Mapya yaibuka Mchungaji Msigwa kujiunga CCM I Dkt. MUCHUNGUZI Aweka kila kitu wazi
Mchambuzi wa masuala ya Siasa, Kiuchumi kitaifa na Kimataifa Dkt. Dennis Muchunguzi amechambua hatua ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa na Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa kuhamia CCM.
2 июл 2024