Kwani hujasikia waislamu wakijitoa muhanga na kuua watu? Popote duniani hakuna binadamu mkamilifu, sote ni wenye zambi. Mungu pekee ndiye mtakatifu na sio watu wa dini fulani. Dini tumeikuta duniani na tutaiacha duniani. Na mbinguni tutahukumiwa kwa dhambi zetu tulizofanya duniani. Na sio kuhukumiwa mtu wa dini fulani. Kuishi kwa kumpendeza Mungu ndio itakayo tuponya na sio dini.
Dini imekua siyo wito na Imani,mm naona tu vitabu vya Imani vigawiwe Bure Kila mtu ajisomee nyumbani,maana utasikia paroko ndiyo kama vile sheikh nae kalawiti Sasa tumuamini nani dini imekua pakujifichia tu MUNGU atunusuru binafsi viongozi wa dini mm Imani sinao tena
Baba mzazi???baba mzazi?? Baba mzazi?? Damu yako kweli?? Baba mzazi viunqo vya mwanao?? Analia Baba??? Baba?? Baba???baba???? Ee Munqu Nimefika mwisho wa akili zanqu..
Mimi akili yangu imeshika breki yaani imesimama yaani mtoto wakati wanamuua cjui nimaumivu gani aliyoyasikia mtoto napia cjui alitamka maneno gani mtoto wakati anapata maumivu makali limeliya sana mimi mtoto hana hata zambi jamani
Yaani hapa kuna kitu chini ya carpet ck 17 wameshindwa kuokoa maisha ya mtoto ila ck moja tu baada ya mwili wake kupatikana wote wamekamatwa,kwann nguvu hiyo isinge tumika kuokoa maisha ya mtoto na kwa hali hiyo mtoto alikuwa mazingira hayohayo,halfu kuna kitu hakiniingi akilini ety walikutwa wanatafuta mteja wa hivyo viungo,kwa hiyo mpaka wanafanya mauaji walikuwa hawajui wanapeleka wapi hivyo viungo? Au boss wa kununua hivyo viungo kafichwa nina mashaka na hilo.
TUKIMSIKILIZA SANA MAKONDA UTUBA ZAKE UTAJUA VIONGOZI WENGI WANAKAA KATIKA VITI KWA MAUAJI YA MINADAMU AIBU KUBWA KWA TAIFA LA TANZANIA 🇹🇿 MAKONDA UWAMBIA UCHAWI UMESHAKWISHA NGUVU ZIMEBAKI SUPANA SUPANA SUPANA 😂😂😂😮😮😮