Тёмный
No video :(

MWANZO MWISHO : MKE WA MOMO AFUNGUKA KUTOKA NA MSIZWA WA ESMA PLATNUMZ/ ANAROHO MBAYA NA WIVU UMEJAA 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 200 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 581   
@olomweneabongela1717
@olomweneabongela1717 3 года назад
Anayehamini baada ya hii interview Momo atakwenda kuhanzisha mahojiano mapya nyumbani au ugomvi anipe like tafadhali.
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 Год назад
🤣🤣🤣
@leolaganira8679
@leolaganira8679 3 года назад
I applaud him for standing by his woman period!
@salmaseif8755
@salmaseif8755 3 года назад
Kumbe Esma kumbe ujamkataa msizwa kuwa humpendi, Kumbe nimaumivu tu yakimapenz ya mumewe, msizwa popote ulipo Esma kumbe alikuzimikia👌 Msizwa we mwanaume na nusu 💪
@salmaseif8755
@salmaseif8755 3 года назад
Momo nimekupenda sanaa we mwanaume na nusu asantee kwa kumtetea mkeo
@shankim3416
@shankim3416 3 года назад
Ricardo you are a real man. May God bless your marriage
@janethndial5759
@janethndial5759 3 года назад
Yaan huyu kaka ni mwanaume zaidi ya wanaume daa
@winskitchen.602
@winskitchen.602 3 года назад
Amin
@khadijazayumba8473
@khadijazayumba8473 3 года назад
Daaah!!! hongera kaka momo tulia na mkeo mengine yanapitatu, una hekima sana
@hellenmanzi4740
@hellenmanzi4740 3 года назад
Haahhaahha
@christophernsemwa8185
@christophernsemwa8185 3 года назад
Ni ngumu sana kujua ya mwanamke: Siri ya kuzini kwa mwanamke you need more than telescopic eye to identify the point of aim..! (POA) Wana akili sana Hawa viumbe ila mwisho wao huwa mfupi sana: it is because they never focus at the Point of Impact (POI) Pole sana kaka Ricardo Momo Shemeji kuna ulakini katika hadithi yake ... Shekhe.
@khalifapaul2543
@khalifapaul2543 3 года назад
@Ricadomomo wachana na Huyu Malaya katombwa Huyu Ana maneno mengi Kaliwa more love From kenya !🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
Malaya kamtoma baba Ako au mama yako? Sounds stupid
@miriamlaurean2226
@miriamlaurean2226 3 года назад
Hongera dada...umepata mume💓
@salmaseif8755
@salmaseif8755 3 года назад
Kbs Mume anamsimamo wake wamsumbue tu uyouyo daymond wao
@musaabuebker1750
@musaabuebker1750 3 года назад
Kama umeona jicho momo anlomkata mkewe weka like twende sawa
@agnessbenedict3043
@agnessbenedict3043 3 года назад
Cheee😂😂jicho la momo aki nmeliona
@rafaeliezekieli7685
@rafaeliezekieli7685 3 года назад
Sema mwanangu momo uyo mkeo mwamba kapitanae
@olive-jaysilasofficial
@olive-jaysilasofficial 3 года назад
Acha umbea
@mymunamymuna4807
@mymunamymuna4807 3 года назад
Aliliwa huyo demu, acha kuhepahepa
@rafaeliezekieli7685
@rafaeliezekieli7685 3 года назад
@@olive-jaysilasofficial xo udea mzee dam mwenyewe anaunyesha hajatulia yan anavyo ongea2 hajiamin
@florabaruti8032
@florabaruti8032 3 года назад
@@olive-jaysilasofficial kwani uongo
@abdulhemedabdulhemed7110
@abdulhemedabdulhemed7110 3 года назад
Wallah hii familia inafanya mambo ya aibu na tatizo kubwa wako mbali na Allah mke wako kichwa wazi katika mtandao .... hii ni aibu tuu kwa hakika lipo jambo hapa na mume pia ajua lile jicho alilo kua anamuangalia mkewe sio mchezo
@malongosalim6826
@malongosalim6826 3 года назад
Momo mume bhna..Mariam tulia na mumeo..❤
@janethndial5759
@janethndial5759 3 года назад
Saaaaana
@hamisomarykumba5877
@hamisomarykumba5877 3 года назад
37:21 Jinsi Bwana Ricardo anavyo mtazama mkewe ndiyo utajua kama wanawake ni wauaji😄😄😄,Msizwa amemla huyu mwanamke...
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 года назад
🤣🤣🤣
@siahfrednand670
@siahfrednand670 3 года назад
Hamisi omary una uhakika kama kaliwa
@lilianrichard2298
@lilianrichard2298 3 года назад
Kaliwa uyu
@rashidaly4179
@rashidaly4179 3 года назад
Uyo demu kaliwa kwel na wew momo unachosubir nikumkamata kwa mwenyo lkn hakuna cku nyingi utamkamata uyo demu cie
@cocobae5172
@cocobae5172 3 года назад
True body language tells it all
@siamollel9725
@siamollel9725 3 года назад
Ukweli maisha yanahitaji ujasiri na sio nguvu wala Akili nyingi,,,Esma muharibifu anataka Wifi yake aachwe awe mdangaji Kama yeye,,,Wivu wa maisha unatuumiza wengi
@rashidaly4179
@rashidaly4179 3 года назад
Momo unakosea awa wanawake Ni mama zetu lkn Wana tabia ya kutotosheka kwaiyo umempa %100% nyingi Sana momo izo kwakumpa mwanamke ata uwe unamuamini vipi izo bado ni nyinyi
@jamalmageser9390
@jamalmageser9390 3 года назад
Ukisoma na kwenye sura ya tatu ndani ya qur-an 3(6-7) Allah anasema (...And those who accuse their wives of adultery and have no witnesses except themselves,then the witness of one of them shall be four testmonies (swearing) by Allah that indeed he is of the truth....). Ushahidi wa zinaa lazima waje mashahidi wanne kama wapo,na kama aliona mmoja basi atatoa viapo vinne kuthibitisha kosa hilo. Hao mashahidi pia wanavigezo ikiwemo 1)Tabia njema 2)waadilifu 3) wasema ukweli 4) na wameshuhudia kwa jicho la wazi sio kuambiwa au kusikia. So big up bro Momo kamatilia mke wako mpaka pale atakapowahuku Allah wewe na mkeo
@omaryally5555
@omaryally5555 3 года назад
Alizungumza kwa lugha ya kizungu?
@mrthreesix280
@mrthreesix280 3 года назад
Eeee aka kamwanamke aka..kanakaa kanjanja Sana😂😂😂 momo keshaliliwa ayaaaaaaaaaaaaaa
@carstuslucas4248
@carstuslucas4248 3 года назад
Wivu nikitu kibaya Sana mwenyez mungu atusimamie.
@jemimahaloyce4740
@jemimahaloyce4740 3 года назад
Sanaaa
@bbccaa4156
@bbccaa4156 2 года назад
Huyo mke wamomo inaonyesha wazi keshaliwa kisa tamaa Esma yupo rite
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 3 года назад
Esma kaachwa yeye anataka kuvulugwa ndoa ya mwenzio!!! Ovyooooooo
@sistersade9039
@sistersade9039 Год назад
Dah nakumbuka kusikiliza kipindi hiki 2 years ago. Maskini Momo ulimpigia kifua mkeo, Leo kakutupa huko. Maneno ya Asmah tuyakumbuke.
@lucamartin6584
@lucamartin6584 3 года назад
Mabaharia tumeshaelewa huyu dada kaliwa story mingi mingi sana anatumix na mastory mob....
@sikudhanhaule8879
@sikudhanhaule8879 3 года назад
😂😂😂sasa kama chart zilifumwa kuna nn apo kaka anajikaza tu ila demu wako kaliwa na mswiziiiiiiiiiii
@omakywazamani6696
@omakywazamani6696 3 года назад
Sana tena hapo anajikaza
@jeysenbenedict
@jeysenbenedict 3 года назад
Anajikaza lakin ni kweli🤣😂
@hamisingeruko8576
@hamisingeruko8576 3 года назад
Umeona ee,kusoma hujui hata picha huiyoni
@missannevwtvvvip1576
@missannevwtvvvip1576 3 года назад
Esma is single and she wants all her friends to be single like her! Shame on you Esma!
@missannevwtvvvip1576
@missannevwtvvvip1576 3 года назад
Esma mnafiki! Mwivu tu YUDA huyo!
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 3 года назад
She go back to his baby daddy
@janethndial5759
@janethndial5759 3 года назад
Yaan esma anachokitafuta siku at akipata tu
@wananchitv8690
@wananchitv8690 3 года назад
Tuliosoma Saikolojia tunajua huyu dem aliliwa
@leonardjaphety7104
@leonardjaphety7104 3 года назад
Kwel kabisa
@gerry_macopper3808
@gerry_macopper3808 3 года назад
Haha haha ikowazi hyo
@husnamfuko6136
@husnamfuko6136 3 года назад
Ndio Ana chachawa
@getrudemwangonelah5873
@getrudemwangonelah5873 3 года назад
Hata maelezo yake tu kaliwa😂😂😂
@annaeriksson8555
@annaeriksson8555 3 года назад
Sana tu maneno mengi
@habibamhina9075
@habibamhina9075 7 месяцев назад
Mungu akujalie hekima nyingi kijana,Archana na wanaosumbuka na wivu, kaa na mkeo, wivu Tu na husda nandio maana kila kukicha anazaa na huyu mara Yule,mumuache Malika wawatu
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 Год назад
Momo ni mume na nusu Mungu akulindeie ndoa yako
@Nalxylee254
@Nalxylee254 3 года назад
Ustadh unazingua,khulil haq wainkaa na murah
@pujimontanapachino4958
@pujimontanapachino4958 3 года назад
Jamaa kagongewa lakini ndio kapenda atafanyaje anajikaza kiume tu.😂
@swaummussa1272
@swaummussa1272 3 года назад
Kabisa😂
@shaibumahanda5190
@shaibumahanda5190 3 года назад
Hahahahaha
@ayshabayun9014
@ayshabayun9014 3 года назад
Ningekuwa mm ningekaa kimya tu . Asa anatetea nini...hakuna maongezi ya faragha au makutano ya faragha kati ya mwanaume na mwanamke tena wote mazuri halaf ukiangalia momo na msizwa ni tofauti msizwa hb japo anatabia mbaya.
@abdallahsaidi2942
@abdallahsaidi2942 3 года назад
Momo ameshikwa na mkewe
@andrewjulius6796
@andrewjulius6796 3 года назад
Daàh..kipi ni kipi Sasa lkn hapo nakupa BIG UP MOMOOO"moyo wa kishujaaa namwaume shupavu(ila momo KILA nikikuona kwenye MACHO YAKO naona kitu.
@magrethjunior8557
@magrethjunior8557 3 года назад
Yanga
@aishajafa4139
@aishajafa4139 3 года назад
ili uitwe mwanaume hakikisha uwe na moyo wa momo dah kijana umejikaza kiume mkeo huyo kapita na msizwa anashindwa hata kujieleza
@medaihatungimana107
@medaihatungimana107 3 года назад
Muja muzitooo wakatii amekanaa kwa kishindo kikubwa mungu amuhurumiyee🤲🤲🤲
@lama6310
@lama6310 2 года назад
Wahuni Tunaelewa Huyu dada Kaliwa😂😂malegendary tunaangalia tu anavyoonge alaf tunajua😂😂😂
@vaestkusten6041
@vaestkusten6041 Год назад
hahahahah
@ashaally6993
@ashaally6993 3 года назад
Moja kwa moja inaonyesha msizwa kala mzigo...kuchapiwa ni siri ya ndani kaka vumilia 😂😂😂😂
@fatmasaid1911
@fatmasaid1911 3 года назад
Niko pamoja Na wewe
@ashaally6993
@ashaally6993 3 года назад
@@fatmasaid1911 👌
@magangashaban3835
@magangashaban3835 3 года назад
Duu kaliwa tena huyo dada itakuwa wagombea bwana
@handbagsquality9835
@handbagsquality9835 3 года назад
Duh 🤯 sielewi bado. Yaishe sasa maisha yaendelee
@ahmadshomali4206
@ahmadshomali4206 3 года назад
Masitufanye sisi ni watoto huyo Malaika ametembea na Msizwa 100%.
@rajabrwambo8083
@rajabrwambo8083 3 года назад
Dem anajikanyaga kanyaga tu kaliwa complete na msizwaaaa
@pendojeremiah9111
@pendojeremiah9111 3 года назад
Yuda ni msaliti jamani ila kuongea uongo huwa hawezi
@divinebernard1047
@divinebernard1047 3 года назад
Kabisa
@josephvenus3259
@josephvenus3259 3 года назад
Bongo raha sana jamani dah! 🤗🤗😎😎 sijui unakosaje vipindi kama hivi!? Ila tujifunze tu, na tusiyapeleke nyumbani 😁
@darlinghadija1313
@darlinghadija1313 3 года назад
Yaani huyu mama anakaa hatari 😂 ameliwa kwa kweli 😂 😂
@zaerajuma9159
@zaerajuma9159 3 года назад
Ata wy unaliwaga pia
@oyay2821
@oyay2821 3 года назад
Wahuni tmeelewa tunda la peponi ni tamu
@charlskpc1103
@charlskpc1103 3 года назад
Msizwa kapita hapo,
@patsonmassawe7714
@patsonmassawe7714 3 года назад
Oops..wawe kama Diamond tu....Maana Diamond anapitia mengi sana..mengi sana..ila ni mkimya..mpaka now hajaoongea
@mussamwamoto8231
@mussamwamoto8231 3 года назад
Anything could be happened,never trust woman,MOMOO000,uko strong,sio kwa kujieleza huko.
@jarnicebenson1323
@jarnicebenson1323 3 года назад
Nobody wins when the family feuds
@fravoredstunner5
@fravoredstunner5 3 года назад
Braza achana na huyo dem. Yupo kweny mission yake.
@Gigizlife
@Gigizlife 3 года назад
Huyu dada simwamini hata kidogo. Kafumaniwa ndio anajidai innocent
@aisharajimbo6784
@aisharajimbo6784 3 года назад
Na huyu alisema Hana no ya msizwa hio simu alimpigia na No gani
@thisiszai2045
@thisiszai2045 3 года назад
Jamani masikio Masha'Allah
@aishamaina6815
@aishamaina6815 3 года назад
Huyu msizwa inawezekana nikama alikua na mwanamke mwengine mpenzi wake ila akamsave jina lake kama Malaika..just in case ata ESMA akichukua Simu ya msizwa akipata hizo messages ajue kua ni Malaika.Msizwa ni MTU mmbaya sana.Tapeli,na mwenye kufanya watu wakigombana.
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
Where is text msgs? She should've screenshot harakaharaka send to her phone 📱
@rizikiwaadee8790
@rizikiwaadee8790 3 года назад
Sasa ndo napata picha huyo Momo anavoongea ni diamondi mtuuupuuu kweli damu nzito
@salamakombo3257
@salamakombo3257 3 года назад
Ata mie nimeona ilo
@separatebetres5315
@separatebetres5315 3 года назад
Kweli wamefanana sn
@mamukassim4075
@mamukassim4075 3 года назад
Ata mtoto wa tanasha zaidi kafanana na momo
@irenenyange9409
@irenenyange9409 3 года назад
emsa yan ukiachwa ww unatak n watu wengine waachane kwenda uko roho mbaya emsa
@janethndial5759
@janethndial5759 3 года назад
Na atayumba saaana
@butturachel1794
@butturachel1794 3 года назад
Ricadomomo anaakilisana namuunga mkono malaika unaweza zushiwa mambo hataambayo hujawahi kuwaza, mm nilizushiwa nadadaangu natembea nashemeji nawatu wakaamini nilimuomba Mungu ikajulikana siyokweli , Dada malaika Mungu atakulipa nyamazatuu
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Nimeamini sasa maneno ya Esma,kuhusu mke wa Momo na Msizwa
@rogeradonis1956
@rogeradonis1956 11 дней назад
Très intelligent momo
@franciscomasungulwa3575
@franciscomasungulwa3575 3 года назад
Kuna ukweli fulani mke wa MOMO anaujua same tu ndo hivyo hawezi kusema... Ila ESMA naye wivu kweli unamsumbua
@sharinv8864
@sharinv8864 3 года назад
Hebu tuleteeni mambo ya kutuelimisha hatutaki kila saa hivi vikesi vyia utoto sasa hii ni interview gani? Kama kuna jambo na nyinyi ni jamii moja kaeni pembeni mkatengeze hivi vitu ndo vinafanya harmonize anawashambulia sisi tunawapenda hebu tuleteeni mambo mapya.
@cheedvevo
@cheedvevo 3 года назад
Hii ni redio na ina vipindi vyake elewa hiki nikipindi cha mashaamshaam kuna udaku ndani yake, fatilia good morning uelemike
@elit3_furor517
@elit3_furor517 3 года назад
Hatari mna mambo familiya ya diamond mlimtafuna hamisa na wanawake wengine wa diamond sasa leo mnatafunana kama mihindi jamani mungu ni shujaa malipo ni hapa hapa
@winfridadominancy3492
@winfridadominancy3492 3 года назад
Mungu waajabu sana mmekuja kumuaibisha mzee Abduri mmejikuta mnaaibika wenyewe
@khalidtv6200
@khalidtv6200 3 года назад
Sisi watu wa psychology tumeshagundua huyo mke wa Momo anaongopa!
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
Psychology wa kariako stop making up stuff you don't even know her.
@gerry_macopper3808
@gerry_macopper3808 3 года назад
Yaan kwa haya maelezo yake inaonekana wazi msizwa kagusa hii
@priscamlyuka5531
@priscamlyuka5531 3 года назад
Na anajikanyaga sana amepaniki ata jicho la mmewe linamtazama kwa mashaka mhh
@derickydeniz583
@derickydeniz583 3 года назад
Hii familia Ina trend kuliko bongo movie 😂😂
@fidianishimwe4035
@fidianishimwe4035 3 года назад
Kabisa 😂😂👏👏👏
@medaihatungimana107
@medaihatungimana107 3 года назад
Wallah😂😂😂
@asiliyakechuma4319
@asiliyakechuma4319 3 года назад
🤣
@healthchoicewithluciebern8741
@healthchoicewithluciebern8741 3 года назад
😄😄😄 kweli, movie zinakosa soko
@moniquemaua01
@moniquemaua01 3 года назад
I believe this woman mybe it was another woman not her.....
@filletist1
@filletist1 3 года назад
Mume wa Esma Ali save Malaika kwanamba ingine. Kumuumiza Esma
@thisiszai2045
@thisiszai2045 3 года назад
50 50
@moniquemaua01
@moniquemaua01 3 года назад
@@filletist1 lakini Dar yote kuna Malaika wangapi? Yeye mwenyewe kasema alisoma haraka haraka alafu hakuangalia number ku confirm kama ni yeye. Sikuwa na mtetea lakini ukiamua kuleta maneno haya njee u need a lot of good evidence.
@karimchindema9823
@karimchindema9823 3 года назад
Hahahaha mweee... Ukiona manyoya kuku kashaliwa
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Год назад
Ikiwa ni Wasagi su mwenye jina,HAKUNA MALAIKA BINADAMU 🤝
@ayshabayun9014
@ayshabayun9014 3 года назад
Yan we Ricardo ungekuwa na akili usingeliongelea hilo aibu nyoo mkeo kat*** na msizwa unaenda kumtetea..
@johnrahab2698
@johnrahab2698 3 года назад
Pole mariam ndo duniha hy
@kinasatz7266
@kinasatz7266 3 года назад
Daaa!! Kwel utabili wangu umetimia, uongeaji wa momo ni mond mtupu, sikujua ni kwanini,, kumbe kaka bwana.
@abedkarume9088
@abedkarume9088 3 года назад
Kweli anaongea kama diamond umeonaeee
@mariammwakimbi4439
@mariammwakimbi4439 3 года назад
Yaani wamefanana mpak kuongea..
@nancywamimi2168
@nancywamimi2168 3 года назад
Sanaaa Yan nmeliona hilo
@abdulmtausi8327
@abdulmtausi8327 3 года назад
Hilo nililijua siku nyingi wanafanana wanavyozungumza
@bahatimawalla9476
@bahatimawalla9476 3 года назад
Yan wanafanana Sautii jmnnn uwiiii
@zenamadhan2517
@zenamadhan2517 3 года назад
Keshaliwa mbna msizwa kasema malaika ajipendekeza
@Noname-gg6bx
@Noname-gg6bx 3 года назад
Huyu Mke wa momo anaonekana tu kama hajatulia na momo anajua kila kitu kama demu hajatulia sema anaamua kukausha kutokana hiyo pisi ni kali akiiacha Leo watu wakubwa wataimiliki hiyo ni pisi ya BMW sio Ist na momo kachoka hana uwezo wa kumiliki Hii pisi ndo maana anakubali hata demu akimpiga matukio
@chrispinimkanda7127
@chrispinimkanda7127 3 года назад
Kitu Kama hicho bingwa!!
@hamadshariff7424
@hamadshariff7424 Год назад
Mungu akujalie uwe namungu hivyo
@alshabje7185
@alshabje7185 3 года назад
Wewe kaka zidi kumpenda mkeo uko powa 🤲🙏♥️
@garoedod6272
@garoedod6272 3 года назад
Malika malaya kweli bwana.kajuza sana Oman 😏
@sharonchristian3711
@sharonchristian3711 3 года назад
@@garoedod6272 🤣mlikuwa ote
@medaihatungimana107
@medaihatungimana107 3 года назад
@@garoedod6272 umekutana nayee ao alikuwa combo yako Oman😏😏😏😏
@chollogangstar3183
@chollogangstar3183 3 года назад
Kapigwa huyo hana jipya
@jumongjr5837
@jumongjr5837 3 года назад
Momo kaibiwa chombo 😂😂😂😂😂😂😂
@eliadominick7332
@eliadominick7332 3 года назад
Sasa hii ndo moja ya sababu inayomfanya diamond asioe
@ramadhanimasudi6904
@ramadhanimasudi6904 3 года назад
Kuna utata hapo. Mkweli bado hajajulikana hapo. Ila malaika kama vile mjanja mjanja hivi?!
@victoriasiwonike9509
@victoriasiwonike9509 3 года назад
Ni kweli kabisa
@chibalichilongola1648
@chibalichilongola1648 3 года назад
Hahaaaaa
@salhaali3758
@salhaali3758 3 года назад
Kama umeskia mke wa momo kuwa esma alikua na mimba gonga like mana esma kwenye interview ya zamaradi kasema hajawahi kubeba mimba ya msizwa 😁
@vailetherasto2288
@vailetherasto2288 3 года назад
Nimekupenda bureee momo mwanamke unayejua nn mana ya ndoa
@nunniznurcky9724
@nunniznurcky9724 3 года назад
Maa shaa Allah nampenda recado momo anavyio rezone yani anatumia hekma na ndio maana ametunza mukewe hio miakayote
@elitwazambwambo2222
@elitwazambwambo2222 3 года назад
ndoujue kueka familia kwenye social medial jau we unafikiri wakina harmonize hawana madada ila wanakwepa haya
@jumahabibu8698
@jumahabibu8698 3 года назад
Nakupenda Sana malaika achana nao washamba hao tulia na momo akoooo
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 Год назад
nimalizie kwa kusema tumuachieni mungu kama yapo hayo Allah aje ayabainishe bayana bayanuna mchana kweupeee tuseme insha allah
@kingmorani469
@kingmorani469 3 года назад
Msizwa kagonga Dada na wifi hahahaha
@wozanawewoz979
@wozanawewoz979 3 года назад
Yaani alafu yule jamaa ana vi biashara vingine ambavyo sio halali na esma kasema ,yaani unashindwa unajivuna kwa laki nne anti mchumi angetafuta mwanamke mwenye heshima sio hao ,
@gracedaudi4124
@gracedaudi4124 3 года назад
Huyu Dada hajielewi Mara hajawahi kulala nje Leo tena anasema alikuwa snalala nje Kwa ajiri ya esma kaliwa namsizwa
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews 3 года назад
Demu wa momo kaliwa haha
@neemamwenda3451
@neemamwenda3451 3 года назад
Hajatembea nae ila anaongea kwa vile ana hasira ndyo maana inaonekana anajigongagonga
@devotheranderson1158
@devotheranderson1158 3 года назад
No problem nyingii... Msizwa alijuaje kama una duka kama mkewe hajui!!!
@sponsertv5009
@sponsertv5009 3 года назад
Acha tuishi na hii cc wenye uelewa wa haraka YUDA MSTARITI ILA AJAWAHI KUSEMA UONGO ila respect mwanetu wa nyange mmorogolo mwezetu
@emmanuelsimkonda3304
@emmanuelsimkonda3304 3 года назад
Its possible msizwa he was sent to bring confusion just wake up
@oyay2821
@oyay2821 3 года назад
Msizwa has chewed the forbidden fruit
@alshabje7185
@alshabje7185 3 года назад
Wewe mzuri Sana mungu akulinde dada achana na huyo yuda
@afrobongobeats1686
@afrobongobeats1686 3 года назад
Hizi drama zimeibuliwa baada ya wasaf tv kufungiw Ili warudishe hela zilizopotea baada ya kupata watazamaji wengi wa hii series
@fatmaramadham7245
@fatmaramadham7245 3 года назад
Wanamake tunasiri Mariam anajitetea ila kuna walakin.
@mariangittu7418
@mariangittu7418 3 года назад
Familia ya nyange mpooooooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salamamohammed5446
@salamamohammed5446 3 года назад
Wapo
@leylamohamed9939
@leylamohamed9939 3 года назад
Huyu Malaika anaonekana tu hajatuliaaa, anaonekana kabisaa.. ila Ricardo anajikaza sana kiume.. Ukweli anaujua mwenyewe.. Ila Esma anatatizo sehemu na huyu mdada.. Esma huwa hasemi uongo
@deega1234
@deega1234 3 года назад
Never mix business with family affairs.
@healthchoicewithluciebern8741
@healthchoicewithluciebern8741 3 года назад
True indeed,they have low knowledge
@oyay2821
@oyay2821 3 года назад
This is not mixing business with family, its mixing sex with business
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
@@oyay2821 🤣🤣🤣🤣
@nafhal
@nafhal 3 года назад
kama vip tuende kwa mawakala ofisini tutajua msg zao pamoja na call zote zilikuaje kwa hao wanaoshtumiwa uyo bidada malaika na uyo mme wa esma
@zaydelabay9776
@zaydelabay9776 3 года назад
Malaika nenda kamdunde esma🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiii
@hajiramadhan7319
@hajiramadhan7319 3 года назад
Daah bongo sihami asee maalim zingizii mkeo wamemkulaa🤣🤣
@olive-jaysilasofficial
@olive-jaysilasofficial 3 года назад
Mkeo mrembo Momo wape kisogo wanadamu wana wivu
@janethndial5759
@janethndial5759 3 года назад
Saaaaaaana
@mwikaloabubakar2831
@mwikaloabubakar2831 3 года назад
Ni kweli kabisa
@pendochimammy5013
@pendochimammy5013 Год назад
Momo uko. Na mke mzuri sana malaika malaika kweli si mchezo
@adbashtv6701
@adbashtv6701 3 года назад
Tatizo la kuowa wanawake wazuri sana ndo hili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aboukillo969
@aboukillo969 3 года назад
Strong man
@marysellawanza2315
@marysellawanza2315 3 года назад
Poleni Sana Esma, Familia ya momo, msamaha muhimu
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
For what she's lie and making it up story's
Далее
USO KWA USO MWIJAKU NA ALIY KAMWE WAKUTANA
4:31
Просмотров 1,6 тыс.
INATISHA! MAMA NA MTOTO WAKE WAUAWA KIKATILI DODOMA
6:45