Тёмный
No video :(

MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA. 

Mwananchi Digital
Подписаться 993 тыс.
Просмотров 19 тыс.
50% 1

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa ametoa sababu mbalimbali zilizomfanya akachukua uamuzi wa kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM), kubwa ni utendaji wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuwaunganisha Watanzania.
Mchungaji Msigwa amesema hay leo Jumapili, Juni 30, 2024, katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyikia Ofisi Ndogo za CCM, Lumumba akiwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla.
Ni saa chache kupita tangu alipojiunga na CCM mbele ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Ikulu jijini Dar es Salaam.

Опубликовано:

 

29 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 166   
@donaldmaziku7915
@donaldmaziku7915 Месяц назад
Msigwa anatueleza ukiona haki haitendeki sehemu fulani, ungana na wasio haki kutenda uovu.
@user-vz4xv7lg3x
@user-vz4xv7lg3x Месяц назад
Mpuuzi tu
@bahatielias6443
@bahatielias6443 Месяц назад
Mimi nikiona mpinzani anaungana na CCM ,siyo sawa pamoja na hoja zake nooo
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 Месяц назад
Tunamtuumu msigwa tu lakini Madai yake yanaweza kuwa na mashiko na nguvu hivyo Chadema ni vyema kujitafakari
@user-qm4lt1ot8u
@user-qm4lt1ot8u Месяц назад
Kahogwa ache unafiki
@ce-08
@ce-08 Месяц назад
​@@user-qm4lt1ot8u huenda kweli kahongwa ila chadema pia kunashida mbowe inatakiwa kunawakati aachie wenzie uwenyekiti wa chama Kila cku yy tu
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 Месяц назад
Chadema imekuwa saccos ya mtu mmoja 😂😂😂
@rosemaryhamilton5700
@rosemaryhamilton5700 Месяц назад
Karibu Kamanda nyumbani kumenogaa
@amosafrica2350
@amosafrica2350 Месяц назад
Bora ungepiga kimya ukaachana na siasa za vyama.
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 Месяц назад
Welcome Msigwa , CCM is every thing Sasa utaona maana ya uongozi
@masoudmussa4786
@masoudmussa4786 Месяц назад
Hongera ur wellcome comrades👌
@amosafrica2350
@amosafrica2350 Месяц назад
Msigwa umetukosea sana. Bora ungeenda CUF au ACT basi tujue bado upo upinzani. CCM mh😔
@mkadammkadam
@mkadammkadam Месяц назад
Mchezaji wa daraja la juu akitoka kwenye timu yake kwa sababu yoyote ile atakwenda kwenye timu ya daraja la juu zaidi na sio kurudi daraja la chini. CCM ndio kimbilio kwa mtu kama Msigwa.
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 Месяц назад
Mimi nafikiri Mh. Msigwa ulipaswa tu kusema"nimeamua kuhama chama na kujiunga na CCM". Lakini all in all, hayo ni maamuzi yako wala hakuna anayeweza kukupinga.
@LeticiaCharles-hi2wf
@LeticiaCharles-hi2wf Месяц назад
Ndo ukwel kamanda
@fillomuhenga4240
@fillomuhenga4240 Месяц назад
Njoo msigwa tukijenge chama chetu Cha mapinduzi
@rdmjeshi
@rdmjeshi Месяц назад
Njaa zinamsumbua huyu Mzee msigwa kishapewa asali kishaambiwa atapewa kitengo kaona masilahi hapa hamna mchungaji ni unafiki juzi juzi alikua anapondea hakuna maendeleo saivi anasema Serikali inafanya vzr huo sini unafiki Sasa aisee 😢😢😢😢😢
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 Месяц назад
CCM Kila kitu
@joycemagonze948
@joycemagonze948 Месяц назад
Wewe ni mtumishi wa Mungu lakini mbona muongo? Hakika unachekesha pamoja na undumila kuwili,hueleweki kabisa acha uroho ndo maana hata maneno yanakupotea
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 Месяц назад
Acha ale maisha nani asiyependa kuitumikia CCM hata we ukiitwa ni chapu
@lucasolobiis4504
@lucasolobiis4504 Месяц назад
Huyu nae tenaa 🤣🤣🤣🤣🤣,, mbwa ninyi wanasiasa
@user-rh6dz7wr3p
@user-rh6dz7wr3p Месяц назад
Katiba sio ya chadema ni ya wananchi msigwa. Nenda salama
@chamlilemhando7478
@chamlilemhando7478 Месяц назад
Katika interview hii msigwa hayupo sawa amelishwa maneno.Yeye ni mpinzani aendelee kuwa mpinzani .
@hhangali2006
@hhangali2006 Месяц назад
Msigwa as a Pastor... CCM hakuna Haki, wewe unapigania Haki. Kurudi CCM you are lost, lost for ever. Your Character is questionable. A man of Principles couldn't do what you did Buddy. This is for your own down fall no led no more.
@user-vz4xv7lg3x
@user-vz4xv7lg3x Месяц назад
Ameisha huyo
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 Месяц назад
kukosa uwenyekiti wa kanda ya nyasa ndiyo imekua nongwa kumbe wewe ni decteta
@mbokhamumwaliswaha8138
@mbokhamumwaliswaha8138 Месяц назад
Nafikiri CDM ndio maana walimfanyia mzengwe kwenye ule uchaguzi wa kanda. Walimjua haaminiki kwa sababu ni miaka mingi amekuwa akituhumiwa kwenda CCM. Hayo yote hakuyaona miaka ishirini aliyokuwa chadema kama kiongozi na mbunge.
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 Месяц назад
Nimesema mara nyingi kuwa shida yetu sio katiba bali ni watu wa kuisimamia katiba hiyo na Msigwa ni shahidi kuwa Ubora wa katiba unategemea sana ubora wa wasimamizi. Chadema ina katiba nzuri sana lakini ina viongozi wabinafsi na madikteta. Walio hama chama hicho ni wengi tu na malalamiko na hoja zao ni zilezile. Katiba mpya ni kama gari mpya ambalo maisha yake yanategemea ubora wa dereva.
@hasaabdi7199
@hasaabdi7199 22 дня назад
Mchaga na siasa wapi na wapi mboye ni mwizi tuu
@jumarajab5316
@jumarajab5316 Месяц назад
hapo uliposema chama chetu kimekosa agenda kuwa makini hii clip itakatwa itatumika vibaya
@sophiaamnaay9726
@sophiaamnaay9726 Месяц назад
Heee amekuwaje leo huyu! Nenda salama CHADEMA haina njaa ya watu. Kuondoka kwako kutaleta mamia ya watu .
@ce-08
@ce-08 Месяц назад
Chadema jimbo la iringa kulipata tena labda 2035
@saidmohd2665
@saidmohd2665 Месяц назад
hiii dunia bhana
@RenardMakori
@RenardMakori Месяц назад
Ivi huyu ni msigwa aliye sema kua walioko ccm hawana upeo na yeye leo amekua mmoja wa wale ambaye awana upeo, NIME MKUBALI MH. LISU ANAONA MBAMBALI ARUFU YA PESA CHAFU LEO TUMEKUBALI MSIGWA NDIO WALIOPEWA KUJA KUARIBU UCHAGUZI WA KANDA.
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 Месяц назад
Kwanini hukuyasema hayo kabla hujaondoka unakosea leo wakati pia uliisema vibaya CCM angalia clip zako za nyuma na weka akiba ya maneno brother. Daah ama kweli yangoswe mwachie ngoswe.
@ZABRONKANDI
@ZABRONKANDI Месяц назад
Binasfi nimejiskia vibaya kwa maamuzi yakooo 😢😢😢
@salmanmagwe222
@salmanmagwe222 Месяц назад
MFUMO WA CHADEMA NAMNA ULIVYOKAA NI WA KUFUMUA WOTE,KWANI UMEKAA KAMA TAASISI BINAFSI ISIYOJALI DEMOCRACY,NA MTU MMOJA ANA MAAMUZI NA KURA YA VETO
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 Месяц назад
Sahihi
@MwalimuPastorSam
@MwalimuPastorSam Месяц назад
Hakika
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Месяц назад
Karibu sana tz...hongera kwa ueledi wakutambuwa sehem salama na tulivu, jenga uimara kwenye pambana na song mbele
@user-wz3ne2kc3o
@user-wz3ne2kc3o Месяц назад
Duh Tanzania yetu
@vincentmwaya6910
@vincentmwaya6910 Месяц назад
Wwe Ni tapeli wa siasa tyu, unajiita mchungaji kwahiyo ulipokuwa chadema ulikuwa unaongepea watu na Sasa upo ccm utaongea ukweli??? Acha kujidhalilisha msigwa
@nanguniMtaita-hz4zt
@nanguniMtaita-hz4zt Месяц назад
Acha utani wako kusema wamshukuru Mwenyezi Mungu. Huna Mungu ww. Ungevumilia yaliyokusibu hadi ufie CHADEMA. Hakuna cha sacos wewe ni mfia mlo. Huna aibu. Mimi nilitaka kujiunga na CHADEMA lakini umeharibu sasa najipima tena kuna nini kinachowqsibu zaidi.ya matumbo? Msigwa shame on you. Sasa nikushauri, kaa kimya bila kunyea kambi, hiyo.SACOS niwewe unayedhania.
@fadhilidanieli1478
@fadhilidanieli1478 Месяц назад
Yaaaan kitu ambacho katika maisha yangu sikiamin nimwanasiasa yaaan Msigwa leo hii ndo wewe unaongia hivi??????
@donaldmaziku7915
@donaldmaziku7915 Месяц назад
Je mbowe ndiye alipiga kura huko uliposhindwa? hauwezi kutudanganya
@DivineWisdom-o8y
@DivineWisdom-o8y Месяц назад
I use to admire you Mr.Msigwa i remember you're quote when you said you cant solve a problem using the same level of thinking that created a problem but now you've really disappointed me.....i have come to understand to didn't mean whatever you said while in opposition so simply you can't be trusted because you cant stand on your principles.. chadema is not but joining ccm doesn't give a legitimacy to say ccm is betterof
@mwambietv7614
@mwambietv7614 Месяц назад
ila Mzee Mungu anakuona hivi kweli ni Mchungaji huyu? 🤣🤣
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 Месяц назад
Chadema msiumie namjua msigwa kule amekwenda kwa kazi maalum akisha timiza kazi aliyo tumwa atarudi soon hivyo ccm kama mlidhani mmelamba dume basi na wahikikisu subirini time will talk ccm kwa ujuma imekula kweni
@joeljulius7147
@joeljulius7147 Месяц назад
Kama kweli unaamini hivyo na kwa maneno yako maana yake CCM pia haipo vzr na ili kutuaminisha kuwa sio njaa iliyokuhamisha ungeanzisha chama chako. Watanzania pia tuna akili. Tunajua vzr
@nelsonkikotimandela9819
@nelsonkikotimandela9819 Месяц назад
Swali ni moja tu!Je ungeshinda kwenye uchaguzi wa Chadema ungeendelea na Chadema?au umehama kisa umeshindwa uchaguzi?
@salimobeid1470
@salimobeid1470 Месяц назад
Unachokiongea ni kweli chadema bado sana sanaa wanakula tu pesa za wananchi na ubaguzi mie nimewatoa thamani kusema mzanzibar ubaguzi wa waz chama kesho utasikia wale wapare wale wazaramu achanni na hicho chadema
@priscuskimario495
@priscuskimario495 Месяц назад
Wananchi wa wapi? Kwani kinakusamya kodi? Ama kweli hili taifa Lina mambulula
@abdulhakhashim764
@abdulhakhashim764 Месяц назад
SAFI..... SANAAAA. MSIGWA KUAMIA ...CHAMA TAWALA
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 Месяц назад
Uchaguzi wa mwaka 2020 alizulumiwa kw amadai yake ya mwanzo na ni haohao aliojiunga nao ndo walimkosesha haki. je hko kuna jipi jipya ambalo unaona ni zuri au ni uroho tu \
@user-rh6dz7wr3p
@user-rh6dz7wr3p Месяц назад
Mama hakuna anaemkubali nenda kaongeze nguvu walau apate hata asilimia tano.
@ibrahimkonga2975
@ibrahimkonga2975 Месяц назад
Msaliti wewe huna haja ya kumshukuru mungu laana inakutafuna huna ata sifa ata ya kuitwa mchungaji ""njaa imekukaba umenunuliwa😂😂😂😂""
@jacobmwera9636
@jacobmwera9636 Месяц назад
kwahyo we mzee unatwambia umekaa zaidi ya miaka 20, hiyo ya demokrasia kukosekana chadema hukuwahi kuiona ndo umetambua baada ya kupgwa chini kwenye uchaguzi?
@frenktarimo4703
@frenktarimo4703 Месяц назад
Mchungaji tapeli sijui kanisank lako ni i lile la mashoga nini kwenda huko tapeli mkubwa wewe utatuambia nini wewe mchungaji unakula jaxa mwenyewe
@dennisungonella205
@dennisungonella205 Месяц назад
Ccm mpeni udc huyu vinginevyo atawakimbia huyu😂
@eliphasmlengu6331
@eliphasmlengu6331 Месяц назад
I knew this is going to happen Nafikiri ukombozi wa Tanzania bado sana yaani sungu kuwa m/kiti jamaa nogwa huyo CCM
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur Месяц назад
chadomo chama cha wachaga, umefanya vizuri Peter Msigwa mbowe ni mwenyekiti wa kudumu wa chadomo
@clarencelazaro9600
@clarencelazaro9600 Месяц назад
Msigwa kaa kinywa we are not stupid
@sungisungi6589
@sungisungi6589 Месяц назад
Msigwa hanywi pombe ,havuti sigara ,bangi Wala sio mtu wa bebes. Asingeweza kuendelea kukaa na Lile genge la wahuni😅😅. Hata lisu anajikaza tu chadema sio mahala pake
@JesusJesus-ny1sm
@JesusJesus-ny1sm Месяц назад
Wewe Msigwa mnatufanya wananchi tujuwe mpo kwa maslahi yenu binafsi tu mambo mnayofanya hata aibu hamuoni, kuliko kwenda CCM ungekwenda upinzani ungeeleweka !!!!! Au ungeacha siasa utulie kimya kwanza, mmesema sana CCM haifai unakwendaje hapo hapo tena !??? Mnadhani WaTanzania hawafikiriii !!!!?
@user-sy2mp7mm8u
@user-sy2mp7mm8u Месяц назад
Tumbo la watu lina shida kweli jamani
@khatibramadhan8740
@khatibramadhan8740 Месяц назад
kwer usaliti upo huku clatous chama huku msigwa😂😂😂
@andrewkilave3532
@andrewkilave3532 Месяц назад
Kesho anakuwa mbunge kwa tiketi ya ccm Iringa
@dennisungonella205
@dennisungonella205 Месяц назад
Huyu amefuata mlo😂
@KibeloMpembelo
@KibeloMpembelo Месяц назад
Msigwa is hungry man
@jmastertz161
@jmastertz161 Месяц назад
mpak kuongea anaona aibu vile anavopondaga ccm sasa ccm wataelew jinsi ya kuishi na huyu mtu
@stevemahenge847
@stevemahenge847 Месяц назад
Mhhhh hizi njaa zinatutesa kweli amekua mbunge misimu miwili lakin leo anasema chama kimekosa agenda dhuuuu Mungu tusaidie
@beinafuu6219
@beinafuu6219 Месяц назад
Uwongee basi kidogo mzee ubakishe jaman.wewe umeisha hama sibas
@mtakamatv
@mtakamatv Месяц назад
Msigwa umefuata chakula,sio haki,kwanini baada ya kukosa uwenyekiti umehama,miaka yote ulipokuwa kiongozi hukusema hayo,ila ulipokosa uongozi, CCM wamekununua ili wakutumie kwenye kampeni,wakutumie kufifisha udhalimu wa chama Chao,tuna akili zetu,na tumeshakuwa wazoefu na mbinu za CCM.
@eliphasmlengu6331
@eliphasmlengu6331 Месяц назад
Anauhalali gani kumsema mbowe? Kweli achapakuche tuone mwanga
@sponsor7882
@sponsor7882 Месяц назад
uezi ona ushoga kama huu kenya
@godsson5954
@godsson5954 Месяц назад
Mpwa kama mpwaa karb SANA
@jmastertz161
@jmastertz161 Месяц назад
hamna mtu hapa
@georgefredy8569
@georgefredy8569 Месяц назад
Jamaa linaongea ujinga mpaka ni fedhea Kwa profile yake! Bora angekaa kimya tu kuliko kujaribu kuisafisha CCM Kwa kiki ya uenyekiti WA Mbowe! Chadema ni Chama imara licha ya mapungufu yake
@malaryhillary3075
@malaryhillary3075 Месяц назад
Je huko ccm Kuna HAKI , sema wewe unataka madaraka basi kagomnee uenyekiti wa ccm kama utapata, mchungaji hewa
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j Месяц назад
trending ya mpina kwishney 😂😂
@melkisedekkaijage2777
@melkisedekkaijage2777 Месяц назад
Never trust a politician. Never ever.
@NATACIARAPHAEL-iz8kr
@NATACIARAPHAEL-iz8kr Месяц назад
Mwanasiasa Malayamalaya huyu umeyarudia matapishi
@eliphasmlengu6331
@eliphasmlengu6331 Месяц назад
Tujiulize angelishinda haya yangelikuwepo? Answer is big No.
@salimobeid1470
@salimobeid1470 Месяц назад
Mie namvulia kofia mama samia sluu hassan sifikirii kama kuna mwanasiasa nguli kwa Katanzania ukamkosa mama samia ye wala hapigani na kelele ye anajua vya kupiga na baada ya mika 5 ijayo upinzani hamna Tanzania
@ThomasMselle-rw5ej
@ThomasMselle-rw5ej Месяц назад
Inawezekana unayosema! Ulikuwaje ukashuhudia hayo kwa miaka yote bila kuongea ila baada ya kuukosa uwenyekiti wa kanda (maslai) ndo unasema. Usije kuleta unafiki wako huku CCM hautavumiliwa ulimsigina sana JPM
@kaguripenina63
@kaguripenina63 Месяц назад
Siasa za hivo tulishazichoka soon utapotea boss
@beinafuu6219
@beinafuu6219 Месяц назад
Sasa hapo unaongea nini kuaribu chama
@victorvenantkaigarula6255
@victorvenantkaigarula6255 Месяц назад
Ni njaa tu, maslahi na kuhangaikia tumbo.
@ramadhanimandoa716
@ramadhanimandoa716 Месяц назад
Kwahiy ww unadhan chadem wale hawapat kitu au
@jescageorge-fv8yt
@jescageorge-fv8yt Месяц назад
Huna lolote msality wew
@GodfreySiegfried
@GodfreySiegfried Месяц назад
Wewe msigwa wewe uko Kwa akili ya pesa Tu Kwa nini ushidwe ndio uwame Kwa nini usingeama mapema Kwa iyo ungeshinda usingeham et Kwa nini Kwa iyo icho cheonni cha Baba yako ukubaswa kushidwa Acha kutushawish watanzania na tunajua kilichokuamisha
@GeraldNyasembe-q2d
@GeraldNyasembe-q2d Месяц назад
Wewe aukuwa na mvuto kama zito kabwe nenda acha chadema ni tahasisi wewe kama umekosa uvumilivu na aukutaka kushindwa utaweza kuwa mwenyekiti wa taifa auna hoja nenda mwana kwenda
@immabaraka
@immabaraka Месяц назад
Huna sera subiria cake ya taifa ule ushimbe tu democrasia ni kuwa huru
@mswakalaization_
@mswakalaization_ Месяц назад
Kikubwa maokoto😂
@emmanuelmaghina1709
@emmanuelmaghina1709 Месяц назад
Amepagawa na Pepo
@gm003
@gm003 Месяц назад
CDM ni salama zaidi sasa bila huyu mtu, ALIJIONA UN SUBSTUTABLE....Habari yako wewe ni kwisha!!
@josephborn4460
@josephborn4460 Месяц назад
Oya ogopeni njaa mazee Haijawahi kumwacha mtu salama
@SweetBertMlinda-bq7mp
@SweetBertMlinda-bq7mp Месяц назад
Hata ongea yako tuu imebadilika ulivokuja huku, karibu sana. Huku hatubwati kama ulivokua unabwata kule 😂😂😂😂
@mlangotv8465
@mlangotv8465 Месяц назад
Msigwa umejinyonga mwenyewe, ningekuelewa kama unheenda chama kingine cha upinzani, jihesabie siku chache utakuwa umezima kama wengine
@dennisungonella205
@dennisungonella205 Месяц назад
Binafsi namuelewa Sana zitto
@mtakamatv
@mtakamatv Месяц назад
Kama mbowe ni dikteta kwa masirahi ya chama na wananchi Yuko sahihi,kuliko kuwaamini watu wasaliti,mamruki wa CCM,watu wanaonunulika kama msigwa,mbowe alianza kukijenga chama Toka mbali na amesulubiwa nacho,Leo angehama tundulisu ndo ningeshangaa.lakini wewe hicho chama Chao Cha tatu kama sio Cha nne unahamia kutafuta masirahi yako.
@masamakijames7837
@masamakijames7837 Месяц назад
Hata makamu mwenyekniti Zito Kabwe aliondoka chama hakijafa,miaka 20 leo baada ya kukuosa uenyekiti kanda ndo unagundua huo ubaya?hata chekechea wa karne hii itamshangaza
@EliyaPaulo-uf6hh
@EliyaPaulo-uf6hh Месяц назад
Yaani ylitaka uendelee na kanda uliposhindwa na Sugu ndio unakuja hoja dhaifu namna hiyo?sasa namuomba Mungu 2025 hao ccm wakuteue ugombee hapo iringa halafu uone utakavyo pata Aibu...fyoooooo
@kaguripenina63
@kaguripenina63 Месяц назад
Ndoo maana ninasema hawa wachungaji hamna kituu
@japhetkavishe2347
@japhetkavishe2347 Месяц назад
Kwann umehama mara tu baada ya kushindwa uenyekiti wa kanda ya Nyasa mheshimiwa mchungaji?
@kadrimwingamno258
@kadrimwingamno258 Месяц назад
Ngoja nimjibie. Kuhama kwake. Kaamua kumia golini. Ukiwa kiongozi wa chama cha upinzani, kawaida kuna udambu dambu unaopatikana kutoka kwa chama tawala. Sasa ukiwa upizani na hauna cheo chochote inakubidi usubiri viongozi wako mpaka wa kukumbuke. Sijui umenipata?
@JumaMagoma-g4q
@JumaMagoma-g4q Месяц назад
Njaaaaaa
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 23 дня назад
Tena njaa mbaya Sana ndugu yangu😂, hana lolote zaidi yakutaka maokoto tu hapo anajua atapata chochote kitu cha ziada😂.
@user-mz4gx2ek9y
@user-mz4gx2ek9y Месяц назад
Hawa ndio wachungaji tulio nao mungu atakupiga muda si mrefu
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward Месяц назад
Hawa ni wanadamu halisi. Si wachumgaji. Yesu alipokele Jerusalem Kwa nyimbo hosena mwana wa daudi, siku chache hao wakasema msulubishe.
@edistidiusmutalemwa5758
@edistidiusmutalemwa5758 Месяц назад
Kwenye msafara wa mamba,kenge wapo pia!
@innocentfortunatus725
@innocentfortunatus725 Месяц назад
Nimekumbuka JPM, HAPA KAZI TU .😅😅
@dennisungonella205
@dennisungonella205 Месяц назад
Wanasiasa hatari, ukikosa cheo unahama chama😂
@ramadhanishabani807
@ramadhanishabani807 Месяц назад
Broo bora ungeenda vyama vingne vya upinzani kama umeishndwa chadema, lakini ccm umefeli sana kwani ndio hakuna haki kabisa huko
@dennisungonella205
@dennisungonella205 Месяц назад
Yaani kwenda ccm sijamuelewa kwa kweli😂
@CharlesElias-zh5hz
@CharlesElias-zh5hz Месяц назад
Kwahio mtumish hata ww ulikuwa unadanganya
@jmastertz161
@jmastertz161 Месяц назад
njaa tu
@nestor384
@nestor384 Месяц назад
Porojo za Msigwa
@EliyaPaulo-uf6hh
@EliyaPaulo-uf6hh Месяц назад
Kwenda zako ulitaka tu ubaki kuwa m/kiti wa kanda mpuuzi kabisa ww leo wakusema hayo?😢utaongea nn juzi tu ulikuwa manyoni jukwaani unapayuka leo hii eti Chadema unaiponda?ama kweli njaa mbaya
@octaaalyiii9539
@octaaalyiii9539 Месяц назад
Eti mtu anakuambia amefanya kazi miaka 20 alafu yote anasema leo, jamani saiv watu wameenda shule mkiongea vitu mjipime sana, ww ungekuwa mchapa kazi iyo miaka 20 ungeshaweka mambo sawa na ungejulikana n mpenda haki sio sasa unaongea uongo
@TatizoLyanzi
@TatizoLyanzi Месяц назад
Nenda kafe huko bna
Далее