Kumbe Esma kumbe ujamkataa msizwa kuwa humpendi, Kumbe nimaumivu tu yakimapenz ya mumewe, msizwa popote ulipo Esma kumbe alikuzimikia👌 Msizwa we mwanaume na nusu 💪
Ni ngumu sana kujua ya mwanamke: Siri ya kuzini kwa mwanamke you need more than telescopic eye to identify the point of aim..! (POA) Wana akili sana Hawa viumbe ila mwisho wao huwa mfupi sana: it is because they never focus at the Point of Impact (POI) Pole sana kaka Ricardo Momo Shemeji kuna ulakini katika hadithi yake ... Shekhe.
Wallah hii familia inafanya mambo ya aibu na tatizo kubwa wako mbali na Allah mke wako kichwa wazi katika mtandao .... hii ni aibu tuu kwa hakika lipo jambo hapa na mume pia ajua lile jicho alilo kua anamuangalia mkewe sio mchezo
Ukweli maisha yanahitaji ujasiri na sio nguvu wala Akili nyingi,,,Esma muharibifu anataka Wifi yake aachwe awe mdangaji Kama yeye,,,Wivu wa maisha unatuumiza wengi
Momo unakosea awa wanawake Ni mama zetu lkn Wana tabia ya kutotosheka kwaiyo umempa %100% nyingi Sana momo izo kwakumpa mwanamke ata uwe unamuamini vipi izo bado ni nyinyi
Ukisoma na kwenye sura ya tatu ndani ya qur-an 3(6-7) Allah anasema (...And those who accuse their wives of adultery and have no witnesses except themselves,then the witness of one of them shall be four testmonies (swearing) by Allah that indeed he is of the truth....). Ushahidi wa zinaa lazima waje mashahidi wanne kama wapo,na kama aliona mmoja basi atatoa viapo vinne kuthibitisha kosa hilo. Hao mashahidi pia wanavigezo ikiwemo 1)Tabia njema 2)waadilifu 3) wasema ukweli 4) na wameshuhudia kwa jicho la wazi sio kuambiwa au kusikia. So big up bro Momo kamatilia mke wako mpaka pale atakapowahuku Allah wewe na mkeo
Mungu akujalie hekima nyingi kijana,Archana na wanaosumbuka na wivu, kaa na mkeo, wivu Tu na husda nandio maana kila kukicha anazaa na huyu mara Yule,mumuache Malika wawatu
Ningekuwa mm ningekaa kimya tu . Asa anatetea nini...hakuna maongezi ya faragha au makutano ya faragha kati ya mwanaume na mwanamke tena wote mazuri halaf ukiangalia momo na msizwa ni tofauti msizwa hb japo anatabia mbaya.
Huyu msizwa inawezekana nikama alikua na mwanamke mwengine mpenzi wake ila akamsave jina lake kama Malaika..just in case ata ESMA akichukua Simu ya msizwa akipata hizo messages ajue kua ni Malaika.Msizwa ni MTU mmbaya sana.Tapeli,na mwenye kufanya watu wakigombana.
Hebu tuleteeni mambo ya kutuelimisha hatutaki kila saa hivi vikesi vyia utoto sasa hii ni interview gani? Kama kuna jambo na nyinyi ni jamii moja kaeni pembeni mkatengeze hivi vitu ndo vinafanya harmonize anawashambulia sisi tunawapenda hebu tuleteeni mambo mapya.
Hatari mna mambo familiya ya diamond mlimtafuna hamisa na wanawake wengine wa diamond sasa leo mnatafunana kama mihindi jamani mungu ni shujaa malipo ni hapa hapa
@@filletist1 lakini Dar yote kuna Malaika wangapi? Yeye mwenyewe kasema alisoma haraka haraka alafu hakuangalia number ku confirm kama ni yeye. Sikuwa na mtetea lakini ukiamua kuleta maneno haya njee u need a lot of good evidence.
Huyu Mke wa momo anaonekana tu kama hajatulia na momo anajua kila kitu kama demu hajatulia sema anaamua kukausha kutokana hiyo pisi ni kali akiiacha Leo watu wakubwa wataimiliki hiyo ni pisi ya BMW sio Ist na momo kachoka hana uwezo wa kumiliki Hii pisi ndo maana anakubali hata demu akimpiga matukio
Yaani alafu yule jamaa ana vi biashara vingine ambavyo sio halali na esma kasema ,yaani unashindwa unajivuna kwa laki nne anti mchumi angetafuta mwanamke mwenye heshima sio hao ,
Huyu Malaika anaonekana tu hajatuliaaa, anaonekana kabisaa.. ila Ricardo anajikaza sana kiume.. Ukweli anaujua mwenyewe.. Ila Esma anatatizo sehemu na huyu mdada.. Esma huwa hasemi uongo