Тёмный

Mambo ya kuzingatia kabla ya kwenda China. Nauli ya kwenda China, Hoteli, Chakula, gharama za maisha 

Kelvin Kibenje
Подписаться 12 тыс.
Просмотров 2,6 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

9 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 25   
@omanjalan582
@omanjalan582 4 месяца назад
Asante mr kelvin nmepata kujua nkitaka kwenda china natakiwa niwe na pesa kubwq
@edakalinga1104
@edakalinga1104 2 месяца назад
Natamani sana kujua kuhusu hela inatakiwa usafiri na dollar au unafanyaje samahani naomba kujua zaidi hapo
@Mustbenice360
@Mustbenice360 12 дней назад
2.5M-3M Usafiri ni total go and return amount or ni go or return peke yake?
@fabulouslillah9898
@fabulouslillah9898 2 месяца назад
Shukran sana
@habarizonetz
@habarizonetz 2 месяца назад
Habari. Naomba kujua garama za kupata visa zina range bei gani
@user-iy3fx7cl1j
@user-iy3fx7cl1j 3 месяца назад
Unasafili ,Galama
@MARIAMUMADUHU-vn2og
@MARIAMUMADUHU-vn2og 2 месяца назад
USAFIRI WA KWENDA CHINA NI 2,500,000 HADI 3,000,000
@DeusRobart
@DeusRobart Месяц назад
kaka bonanza inauzwaje china
@theresiabukuku9821
@theresiabukuku9821 4 месяца назад
Mungu akubariki sana,maana nilishapigwa
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 4 месяца назад
Jipange upya
@user-cj4zc8dc8s
@user-cj4zc8dc8s 2 месяца назад
Naweza kupata no yako kwamaelezo zaidi?
@edakalinga1104
@edakalinga1104 4 месяца назад
Mimi naomba nijue kwa mfano ndo nimejianda kwenda china wasitani Ili nisteseke niwe na mtaji kiasi gani kaka naomba ufafanuzi
@sekelagodwin8969
@sekelagodwin8969 3 месяца назад
Kaka naomba unipe maelekezo ya kupata Visa
@user-wj1eg8bj3z
@user-wj1eg8bj3z 4 месяца назад
Sawa mfano nauli ninayo,kwenda china naweza Anza na mtaji wa Bei gani kima Cha chini?
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 4 месяца назад
Mtaji inategemea na kitu unachoendaa kununua. Mtaji wa Underwear ni towauti na anayeenda kununua Mafridge
@mariamsalim3856
@mariamsalim3856 4 месяца назад
Na kupata wauzaji sahihi
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 4 месяца назад
Yees wauzaji ni muhimu✍️
@esterfunyenga3185
@esterfunyenga3185 4 месяца назад
Vipi kuhusu upatikanaji wa visa ni rahisi kupata kaka au unachukua muda ukiomba?
@rayafarid4763
@rayafarid4763 21 день назад
Ni siku 2 tu
@user-rm7gk8ln9f
@user-rm7gk8ln9f 3 месяца назад
Kwani passport zinapatikana wapi Kwa kuanza
@sporamavanza2939
@sporamavanza2939 3 месяца назад
Nenda ofisi yoyote ya uhamiaji utapata maelekezo
@mariamsalim3856
@mariamsalim3856 4 месяца назад
Natamani kupata connection ya masoko mfano wewe umeenda kule unajua nikitaka hiki napata wapi
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 4 месяца назад
Ndioo
@polynechamshama3990
@polynechamshama3990 4 месяца назад
Niliambiwa na rafiki yangu lazma uwe na pesa milion 30 kwa account
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 4 месяца назад
Kupata Visa kuna vitu vinaangaliwa na hicho ni kigezo kimojawapo
Далее
Самый БОЛЬШОЙ iPhone в МИРЕ!
00:52
Просмотров 497 тыс.
GHARAMA ZA KWENDA DUBAI
7:19
Просмотров 6 тыс.
SAFARI YA USWEGE KWENDA CHINA | DAY ONE ✈️
10:08
Просмотров 15 тыс.
KANUNI / NJIA ZA KUPATA MAFANIKIO YA BIASHARA NA FEDHA
11:22
How India Is Failing Its Educated Youth
8:22
Просмотров 311 тыс.