Mxilaumu magembe nampongeza mno mno hii ndio namna ya kumkumbuka mtu,au kumuenzi mtu ,na huyu bwana magembe alijua kabisa kwa mama kanumba Kuna baraka iliyokuwa anapata kanumba,ningejua kingereza ningemwambia big up sana na ,kanumba akuna mtu atamxahau kanumba tz na afrika
Matumizi mabaya ya social media,kumbukeni mnasikilizwa na watu mbalimbali wakubwa Kwa watoto.Wewe Mr magembe hebu kuwa makini unaharibu soko la channel za watu Kwa kufanya maigizo na Uongo katika channel za watu 🙏
Sasa kaharibu wapi??? Hivi Kwa maisha yasasa bila kutumia hizi triki unazani utatoka mpaka sasa wotee wanafaida Kwa channel na huyu jamaa sasa sjaona kibaya kipi hapa🙏🙏🙏