Тёмный

TAZAMA MANABII WALIVYO MWAGA PESA KWA MASANJA 

Masanja TV
Подписаться 227 тыс.
Просмотров 56 тыс.
50% 1

TANGAZA NASI MASANJA TV:
SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates:
👇 👇
/ @masanjatvgospel

Развлечения

Опубликовано:

 

24 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 207   
@jacklinakinabo6479
@jacklinakinabo6479 17 дней назад
😂😂😂😂 Nifundishe kunyamaza ee Mungu wangu ,,acha hukumu iwe juu yako .
@emmanuelsumari7553
@emmanuelsumari7553 7 дней назад
Kwakuwa kila kazi atendayo mwanadamu itapimwa kwa moto. Mungu ndiye ajuaye mtenda kazi wake, na wasio wake.
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w 21 день назад
Haahahhahha jamaa anaesambZa maiki goti mpaka chini 😂😂
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 12 дней назад
Makanisa ya waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu Freemason churches.
@siaveramanga289
@siaveramanga289 15 дней назад
I see my prophet Rolinga,God bless you all
@WTC492
@WTC492 14 дней назад
We masanja unaenda lesi usingekimbilia kwenye uaskofu au kuwa mchungaji au kufungua kanisa bado una uchanga mwingi na mizaha. Ungekubalii kukaa chini ya maongozi ya Mungu kwa muda na watumishi waliokaa vizuri kama wakina Mwakasege na Mbarikiwa mpaka upate ukomavu.
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 10 дней назад
hatumuhuku ila anapoelekea alipofikia tumwechie. MUNGU
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 22 дня назад
Nimemwona sijui wanamuita kiboko ya wachawi jmni 😭😭😭 Mungu tusaidie
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 19 дней назад
Na atusaidi kwlkwel
@HappyFlowers-ee8ru
@HappyFlowers-ee8ru 16 дней назад
Mmmh kweli basi nmehakikisha kuwa masanja siooooo kabisaaaa maana Giza na nuru havichangamani kiboko ya wachawi sio kabisaaa maana alisemaga hata utakatifu sio kazi yake kufundusha Wala muda wa kukemea dhambi Hana
@EZRA-b1c
@EZRA-b1c 12 дней назад
​@@HappyFlowers-ee8ruYESU KRISTO A TUSAIDIE WAJA ZAKE
@agnesspeter6416
@agnesspeter6416 14 дней назад
Masanja apunguze mzaha madhabahuni kazi anayoifanya ni nzuriii mnooo Mungu ambariki saana
@selegioelias9076
@selegioelias9076 12 дней назад
Wewe ndo unaona madhabahuni wenzio wako kwa kazi kupiga pes
@deviselisaria5488
@deviselisaria5488 10 дней назад
Kazi gan ukimpgia simu hana la kujibu
@jacksonpetro495
@jacksonpetro495 3 дня назад
Kanisa lolote ambalo kipaumbele chake sio utakatifu na kuurithi ufalme wa Mungu kama kipaumbele cha Yesu, likimbieni jamani hizi ni siku za mwisho.
@allenmlelwa7950
@allenmlelwa7950 5 дней назад
Wapongo nikukosoa tu.kila kitu.tafuteni jela acheni umasikini.mtaenda jehanamu kwa kuhukumu kila kitu😂
@Godishereforus
@Godishereforus 16 дней назад
Glory be to God. Mtubu ndani ya siku 7, Mungu adhiakiwi, repentance and accept Jesus Christ in 7 days. Don't say you were not warned.
@erodiasmallya2869
@erodiasmallya2869 20 дней назад
Nyakati Za mwisho tutaona mengi. Manabii wa uongo wameongezeka na wanazidi kuongezeka😭
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 14 дней назад
Ukiwepo na ww mkristo wa uongo, fool
@user-rr6jg6qb1p
@user-rr6jg6qb1p 18 часов назад
Tuweni macho sio kila atajae jina la bwana anamwakilisha bwana kweli wengi ni wachawi
@giftmed1a332
@giftmed1a332 2 дня назад
I see my prophet kiboko za wachawi!! Say wooooyooo prophesize paapaa!!
@JaliwaMbembela
@JaliwaMbembela 11 дней назад
😮😮 acha mungu tu aingilie kati na haya makanisa naona yaliyotabiliw yanazidi kwa kasi sana tujiandae watumishi mungu amekaa kimya ana makusudi
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 18 дней назад
Eti manabii😂😂,hao ni watabiri na waganga kwa mgongo wa jina la Yesu
@elizabethkisogole34
@elizabethkisogole34 20 дней назад
Nilichogundua Masanja umejuankucheza na fahamu zao Kwa nafasi zao kuwacgomoa pesa
@user-ec4br4pd3o
@user-ec4br4pd3o 15 дней назад
😂
@user-jw8pw2pd9l
@user-jw8pw2pd9l 22 дня назад
Ivi kweli na ninyi ni kanisa la Mungu hilo ni kundi la wasanii Mungu hakai mahali pa jins hiyo
@user-dx4ow8vq1c
@user-dx4ow8vq1c 22 дня назад
Anakaa sehemu gani?
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 21 день назад
😅😅😅😅​@@user-dx4ow8vq1c
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 21 день назад
Anakaa wap😅
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 18 дней назад
Ndio roho mtakatifu hayupo hapo labda nguvu za majini
@nicholausrwezaura1971
@nicholausrwezaura1971 24 дня назад
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc 25 дней назад
Duuh, kweli tutafute hela coz majungu cyo mtaji
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 14 дней назад
Ni muda sahihi sasa serikali kuanza kupata kodi kwa haya makanisa wachangie kulijenga taifa...ngoja niandae waraka nimtumie waziri wa fedha
@user-tt1nm9xs4n
@user-tt1nm9xs4n 20 дней назад
Masanja naomba milion mbili
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 19 дней назад
Ha ha haaaaa haaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa ha ha haaaaa!!! Nawew kusanya manabii!!!!
@user-in6eg5np7l
@user-in6eg5np7l 8 часов назад
Acha tu nionekane nahukumu jamani ila hapo ni uhuniuhuni tu, watu wa Mungu tulieni kwenyeadhehebu yenu
@msafiriomary893
@msafiriomary893 6 дней назад
Watumishi WA mungu kwer nyinyi au mnajidanganya wenyewe
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 21 день назад
Kamwanamke kamevaa suruali kamebeba chombo cha sadaka hakaogopi da watu yesu anarudi kamekaa mbele ya madhabahu ila siku za mwisho hatari sana uhuru wa siku za mwisho jaman yesu atarudi naogopa sana mwe naogopa sana nikisoma.biblia na tulivo tofauti
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 19 дней назад
Ha ha haaaaa! Htr sn ! Shetan n mjnja sn, hakuzuii kwenda kanisan ila anahakikisha lazima akupe kufuru yake moja ambyo kw hyo tuu anauhakika hauioni mbngu, kupiga kelele kuruka hkumpi shida, yey anachojua , ukifny mapenz yke wew n wke ht km uwe mke wa nabii km huyo hpo mbele alovalia jezeberi wearng style sjui n ya kubust matiti au ya mabega waz yy anajua. Lkn yte hy htupasw kushangaa c UMESOMA JINA LA KANISA!? HV JNA HALIATHIR TABIA/ MATENDO YA MWENY JNA HLO?
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 19 дней назад
@@chrisdeoglatias8665 na sasa hivi shetan anajua kanisa limemgundua ko analeta mawimbi mengi sana makanisan I'li kanisa likate tamaa ila atakatisha tamaa dini.sio kanisa kanisa limejengwa juu.ya mwamba.imara damu ya Yesu na loho mtakatifu yupo akiliongoza kwA kila kitu habari ya mavazi loho anasema kwA habali ya maisha loho.anasema.usiishi hivi kwA habari ya.vinywaji loho anasema usinywe.mapombe habari ya vyakula loho anasema usile.vyakula vya madhabahu ya kipepo.watu wanasema utajuaje loho anasema unakuta mtu anasema huyu jilani.kila.mwaka.anachinja.kondoo.ndio ma'ana anaweza.sikukuu.nyumbani pake ko.unajiepusha unajua.ni.mshilikina Mungu atufungue macho tuone kinachoendelea
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe 19 дней назад
Hata Mimi Nashangaa sijui wanasoma biblia Gani maana amevaa suluali alafu eti amekaa mbele ya mazabahu sijui anamuwakilisha shatani maana du ajabu.
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 19 дней назад
@@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe ninachoamini ni kwamba shetani anajua kuwa Mungu.amewafunulia.watu.wake siri sasa kainua watumishi wengiwengi maajenti wake wamefungua makanisa wanalahisisha.hakuna kuwakataza watu dhambi.nikukusanya.hela makanisa ambayo yana imani anatuma maajenti wake wavae wanavotaka wanywe.wanavotaka wafanye.wanavotaka.ili.mladi.wajae.kanisani heshima madhabahuni isiwepo ila islamiki wangekili.yesu.ni.bwana mm ningehamia.msikitini ma'ana makanisani shetani amewajaza malaya.wengi sijajua.ivi.hawajui.kuwa.suluari kwA mwanamke ni ukahaba mpaka.mtu.anaimba na suluari.kabisa.Mungu.atusamehe
@moseshaule586
@moseshaule586 16 дней назад
Akuogope wewe kwani ndo uliyemfia msalabani.... au wewe ni mchungaji wake? Kila mtu abaki na malezi ya babaake wa kiroho... Wewe mbona huogopi kuandika jina Yesu kwa kuanza na herufi ndogo... hujafundishwa vizuri na babaako kwa kiroho?
@evodiajohn7991
@evodiajohn7991 25 дней назад
Tafuta hela wacha kuhukumuhuku
@user-cw6bf7rj9c
@user-cw6bf7rj9c 6 дней назад
Huyu si masanja huyu hahahaha😂😂😂
@user-nd9kd2wi4h
@user-nd9kd2wi4h 21 день назад
Wamevaa ngozi ya kondoo kmbe chui mi cijuhi ila yeye tu aliye juu
@RehemaRehemaJosephbaraka
@RehemaRehemaJosephbaraka 4 дня назад
Mungu awasaidie waache kufanya kazi za shetani wamu lidie yesu kristo atawa samehe
@neemamwanga407
@neemamwanga407 19 дней назад
Jamani wanaume nao wanapiga magoti😂😂
@pumarice2710
@pumarice2710 22 дня назад
Eeh, Mwenyezi Mungu tusaidie.
@VictorJohn-fu7ch
@VictorJohn-fu7ch 23 дня назад
Wow❤❤❤
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 23 дня назад
Ila masanja pia jifunze maana umekuwa ukiwashambulia sana manabii
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 20 дней назад
Hapa and anataka hela
@HorizonLtd-ty7ep
@HorizonLtd-ty7ep 16 дней назад
Anamaslai
@GraceOtieno-vo3sj
@GraceOtieno-vo3sj 3 дня назад
Usi waone hao......Wana hubiriiii........ukadhani wote ni wa ukweli.....usisikie wote waotabirii ukadhani wote ni wa ukweli
@FelicianiShine
@FelicianiShine 4 дня назад
Mwamposa yupo wapi, hananja yupo wapi, mwakisapile Yuko wapi hapo,
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 25 дней назад
Uganga mtupu wapinga Kristo Yesu wote
@RehemaMtono
@RehemaMtono 24 дня назад
Na zumaridi
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 24 дня назад
@@RehemaMtono ukweli mtupu Mungu ktk Kristo Yesu akubariki kwa kujuwa kweli
@RehemaMtono
@RehemaMtono 24 дня назад
@@BeniJohn-xd3cn manabii wa kuzimu hao woote
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 23 дня назад
@@RehemaMtono Asante Sana ndungu yangu ktk Kristo Yesu ubarikiwe Sana kwa kujuwa kweli na kweli imekuweka uru🙏🙏
@prophetDanielyMwanisenga-bk8cc
@prophetDanielyMwanisenga-bk8cc 22 дня назад
Wewe unashingap
@paulezekia1041
@paulezekia1041 16 дней назад
Wwe hunahakiri unampagia mungu filimasoni hawanauwezo wakumzidi mungu acha kanisa lijegwe nawewe update kuokolewa nakunjua mtendo makuu yakilisto
@Namaize-lc8sh
@Namaize-lc8sh 7 дней назад
Mmmh kama ni kweli basi Mungu akutangulie
@jeraldjensen6504
@jeraldjensen6504 5 дней назад
Kazi ya MUNGU isonge mbele , wenye hela ndo wanaoijenga nyumba ya Bwana tusio na hela kazi yetu ni kukoment😂😂😂😂
@FamtamAli-vl2wx
@FamtamAli-vl2wx 3 дня назад
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu wangu
@kingmsanya3524
@kingmsanya3524 13 дней назад
Naona prophetic Roringa anasema leo ni meingia wapi hapa.😂
@mbonicosmas5984
@mbonicosmas5984 17 дней назад
DRESSING CODE. they put on red, black or white golden shinning garments as working uniform. it is never a coincidence. each color represents a spiritual rank that one has got, red being the highest.
@jumakihiyo
@jumakihiyo 20 дней назад
Genge la wahuni tu hilo
@FlorensiaMkombozi-et1ts
@FlorensiaMkombozi-et1ts 13 дней назад
Manabii tunao ila niwachache waache kutumia wanyama watu kujinufaisha wao wanasema wanyama mavi Mungu amechoshwa na matedo yao madhabahu wanazoabudia Yesu ana kwenda kuziwasha moto niwambia ukweli zitawaka moto kwa Jina la Yesu
@daudiazizi8495
@daudiazizi8495 18 дней назад
Nanyie si muigize muwe wa uongo mpate hela,watazidi Kubarikiwa.achen kuaonea wvu
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 16 дней назад
acha ujinga WEWE, wanawaonea wivu kwa lipi?! hayo maigizo?!!
@danielbrizzy
@danielbrizzy 20 дней назад
mbalikiwe sana
@ElizaphanKamando
@ElizaphanKamando 4 дня назад
Hii pesa bhana duuh hamna utumishi hapo ni usanii tu
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 25 дней назад
Amekosekana Mzee wa Kenya na Mzee wa Arusha Ezekiel na Jodevi
@mwana3887
@mwana3887 19 дней назад
Geordavie ni royal anafuata kanuni na taratibu za kinabii nabii hawezi Kuwa Kila sehemu lazima ajichukue Kwa nidhamu na pia kutokana na uongoziwa roho wa Mungu(Mtakatifu)
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 19 дней назад
@@mwana3887 angekuwa anafanya show ya mavazi kanisani si ushetani tena ya kike na wanapita mbele yake ata wewe pia uoni kuwa uwo ni shetani
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 19 дней назад
@@mwana3887 ni wa Mungu gani uyo Roho Mtakatifu ni Mungu mwenyewe awezi kuruusu ujinga kama uo unajuwa Maana ya Roho Mtakatifu wewe
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 19 дней назад
@@mwana3887 kuwa makini na kusema anaongozwa na Roho Mtakatifu tena fanya toba uombe rehema upesi Sana utapita kwe wakati ngumu kwa kumshrikisha Roho Mtakatifu kwenye ujinga na ushetani
@FrankJackson-m8e
@FrankJackson-m8e 15 дней назад
Duuh mungu atujalie mwisho mwema jamani
@ashasalim612
@ashasalim612 19 дней назад
Kabla hujambeza mwenzako au kumsema vibaya jichunguze kwanza je wew ukosahihi kwakila kitu MUNGU atusamehe
@MageseBasubukundi
@MageseBasubukundi 16 дней назад
Masanja ubalikiwe
@danielmrashani8710
@danielmrashani8710 23 дня назад
Yesu akutunze Sana bishop masanja
@barnaba3037
@barnaba3037 16 дней назад
Mungu atuokoe
@JustinKituyamaana-og3bg
@JustinKituyamaana-og3bg 7 дней назад
Napita sisemi kitu.😅😅😅
@mariapendael626
@mariapendael626 16 дней назад
Eee mungu wangu maanget sasa wako hadharani tena wanatumia jina la yesu 😭😭huyo ni yesu gani hata hivyo? Labda yesu wa yezeberi laana na iwe juu yao
@evajeremiemunkamba362
@evajeremiemunkamba362 17 дней назад
What is this in church
@BartolomeuHenrique-mx1fn
@BartolomeuHenrique-mx1fn 17 дней назад
Duh massanja Nini????umepotea
@user-mk3iu6ho3j
@user-mk3iu6ho3j 15 дней назад
Kinacho sikitisha TRA wamekomaa na maduka kudai mapato na kupandisha kodi ,ila matapeli kama Hawa wanaachwa huru 😢 . Endeleeni na uganga wenu huo Atakuja mwana wa Adamu kumlipa Kila mtu .
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 10 дней назад
Etijamani
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 10 дней назад
Masanja. ameingia kingi
@CleverGalaton-tz
@CleverGalaton-tz 13 дней назад
Hahahaaa Masanja unapiga GIA za uwongo unataka uprrrrrrofesai kitu gani 😂😂😂
@judithminja770
@judithminja770 11 дней назад
😂😂😂😂
@MlyakadoHassan
@MlyakadoHassan 21 день назад
Jamani hebu tujiulize yakwetu
@user-cb7io3pk4l
@user-cb7io3pk4l 19 дней назад
Hahaa izo makanisa jamani niku lomba lomba mavazi na pesa shida😢😂😂
@user-ob2ik5gy1b
@user-ob2ik5gy1b 6 дней назад
Akili kumkichwa nyuma ya pazia.
@user-vg9bu6zv8v
@user-vg9bu6zv8v 20 дней назад
Wakiristo tuwen makinisana hiimizaha katka Kaz ya MUNGu mh najua watu wa mungu wapo tuingie kwenye maombi shetan anapambana kulivunja kabisa la bwana
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 19 дней назад
N kwl unajua sasahv shetan katuletea maisha ya ubz na uviv, wat hatusomi Neno, hvyo adui hutumia kutojua/ ujnga wetu kutnda kaz yke kw kivuli cha Mungu. Tumesahau kuwa WALA UPUUZI au utani au midhaha, kamwe hvtakiw kusikika wala kufnyw na mtumsh wa kwl wa Mungu ila wale wa upnde wa pili aaah ht kukmbia madhabhun sio ttzo au kuleta commed sio ttzo!
@NizerMgombele-xn5hb
@NizerMgombele-xn5hb 17 дней назад
Kila manabii ni wa uongo hvyo hakuna wachungaji wa uongo huu ni upumbavu mjue mungu ndo maana liko neno linasema ukishakuwa na roho mtakatifu utazipima roho kujua zimetoka wapi usilopokelopoke tu , mara nyakati za mwisho unazijua hzo nyakati na maana yake ,shauri jambo unalofahamu usilalamike 2 kama hujui kitu jifunze kumjua mungu utapotosha watu mpende mungu na uwe mwaminifu kwake utabarikiwa sana
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 17 дней назад
@@NizerMgombele-xn5hb Kwan shida iko wp? Usemalo nisawa ila sjajua kwa vdeo hii uko upnde upi? Au wewe unafikir manabii wa uongo mpk waweje?
@mastermurundidon1431
@mastermurundidon1431 18 дней назад
Huwo niujinga,wanawarubuni,wanawaiba,wanawafanya mbumbumbu,hivi ninyi wa Tanzania nani kawaloga hadi stage hiyo
@josephkaveya4284
@josephkaveya4284 14 дней назад
Masanja mjanja amewachezea kekundu
@PastorJosephTindo
@PastorJosephTindo 9 дней назад
Polesana
@godfreysanziki1461
@godfreysanziki1461 23 дня назад
Ulijua kuwakamata ma bishop
@user-kb8wv6kg8g
@user-kb8wv6kg8g 12 дней назад
Jamani mwenzetu mpo ukweli? Mbele ya kiti cha enzi iko kazi siku ile ya mwisho.
@Godishereforus
@Godishereforus 16 дней назад
You guys Heaven is real, so is hell, repent in 7 day, you're warned.
@MlyakadoHassan
@MlyakadoHassan 21 день назад
Jamani pesa nikitu kingine wewe fanya yako sikiliza tuu
@WTC492
@WTC492 14 дней назад
Masanja kuna watu ukianza kushirikiana nao lazima ubebebe roho za upotofu.
@philomenastephen3364
@philomenastephen3364 10 дней назад
MASANJA NISAIDIE HATA KA LAKI 5 TU JAMANI.
@florapeudy3963
@florapeudy3963 18 дней назад
Mwee😅 unajua kupamba watu hataka hawataki watatoa tu
@monikamasasi7582
@monikamasasi7582 8 дней назад
Kila kitu mnakosoa tu jamani watanzania tumezidi,mwamposa sio,mbarikiwa sio kakobe sio,masanja sio,kiboko wa wachawi sio,tumechoka sasa susi tumeamua kuamini hivyo hivyo
@jumazamoyoni3745
@jumazamoyoni3745 7 дней назад
Usimnyooshee kidore. Mtu mana. Vingine vyarundi kwako acheni kukosoa azisheni nanyinyi
@WinbirdFrancis
@WinbirdFrancis 10 дней назад
Jamani nyakati za mwisho zinatimia
@BYAMUNGUGERLASMASHAURI
@BYAMUNGUGERLASMASHAURI 8 дней назад
Umoja wa manabii wa uongo kwa kutamani kuwavuta watu kwa shetani. Wote hawa sio watumishi wa kweli basisa kabisa.
@user-ez7lk3it5s
@user-ez7lk3it5s 16 дней назад
Nyakati.hizi.nizamwisho.tujihazari.namanabii.wauongo.ndo.hawa
@dafrosamonko8254
@dafrosamonko8254 7 дней назад
Ni nini hichi
@maryinyas9320
@maryinyas9320 8 дней назад
Hakika Timothy alisema hata yatatokea, tunayaona live.... Roho zidanganyazo.....
@ThomasMgaya-y1r
@ThomasMgaya-y1r День назад
Mimi Napitatunamabegiyangu
@WTC492
@WTC492 14 дней назад
Maprophet ni shidaa
@GideonMsengi
@GideonMsengi 19 дней назад
Masanja😂😂😂😂😂😂
@Adolffine
@Adolffine 16 дней назад
Yaani nyiye majambazi wasta harabu
@patrickmunishi2277
@patrickmunishi2277 15 дней назад
AKUNA MANABII TZ ILA KUNA WANAOTIMIZA UNABII
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 23 дня назад
Hao wanakuonyesha ukomavu
@gracepaul5901
@gracepaul5901 7 дней назад
I don't trust these dominations now days
@user-st5th2uo3s
@user-st5th2uo3s 17 дней назад
Usihukum usije ukahukumiwa acha magugu na ngano vikue pamoja
@OswardSanga-ep5js
@OswardSanga-ep5js 17 дней назад
Wote hawana hela hapo ndiomaana wanaombaomba angalau yule jamaa wa Arusha Geo Dev
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z 21 день назад
MUNGU pamoja nasi
@galusikiliani6228
@galusikiliani6228 8 дней назад
Swali langu hawo mana ii wote wameowa
@emmanuelsunday8325
@emmanuelsunday8325 18 дней назад
😮😮😮masanja achaga utani ujue wewe kwa sasa ni mchunga badilika basi
@meckngenzi1690
@meckngenzi1690 17 дней назад
Sihukumu ila biblia inasema kwenye mithali 18-24 Ajifanyiaye marafiki wengi ni kwa uangamivu wake yeye mwenyewe
@AnithaNdambo
@AnithaNdambo 11 дней назад
😢😢
@danielamosi6871
@danielamosi6871 25 дней назад
Una sifa sana wew sikupendi
@neymishytz9302
@neymishytz9302 20 дней назад
Dah watu wengine km wachawi ampendi maendeleo ya wenzenu
@RobertMolell
@RobertMolell 19 дней назад
Ndg zangu tuchunge midomo yetu kwani itaja tugharimu siku 1,wawe wa ukweli au wauongo watajua wao na aliyewaumba.
@valenakomba7686
@valenakomba7686 19 дней назад
MUNGU SIYO KITU CHA KUFANYIWA VICHEKESHO.
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 16 дней назад
NI AIBU HICHO KINACHOTENDEKA! NI HERI WANAOJITOKEZA WAZ KWA WAGANGA KULIKO HAYO MAIGIZO!
@user-fg3nj1bg5n
@user-fg3nj1bg5n 9 дней назад
Freeeeeeemsn
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 19 дней назад
Watu wasio na hela utaona comment zao tu😂😂😂 jamani hela inaondoa hasira
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 19 дней назад
@@warakawayohana2896 usisahau hela inaondoa akili wengi.wenye.hela.kama wamepata.hela.haraka wanakuwa.hawana akili.ko.kama hela.inaondoa.hasira b yake.huondoa.ufahamu.na.akili.asilimia wengi wenye hela hawafikilii.ndio ma'ana wengine wanakufa.kaa mbwa
@MasanjaTVgospel
@MasanjaTVgospel 19 дней назад
😆😆😆
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 18 дней назад
Nani kakwambia Kila anayechangia mada hana pesa?
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 18 дней назад
@@peterrulagora7403 hata wewe Huna?😂😂😂
@prchMichael
@prchMichael 10 дней назад
hizi ni ajenda za mpinga kristo kabisa
Далее
World Record Tunnel Glide 🪂
00:19
Просмотров 19 млн
Wait for it 😇
00:45
Просмотров 8 млн
Maisha na vifo vya mitume wa yesu
13:28
Просмотров 6 тыс.
MASANJA  HADHARANI FATILIA MPAKA MWISHO
24:02
Просмотров 726 тыс.
RINGO AVISHA PETE HILI APA TUKIO LOTE #MASANJATV
18:13
Продал не тот порошок... #shorts
1:00