Malaika mke wa Ricardo Momo afunguka baada ya kushutumiwa na Esma kuwa aliivunja NDOA yake kwa kuingia kwenye mahusiano na Msizwa, Kwenye exclusive interview hii ametueleza mwanzo mwisho kuhusu ukweli wa shutuma hizi. Enjoy!
Hongera Ricardo momo heshima yako,umesimama na mkeo na kumjengea heshima kama mke, napenda ulivyo mlinda na endelea kumlinda na shutuma za watu na family, esma alizoea kucheza na mahusiano ya naseeb,safari hii amekutana na kisiki cha mpingo,unamke mzuri maashaaallah,Allah ailinde ndoa yenu,huyu esma ni wivu unamsumbua hata ktk mahusiano yake hayadumu ni vile awatendea watu ubaya humrudia mwenyewe,hasbi'allah wanaimal wakil
Kweli naamini now kuwa Esma nitatizo kwenye hii familia. That's why hata kaka yake hadumu na wanawake, na yeye Esma hatodumu na ndoa kabisa mpaka aache fitna na roho mbaya!
uyoo malaya esma kakomaaa kama jinii majii anamuonea huyu malaika wivu mdada wa watu mremboo mashallah dumu na ndoa yako mamy achana na huyo malaya changudoa kama alizoea kina tanasha,hamissa na wengine akuache ukae kwenye ndoa yako kwa amanii na mungu atakufunika inshallah 🙏🏻
Esma ana matatizo amezoea kufukuza wake wa diamondplantinamz sasa hawako ameanza warecardomomo thats not good malaika usijali hayo yasikujalishe endelea na kazi zako mama.
Siyo Esma ... Msizwa kiboko kaja kuwavuruga familia nzima.... ona mama dangote amemvuruga mzee.... malaika kavurugwa na Esma.... na msipo kaaa kufamily 2021 mtaparangana sana ... yetu 👀👀👀🇧🇪
Esma mungu hamuachi mtu mbaya akaishi umezidi ubaya kwa wanawake wa diamond tena unajitapa kabisa kua we na mama ako mkilipanga lenu juu ya mwanamke wa dai hamsindwi...wallah Esma kutokua na maisha marefu kwa kujutia umungu na kusumbua wanawake wenzako kisa pesa na jina la kaka ako..Esma Bora ufe kina tanasha na wengine waishi vizuri na mzazi mwenzao Daimond na yule mama akifuate nyuma dai awe na maamuzi yake na kuweza kuishi na mke.