Тёмный

PART II: MUWEKEZAJI WA KITANZANIA MWENYE MIAKA 32/ UFUGAJI NA KILIMO VIMEMTOA 

Crown Media
Подписаться 165 тыс.
Просмотров 69 тыс.
50% 1

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 290   
@CrownMediaTZ
@CrownMediaTZ 3 месяца назад
Tunashukuru nyote mliopenda maudhui haya, usisite kushare Link hii kwa wengine ili wengi wapate kujifunza zaidi.
@SumaiaIssa-px4pl
@SumaiaIssa-px4pl 3 месяца назад
Kazi mzuli crown
@georgemcharo642
@georgemcharo642 3 месяца назад
The guy is brilliant
@georgemcharo642
@georgemcharo642 3 месяца назад
Jamaa anaijua kazi yake..na kichwa kimetulia sana...
@SpartMaina
@SpartMaina 3 месяца назад
really awesome project,nice work. nice interview. can we get the contacts for the ranch?
@ukendejenipher3942
@ukendejenipher3942 3 месяца назад
Big up crown media kwa watangazaji mahiri wenye kujua kuuliza maswali ya msingi keep it up
@kinanaissango3492
@kinanaissango3492 3 месяца назад
Madini kama haya vijana ndio tunayataka crown mnajipambanua Pakubwa sanaa
@Bardizbah-nr9qi
@Bardizbah-nr9qi 3 месяца назад
Shule ni bure mchawe ni bando tu ❤
@PhilkevinFelix
@PhilkevinFelix 3 месяца назад
Mwenyezi Mungu ambariki huyu kijana (mwanangu ,he is the same age as my son ,he is in USA) aweze kupata mafanikio zaidi. Alichonifurahisha hakuonyesha ufedhuli au majidai pamoja na mafanikio aliyoyapata.
@tugaraamos2546
@tugaraamos2546 3 месяца назад
Tunahitaj kujifunza kwenu baba yangu
@khalfanaltaley
@khalfanaltaley 3 месяца назад
Mashallah tabarak Rahman. He is a visionary young person with a lot to give and contribute in teaching others who have passion in making their living ahead wisely. Although it is not easy to follow his steps, unless you have means to do do so, however there is a lot to lean from the strategies he has taken forward the family business towards success. Wishing him all the best of continuing the business! May Allah guide him forward!
@nailaomar4810
@nailaomar4810 3 месяца назад
Mashaallah
@rosemnzava4696
@rosemnzava4696 2 месяца назад
Nimependezwa na ujitahidi kijana. Tutakutafuta kwa ushauri
@zeddybass6672
@zeddybass6672 3 месяца назад
Pendelea kuwasikliza watu wenye akili utakuja kunishukuru
@msemakwelitv9325
@msemakwelitv9325 2 месяца назад
Mkiendelea hivyo,Crown Media itakua unbeatable
@collinsburton2522
@collinsburton2522 3 месяца назад
Huyu jamaa ana akili sana na amesoma na anahela. Ujana sio madisco tu, ujana shambani pia ❤❤
@JumaMwanga-xd9gy
@JumaMwanga-xd9gy 3 месяца назад
Ntaman n like ata mara100.. Vile npenda vitu iv
@zainabzain3434
@zainabzain3434 2 месяца назад
Nikweli maana somo zima lipo kwenye point ya mafanikio ni makubwa yanashawishi
@salimsaid3943
@salimsaid3943 3 месяца назад
Huyu jamaa smart sana ma sha allah....mm pia nimezaliwa dec 1991 safi sana yuko makini hata anavyongea!
@marychuwa8159
@marychuwa8159 3 месяца назад
Wow niliona hayo maonesho wakati naenda Dodoma sikuelewa sasa Mr Nawid umenifungua macho zaidi you are doing great job aksante kwa taarifa nzuri sana sijutii bando langu
@anthonyrichard2931
@anthonyrichard2931 3 месяца назад
Mawasiliano hamjatupa wakuu ni Elimu nzuri sana
@killerwizzyofficial2157
@killerwizzyofficial2157 3 месяца назад
This real life crown midia is the best
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 3 месяца назад
Safi sana mimi napenda sana mazingira na kilimo pia
@augustinet9530
@augustinet9530 3 месяца назад
Maudhui mazuri, vijana smart,dah kweli elimu haiongopi, i appreciate crown media kwa elimu hii, jamaa yuko vizuri, wasasi tuwekez kwene elimu zenye tija, huyu jamaa ana upeo mkubwa sana ulio jengwa kupitia wasasi na elimu, ee mwenyezi Mungu tupe watu smart wengi Tanzania like Crown media and the guest Mulla. Inshallah ikawe heri kwetu kupitia eleimu hii.
@stevenmnzavajoseph
@stevenmnzavajoseph 3 месяца назад
Big up Crown Media. Interview ni nzuri nimejifunza mengi na kupata hamasa.
@hasram-u9w
@hasram-u9w Месяц назад
napaswa kukuheshimu sana kwa hiki nilichokiona hapo umenifunza na umewafunza wengine yote yametokana na usubutu kwa kile alichokujaalia mungu ingawa sina uwezo wa kuandaa iyo project ya aina iyo ingawa ipo ndani ya moyo kua ni ndoto sahihi kwangu ila nitazidi kukuombea kwani iyo ni ishara bora na uboroshaji wa kuelewesha kua na elimu ya juu na kuandaa maisha mengine na yenye ulazima katika maisha yetu mungu akuzodishie maisha bora zaidi ili tupate kuyatambua mengi sana
@inthezone5927
@inthezone5927 3 месяца назад
One word RESPECT!!!! 👊
@ibsk88salim98
@ibsk88salim98 3 месяца назад
Safi Sana hapa unajifunza kiukweli
@VictorGosbert
@VictorGosbert 3 месяца назад
Kilimo biashara/Angrobusiness.Faida tupu,ukizingatia kutrust prosess.
@fabienuwimana9559
@fabienuwimana9559 3 месяца назад
Huyo boss Naweed na mtangazaji yaaani wote nawaona wako watu poa sana hiyo sehem nitakuja kuangalia
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 3 месяца назад
The kind of interview I can watch without skipping a single minute!! I'm so impressed by his commitment and dedication to that project!🎉
@AbdoullrahmanYusuph-xq2hq
@AbdoullrahmanYusuph-xq2hq 3 месяца назад
jamaa anajua inshort
@ElshaddaiEnterprise
@ElshaddaiEnterprise 3 месяца назад
Hii safi sana
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 3 месяца назад
Mashallah vizuri sana akhuyi ❤❤❤❤
@AbdoullrahmanYusuph-xq2hq
@AbdoullrahmanYusuph-xq2hq 3 месяца назад
jamaa anjua sio poa
@bakarijumakupaza4351
@bakarijumakupaza4351 3 месяца назад
Sijawahi sikiliza interview nzuri kama hii, mwandishi anajua maswali na mhojiwa pia. Kiufupi wote ni watu wenye elimu. Hata Kiswahili chao sio cha mitaani.
@gulinjaezekiel8489
@gulinjaezekiel8489 3 месяца назад
Kabisa aisee. Hata mimi nimefurahia hili
@jumasafi2635
@jumasafi2635 3 месяца назад
Mahojiano ni mazur sn na nimepata elimu 💪
@henryjohn4781
@henryjohn4781 3 месяца назад
Kazi nzuri Crown Media fanyeni E03 ambayo ni mtakuwa kwenye mabanda tu tuone wanyama tu.
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 месяца назад
Pongeziii..zangu ziwaendee nyote;Mwanahabri na mgeni wa kipindi kwa maswali na majibu sanjali, mwanzo wa pachko sikutegemea rangi ya mgeni kutililika kiswahili rafiki.Binafsi nimehamasika haswaa hiyo kauli mbiu yko"kilimo ni maisha ya Utulivu": salaam toka mwanza 🐟
@keddy1629
@keddy1629 3 месяца назад
Mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie kila la kheir na uwe mfano kwa vijana wetu.
@emilegentil9538
@emilegentil9538 3 месяца назад
Inzi njo habari😊
@JamilaMbezi
@JamilaMbezi 3 месяца назад
Sasa hz ndio tv tulikua tuna subir na vipind Bora sio zil zin tumalizia umeme
@MusaDadi-pd3jd
@MusaDadi-pd3jd 3 месяца назад
Big up sana brother
@benmabebajr.6551
@benmabebajr.6551 Месяц назад
The guy is deep and he knows exactly what he is doing. Ahsante sana kwa madini mazito na taarifa/fursa.
@SibrahBubby
@SibrahBubby 2 месяца назад
Asanteni sana CrownmediaTz kwa hakika tumepata madini sana hii kitu ni moto tumejifunza haswa
@nassoroigalawa5329
@nassoroigalawa5329 3 месяца назад
Waoooo. Ndugu mwandishi upo vizuri,hauna kimemo wala iPad mkononi
@mosesmdindile332
@mosesmdindile332 3 месяца назад
Anasimu kaweka kwenye paja Hapo anapitia kdg japo naungana na wewe yupo vizuri
@nassoroigalawa5329
@nassoroigalawa5329 3 месяца назад
@@mosesmdindile332 nimeona mwishoni
@sadikidaudi460
@sadikidaudi460 3 месяца назад
Naweed unaakili nyingi saana ila sifa kubwa nikwawazazi wako walikuandaa vyema
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 3 месяца назад
Crown ndio media ya kuifatilia
@MabelaShija
@MabelaShija 3 месяца назад
Nimependa sana interview hii,crown msifuate tu wakulima/wajasiriamali waliofanikiwa, ninyi muwe chachu yakuwaibua wadogo na nyinyi muwakuze.
@mariamgomile8165
@mariamgomile8165 2 месяца назад
Bonge la Interview, Madini ya kumwaga..... Asanteni Crown Media. Good Job, I have really enjoyed the content and watched all 2 parties without a stop. Mr. Mulla is very well accustomed to the project and I would not mind voting for him in Political position if he ever decides to take that route, we need open-minded people like him in this country where all the youths wants to be Chawas.
@farujohn622
@farujohn622 3 месяца назад
Hongereni sana Crown
@baudizo
@baudizo 3 месяца назад
Temidayo umeupiga mwingi sana,big up kwa Host (Mbogo) amekuwa sio mchoyo wa kutoa madini.
@saimonwantango9569
@saimonwantango9569 3 месяца назад
Nina ndoto ya ufugaji 100% mpaka sasa nimenunua shamba kwa ajili hyo,nitakuja kujifunza zaidi make ndoto yangu ni kufuga mbuzi na kondoo
@gulinjaezekiel8489
@gulinjaezekiel8489 3 месяца назад
Hii ni moja ya interview bora sana. Temi ameonesha weledi katika kuhoji bila kutoka nje ya key lakini bila kuwa mjuaji nadhani amefanya pre study nzuri. Naweed, ametoa details vyema sana tena amekuwa honest sana. Nimeenjoy
@sharifalengima5605
@sharifalengima5605 2 месяца назад
Hivi ndio vitu vinatakiwa kwenye media🎉
@jumamanzi4531
@jumamanzi4531 3 месяца назад
haya ndo mambo tunayotaka kuyasikia sisi vijana hongera sana Crowm Media Mmeanza vizurii
@gasperthobias6295
@gasperthobias6295 Месяц назад
Shukrani sana kwa madini, Naomba mawasiliano ya Brother hapo
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 месяца назад
Mash Allah na Alhamdulilah kwa kutupa elimu Allah akuzidishie mwanangu kwasababu umri wako nakuzaa.
@farouqhibrahim
@farouqhibrahim 3 месяца назад
Wengi wajifunze matumizi ya lugha ya kiswahili kwa ufasaha kama wa Mulla ,anazungumza kiswahili kwa ufasaha kuwashinda watanzania wengi wenye lugha yao
@kellysmith4095
@kellysmith4095 Месяц назад
Umeisema vile nigesema,mombasani!!!!
@Mbaley
@Mbaley 3 месяца назад
Nice one congratulations kwa kipindi
@yasrikomba7874
@yasrikomba7874 3 месяца назад
Daah kweli crown mnajua kutafuta habari wapo wapi hawa jamaa
@Binahmed1234
@Binahmed1234 3 месяца назад
🎉🎉🎉,Ma Sha Allah
@jaribudizza4217
@jaribudizza4217 3 месяца назад
Kujifunza kwa vitendo kunasaidia sana ❤❤❤
@perfectchoiceenterprises
@perfectchoiceenterprises 3 месяца назад
Congrats bro Haya ndio mambo tunahitaji kuyasikia kwenye media
@SibrahBubby
@SibrahBubby 2 месяца назад
Asanteni sana CrownmediaTz kwa hakika tumepata madini sana hii kitu ni moto tumejifunza haswa 10:44
@mohamedkassim9072
@mohamedkassim9072 3 месяца назад
Uwekezaji mzuri sana. Nimependa mahojiano haya. Nimejifunza mambo mengi
@asiasaid-y4h
@asiasaid-y4h 18 дней назад
Mashallah watu kama hawa ndio wanaitajika zaid nimevutiwa
@marckyfarrenyrwezaula7641
@marckyfarrenyrwezaula7641 3 месяца назад
Nashukuru sana kwa documentary hii, hakika ina madini makubwa sana, mi naomba tu contacts za huyo anayeshughulika na cattle guest house, amemtaja kuwa ni Sandra kama sijakosea, ahsante sana.
@Emma_Bernard
@Emma_Bernard 2 месяца назад
Life changing interview
@georgeanthony1547
@georgeanthony1547 3 месяца назад
Leo nimeona mtu aliyenufaika na Elimu. Pili kuna Tundu ambalo Elimu yetu ya Tanzania inahitaji kuliziba. Hongera sana Muwekezaji
@zainabzain3434
@zainabzain3434 2 месяца назад
Yaani nimefatilia part 1 mpk 2 bila kuchoka Asante sana
@bernadethakessy4188
@bernadethakessy4188 3 месяца назад
Hongereni sana Kwa kazi kubwa hii. Mungu aendelee kukunyanyua zaidi
@fra_nyuki
@fra_nyuki 3 месяца назад
Daaaaaah asante sana Crown Media., darasa la bure kabisaaa... good job brothers
@IsraelSamberu
@IsraelSamberu 3 месяца назад
Ahsante crown media, jikiteni kwenye habari kama hizi zinazo tufungu vichwa vyetu
@cecykaitanus7873
@cecykaitanus7873 2 месяца назад
Best interview.hongereni sana Crown mmetufaa
@glorykastai3996
@glorykastai3996 3 месяца назад
Safi sana nimejifunza vitu vingi sana na nimehamasika ila siku nyingine tuone utalii wa shambani,maana panavutia kweli
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 3 месяца назад
Kabisaa glory, ww uko wapi?
@abdullahabdul9246
@abdullahabdul9246 3 месяца назад
Mwenyezi mungu akujalie wewe kijana mwenye kampuni .ni mwekezaji mzuri sana
@RaphaelHhari
@RaphaelHhari 3 месяца назад
Ahh nadhani watu kama ndiyo Hawa wanahitajika kwa nchi yoyote kwa ajili maendeleo SI kwa upigaji wa pesa uwizi kwa ni hata pesa inakuwa katika mzunguko wa kiuchumi
@alexedward7709
@alexedward7709 2 месяца назад
Vipi kuhusu Kilimo cha Mkonge, hapo hapakuzungumziwa!!!
@inspiremedia6267
@inspiremedia6267 3 месяца назад
Interview nzuri sana nimejifunza mengi.
@nsajimwasege68
@nsajimwasege68 3 месяца назад
Ni mtulivu na mwenye akili tulivu, ni mwenye staha na uelewa mkubwa!!!
@JuliusSwai-k6i
@JuliusSwai-k6i 3 месяца назад
Sana Kwa ujumla na ana roho ya utajiri,iliyotulia,yaani Hana wenge ni mwalimu mzuri wa vijana Kwa kweli
@shammhagama2527
@shammhagama2527 3 месяца назад
Namna ya kufika hapo mbogo farm ndo kipengele, maana hawajatoa mawasiliano ya moja kwa moja.​@@JuliusSwai-k6i
@shammhagama2527
@shammhagama2527 3 месяца назад
Jinsi ya kufika sehemu husika ili ujifunze ndo kipengele maana hawajatoa mawasiliano yao ​@@JuliusSwai-k6i
@aishaomary4498
@aishaomary4498 3 месяца назад
Asante crown Naweed
@mrenjoyfootball8403
@mrenjoyfootball8403 3 месяца назад
Asanteni crown media
@olicendayihimbaze4074
@olicendayihimbaze4074 3 месяца назад
🎉🎉🎉
@silverpadana
@silverpadana 3 месяца назад
Nakufatilia sana bro nishafika hadi mbarali napenda sana mambo unafanya ndoto yangu kabisa kupitia interview zako napiga hatua siku tutakutana inshallah
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 месяца назад
Hongera sanaa. Ni kitu kixuri sanaa kwa kweli. YAANI INAPENDEZA.
@masoomwati2408
@masoomwati2408 3 месяца назад
Excellent ,keep shining
@Dmsiris5
@Dmsiris5 3 месяца назад
Qyt impressing .Am inspired asanten sana crown media for the Awesome interview with the Investors.
@benjaminmwampamba-ox1mc
@benjaminmwampamba-ox1mc 3 месяца назад
Jamaa inaonekana ana madini sana
@yusuphraphael3422
@yusuphraphael3422 3 месяца назад
Mungu ambariki sana
@felixmakundi7173
@felixmakundi7173 2 месяца назад
Very interesting topic. So good in data analysis. Big up Crown
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 3 месяца назад
Mungu Awenawe Blo Ufike Kama Wao Ishall Tumesikiya Vijana
@nailaomar4810
@nailaomar4810 3 месяца назад
Mashaallah allah akuhifadhi na akubarik kwenye kazi zako inshallah mashaallah mtt huna kibri umelelewa mashaallah mungu akuhifadhi
@humbihaule4072
@humbihaule4072 21 день назад
Inahamasisha Big up Mawasiliano jambo limesahaulika
@DismasMaturine
@DismasMaturine 3 месяца назад
Hongera sana kwa kuthubutu umetengeneza ajira
@kylemcfarlane7945
@kylemcfarlane7945 3 месяца назад
Hey Naweed, I enjoyed this very much and am remembering our field trip to your farm when you were a student at HOPAC.
@saidikhamisi8853
@saidikhamisi8853 3 месяца назад
Crown Media Hapa ni nyumbani ❤️
@raphaelmwenda9100
@raphaelmwenda9100 3 месяца назад
Nilikuwa nasubiri kwa hamu kupata mawasiliano, kwenye interview yote part 1&2 sijaona. Nimevutiwa na kipengele cha mfugaji mgeni, mawasiliano please!
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 3 месяца назад
Mashaallah. Allaibarik feek.
@YusraMussa-u7b
@YusraMussa-u7b 20 дней назад
Elimu nzuri na bora
@rashidkopa
@rashidkopa 3 месяца назад
Hapaninyumbani
@royfigueiredo7222
@royfigueiredo7222 3 месяца назад
Nimependa Sana hongereni. Guest keeping is the best for starters
@zuwenahamoud6690
@zuwenahamoud6690 3 месяца назад
Hongera Naweed,nataka kufugiwa, nipe maelekezo.
@ThadeoBernard
@ThadeoBernard 3 месяца назад
One lifetime best interview
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 3 месяца назад
Hapa huwa ndipo ninapowapenda watu waliosomea ukweli hawaongop bilion 60-70🎉
@ticianmarando9027
@ticianmarando9027 3 месяца назад
ila hapo kaongopa sasa , sasa sijui kama utawapenda zaidi au laah
@emmanuellaswai7272
@emmanuellaswai7272 3 месяца назад
​@@ticianmarando9027Nafikiri hapo alimaanisha value ya shamba kuanzia mifugo na mkonge
@Wakishua926
@Wakishua926 3 месяца назад
👂
@N.T.KDigitalCreation
@N.T.KDigitalCreation Месяц назад
Hii ni nzuri kwa wafugaji na wanaojihusisha.
@hamoudyahya7635
@hamoudyahya7635 3 месяца назад
Hongera sana crown media. Content ya maana sana
@sabinusndunguru9251
@sabinusndunguru9251 2 месяца назад
This is incredible
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 2 месяца назад
Mtangazaji unajua kuuliza 😊😊
@christiannjau7191
@christiannjau7191 3 месяца назад
Ni mfano mzuri wa kuigwa
@Amigotraders1
@Amigotraders1 3 месяца назад
Nilisoma Agriculture nikawa napiga picha za Ukubwa huu lakini mazingira yakanisonga songa Sahivi nauza tu bandles❤
@gwamakamwasongwe8053
@gwamakamwasongwe8053 3 месяца назад
Huyu jamaa ni kiogozi bora sana
Далее
Слушали бы такое на повторе?
01:00
Outsmarted 😂
00:20
Просмотров 2 млн
SALIM KIKEKE USO KWA USO NA N/WAZIRI MKUU DOTTO BITEKO
28:56
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Просмотров 64 тыс.
Jinsi  ya kupata kuku  wengi wa kienyeji
10:46
Просмотров 353 тыс.
UFUGAJI WA NGURUWE
30:04
Просмотров 14 тыс.