Subhanaallah ewemwezi mungu atusitiri jina la shaghala au khadama kwa kiarabu. kwa kiswahili ni wafanyakazi wa dani. Usipo juwa rugha ya mwenzio jitahidi kuuliza maana kwanza. Hata ukifanya kazi Offine pia NI shaghala. Shaghala kwa ujumla ni mfanyakazi sio jina baya hiyo ni kwa rugha ya kiarabu.
Ww mwanamke acha kusema uongo unahakika ngani km wanatupwa kwenye ngazi nje huko tanzania waua wafanya kazi wee mwanamke jitambuwe hii nidunia naunazaa hujui utawaaja vp tumsaptiy msaanii kwa kipi wanaendengeza umalaya wee mshezi tuu watabia ila lumbuka hii ni dunia tena duwa za wengi zitakuja kujibu kwa hiyo na wewe unajifanya mwarabu acha kujisifu na upumbavu
Kwaiyo wew unaona ushayapatia maisha sio sawa dada mungu akujalie kauli hiyo hiyo Ila ukumbuke hata hapo ulipo fikia nikwauwezo wamungu nakwahiz laan za wafanyakazi lazma ulipie hili inshallah endelea kutuzalau 🤲🙏
Huyo mwanamke ana ongea vibaya sana kuna kupanda na kushuka mwenye kakupa kiti wewe ndiyo kapa kumbi wasichana wa kazi wa warabuni so ambia mungu akusamehe
Ni sehemu ya kutafta maisha tu dada,kua umekaa ndani kama ivo sio kupata ujui wenzio wanachangamoto zao,wew una wivu tu kuona wenzio wanafuraha huko walipo kwani kua mfanyakazi wa ndani ndio nin inaonekana hata ibada zko zna mashaka.hakuna uislamu wa ivo majivuno si sehemu ya waislamu.JITAFAKARI
Inna Lilah waina rajiaun umejisahau sana dada kumbuka mtoa rizq ni mungu aliekupa wewe ni mungu na Alietunyima sisi pia ni mungu kua makin na maneno yako hutozikwa na duka la viatu
Kwani wew kuwa shaghalla unaona ajabu ,wew mwenye shaghalla mumeo anaenda kitafuta mpk anakuletea pesa na wew pia shaghalla wew mwehu sana , mwanamke wa kiislam unakuwa hivyo
Bora hao mashaghala kuliko ww pesa zai za halali ww huna lolote mjinga maher zein hambi uchafu yule ana dini umbaji wake wa mmungu mpumbavu ulitaka wapost nyimbo za matusi hana uislam wala hajui kitu juu ya uislam
Sio kwa ubaya dada acha mdomo m.mke sio sifa nzr kuwa na mdomo ivo heeeeh usidharau watu ivo sio vzr hujafa hujaumbika Allah anakuona Allah anaweza kukupiga pigo wallah ukajishangaa ukasem umerogwa c vzr ivo jmny akaaaaaaa uclazimishe ngo'mbe kuvaa hand bang akat ngo'mbe kawaida yak kuvaa shemere
Kuma wewe eshim watu msenge wewe sisi tunafanya maisha yetu mjingaujielewi sana unamume aumalaya tuuu mbwa weeeeeeutataingia tuuukwanekunane yawatu pumvavu
Sio kila anae Fanya kaz oman ukamdharau unaweza ukawa unamume ila una unacho miliki mbwa wee nenda na ww uka shagharike ili umiliki chako unatamba na biashara ya mumeo mbwa were uyo mumeo nani sikiboro dinda tuu akutombi mpaka umtie midole meno ya njanoo
Mama b wee nisewa na mwanamke malaya ss mashaghala tuna kuzindi kila kituu wee unamtegemea mme ss tunajitengemea wenyewe ww ndio mpumbavu moja tena mwanamke usinye jielewa na huna uwezo wakumlipa shaghala hata moja yani huyu mama natamani nimuone uso kwa macho hawanajishaua ndio tunawataka ss kusema hatuwezi utanzania ndio nn usitulazimishe kuwapenda wanamziki
Onaa wewe mama sijuwi mama b walla mama d shika heshmaya ko tena ikushike saw wewe kama itatukana ungetukana uyoo anae tembea na mumewe tuu sohutukane waschana wote wako warabuni kisa uyuu memeweee sawa wewe sio wakwanza kuholewa ata sisi tuna ndoa wa mume zetu walibaki africa nawako wanatembea na wengine sasa mama wewe mtukane umoja alie namahusihano na mumewee saw acha kutukana watuwote ata wewe ujihamin mume ukonae ukoo kinachokufanya unalalamika nikip tulia mtoto wa kike
Ww acha dhalau una furahia ni tajir m, mungu anaweza kukushusha ukadhalilika ukatamani hata ufanye Kaz allah atakupiga fimbo mpk ujute ila tatizo huna din ungejua din usinge sema upuuz huo mpumbavu mmoja ww
Sio mdomo yy mama b kasema anawezo wakutulipa ss mm niko tayari mwambieni naenda kumsafishia choo anilipe km mwarabu nakila litu anipe pia na sim yangu sitaki anambie eti zima data mb zinasha tatizo lamwanamke aliye pewa mtaji hajua lujitafutia lazima awazarau wezeke sasa mm niko tayaari mwenye namba zake mwambie kuna shaghala kakubali kuja kukusafishia choo na mashariti yake ni haya
Umesema vizuri sana mama b kweli kabisa wanatupwa kweli magorofani wanateswa sana uarabuni hata huyu anaeshawishiwa kwenda oman na dubai wanateswa sana wanageuzwa kama samaki wanatumiwa nyuma na mbele na wanapelekwa kufanyana na mbwa
Koma we mbwa mkubwa unaongea usiyoyaona unakutupuka tu na wapuuzi wanaolipwa na mitandao kuchafua watu nani kafanywa na mbwa unae mjua ww acheni upuuzi wakuzusha jaman hivi watu wateswe wawe wanarudi kila leo kufanyakz kulifungwa hakuna kuingia watu welia hd wamefunguliwa sasa huoni km kuna wapuuzi km mpuuzi ww hebu pita kule
Uyu dada mshenzi sana uunajifanya unajuwa nahujuwi mpuzi wewe tunafanyakazi zandani tunapokea pesa yamana hata wenye wanadiploma wanamadegree wanazikosa mshenzisana naipenda sana kazi yangu dubai nakula maisha 😀😀😀😀😀😀
Sasa shaghala maana yake jamani nimfanyakazi wandani lugha ingine nimsaidizi khadama pia nihivyohivyo nidada wakazi kwakiswahili sasa shaghala ni kwakiarabu siowanawadharau maana yake ni dada wandani
Nimecheka sana 😂😂😂ety tuje kufanya kz kwako kwenye nyumba ya mwanaume unashindwa kumlidhisha mumeo ili asiwe Ana oa oa ovyo unakuja kugombn na ss mama kaa kwa kutulia ngoja uwachike uje kudeki vyooo vya mashoghara mpumbavuuu ww juu ya ushoghara wetu yetu yana tuendea nyumba tuna jenga family zetu haziyumbi kiuchumi tupo vizur so paka km ww mpk mumeo aende kupuyanga ndo akuletee ndani km mzukule wa kuzimu shenz zako nibola ukafunga uwo mdomo wako maisha magumu watu tupo bize na kutafuta maisha plz usitutafute
Ndio maana sipendi TikTok wengine wamefanya sehemu yao ya kutaka kujulikana walimu ndio wao kwanza hilo jina la shahala ulijuaje kama wewe haukufanya kazi za ndani
bint kigoma uko poa sana maswali yameenda shule....yaan ulikua unamuuliza kama unamkanya vile na kumsorora ila mwanamke bado hajipati huyo anaropokwa tu
Huyu dada anaongea lkn hajui wasanii wa bongo fleva na mahr zeen nyimbo za kina daimond na za mahrzen zinatofauti gani anaropoka tu halafu hajasoma dini anajinguza tu nada za Dunia zote anazijua mtihani kwakweli
Ali kupea wee ni yule alie mpea yule shangala Soo usionge kumaliza bakisha maneno dunia ni duara hata wee IPO siku utakuwa shangala alie juu mgoje chini
Usikute ata mwanaume hamupendi wanapendwa wenzie anajikosha tu hapo haa haa nikicheko nawapenda waxhamba kama hawa wakujifanya anayaweza kumbe ovyoo nisri yake hanajipya ni kiki tupu