Тёмный

MASANJA MBELE YA MANABII KIBOKO YA WACHAWI ATOA UNABII MZITO  

Masanja TV
Подписаться 227 тыс.
Просмотров 36 тыс.
50% 1

TANGAZA NASI MASANJA TV:
SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates:
👇 👇
/ @masanjatvgospel

Развлечения

Опубликовано:

 

24 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 191   
@AtuganileGodson
@AtuganileGodson 27 дней назад
Kabisa.Mungu anachezewa kiasinhiki??inatia uchungu sana
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 20 дней назад
naumia Sana mungu wamemfanya. kama babuyao
@atuganileagrey5041
@atuganileagrey5041 20 дней назад
Yaan Mungu aturehemu
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 27 дней назад
Nilidhani Masanja yuko upande Wa Nuru,kumbe na yeye ni walewale yuko upande wa giza😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Ni ha ta lii sana,
@user-nx5og4cz7b
@user-nx5og4cz7b 21 день назад
Kwishaa iyo
@denismugisha2
@denismugisha2 17 дней назад
Hivi nyie mnapataga shida sana kuwatambua hawa eh Basi mwenzenu hata kwa mavazi tu nawaelewaga
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 15 дней назад
Kwenye madhabahu unalet comedy 😢😢Mungu atusaidie atupe macho ya kiroho, nyakat za mwisho kutakuw na manabii wa uongo
@user-zw7ln4iy3g
@user-zw7ln4iy3g 2 дня назад
mwanangu mmoja alishanigomea huyu alishachukuliwa kitambo walivyoona anakiu ya mafanikio wakatumia njia hiyo kumchukua 😢😢 leo ndo nimemkoma masanja
@aderanderwa7623
@aderanderwa7623 Месяц назад
YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 20 дней назад
kwelimpendwa nichangamoto. MUNGU anisaidie atusaidie maigizo kama. haya
@JosephKingwere
@JosephKingwere 16 дней назад
Mimi nilivyo muona uyo kiboko ya wachawi mhmhmh nimeshangaa sana daaaah hapo kuna namuna jmn 😢 Yesu chrsto atusaidie sana
@EngelLameck-nz5nk
@EngelLameck-nz5nk 10 дней назад
Unapotea sana Kaka Angu masanja hebu mwambie Mungu akupe amacho uone kuhusu hao watumish unao wasifia unako enda sio kabisa
@focusernest5610
@focusernest5610 10 дней назад
Watu wako after maokoto macho ya rohoni hayaoni​@@EngelLameck-nz5nk
@GodfridMbele-sb1ks
@GodfridMbele-sb1ks День назад
Hawa ni mawakala wa shetani wote hawa
@SifaelaYoram
@SifaelaYoram 26 дней назад
Nasikitika nahisi uchungu usioelekeza,,, Mungu turehemu
@selegioelias9076
@selegioelias9076 22 дня назад
Yaani we achatu nasikia hasra ya Bwana nikuwa saga wote hawa
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Месяц назад
Dunia imekwisha Kazi mnayo ngoja Mbarikiwa awajibu Mapepo ni mengi kwenye iyo ya Mazaba
@chrispinkyaruzi1110
@chrispinkyaruzi1110 23 дня назад
Masanja, geuka haraka! umepotea mdogo wangu! Huyo siyo nabii ni mchawi kama wachawi wengine, ni vizuri umuombe Yesu akufungue macho! ila nilichogundua watu wanakupenda. Hebu angalia coments za watu.
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 22 дня назад
Mazingaombwe
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 28 дней назад
Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .
@eliasselemani1963
@eliasselemani1963 Месяц назад
AFADHALI KUISHI TU HUKU KIJIJINI
@eliasselemani1963
@eliasselemani1963 Месяц назад
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 27 дней назад
@@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao
@Joyceisaka
@Joyceisaka 24 дня назад
Kabisa kaka angu huku dar ni hatar mweee ni hurumaa
@marrynaftali7969
@marrynaftali7969 21 день назад
Umeona eeeh,Mjini Mambo mengi mno
@MonicaBeni
@MonicaBeni 21 день назад
Hahahahaha ndugu yangu umifurahisha sana... Afadhali kuishi tu kijijini !!! Umewaza nn kamanda wangu?
@SifaelaYoram
@SifaelaYoram 26 дней назад
Bible verse,, ,, hivyo husema, Amka wewe usinziaye ufufuke katika wafu na kristo atakuangazia,,,,,,waefeso 5:14,,,,,,, wapendwa tuamke wewe unayeona haya matukio amka hizi ni nyakati za hatari San
@user-qg5sc7ie3q
@user-qg5sc7ie3q 26 дней назад
Yaan mmeona Kwa Yesu ndo pakufichia ushetani wenu
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 23 дня назад
@@user-qg5sc7ie3q yaàan acha tu!
@user-wc6yw1or4n
@user-wc6yw1or4n 23 дня назад
kweli namtafuta MUNGU kibinasfi
@JosephTherathini
@JosephTherathini День назад
Mungu utusaidie
@victorcephas3618
@victorcephas3618 Месяц назад
Hahaha 😂😂😂😂😂 Masanjaaaaaaaaaa Eti Jana ulikuwa wapi? Nimecheka Hadi basi
@dorahisinika7576
@dorahisinika7576 23 дня назад
I LOVE JESUS SO MUCH.❤..AMENITOA MBALI SANA🙏
@thestkim6625
@thestkim6625 22 дня назад
Daaah pesa inatutenganisha na mungu kabisaaa😢😢😢😢
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 20 дней назад
ndiyohivyo ilawapo. watakao. Simama tu namungu atatushidia
@FabiolaTemba-kz2sq
@FabiolaTemba-kz2sq 3 дня назад
Masanja mkeo ana kuzalilisha Yaan haja tulia kabsaaa jmn 😂😂😂😂 Sijawai kuona mke wa mtumish wa Mungu mwenye wenge kama uyu jmn 😂😂😂😂
@PaskariaSuwi
@PaskariaSuwi 13 дней назад
Naomba unipe mwisho mwema Mungu wangu
@manaseliberatus1347
@manaseliberatus1347 Месяц назад
TIMU IMEKAMILIKA MKUU, UKITOKA KWA KIBOKO YA WACHAWI UNAKUTANA NA NABII MUUWAJI, MADHABAHUNI HAPAPANDISHWAGI KILA MTU
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 27 дней назад
@@manaseliberatus1347 kaz tunayo!
@josephgnzunda5631
@josephgnzunda5631 26 дней назад
Pole sana masanja
@MAONYOTVTANZANIA
@MAONYOTVTANZANIA 29 дней назад
Mihuni ya dunia hii , utani wa wahuni wajitambia mapesa ya uchawi wao , katskela anawajua wote
@AyubuHeshima
@AyubuHeshima Месяц назад
Ninaona wahuni watupu tu.
@moseshaule586
@moseshaule586 26 дней назад
Uhuni sio dhambi mbona,, kwani uhuni mining?
@magdalenapeter6106
@magdalenapeter6106 25 дней назад
Hakika YESU yupo mlangoni tuweni macho Wana wa Ibilisi wamejikusanya
@user-vk6so5bb7u
@user-vk6so5bb7u 9 дней назад
Hapo hata kipofu mwenyeakili timamu hadanganywi,,iweje sisi tulopewa macho tudanganyike???,,Dear guys mwenyekusali sali sanaaaa pia mwenye kufwata hao mashetani endelea but majibu unayo😢😢😢
@edouardnsengiyumva1145
@edouardnsengiyumva1145 4 дня назад
Mungu okowa loho ambazo zimepoteya hizi
@roseriwa6951
@roseriwa6951 17 дней назад
Mungu wetu sijui kawa mpole....why! Inauma sana
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz 13 часов назад
😂😂😂 pamoja na upako wote lakini bado kuna bodyguard inaonyesha mu waoga kiasi
@JosephTherathini
@JosephTherathini День назад
Uuuuuwiiiii😮
@kipkemoicheruiyot4315
@kipkemoicheruiyot4315 16 дней назад
Ghaai huku ni wapi , may the light of the Holy scripture sound absolute truth till the end of the edge😢
@VeronicaMungure
@VeronicaMungure 23 дня назад
Amen
@user-jc1do5gf3w
@user-jc1do5gf3w Месяц назад
Usanii mpaka kwa kutumia Jina la Mungu,mmmmm Mungu tuhurume
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 29 дней назад
Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!
@lusungungimbudzi4265
@lusungungimbudzi4265 18 дней назад
We Jamaa bwana Commed all the time
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 Месяц назад
Jana ulikuwa wapi afu ukapotezea nimefrahi sana😂😂😂
@DennisFandi
@DennisFandi День назад
Hakuna nabii jamani tusidanganyane, nabii ni mtu anaeweza kuiona kesho? Sio kwa kuhisi mtu anaiona picha nzima ya kitu au tukio litakalotokea, anaweza kukuelezea kila kitu bila kuacha hata chembe
@JohnMakweba-fj4rt
@JohnMakweba-fj4rt 10 дней назад
Can i prophesize 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 Месяц назад
Kwani ma wewe masanja umekuwa mtu wa swaga namna hiyo hee mbona kuzimu mtajaa sana
@JacksonMbites
@JacksonMbites 3 дня назад
Genge la Sarakasi ya Kiroho
@VenanceMsoka
@VenanceMsoka День назад
alafu ni mwingizaji😅😅😅
@dainamichael5624
@dainamichael5624 3 дня назад
Feel free church.... Jina lenyewe linajitambulisha...
@user-up8uq3ih2i
@user-up8uq3ih2i 26 дней назад
Haaa vituko ,Masanja rudi kwa yesu
@KatRobert
@KatRobert 11 дней назад
Hizo nguo zao zinatisha kwanza😅😅😅
@Kelvinchristopher072
@Kelvinchristopher072 Месяц назад
Stendi ya kuzimu.
@user-qn6rs7km3z
@user-qn6rs7km3z 29 дней назад
Hatari sana
@AtuganileGodson
@AtuganileGodson 27 дней назад
Kweli Mungu anazihakiwa sana
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 27 дней назад
@@Kelvinchristopher072 duuuu
@kmotivation1130
@kmotivation1130 26 дней назад
wazee wa kazi kazi
@FabiolaTemba-kz2sq
@FabiolaTemba-kz2sq 3 дня назад
Mke wa masanja ana shida gan? Mbona hajapoa anahangaika sana kama mtu anamtekenya
@klmhardware2993
@klmhardware2993 3 дня назад
Daaaa kanisa limeva😢😢miwa😢
@Pendopasilika
@Pendopasilika Месяц назад
Dunia imeisha
@ednakawau9842
@ednakawau9842 26 дней назад
Kumbe masanja ni wale wale
@barakanatus5676
@barakanatus5676 26 дней назад
Ulikuwa ujui ni wale wale
@hosannakamwela9286
@hosannakamwela9286 20 дней назад
Hakika ni walewale
@samuelakanga5586
@samuelakanga5586 20 дней назад
1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. 16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; '2 Timotheo 3:1-16'
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 25 дней назад
Yaani Masanja umeweka Ukomedi wako hadi knsn, Umeambiwa nyumba ya Bwana itakuwa nyumba ya Sala, si nyumba ya kufanyia comed
@raymondwilliam3042
@raymondwilliam3042 Месяц назад
Bodyguard sasa 😂
@ismaelgadiye4488
@ismaelgadiye4488 21 день назад
OLE WA NCHI NA BAHARI POLENI KUMBE YESU ALISHATUAMBIA KAMA SIKU HAZITAFUPISHWA HAKUNA MTU ATASALIA
@january_Tattoo
@january_Tattoo 3 дня назад
Nashukuru mungu 😂 mmenza kujichanganya na kujikusanya ili tuwajuwe😂😂😂 kumbe mpaka wewe ni mfanya biashara sio ujatumwa unajituma
@josephgnzunda5631
@josephgnzunda5631 26 дней назад
Nuru yako imezimaje ghafula kihivo wazazi wako wakiroho bado wanailinda imani
@SamooTz-pi5ok
@SamooTz-pi5ok 24 дня назад
Matapeli wamekutana jmn hii dunia tunaenda wap 🙏
@prchMichael
@prchMichael 20 дней назад
Wanasema wameitwa kumbe ndo wapuuzi kwanini mnalitumia jina la YESU kupoteza watu na kujitwalia heshima wewe ni nan watu wakupigie magoti acheni upuuzi jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭
@merabKitundu
@merabKitundu Месяц назад
Itatufaa nn kupatata yote Kisha tukose mbingu
@HellenLemilya
@HellenLemilya 27 дней назад
Makundi ya wachawi Tanzania ndugu zanguni watanzania ndio hawa tuweni makini
@nangukidasu8040
@nangukidasu8040 2 дня назад
Unafiki wa kubembeleza pesa
@IsraelLekumok
@IsraelLekumok 3 дня назад
Mimi. Sikubalihani. Na. Hawa. Mbaka. Yesu. Arudi
@agnesmbula5261
@agnesmbula5261 26 дней назад
May God open Ur children's eyes....the church of God is lost
@peterrichard9644
@peterrichard9644 25 дней назад
Ngoja ninyamaze maana na imagine kina Paulo huko mbinguni wanatamani washuke
@jacklinakinabo6479
@jacklinakinabo6479 27 дней назад
Can i prophesey 😢😅😅😅 Go deeper Papaaa😂😂😂😂 Haki Mungu wangu weq Tuhurumie
@ellymunisi8749
@ellymunisi8749 17 дней назад
Leo wameturihixishia timu yao yakishetani ngoja niwashitakie kwa Mungu na wapotelee mbali kwa njia 7 wote waangamie Kama hawatatbu na kumuubiri Yesu wa kweli
@fredrickmikera5998
@fredrickmikera5998 19 дней назад
Mathayo 24:24,siku za mwisho watatokea manabii wa uongo na wakristo wengi wa uongo.someni ufunuo kama hamjajaliwa kuelewa tuulizeni ili tueadaidie tuko ktk dk za mwisho kabisa Yesu yupo karibu kurudi na shetani amewafumba macho watu wasijue ukweli
@user-im7vi2yf2d
@user-im7vi2yf2d 29 дней назад
Mbarikiwa ndo ameitiwa kazi ya kuwanyoosha hawa watu
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 29 дней назад
Ha ha haaaaaaaaaaaa!
@user-xl5xi1uq9z
@user-xl5xi1uq9z 17 дней назад
Watu wapiga magoti na kumfuta viatu masanja hii sio sawa ni kama wanakuabudu ,sio sawa achana na giza toka 😢,manabii wa uongo walitabiliwa wakati wa mwisho wa dunia au kuja kwa Yesu kristo,ndo sasa tunaona, Yesu tusaidie
@merabKitundu
@merabKitundu Месяц назад
Kweli mbinguni ni mbali
@hosannakamwela9286
@hosannakamwela9286 20 дней назад
MUNGU anadharirishwa hivi, jamani. Dunia iko pabaya wamemfanya Mungu kama mjomba
@user-kz5en5tq2z
@user-kz5en5tq2z 26 дней назад
Vipofu wana wa majoka
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 Месяц назад
Mbona makondeko umezeeka hivyo tubu kabula haijawa jioni
@giftmusa6543
@giftmusa6543 3 дня назад
Yaani hivi watu wanaoenda kanisan kwa masanja kichwani zmo kweli?
@mwanawamfalmetz
@mwanawamfalmetz Месяц назад
Mbona mmeweke kakipande kadogo jamani
@HellenLemilya
@HellenLemilya 27 дней назад
Wahuni mmejikusanya kutapeli watu , serikali tuache kuwatafuta vibaka wengine tofauti na hawa waliojitokeza
@ombendaud5938
@ombendaud5938 27 дней назад
Mmmmhhh hivi ni vipande 30 tuuuuu
@user-zs7eq8up5s
@user-zs7eq8up5s 23 дня назад
Kuna mwizi anaetumia silaha anaitwa jambazi..kuna mwizi anaetumia siasa anaitwa fisadi..halafu kuna wezi wanotumia jina la mungu....
@user-qw8tm3jz2u
@user-qw8tm3jz2u 27 дней назад
😂😂😂😂😂 kwahiyo ukigusa viatu vya Masanja umemgusa Nabii
@valenakomba9218
@valenakomba9218 27 дней назад
Hovyoooooooooooooooooooooooo.upumbavu gani huoooo. YESU GANI HUYO UNAYEMWINGELEA.?
@mwaamwetahussain9947
@mwaamwetahussain9947 19 дней назад
Cjui ni lini watu tutajielewa na hawa manabii wtu wa ss
@FamtamAli-vl2wx
@FamtamAli-vl2wx 13 дней назад
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😭😭😭😭 kweli hii ni Feremason kabisa yani Mungu tusaidie Walahi 😢😢😢😢
@TheofiloKihongosi
@TheofiloKihongosi 22 дня назад
Pole myawe kweugenda
@patrobamalema8631
@patrobamalema8631 6 дней назад
KIBOKO YA WACHAWI ANAWAADABISHA WACHAWI BARABARAAAA 😄😄😄😄🏃🏃🏃🏃🏃
@Mwakibinga_wisdom
@Mwakibinga_wisdom Месяц назад
Duuuh 🙄 Nimeduwaaaaa
@geitandelwa299
@geitandelwa299 Месяц назад
Umeona ee shida
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 Месяц назад
Mungu wangu mpka mi sielewi wanatu changanya kuna niliokua mawaamini pia naanza kupoteza imani kwao sasa Mungu tusaidie tu hiz ni zama za mwisho kwa kweli
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 29 дней назад
Achana nao ucje ukafa kabisa tukakukosa.
@sophiaommy8343
@sophiaommy8343 29 дней назад
​@@deborahmchona5584mbona Kama Kuna Rolinga tenaa aiseee nimejikuta naumia sana
@AtuganileGodson
@AtuganileGodson 27 дней назад
Utajua tu.Wamejipanga na wapo vizuri.Mungu hatajwi ila sifa za watu.😂😂😂 Mungu atusamehe sana
@jacklinejohn5727
@jacklinejohn5727 22 дня назад
Mtatubu kwa lazima
@mercycharlesmsiagi1756
@mercycharlesmsiagi1756 26 дней назад
Waganga walio vua kaniki wakavaa suti
@HappyFlowers-ee8ru
@HappyFlowers-ee8ru 26 дней назад
Haaaaaa ndugu yangu umenichekesha sana
@user-nx5og4cz7b
@user-nx5og4cz7b 21 день назад
Milioni 40 inamuhamisha kwa yesu kbs mi sikujuwa kama muunganiko ni mkubwa hivi kt ma masanja na hawa pesa bibilia itamtenga mtu na mungu nimeamini.
@annambembela6661
@annambembela6661 21 день назад
Mungu wangu nin hiki jamani duuh Dunia shuka nisimame
@fredrickmikera5998
@fredrickmikera5998 19 дней назад
Yaani watu wanatambulishwa na vyeo vyao vya kuzimu ila wahumini hawaelewi.inaumiza sana
@user-go9ec5jn6l
@user-go9ec5jn6l 24 дня назад
Yan masanja nae,,atapotea anaanza kuweka ujinga nae
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 23 дня назад
@@user-go9ec5jn6l sio atapotea!!!!
@ellymunisi8749
@ellymunisi8749 17 дней назад
Wote hawana Mungu ndani yao
@IssaPara-bt9hg
@IssaPara-bt9hg Месяц назад
Mungu awape nguvu wachungaji wote mungu awalinde Sana
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 23 дня назад
@@IssaPara-bt9hg mh
@Rumbakweka
@Rumbakweka 16 дней назад
Uyu malisa naendaga kwake ila simwelew naendaga tuu kufanyq uduma
@eliakefas9300
@eliakefas9300 2 дня назад
Kama Kuna siku umenishangaza masanja ni leo, nilidhani tupo kwenye boti kumbe duuuh!
@jubilethfestourio450
@jubilethfestourio450 16 дней назад
Wateule muwe macho hizi nisiku za mwisho
@KabestarMusic-l2o
@KabestarMusic-l2o 8 дней назад
Mtu anaabudiwa kama mngu mngu jizihilishe wakuone baba
@skeetergodwins2576
@skeetergodwins2576 11 дней назад
Duh! Tumevamiwa.yaani Hawa sorcerer's wamekutana wote Leo.
@AnnaMsami-f5p
@AnnaMsami-f5p 13 дней назад
Mmh! Mungu nipe macho nione manabii wakweli maana bila wewe mimi sitaweza kuwatambua, naona hapa kuna alama nyingi za ??????
@dorahkaruma9299
@dorahkaruma9299 17 дней назад
Kuna kiboko ya wachawi na huyo sijui IPM siku nikiwa sijafanya dhambi kama iliyosababisha leo kujaziwa kadi la kliniki 😂. Nitakwenda makanisani kwao kuwaombea waokoke na kuwaongoza sala ya toba 😂😂😂
@JuliusMatiku-ux4ch
@JuliusMatiku-ux4ch 13 дней назад
Na umewakusanya kwer kwer
@ushindimbwilo1398
@ushindimbwilo1398 29 дней назад
Masanja mpka hapo hakuna kitu hapo
@ben_digital
@ben_digital 2 дня назад
Matapeli wamekutana
@AgnessChambo-mx6rd
@AgnessChambo-mx6rd 18 дней назад
Jamani sisemi sana ila Mungu atufungue macho zama hizi yatosha
@verroallex9144
@verroallex9144 9 дней назад
Muda ni mwalimu mzuri sana.. Mtawatambua kwa matendo. Kwa matunda yao mtawatambua. Lilikua ni suala la Muda tu kuwatambua hawa. Bwana Yesu atupe maarifa ya Neno lake.
Далее
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mke wa mbarikiwa ala kiapo juu ya wimbo huu
11:58
SHUHUDIA ULINZI MKALI WA MASANJA #MASANJATV
17:09
Просмотров 7 тыс.
Chinese kung fu ||#shorts
1:00
Просмотров 32 млн
Каха заблудился в горах
0:57
Просмотров 8 млн
It worked for me)
0:19
Просмотров 20 млн
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
0:19
Просмотров 19 млн