lakini huniupumbavu sana ovyoo
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 3 месяца назад
Mungu warehemu vijana wetu wamechanganyikiwa
@gapserminja5215
@gapserminja5215 3 месяца назад
Poleni sana
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад
dah kweli chuga hawa mwisho watakua waaasi myaka ijayo Niko pale nikaaa selikali sihaiyoni
@adeltuszakumuha9618
@adeltuszakumuha9618 3 месяца назад
Wehu tu hawa, Serikali isipokuwa macho hamna kizazi cha maana hapo. Hovyo sana hawa.
@user-jr3mo3je3k
@user-jr3mo3je3k 3 месяца назад
Hizo siyo bangi aiseeee ,,,Kama siyo Pepo bas ni ulimbukeni tu,, harafu na mazoea yaan waao wamekuwa wakiona babu zao wapo hivo na wao ngumu sanaaaa kuchange kikubwa ni kuwaombea tu ili hii hali iishe kabisaaa usiendelee kuumiza kizazi kijacho
@OmbeniShoo-kg8dr
@OmbeniShoo-kg8dr 3 месяца назад
Kuna tatizo ambalo linaonekana si tatizo ni mtaji wa watu kujijengea umaarufu hivi tumefika hapo kama Taifa na je nini tunapata kwa majina haya Wadudu, Panya roard, Chawa, nk tutavuna matunda yake kizazi kinazidi kuharibika.
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 3 месяца назад
Ni kweli kabisa vizazi vinaenda kuaribika
@ramawilson3709
@ramawilson3709 3 месяца назад
Kwasasa tanzania inchi yangu imeanza kuhalibika salikali tunawategemea lekebisheni ujinga kama huhu vitu kama hivi vinaharibu taifa
@JosephMdam
@JosephMdam 3 месяца назад
Watu wa Njiro na uku arusha duh kazi ipo😂😂😂
@albertadalabert5702
@albertadalabert5702 3 месяца назад
Hacheni habari za kukimbiza pikipiki vifo ni vingi sana jamani vijana tutaisha
@hasanimohamedi279
@hasanimohamedi279 3 месяца назад
daah makonda una kazi babaa
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 3 месяца назад
ARUSHA VIBE
@mashaurimvungi2232
@mashaurimvungi2232 3 месяца назад
Wanatakiwa wasirujusiwe kwenda mochwari wanaleta Bangi zao barabarani
@trice_yanga
@trice_yanga 3 месяца назад
dah ni huzuni Kwa kweli
@zidatv1122
@zidatv1122 3 месяца назад
Huu ndi maisha ua bodaboda yaan inasikitisha, Hao hata kizazi chao hakuna maisha hapo
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 3 месяца назад
sio wote my dr
@NuruJuma-zv3yz
@NuruJuma-zv3yz 3 месяца назад
Je akipatikana mwanasiasa akawapa Silaha nini ktatokea? asieziba Ufa atajenga ukuta
@khamisshee803
@khamisshee803 3 месяца назад
Muna watentekizaa Sawa wadudu gani mbona jeshi la police linawaaachia wafanye watakavo AKA BACHUCHU MOMBASA 001 +254
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 3 месяца назад
Eti eeh!!
@user-ox3ij7ki3t
@user-ox3ij7ki3t 3 месяца назад
Hii ni nchi nyingne hiyo serekali yenyew ikfka arusha inabid ifuate sheria na taratib za wenyeji
@robertnkaragano298
@robertnkaragano298 3 месяца назад
Bangi Arusha imezidi aisee kuliko maeneo yote Tanzania hawa watu wadhibitiwe haraka sana, Serikali isiwachekee hawa vijana!!
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 3 месяца назад
Mmmmmh hiyo ongea yao puuuh
@NehemiaZakeo
@NehemiaZakeo 3 месяца назад
He!he!he 😂😂😂😂😂 haowote nivijana una fikilia miaka michache mbele kama vijana wote tukitegemea kukwa kama hivyo nini kitakacho jili baadae.
@user-wv4cz4yk8r
@user-wv4cz4yk8r Месяц назад
Acheni ujinga mta kufa kila day mnaacha familia zenu kwenye shida
@AboubakarShabani-op1dk
@AboubakarShabani-op1dk 3 месяца назад
Uhuru wa wadudu
@BensonMpomo
@BensonMpomo 3 месяца назад
kwamba makonda nae kumemshinda uko awa muwalete uku tunduma wataonyeshwa shoo mbaka watakubali kua wao ni zuchu naso wadudu.
@michaelaloyce2072
@michaelaloyce2072 3 месяца назад
Hawa wAdudu ni walevi sana. Wapuuzi
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 3 месяца назад
Makonda utawaweza hawa kweli
@AminaLibisa
@AminaLibisa 3 месяца назад
Sasa uyo mwenye kofia anaongea uku anasinzia 😂😂😂
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 3 месяца назад
Wadudu wamempandia kichwani😂😂😂
@AminaLibisa
@AminaLibisa 3 месяца назад
😄😄😄 hatari sana Kwa kweli Allah awahepushie na izo hadha
@user-MIO5pu1iv7o
@user-MIO5pu1iv7o 3 месяца назад
😂😂😂😂😂 rizim hadi analala automatically 😅😅😅
@AminaLibisa
@AminaLibisa 3 месяца назад
Yani Arusha kunakazi kubwa sana makonda lazima akonde
@fredducaunt
@fredducaunt 3 месяца назад
​@@FatimaAli-of4gh 😂😂
@ashuramahali3410
@ashuramahali3410 3 месяца назад
Wadudu kama wadudu
@hawahussein137
@hawahussein137 3 месяца назад
Serikali owe makini na hawa wahuni Chalamila kunamfaa Arusha
@user-ui4sz5gt2h
@user-ui4sz5gt2h 3 месяца назад
Uhuni wa bila faida
@ruthnaftal9308
@ruthnaftal9308 3 месяца назад
Jaman walityukalisha msiban wamefik nyumbaniii saa 7 khaaaaaa
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 3 месяца назад
Badala ya kuwa na kizazi cha wasomi tuna kizazi cha wavuta bangi
@bitricepadros5787
@bitricepadros5787 3 месяца назад
Hivi Hii nchi yenye Hawa watu Iko wapi ....
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 3 месяца назад
Hawa vijana hawa tusipokua makini nao itatugharimu sana
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 3 месяца назад
Bange
@JOSEPHINESKITCHENCOURT
@JOSEPHINESKITCHENCOURT 3 месяца назад
Mnawaendekeza hao vijana kila siku wadudu wadudu mnawapa attention ambayo they don't deserve sasa hapo kuna nn chakujifunza
@henrypeter1361
@henrypeter1361 3 месяца назад
Mbona simuoni makonda au kasaliti chama
@lightnessmarandu5945
@lightnessmarandu5945 3 месяца назад
Huyu s baba ake shaa kbsa
@jeffchurum1431
@jeffchurum1431 3 месяца назад
Bangi ya Kenya imefika Arusha.
@yohanakananika3586
@yohanakananika3586 3 месяца назад
Kenya hakuna bhangi kuna mirungi
@hatimmohamed4299
@hatimmohamed4299 3 месяца назад
Kudadadeki bangi nuksi kishenzi Hawa wadudu watakula nchi
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 3 месяца назад
Mamba siyo mdudu ni mnyama mdudu ni chawa,mmpu siyafu inzi kunguni mende.
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 3 месяца назад
Hichi kizaz huko mbeleni itakuwa shida sana
@festohaule9716
@festohaule9716 3 месяца назад
Hawa wadhibitiwe mapema sanasana.... Hii sio Haiti..
@josephkalwani
@josephkalwani 3 месяца назад
Ila arusha wameathiliwa sana na utalii
@simongwandu7392
@simongwandu7392 3 месяца назад
Hiyo hali isipoangaliwa kwa makini....
@Official83640
@Official83640 3 месяца назад
C mmewapromot endeleeni kuwafurahia na kuwapa promo
@user-xw3ew4jy5p
@user-xw3ew4jy5p 3 месяца назад
Aliye wapa jina la wadudu hakukosea😂😅😂😂
@RichardKilepo-xj1sy
@RichardKilepo-xj1sy 3 месяца назад
Wahuni
@malkijuma
@malkijuma 3 месяца назад
Ukifiwa ndo utajua uchungu
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 3 месяца назад
Makonda shikamoo. Kazi ni kubwa
@ErickyTz-ku7dt
@ErickyTz-ku7dt 3 месяца назад
Visit chuga
@CornenciaFaustine-pd2rc
@CornenciaFaustine-pd2rc 3 месяца назад
Kwa hiyo vijana hawa ndo mteule wa rais ndo amekula nao kuwa washirika ktk ulinzi wa mkoa. Mmh ngoja tusubiri matokeo siku chache za usoni.
@rizikimtui8992
@rizikimtui8992 3 месяца назад
Nahisi Arusha inahitaji Mfumo wa Elimu yake ili malezi yasifikie hapa
@mugocomedy
@mugocomedy 3 месяца назад
ARUSHA BILA WADUDU NI KAMA EMBE BILA KOKWA
@JustoJusto-ki7lg
@JustoJusto-ki7lg 2 месяца назад
Kazi ya chepe ni kufukia
@zuenajohn8325
@zuenajohn8325 3 месяца назад
Acheni jina la wadudu ni Baya.
@hurumakaaya1150
@hurumakaaya1150 3 месяца назад
Hivi wadudu ni wakiume tuu?
@user-zu3wp3wx8u
@user-zu3wp3wx8u 3 месяца назад
Wakike wapo ila sio wengi
Далее
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Просмотров 11 млн
Triple Protein Sandwich
00:32
Просмотров 4,4 млн
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Просмотров 11 млн